Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
09 Dec 2025
25 views
VYOTE NDANI GONGA94
Issookkeey…! Unaelewa kwa nini Pantev hakuwa anataka kutumia mastraika kwenye michezo yake!?
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Mechi yenye reaction bora mno kwa Ibenge…! Kipindi cha kwanza ni Simba walikuwa butu kumfunga na Azam walikuwa dhaifu na ilionekana muda wowote watafungwa. Kipindi cha pili kilikuwa HATARI 🔥
Simba SC wana shida kuliko PANTEV au Matola…! Timu inafungwa kwa sababu wanakosa magoli rahisi ya kufunga, wana kundi la wachezaji ambao pale mbele wanastahili mabadiliko haraka!
Azam FC leo kabadilika mno…! Hawakuwa na kiwango bora kwenye ligi lakini dakika za kipindi cha pili ni ndoto ya Ibenge na Azam FC. Walivyocheza juzi na kipindi cha kwanza walikuwa wana sababu elf za kufungwa! SUBS zao ziliua mechi 🔥🔥 TOP
Wilson Nangu kwenye kiwango bora mno…! Uhai mwingi wa Simba ulikuwa kwenye miguu yake na kichwa chake katika nyakati walizohitaji uokozi.
Himid Mao anacheza tu kwa Basics…! Anatimiza majukumu ya msingi na kufanya mambo mengine yaendelee…! Pa kukata anakata, pa kupasia anapasia na pa kucheza anacheza. Ndiye Man of the Match wangu✊🔥
Leo Yakoub Seleman kafanya Save 5 nzito tu…! Best performance 🔥🙌 Kiwango bora zaidi tangu asainiwe na Simba SC na alikuwa bora wakati wote uwanjani. Utulivu wake ulikuwa mkubwa.
James Akaminko alihitaji dakika chache tu kuonesha daraja lake…! Ni ajabu sana kukaa benchi kwa wachezaji waliopo Azam FC…! Master Class performance ✊
Morice Abraham is just a Magic🙌 Ni gold inayotembea na kila touch yake ina ubora mwingi wenye kutoa tafsiri ya kipawa chake kikubwa.
Nassor Saadun!? Labda ni bora zaidi akitokea pembeni kama leo…! Alikuwa maswali magumu kwa Kapombe na hakukuwa na jibu hata moja…! Bravo performance 🔥✊ Si ajabu wanampa Man of the Match baadhi.
Feisal always…! Anashiriki kutatua matatizo mengi tu
Wanafungwa ndani na nje…! Watapumzika AFCON kisha wakisogeza tu uso watajikuta kwa Esperance kule Tunisia kujiokoa na Tohara la Kikurya…! 😀 Mwaka wa shetani.
Wasalaam!
FT’ Simba SC 0 vs 2 Azam FC
@nazareth_upete
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Cristiano Ronaldo anafikiria kuondoka kwenye Ligi Kuu ya Saudi msimu ujao. Ronaldo kwa mujibu wa ripoti yuko tayari kulipa kifungu cha euro milioni 50
zilizo kwenye mkataba wake na kuondoka Saudi kutokana na kile anachoona kama upendeleo kwa Al-Hilal. Ronaldo anasemekan...
Issookkeey…! Unaelewa kwa nini Pantev hakuwa anataka kutumia mastraika kwenye michezo yake!?
Mechi yenye reaction bora mno kwa Ibenge…! Kipindi cha kwanza ni Simba walikuwa butu kumfunga na Azam walikuwa dhaifu na ilionekana muda wowote watafungwa. Kipindi cha pili kilikuwa HATARI 🔥
Simba SC wana shida kuliko PANTEV au Matola…! Timu inafungwa kwa sababu wanakosa magoli rahisi ya kufunga, wana kundi la wachezaji ambao pale mbele wanastahili mabadiliko haraka!
Azam FC leo kabadilika mno…! Hawakuwa na kiwango bora kwenye ligi lakini dakika za kipindi cha pili ni ndoto ya Ibenge na Azam FC. Walivyocheza juzi na kipindi cha kwanza walikuwa wana sababu elf za kufungwa! SUBS zao ziliua mechi 🔥🔥 TOP
Wilson Nangu...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/issookkeey-unaelewa-kwa-nini-pantev-hakuwa-anataka-kutumia-mastraika-kwenye-michezo-yake