Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MICHEZO YA WANAWAKE(WOMEN MIND GAMES) AMBAYO UNATAKIWA UIJUE KWENYE MAHUSIANO ILI USIINGIE MKENGE.
Gonga94 · Stories

MICHEZO YA WANAWAKE(WOMEN MIND GAMES) AMBAYO UNATAKIWA UIJUE KWENYE MAHUSIANO ILI USIINGIE MKENGE.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

1. Wanaume wengi wamejikuta wakiingia katika kumi na nane za wanawake na kujikuta wakinaswa na mitego ya wanawake.

2. Mwanamke unapoingia naye kwenye mahusiano Hasa ha kimapenzi lazima akuchezee mind games(michezo ya akili) kama sehemu ya mitego ya kukunasa.

3. Wanaume wengi wamejikuta wakifeli mapema Kabisa. Na hapo ndio wanawake huwashinda akili wanaume wengi na kuwatawala.

4. Mwanamke akishakuchezea mind games ukafeli huwezi kumtawala tena. Yeye ndiye anakutawala. Wewe ni kirunguyeye tuu Mdogo mwenye miiba lakini huwezi kuitumia kama silaha.

5. Moja ya dalili mwanamke amekushinda kwenye Mind games na unatawaliwa na mkeo au mwanamke, ni kama pamoja na na dalili zifuatazo;
a) Anauwezo WA kukupimia na kukupangia kufanya mapenzi/ngono.
Mwanamke akishakuzidi akili na akikutawala utajua kwenye kukupimia michezo ya kitandani. Mwanaume mwenye akili na mtawala hapimiwi. Na hapohapo halazimishi. Yaani mwanamke anajileta mwenyewe na anatamani umuombe. Ukiona mwanamke anakuringia kwenye ngono ujue mitego yake na mind games alizokuchezea ulifeli.

b) Anajiamulia Mambo bila kumpa ruhusa.
Yaani unashangaa tuu kafanya, mara kakopa Sijui manini huko, haombi ruhusa. Hana haja ya kufanya hivyo Kwa sababu Siku zote mtawala haombi ruhusa. Kikawaida wanawake hujua wanaume watawala wasiotaka mchezo linapokuja suala la heshima na mamlaka ndani ya nyumba. Na yeyote anayeenda kinyume na kanuni anafukuzwa bila kusita bila kujali.

c) Anasikiliza wanaume au watu wengine kuliko wewe.
Mwanamke wako lazima akusikilize wewe iwe Kwa hiyari au kwa nguvu. Hawezi fukuza. Moja ya dalili mkeo amekushinda akili na ulifeli mind games zake ni kutokukusikiliza. Alishakupima akaona huna utakachofanya, huna lolote, huna mamlaka yoyote. Si chochote sio lolote.
Kwa Sisi Watibeli mwanamke asiyekusikiliza hapaswi kuwa mkeo hata kwa masaa 24.

6. Zipo sifa na dalili nyingi lakini kutokana sio mada Leo Acha niendelee na michezo ya wanawake ambayo unatakiwa uijue na uweze kuidhibiti ili mambo yako yaende sawasawa.
Kama ifuatavyo;

a) Mbinu ya Silent Mode. (Kujikausha)
Wanawake sio kwamba hawapendi, sio kwamba hawavutiwi na wanaume. Sio kwamba hawawezi kuchat na wewe. Nope!
Wanaweza. Ila wanatumia mbinu ya Silent mode au silent treatment kukuchezea akili yako.
Unakuta hakutafuti. Anataka uwe wa Kwanza kumtafuta.
Ukimtext anachelewa kujibu.
Anajifanya yupo busy ati hatakuwa na muda.
Huo wote ni Utapeli.
Lengo la Mind game hii ni kukufanya wewe mwanaume uwe mfuasi wake, umfukuzie, uwe kama mkia wake badala ya kuwa kichwa. Wanakutengenezea kitu inaitwa Chasing behaviour na wasiwasi.

Usimtafute kama hakutafuti. Kuwa busy na KAZI zako.
Usimtumie tumie text, pia usitume meseji ndefu.
Kumbuka huo ni mtego.
Asije kukudanganya unavyomtafuta mara kwa mara ndio unaonyesha Nia na kuwa upo serious nope! Watibeli hatufanyi hivyo.

Mtongoze, akikuambia yupo busy mwambie fresh, akimaliza akutafute. Kata simu tafuta mademu wengine zaidi na zaidi. Hii ni Kwa wanaotafuta wachumba. Usiwe na mwanamke mmoja kama hujaoa. Tena mwanamke huyo hajitambui na anataka umtafute tuu yeye. Au anachelewa kujibu text. Watibeli hatufanyi hivyo. Kuwa na Wanawake Lundo na usione aibu Kwa sifa hiyo. Asiyetaka akae pembeni.

b) Wanavuka Mipaka kimakusudi kukupima.
Mind games nyingine wanayotumia wanawake hasa mwanzoni NI kukuvunjia heshima kidogo kidogo kupima unajielewa, kujitambua na mamlaka yako unaweza kuitetea au kuilinda Kwa kiwango gani.
Anaweza kukuonyesha dharau, kuongea shit, au kuchelewa appointment mliyowekeana. Usikubali.
Mmeagana mnakutana saa 12 jioni iwe 12 jioni ikizidi labda dakika tano au kumi hivi. Tofauti na hapo hizo ni dharau. Cancel hiyo appointment. Mwambie Una mambo mengi ya kufanya. Usikubali kuvunjiwa heshima yako hata kama ni kitu kidogo. Hakikisha from beginning ajue wewe ni MTU unayemind vitu anavyoviita au ambavyo wengi wanaviita vidogovidogo.

C) Kutafuta Uhakikisho (Validation Fishing)
Hii ni tabia ya mtu kutoa malalamiko ya kificho na kijanja au kuonyesha kutokujiamini ili uweze msifia.
Mfano:
“Nahisi sifai…”
“Labda hunipendi tena…”
Lengo si kutatua tatizo, bali kuvua maneno ya kumbembeleza, kumtukuza, kutaka kumthibitisha yeye ni zaidi yako, kukuona kuna majukumu huyafanyi ipasavyo.

Wakati wewe muda huo unahangaika na unapambana kutimiza wajibu wako kama mpenzi au mume wake.
Msikilize Kwa utulivu. Usitake kutumia nguvu kubwa kuthibitisha chochote kuonyesha wewe ni mwema. Mwambie Kwa kifupi umemwelewa na utafanyia kazi hoja zake. Kama anatabia ya kulaumu laumu. Mwambie asikusumbue kama hayawezi aondoke. Hapo utaongea kama mtawala na sio kama Mwenza.
Familia inaendeshwa Kwa Utawala na Upendo. Lazima kuwe na uwiano.

d) Kusifia Wanaume wengine Mbele yako Makusudi.
Hii ni mind games ambayo wanaume wengi hufeli. Wanawake huweza kujifanya wanamuelezea mume wa Rafiki yake jinsi alivyo muwajibikaji. Akamsifia wee. Lengo lake ni kupima na kupandisha kiwango cha wivu wako.
Ukishafeli ukaonyesha wivu lengo lake la pili ni kuku remote ufanye anachotaka kwani utataka Ku prove wewe NI mwanaume Bora kuliko wanaume wengine.
Kufikia hatua hiyo UMEFELI Mtihani na umeshindwa mind game na mwanamke.

Hutakiwi kuwa na wivu au tuseme hupaswi kuonyesha wivu Kwa mkeo au mpenzi wako. Hilo ni kosa ambalo wanaume wengi wanalifanya. Wivu ni kiashiria upo controlled. Huwezi zuia mihemko yako.
Akisifia mwanamke mwingine, wewe mwambie aende kwa hao anaowasifia. Mwambie Siku nyingine akirudia kusifia wanaume wengine utampeleka wewe mwenyewe Kwa hao wanaume akakae huko. Au utamundoa hapo. Kisha kata hiyo mada leta Stori nyingine.

e) Kukusifia na kukujaza sifa za kijinga ili akutumie.
Wanaume wengi wamegeuzwa misukule na watumwa na wanawake Kwa kuzidiwa akili na wanawake. Mind games za wanawake hasa hii ya kukujaza sifa za kijinga ili uingie kwenye mfumo wa utumwa wanaitumia Sana.
Mfano, Wanakuambia mwanaume lazima utoe pesa, alafu anakupiga msumari. Unatoa. Chali. Unatoa elfu 50 Kwa demu wakati hujawahi kununua hata kiatu chako cha elfu 50. Wewe kama Sio chizi ni nani?

Anakusifia wewe ni mtoaji mzuri, wewe ni jembe, kumbe anakuona huna akili.
Hakikisha mwanamke anakuona unapenda pesa kuliko unavyompenda Yeye. Unapenda KAZI yako kuliko yeye. Hiyo ni kanuni.

Wanawake huwasifia wanaume insecure yaani wanaume wasiojiamini. Wasioamini uanaume wao. Kwamba uanaume wao unathibitishwa na maneno au kauli za wanawake.

Mwanaume anayejielewa huwezi kujazwa sifa na wanawake kijingajinga.

Mtego wa kukusifia na kukujaza ujinga lengo lake ni kupima kujiamini kwako. Kama unajiamini huwezi zichukua hizo sifa kwani unajua zipo intentionally.
Anaweza kukuambia, Juma wewe ndiye mwanaume SASA embu ninunulie Bia hapo. Lengo la kukusifia ni ili akupige kibomu. Kwa Sisi Watibeli hatutoagi pesa Kwa vipimo vya wanawake wajinga wanaotumia vipimo vya kitoto.

Kukupa pesa au kukununulia kitu haihusiani na uanaume. Hizo ni akili za wasiojiamini au wenye upeo Mdogo.

f) Kukuchokoza Kihisia (emotional provocation)
Anaweza kukutegea mtego Kwa kukuchokoza au kukukejeli ili kujua akili yako inavyofanya kazi. Je unaweza kudhibiti mihemko yako?
Usipende kugomba gomba, kubishana na wanawake, kuwatukana.
Ukishaanza kutukanana na mwanamke jua umeshaingia kwenye mfumo wake. Ashashinda mins game hiyo
Wanawake hupenda attention. Unapotukanana naye tayari umeshampa attention yako. Umeonyesha kujali.

Njia sahihi ni kukaa kimya,
Kuondoka na kuondoa mazoea,
Kuwa mbali na mwanamke huyo,
Kutompa nafasi wala kumsaidia,
Kutoonyesha kutomjali, n.k.

Kufikia hapa wazee sina la ziada.
Kwa makala Kali njoo WhatsApp channel Yangu kisha follow bonyeza haps 👉🏼👉🏼👉🏼https://whatsapp.com/channel/0029Vb278CM2P59fD18MyJ01

TaikonMaster
Kwa sasa Dar es salaam
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MICHEZO YA WANAWAKE(WOMEN MIND GAMES) AMBAYO UNATAKIWA UIJUE KWENYE MAHUSIANO ILI USIINGIE MKENGE.


1. Wanaume wengi wamejikuta wakiingia katika kumi na nane za wanawake na kujikuta wakinaswa na mitego ya wanawake.

2. Mwanamke unapoingia naye kwenye mahusiano Hasa ha kimapenzi lazima akuchezee mind games(michezo ya akili) kama sehemu ya mitego ya kukunasa.

3. Wanaume wengi wamejikuta wakifeli mapema Kabisa. Na hapo ndio wanawake huwashinda akili wanaume wengi na kuwatawala.

4. Mwanamke akishakuchezea mind games ukafeli huwezi kumtawala tena. Yeye ndiye anakutawala. Wewe ni kirunguyeye tuu Mdogo mwenye miiba lakini huwezi kuitumia kama silaha.

5. Moja ya dalili mwanamke amekushinda kwenye Mind games na unatawaliwa na mkeo au mwanamke, ni kama pamoja na na dalili zifuatazo;
a) ...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/michezo-ya-wanawake-women-mind-games-ambayo-unatakiwa-uijue-kwenye-mahusiano-ili-usiingie-mkenge

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi michezo-ya-wanawake-women-mind-games-ambayo-unatakiwa-uijue-kwenye-mahusiano-ili-usiingie-mkenge
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

609
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

552
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

431
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

396
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

338
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

70
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

59
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

46

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

*REALLY LOVE  💕💕💕* *1-5* Post Mpya
*REALLY LOVE 💕💕💕* *1-5*
@majario LIVE

*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake ambaye alikuwa amelala """""ah babe nimechoka"""" mpenzi wake huyo aitwae seven alijibu kiuchovu sana...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 16 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Nikawa Sina budi kukubali nilivokumbuka ndoto ya Jana nikaogopa asije Freeman akafa kwasababu yangu Mimi, nilivokubali yule baba alifurahi akataka Hadi kunibeba ingawa alikuwa Hana nguvu akaniambia twende sasa na...

MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
@majario LIVE

Basi zai ndo wa kwanza akanambia we mbona umevimba macho ulikuwa unalia.nikasema.ndio kuna mtu kamwmabia kaka kuwa mimk.natembea na zayd ule mda nimekuja kukufata ww. Prisca akasema hao ni...

MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
@majario LIVE

Nikasema.achana nae bwana wala hana cha maan . Mi nimemwambia tu kuwa simtaki na asinifatilie mana atakuja kuniletea matatizo. Basi shoga akanambia sawa. Basi mie nikawa busy na mambo ya...

MY WANGU❤️ sehemu ya 58 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
@majario LIVE

Mh zayd. Akasogea mpka nilipokaaa na yeye akavuta kiti akakaa karibu yangu. Ila uzuri tu ili darasa lilikuwa halina ata. Mtu. Akanambia eeh , ina maana faridah hukusikia salamu yangu....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest