Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

🥺🥺 *MKAKA KAUZU HUYU JAMANI* *1-5*   *SEHEMU YA KWANZA*  Call me Anaya, last born kwenye familia ya watoto wanne uku wanawake tukiwa wawili na wanaume wakiwa wawili.
Gonga94 · Stories

🥺🥺 *MKAKA KAUZU HUYU JAMANI* *1-5* *SEHEMU YA KWANZA* Call me Anaya, last born kwenye familia ya watoto wanne uku wanawake tukiwa wawili na wanaume wakiwa wawili.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺

Aaaah Nyumbani kwetu Bwana Pesa ipo, Yaani maisha ni shwafiiii na salama kabisa, makuzi yangu Nimekuwa nikiwa ni Binti Fulani hivi, Mtulivu sana, Binti ambaye sipendi mambo Mengi Mengi, na hali hii ilipelekea mimi kukosa ata marafiki.

Sio kwamba sikuwa na marafiki kabisa hapana, Yaani nilikuwa nao lakini sio wale wa kusema ni wa kufa na kuzikana marafiki nilikuwa nikakutana nao shuleni, na ata chuoni kipindi ambacho mimi nilikuwa nikisoma chuoni.

Nyumbani kwetu tumelelewa kwenye maadili mema sana, lakini pia Nyumbani kwetu kuna taratibu zake ambazo kila mtu lazima azifuate.

Kati ya karatibu ambazo baba yangu Aliweka moja wapo ni hii ya kutokutoka Nyumbani mpaka uolewe au uowe, kuna muda nacheka sana Naona sasa kama hatutakuja kutoka hapa Nyumbani, Kaan mpaka sasa watoto wote wanne tupo tu hapa Nyumbani na imagine mpaka dada na kaka zangu ambao ni wakubwa tu bado wapo Nyumbani.

Anyway najua mnataka kujua mambo Mengi sana lakini sitaki kuzungumza sana wacha niwape kisa changu na kaka kauzu

Ikiwa ni siku yangu ya kwanza kazini, Kama kawaida Anaya Mini Binti wa kupenda kupendeza, nilipigilia mavazi yangu vizuri kabisa, Ka wigi kangu pambe kabisa, pochi moja Kali sana ambapo nakumbuka hiyo pochi nilipatiwa na kaka yangu Kama zawadi kwenye kumbukumbu ya siku yangu ya kuzaliwa.

Nilifika ofisini na kama kawaida Mimi ni introvert Jamani, Yaani muda wote nataka Kuwa Mwenyewe tu, siwezi kujichanganya na watu kabisa.

Nilifika kazini na kwa aibu sana nikamsogelea Mdada wa mapokezi na kumsalimia.

"Za asubuhi dada....."

Dada huyo ambaye alionekana Kuwa na dharau ya hali ya juu, aliniangalia kwa kuninyali na kuniuliza.

"Unataka nikusaidie nini??"

Nilimuangalia na kuzungumza kimoyomoyo.

"Sasa unanilingia nini na upo kwenye position ya kupokea wageni Binti? Ona na kope zake Kama fagio la shughuli ya fagia uwanja"

"Kwahiyo haijui umefata nini au?"

Mdada huyo wa mapokezi aliniuliza uku akiniangalia kwa dharau ya hali ya juu.

"Naitwa Anaya mi mfanyakazi Mpya hapa, aaah nimezungumza na boss amesema nikifika nizungumze na wewe ili unioneshe ofisi yangu"

"Sina taarifa zako Binti "

Alijibu mdada huyo kisha akaendelea na kazi yake.

"Unauhakika?"

Nilimuuliza ili kupata Uhakika wa Maneno anayozungumza.

"Sina taarifa zako msichana Mbona uelewi wewe jamani, sikiliza Saa hizi ni asubuhi na sitaki uniharibie siku yangu kabisa, Sina taarifa yoyote ile kuhusu wewe, unaweza kwenda nje "

"Jamani, Mbona nimeongea nae nikiwa hapo nje tu inakuwaje unasema hauna taarifa zangu"

Kabla secretary huyo ajajibu kitu, muda huo huo sauti ya boss ikasikika ikiita Jina langu.

"Ooooh Anaya, Karibu sana"

Niligeuka nikiwa na tabasamu pana sana nikiwa na Lengo la kumwambia mambo ambayo secretary wake amenifanyia maana wananiona Mimi Kama matako Yao-

Lakini kabla sijafanya kitu chochote kile, secretary akazungumza akiwa na tabasamu pana usoni mwake.

"Anaya, Karibu sana, wacha nikakuoneshe sehemu ambapo ofisi yako ipo

Kwanza nikimgeukia na kumuangalia.

Aaaah niwaambie kitu my zangu, Mimi ni mtu mmoja Mtulivu sana lakini ni mtu ambaye najua sana kujitetea, Yaani sijaawai Kuwa mnyonge kabisa.

muda huo huo Nikadakia.

"Vipi umenikumbuka baada ya boss kufika au ?"

Mdada wa watu akajikuta akishtuka san boss akaniangalia na kuniuliza.

"Kwani kuna nini?"

Chizi Mimi sasa Nikamuangalia secratry wa watu ambaye kwa muda huo alikuwa akitililikwa na jasho tu la uwoga.

"Aaaah huyu

Kabla sijamaliza sentence yangu, gafla akatokea..........

*SEHEMU YA PILI*

Gafla akatokea msichana mrembo sana na moja kwa moja akaenda kumkumbatia boss na kwa sauti ya kudeka na nyororo kabisa akazungumza.

"Oooooh daddy jamani, I missed you

"I miss you too dota, umekuja Saa ngapi"

Kabla msichana huyu ajajibu swali aliloulizwa na baba yake, akanigeukia mimi na kuniambia.

"You are so beautiful girl"

Weeeeh unacheza na kusifiwa wewe, nilijikuta nikitabasamu kWa aibu tu uku nikiangalia chini.

"Aaaah mi mfanyakazi Mpya hapa ofisini anaitwa..........

Kabala sijamalizia kutaja Jina langu boss akadakia...

"Aaah flora, Twende ofisini tutaongea, lakini huyu ni mfanyakazi wetu Mpya anaitwa Anaya"

"Nashukuru kukufafahamu Anaya

Alizungumza msichana huyo ambaye nilimjua kWa Jina la flora lakini pia nilijua Kuwa ni Mtoto

wa boss, Walahi kuna watu Wala awalingi, imagine flora ana kila sababu ya kunivimbia lakini amenipokea kwa raha mustarehe halafu kuna Huyu Mdada, mjinga mmoja tu wa kupokea wageni anaanza kunivimbia pasi na kujua Mimi

ni Nani kiundani undani.

"Naomba unioneshe ofisi yangu ilipo"

Nilimwambia Mdada wa mapokezi, Mdada huyo akaniangalia kwa dharau sana lakini mwisho hakuwa na chaguo zaidi ya kunipeleka ofisini kwangu.

Majila ya saa 4 asubuhi, ulikuwa ni muda wa kwenda kupata kifungua kinywa lakini sasa, na hivi nilikuwa mgeni, nilijikuta nikikaa tu ofisini. sikuwa ata najua naanzia wapi namalizia wapi.

Nikiwa bize ofisini naendelea kupitia baadhi ya taarifa ambazo zilikuwa ni muhimu sana kwa upande wangu, gafla flora akaja, aaaah huyu Bwana ni Mtoto wa boss nawakumbusha Tena

kwa Mara nyingine.

"Binti Mbona utoki nje kwenda kula ni muda wa kifungua kinywa huu"

Alizungumza flora akiwa amenichangamkia sana mpaka Mwenyewe nikaanza kujisikia raha.

"Oooooh nilikuwa ata Sijui Naanzia wapi namalizia wapi "

"Aaah usijali Mimi ndio mwenyeji wako kWa sasa Sawa? Nyanyuka hapo"

Kwa haraka nikaweka kila kitu changu Sawa kisha huyo mimi na flora tukatoka nje kwaajili ya kwenda kupata chochote kitu..

"Yaani unajua sichoki kukuangalia Anaya "

Alizungumza flora muda huo Mimi Na yeye tayali tulikuwa tukipata kifungua kinywa, nilimuangalia kWa muda na kumuuliza.

"Kwanini uchoki kunitazama ?"

"Wewe ni mrembo sana. Sawa nimekutana na watu wa zuri Mara nyingi, nimekutana na watu wanavutia kuliko kawaida, lakini kuna Namna unavutia sana Walahi"

"Asante sana, Ila ata wewe ni mzuri sana"

Aaaaah flora ni msichana Fulani powa sana, ambaye ilinchukua muda mfupi Mimi kumuelewa lakini pia kuitaji awe Rafiki yangu.

Tukiwa tunaendelea kupata kifungua kinywa na kupiga story Mbili Tatu, gafla simu ya flora ikaita. haraka akapokea na kuzungumza na alipomaliza tu akaniambia.

"Patina wako amefika"

Kwanza nilishtuka na kumuuliza.

"Partiner "

"Ndio partiner wako, mtu ambaye upо пае kitengo kimoja, lakini pia mtakuwa mkishare ile ofisi kwani baba hakukuambia ?"

"Ameniambia lakini hakuwa amefafanua vizuri sana"

"Oooooh usijali, si unajua kampuni ni kubwa sana hii na kwenye upande wa Pesa awezi Kuwa mtu mmoja hivyo Utakuwa wewe na kaka yangu

Weeeeh kwanza nilishtuka na kwa sauti ya mshtuko wa hali ya juu nikamuuliza.

"Kaka yako?"

"Ndio kaka yangu

"Yaani partiner wangu ni mwanaume ??"

Nilimuuliza kWa Mara ya pili Tena kwa msisitizo wa hali ya juu.

"Ndio Mbona Kama umeshtuka sana kuna shida wewe kufanya kazi na mwanaume ?"

"Hapana"

Nilijibu uku nikijichekesha tu maana yoooooh Sijui niwaambie nini lakini mwanaume

ambaye mimi naweza kukaa nae ni kaka zangu. tu na baba yangu, Yaani Mimi sijawai ata Kuwa na mahusiano Yaani Nipo Nipo tu Kama Sipo

"Haya turudi Ndani shoga Angu

Alizungumza flora kisha kwa pamoja tukanyanyuka na kwenda Ndani, muda huo mapigo yangu ya moyo yalikuwa yakienda kasi sana, nilikuwa naweza nawezaje mimi kufanya

kazi na huyu kaka.

Hatimaye tulifika ofisin kwangu nyieeeeh macho yalinitoka baada ya kumuona huyo mkaka.

"Weweeeeeh"

Alishtuka mkaka huyo baada ya kuniona Mimi.

Je Kwanini ameshtuka kiasi hiko. ? Tukutane sehemu

*SEHEMU YA TATU*

Mkaka wa watu alijikuta akinyanyuka kabisa kwenye kiti na kubaki akiniangalia

My zangu iko hivi, Mimi na huyu mkaka hii sio mara ya kwanza tunakutana, Mara ya kwanza, niliwai kukutana nae chuoni Tena library, Mimi nilienda kwaajili ya kusoma Vitabu na yeye pia Nilimuona akisoma KITABU, sasa Bwana siku hiyo Mimi na mkaka huyu tulichukua vitabu Sawa pasi na mimi kujua, kuna muda nilitoka na kwenda kujisaidia uwani na niliporudi kwenye meza ambayo niliacha vitu vyangu kWa Bahati mbaya KITABU changu sikukikuta, katika kupepesa macho uku na uku ndio nikakiona kWa huyo mkaka hivyo pasi na kujiuliza Mara Mbili Mbili nikamsogelea na kwenda kumpokonya KITABU chake.

Mkaka wa watu alijitaidi sana kujielezea lakini kwa upande wangu sikumuelewa kabisa ikafikia hatua nikamtandika na kibao kabisa Tena mbele za watu, mkaka wa watu akaacha KITABU na kuondoka zake

Baada ya kujua Kuwa nimemkosea na mtu ambaye alichukua KITABU changu kujitokeza, kilijitaldi kumtafuta kwaajili ya kumuomba msamaha lakini sikuweza kumuona na hatimaye.

Leo nakutana nae hapa kwenye ofisi ya baba yake mzazi na Nimekuja hapa kama mfanyakazi

"Mnajuana au?"

Flora alituuliza, kwa haraka Nikadakia.

"Na Nani? Akuuuh Simjui mtu

Flora akatuangalia kwa muda kisha akaendelea.

"Anyway jamani, aaah kaka Frank, huyu anaitwa Anaya, ndio partner wako ambaye baba amekuandalia

Kisha flora akanigeukia mimi na kunitambulisha pla

"Anaya, huyu ni kaka yangu anaitwa frank, lakini pia ni partner wako kwenye kazi yako hii Mpya, niwatakie kazi njema"

Alimaliza flora kisha pasi na kupoteza muda akatoka zake nje na kutuacha Mimi na frank.

"Utaendeelea kusimama au?"

Frank aliniuliza baada ya kuona nimesimama tu na Ninamshangaa Kama Nimeona kitu cha ajabu vile.

"Aaaah, eeeeh"

Nilibaki nikijichekesha tu kisha huyo nikasogea kwenye meza yangu na kukaa.

"Nafurahi Kuwa partner wako"

Nilimwambia frank uku nikiwa na sauti ya wasiwasi sana maana yoooh, ni aibu kwakweli, Imagine mtu umemkosea halafu Leo hil mambo yanakuwa Kama hivi Yalivyo.

"Ebu sogeza kiti chako hapa kuna mambo muhimu ya Kukuelekeza

Alizungumza frank ambaye kwa muda huo

mfupi niligundua kuwa ni mkaka Fulani hivi

ambaye nikauzu sana Tena sana, Yaani Sijul niwaambie kitu gani lakini frank ni huyu mtu wa sicheki na yeyote Yaani shoga yenu nimeyakanyaga siku ya kwanza kazini

Basi nikiwa na utulivu wa hali ya juu nikasogeza kitu yangu na nikakaa Karibu na kiti cha frank na moja kwa moja tukaanza kufanya kazi

Hatimaye muda wa kurudi Nyumbani ulifika

sasa Picha linaanza muda umefika lakini frank yuko bize tu na kazi ya kunielekeza yaani ashtuki kabisa Kama ni muda wa kwenda Nyumbani, kWa wakati huo nilikuwa nimeshachoka sana tu lakini nilikuwa nikiogopa ata kumwambia

"Hapo Sijaelewa"

Nilizungumza ikiwa ni sehemu ya kutaka kumjulisha Kuwa muda wa kwenda Nyumbani umefika, frank akaniangalia na kuzungumza.

"Nilijua tu Kama hautanielewa maana nakuelekeza hapa lakini akili yako haipo na Mimi ata kidogo Una shida gani kwani ?"

"Aaah hakuna"

Nilijibu kwa sauti ya chini..

Muda huo huo flora akaingia kwa bashasha la kutosha na kuzungumza.

"Eeeeh kwani ninyi hamuondoki au? Ebu fungeni Bwana Twendeni "

Hapo kidogo niliona sasa muda wa mimi kwenda Nyumbani ndio huu, lakini gafla frank akadakia.

"Kuna kazi kubwa sana hivyo tutaendelea Kuwa hapa"

Weeeh macho yalinitoka Nikabaki nikimuangalia tu frank ambaye kwa muda huo nilikuwa namuona Kama mchawi hivi.

"Eeeh frank nawe, ndio kwanza siku ya kwanza Leo kwa Anaya Kwanini unataka kumuweka muda mrefu si mtaendelea kesho tu

Frank akanyanyua uso wake na kumuangalia kisha akaniuliza.

"Umechoka unataka kuondoka au ?"

my zangu Ebu mje mnisaidie kupata. confidence jamani Mbona kama Mdomo umegoma kuzungumza mbele ya huyu kaka, nilijikuta nikibaki nikiwa nimemtolea macho tu

Kama mjusi aliyebanwa na mlango.

"Kama kumechoka unaweza kuongozana na mwenzio mkaondoka"

Alizungumza frank akionesha Kuwa na hasira. kwa kiasi Fulani hivi., Nikamuangalia flora na kwa sauti ya sitaki nikajibu.

"Aaaah flora Mimi bado Nipo naitaji kufanya kazi kwanza hata hivyo Sina cha kufanya uko Nyumbani"

"Haya muwe na jioni njema wacha nimuwal Mtoto wangu"

Alizungumza flora kisha akaondoka.

"Kwani flora ana Mtoto?"

Nilimuuliza frank pasi na kutalajia.

"Ajafika mbali fungua mlango umfate. ukamuulize" Alijibu frank akiwa serious kabisa.

Ila ill likaka nalo jamani, Sawa nimewal kumkosea ndio anifanyie mambo Kama hivi jamani si kunitesa uku Mtoto wa mwenzie

*SEHEMU YA NNE*

Frank akanyanyuka kwa hasira akanyanyua kila kilichokuwa cha kwake kisha akaondoka pasi na kuniaga.

"Huyu nae Chizi nini sasa hizi hasira anamuoneshea Nani? Limenikela mimi, kwanza nafurahi Kuwa ata niliwal kukupiga kibao mbwa wewe"

Nilizungumza kimoyomoyo kisha nikaanza kukusanya vitu vyangu tayali kwaajili ya kuondoka

Nikiwa naweka baadhi ya vitu vyangu kwenye pochi, gafla frank akafungua mlango na kuzungumza.

"Utalala hapa hapa au?"

Haraka nikanyanyua pochi yangu na kutoka nje kwa mwende wa kukimbia, Ila huyu kaka Ndani

ya siku hii moja tu amejua kuninyoosha, nilijikuta nikiwa ni mtu Mwenye hasira sana hivyo nilivyotoka tu kwenye chumba cha ofisi moja kwa moja nikatoka nje kwaajili ya kwenda kutafuta usafiri maana sikuwa Nimekuja na gari kwa siku hiyo ya kwanza.

Nikiwa bize naendelea kuangalia Namna ya kupata usafiri wa kwenda Nyumbani, gafla frank akatokea na kuzungumza.

"Kuna email Nimekutumia WhatsApp utaipitia na uhakikishe unaifanya Leo ili kesho tuipeleke sehemu husika"

Frank hakusubili ata jibu langu zaldi alishika njia na kutaka kuondoka nikajikuta nikijibu.

"Me sifanyi nimeshachoka

Frank akarudi nyuma na kuniuliza.

"Umesemaje?"

"Sijasema kitu Mimi"

Nilijibu kwa kujiamini sana maana niliona huyu kaka tayali anaanza kunipanda kichwani mimi. "Tutaonana kesho "

Alizungumza frank kisha akasogea kwenye gari yake na kupanda na pasi na kunifikilia Mimi akaondoka zake.

"Lione kwanza limeniweka mpaka muda huu halafu ata kunipatia lifti ameshindwa "

Nililalamika, lakini mwisho nikapata usafiri na nikaondoka Nyumbani.

Hatimaye mwezi mzima uliisha uku nikiendelea Kuwa mfanyakazi kwenye ofisi hiyo ambayo changamoto yangu kubwa ilikuwa ni huyu frank, Yaani huyu mkaka alijua kuniendesha Mtoto wa mwenzie, kuna muda nilikuwa naona Kama anafanya makusudi lakini kadri siku zilivyoenda nikaanza kujua Kuwa ndio tabia zake.

Frank ni mwanaume ambaye yuko bize na kazi, Yaani hana ata mambo na watu, ni Kama Mimi tu lakini bora Mimi kwa sasa nina Rafiki yangu ambaye ni flora, Yaani Mimi na dada wa frank tumekuwa ma bff kabisa na kuna Namna naona kabisa life style yangu imebadilika kwa asilimia kubwa sana.

My zangu Naomba niwakumbushe Kuwa Anaya Mimi sikuwai Kuwa na mahusiano katika ukuaji wangu wote huu, lakini pia Mimi ni Bikra kabisa, Yaani bikra Sijui Kama mnanielewa lakini, sijawai ata kushikwa nyonyo na mwanaume na hii ni kutokana na life style ambayo Nimekuwa nayo.

Kitu kingine ni kwamba, ni Kama akili yangu imeanza kumfikilia sana frank ambaye kWa muda huo tayali nilikuwa Nikimuita kaka kauzu pasi na yeye kujua.

Kuna Namna nilianza kumuwaza frank mpaka Mimi Mwenyewe nikawa sijielewi kabisa, Imefikia hatua nimeanza ata na kumuota mwenzenu

"Hivi frank kwenye Social media unatumia Jina gani?"

Nilijitosa na kumuuliza frank, muda huo akili yangu ilikuwa inawaza kupata Picha za frank tu ili niwe namuangaliaga tu

Frank akaniangalia na kunijibu.

"RK COMPANY"

Nilimuangalla kisha Nikatabasamu na kumwambia.

"Hiyo si account ya ofisi jamani, nataka account yako binafsi "

"Nina account ya ofisi tu

Alijibu frank uku akiendelea kufanya kazi zake.

"Kwahiyo wewe hauna account za social media ? Yaani wewe ata instagram tu Hauna ?"

"Account muhimu kwangu ni ya bank tu, hizi zingine sio mambo yangu kabisa"

"Kwanini sasa?"

Frank akaniangalia na kunijibu.

"Endelea na shughuli zako Binti Mdogo usianze kunizoea"

Kuna Namna nilijisikia raha sana vile ambavyo ananijibu hivyo nikajikuta nikiendelea kupata nguvu ya kumuuliza na kumchokoza.

"Ni Kama unaishi kwenye miaka ya 70 uko nyuma

"Anaya toka nje"

Frank alınifokea aliona ni Kama naanza kumpanda kichwani hivi.

"Lakini nakuambia ukweli, sasa hivi tupo kwenye ulimwengu wa digital lakini mwenzetu Sijui unaishi dunia ya peke yako hivi"

Frank akaniangalia kisha akasogea kwenye meza yangu na kunisogelea Karibu kabisa kisha akaniuliza.

"Kwani umetumwa kuja kunikela siku ya Leo au 7

"Wala Mimi Leo nimejitolea tu kuongea na wewe, unajua frank umekuwa mkimya sana na ni Jambo ambalo sio zuri kabisa kwa upande wako"

"Kumbe"

"Ndio Yaani unatakiwa kujichanganya na watu, aswa kwenye social media utainjoy sana"

Ila nyieeeehh upwiru na ku fall in love sio Jambo zuri kabisa, imagine Leo hii Mimi ndio najiongelesha kiasi hiki kwa frank si aibu hili.

Frank wa watu akaniangalia kwa kunisogelea Karibu kabisa kisha akataka kuondoka, shoga

yenu sasa Sijui ndio nilipagawa kwa wakati huo nilijikuta nikimvuta frank kwa nguvu kabisa na pasi na kupoteza muda nikajitosa na kuangukia kwenye kiss moja la kizungu.

Weeeh huyu kaka ni kauzu kweli kweli Walahi, alinisukuma kwa nguvu sana na pasi na kupoteza muda akanitandika kibao kimoja cha Shavu nika.......


*SEHEMU YA TANO*

Kitendo cha frank kunipiga kibao ni Kama ndio kliniamsha hivi kutoka kwenye ujinga mkubwa ambao nilikuwa nikiufanya, Walahi nilijikuta nikiona aibu sana lakini kwaajili ya kufunika aibu yangu, gafla tu nikaangua kilio na kuanza kulia

Frank Akaganda kwa muda akiniangalla mwisho akaniangalia kwa makini sana na kugundua Kuwa nilikuwa nalia ukweli ukweli maana machozi yalikuwa yakinitililika.

"Kumbe unalia kweli jamane"

Alizungumza frank uku akiangaika mimi niweze kumuangalia usoni

"Niache

Nilizungumza uku nikiwa na hasira na kumpushi. "Pole Kama nimekuumiza lakini Mimi sijapenda

ujinga ambao umenifanyia"

Alizungumza frank akimaanisha ujinga wa Mimi kumkisa Kama vile ambavyo nimefanya

"Auna lolote lia ulikuwa unalipiza kwakuwa niliwal kukupigaa kibao kipindi kile"

Hayo unayawaza wewe Anaya, Mimi

niiishapotezea kila kitu Wala Sina mawazo na ika kitu, yote kwa yote Naumba Nisamehe sana sikuwa nimekusudia kukupiga kibao kalma hivyo ni mkono wangu na hasira za gafla tu ambazo nikizipata

"Nimesema Niache"

Nilijikuta nikumfokea zaidi

Frank wa watu akajiangalla mwisho Kana mwanaume akaninyanyua kinguvu

kunikumbatia ili aweze kunituliza maana muda hue shoga yenu machozi yalikuwa Goja gaja, sro kwakuwa nilikuwa alinipigla Kibao, hapana Yaani

ilikuwa ni kuficha aibu ya kile ambacho

nilikifanya mbele yake.

"Ama sorry"

Alizungumza frank kwa sauti ya utulivu na nzito sana na hapo akazidi kunichanganya Anaya Mimi ukija kuchanganya na kukumbatiwa ndio

kabisa, nilijikuta nilitamani kuendelea kuegemea

vile vile kwenye six pack zake ambazo zilikuwa zimejipangilia vizuri kabisa mwilini mwake.

"Adhabu yangu kwa hiki nilichokufanyia ni

kukupeleka Nyumbani kwenu"

Alizungumza frank, kwanza nilishtuka kidogo na kumuangalia usoni, nyleeeh mapenzi nyoko nilisahau kabisa Kuwa nilikuwa kwenye

maigiza ya kulla gafla tu nikamuuliza.

"Ukweli au?"

"Yaaaah mtakupeleka ikiwa Kama ni sehemu yangu ya mimi kukuomba msamaha"

Nikamuangalia

vizuri

nikaatabasamu na kumwambia.

"Nimekusamehe Habibi

Kabisa

kisha

Nilijikuta tu nikimulta hivyo na frank pla

akatabasamu, saaah alayı nilijikuta nikijisikia raha ambayo sikuwai kufikilia ata siku moja Yaani Sijui niwaambie nini lakini nilijikuta

nikisikia raha sana Tena sana

Siku hiyo nilijikuta nikiwa bize kwenye kuhesabu masaa tu uku nikiwa makini kwaajili ya muda wa kwenda Nyumbani

Hatimaye muda wa kwenda Nyumbani ulifika na

Kama kawaida flora akaja ofisini kwaajili ya

kutaka kuongozana na Mimi.

"Aaaah flora tangulia tu kuna kazi Mimi na frank

tunamalizia"

Nilijikuta nikimdanganya flora ambaye Mara nyingi amekuwa akinipa lifti kwenda Nyumbani Ingawa hakuwa akinifikisha mpaka nyimumbani

kwetu.

Muda huo frank alikuwa akiniangalia kwa makini

sana wazi Kuwa hakuwa tayali kunipeleka Nyumbani ni vile tu alijiongelesha kwa muda ule.

"Haya jamani kazi njema

Alijibu flora kisha pasi na kupoteza muda

akaondoka zake na kuniacha Mimi na frank

"Kuna kazi gani ambayo unamalizia?"

Frank aliniuliza boada ya dakika Tano kupita

tangu flora aondoke.

"Hakuna Sina kazi tunaweza kwenda

Frank akaniangalia kisha akaniuliza.

"Kwahiyo fora ulimdanganya au? Na Kwanini undanganye si uwa anakupa lifti kila siku

"Kwahiyo unavurga ahadi yako ya kunipeleka

Nyumbani au

Nilimuuliza frank ambaye alibaki akirsiangalia na

kujisonya Sonya mwisho akaniambia.

"Kama hauna cha kufanya, weka.m vitu vyako

sawa tuondoke me utanikuta nje

"Kwahiyo umu Ndani unaniacha Mwenyewe au 7

Kama utaki kuongozana na Mimi Basi

Nyumbani kwetu nitaenda Mwenyewe

Ila Mimi jamani he attitude nimeltoa wapi jamani Mbona Kama nataka kuanza kumuendesha kaka wa watu ambaye alionesha

wazi kabisa Kuwa afurahishwi na ujinga ambao

namfanyia

"Anaya utanikuta nije usiniletee ujinga Mimi

Alizungumza frank kwa hasira kosha huyo

akatoka nje

Kwa upande wangu nilijikuta Kama mshindi hivi

nikiona Kuwa nimemuweza sana frank ambaye muda wote uwa anajifanyaga mwamba sana.

Basi nikakusanya kila kilichokuwa cha kwangu

kisha huyo nikatoka nje nikiwa na furaha Kama

yote

La haulaaaaaaaah nimeechwaaah mwenzenu

Imagine Yaani Natoka nje na gari ya frank

ndio inakata kona kuingia kwenye Mtaa wa pili, Yaani frank ameniona mimi kama Mtoto Mdogo

halafu ameniacha

"kaka jamani sasa ndio nini hi

Nililalamika uku nikipiga piga miguu yangu chini, Anaya Mimi sikuwa Tena cha kufanya

zaidi ya kutumia Pesa yangu kupata usafiri wa kunifikisha Nyumbani kwetu

Siku iliyofuata Kama kawaida nikaingia zangu

kazini lakini siku hii Bwana niliingia na style

Mpya kabisa, nilikuwa mtu serious sana na hii

yote ni kutokana na frank kuniacha siku illyopita

baada ya kunipa ahadi zake za uongo

"Morning frank

Nilimsalimia frank baada ya kufika ofisini lakini nilimasalimia nikiwa serious sana kisha kisha

moja kwa moja nikaenda kwenye meza yangu na

kuanza kufanya kazi zangu za kila siku.

"Kuna email Nimekutumia hapo unatakiwa

kuljaza halafu unitumie Tena ikiwa na kila kitu

muhimu

Alizungumza Frank akiniambia Mimi

"Nimeshaljaza na nimeshakutumia"

Nilimjibu pasi na kumuangalia, aaah siku hiyo

frank aliona kabisa Kuwa Nimekuwa serious sana kuliko kawaida, Yaani sitaki shobo nasimshobokei mtu kila mtu afanye mambo

yake

Hatimaye muda wa kifungua kinywa ulifika, siku hiyo ata nje sikutoka, fora wa watu akanifuata lakini pia nikamkatalia kwa kumfanganya Kuwa siku hiyo nilikuwa nafunga kwaajili ya Naombi

yangu maalumu

"Uko Sawa kweli Leo?"

Frank aliniuliza

Nilimuangalia tu na kujibu

"Ndio, halafu kuna email nyingine hapo Nimekutumia jaza kisha nipatie nikaprint nataka niipeleke kwa boss moja kwa moja

Nilijibu vyote hivyo lakini bado sikuwa nikimtazama Franik.

Kwa mwendo wa polepole frank akanyanyuka na

kusogelea mlango kisha akafunga na kunisogelea Mimi na kwa sauti nzito ya utulivu

akaniuliza.

"Uko Sawa kweli?"

"Kwani nilikuambia naumwa au?

Nilimjibu nikiwa na kisllani cha hali ya juu.

"Hii ni hasira ya Jana eti

Frank allnuuliza nikimuangalia kwa kumkazia

macho kisha nikajibu.

"Jaza hiyo email haraka kaka Angu Nina kazi

nyingi za kuzingatia kwa wakati hou

frank Sijui lilishajua udhaifu wangu jamani,

polepole akanisogelea na kuja Karibu yangu na

pasi na kupoteza muda akanishika mabega

yangu kwa style ya Kama Anayafanyia massage

hivi

"Frank unafanya nini?"

Nilimuuliza lakini kwa sauti ambayo ilitoka kwa tabu sana

Frank akaendelea kufanya alichokuwa akifanya

na kwakuwa ndugu yenu nilikuwa

nishachanganyikiwa na frank, nilijikuta nikinjoy

sana tuna Nikabaki nikijiachia

Ukoniiliza ilikuwaje kuwaje mpaka bikra Mimi

nikaliwa ofisini na frank Wala Sitakuwa na

majibu sahihi maana frank aliniweza Tena aswaah nilikua kushtuka pale ambapo alikuwa

akiangaika na kuvunja usichana ambao

nimeutunza kwa muda mrefu sana, my zangu

Kwanini samkuniambia Kama ndio uwa inauma

kiasi hiki, Walahi raha iligeuka na Kuwa kilio cha

hali ya juu na kusababisha wafanyakazi kışa

mlangoni na kutugongea ili kutaka kujua ni kitu gani kinaendelea.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

🥺🥺 *MKAKA KAUZU HUYU JAMANI* *1-5* *SEHEMU YA KWANZA* Call me Anaya, last born kwenye familia ya watoto wanne uku wanawake tukiwa wawili na wanaume wakiwa wawili.

🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺

Aaaah Nyumbani kwetu Bwana Pesa ipo, Yaani maisha ni shwafiiii na salama kabisa, makuzi yangu Nimekuwa nikiwa ni Binti Fulani hivi, Mtulivu sana, Binti ambaye sipendi mambo Mengi Mengi, na hali hii ilipelekea mimi kukosa ata marafiki.

Sio kwamba sikuwa na marafiki kabisa hapana, Yaani nilikuwa nao lakini sio wale wa kusema ni wa kufa na kuzikana marafiki nilikuwa nikakutana nao shuleni, na ata chuoni kipindi ambacho mimi nilikuwa nikisoma chuoni.

Nyumbani kwetu tumelelewa kwenye maadili mema sana, lakini pia Nyumbani kwetu kuna taratibu zake ambazo kila mtu lazima azifuate.

Kati ya karatibu ambazo baba yangu Aliweka moja wapo ni hii ya kutokutoka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mkaka-kauzu-huyu-jamani-1-5-sehemu-ya-kwanza-call-me-anaya-last-born-kwenye-familia-ya-watoto-wanne-

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mkaka-kauzu-huyu-jamani
*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI*  🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺 *6-10* *__________________________________________*  *SEHEMU YA SITA*  Frank alikuwa na wasiwasi usio wa kawaida
*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI* 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺🥺 *6-10* *__________________________________________* *SEHEMU YA SITA* Frank alikuwa na wasiwasi usio wa kawaida
*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI* *SEHEMU YA TISA*  "Hellow Anaya, nimerudi kwaajili yako"
*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI* *SEHEMU YA TISA* "Hellow Anaya, nimerudi kwaajili yako"
*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI*    *SEHEMU YA NANE*  Kwanza ka moyo kangu kakafanya paaaaah
*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI* *SEHEMU YA NANE* Kwanza ka moyo kangu kakafanya paaaaah
*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI* *SEHEMU YA SABA*  Kwakuwa nilikuwa na mihasira yangu na tayali J nikishaamua kujiweka
*MKAKA KAUZU HUYU JAMANI* *SEHEMU YA SABA* Kwakuwa nilikuwa na mihasira yangu na tayali J nikishaamua kujiweka
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

897
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

479
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

433
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

412
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

298
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

209
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

200
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

84

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest