Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

HATARIIII  SEHEMU YA "1"❤️❤️❤️❤️❤️❤️  Mwenzenu kwa majina tuseme naitwa skyler ni mzaliwa wa mwisho
Gonga94 · Stories

HATARIIII SEHEMU YA "1"❤️❤️❤️❤️❤️❤️ Mwenzenu kwa majina tuseme naitwa skyler ni mzaliwa wa mwisho

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
ktk familia ya watt wanne wa kwanza dada wapili kaka watatu dada na wanne ni mimi apa skyler kwetu ni wakristu na tunaishi na mama baba yetu alifariki miaka ya nyuma kdg iliyopita😞

basi bhana nilimaliza form four 2011 story yetu ianzie hapa tangia nmevunja ungo nikiwa form one sikuwahi kua na mahusiano kabisa hio ni kwa sababu kwetu walikua wanatuchunga sana sio wa kishua ila tulikua hakuna kutoka mpk ruhusa maalumu

pia changamoto ilofanya nisiwe na mahusiano nilikua nina kimwili kidogo sana nahisi wanaume walikua wanahisi bado mdg 🤣🤣🤣

sasa bhana baada ya kumaliza form four huyu dada angu mkubwa alinichukua niende kwake mjini mkoa tofauti na mkoa tunaoishi basi nilikaa huko mpk matokeo yalipotoka nilifaulu na nilifanikiwa kuchaguliwa shule ya kidato cha tano

Basi nikarudi nyumbani kwa mama kumuaga kwa ajili ya kwenda shule
Nakumbuka ilikua siku ya jumapili nilikua nmetoka mnadani nadhani mnaelewa nikisema mnada sasa mkoa niliokuepo ulikua na baridi sasa

namimi nina matatizo ya kifua basi niliporudi nyumbn mida km ya saa tatu usiku hivi nikabanwa na kifua nilikua nashindwa kupumua na kuongea mama angu akanipeleka hospital kipindi hicho baba angu bado mzima

walikua baba mama na kaka yangu tumefika tukaambiwa kuna mgonjwa wa ajali kaletwa daktari anamuhudumia kwahyo tusubiri basi bhana tumesubiri mwishoe nilizidiwa nikazimiaa sasa nilivozimia baba angu alikua mkali

mpaka akampiga nesi makofi ikabidi daktari aje kumbe alivomaliza kumshona mgonjwa alienda kulala🤣🤣🤣 basi alivokuja alinihudumia baba angu alimwambia asiondoke mpk niamke

kwahyo yule daktari bhanaa akakaa apo pembeni yangu mpk nilivoamka Uzuri nililazwa private ward hatukua na hali nzurii kiivo ila familia yetu inajali Sana maswala ya afya basi ile kuamka nikamuona mkaka kalala kwenye kiti kaegemea kitanda🤣🤣

nikamuamsha samahani dokta nilijua ni dokta sababu alivaa makoti yale ya kidaktari basi akaamka akasema thanks God umeamka we mtt kaaah baba ako alitaka kuniharibia kibarua changu

basi akasema unaitwa nani nikasema skyler akauliza una miaka mingapi nikamwambia 17 akasema unajisikiaje nikamwambia vzr ila mwili unauma akasema sababu ya kubanwa kifua kwa muda mrefu

Basi akaniangalia akanichoma sindano alikua ana biblia mkononi akanambia tuombe kheeeee mimi namshangaa tu alikua ni mkaka mzuri sio mrefu ni mfupi mweupe ana midomo mizuriiiiiiiiii🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰 alf msafiiiii alf anaongea kipole sana sanaaaaaa

basi akaomba anamaliza akaondoka ila nikajikuta namuwaza natamani sana sanaaa aje aniongeleshe na mimi kumbuka sikuwahi kua kwenye mahusiano apo ht siku moja nilishawahi kuto ng*zwa na rafiki ake kaka angu weeeee nilimsemea kwa baba fasta sana🤣🤣🤣🤣

na nilishawahi kuandikiwa barua na jirani yetu nikampelekea mama angu🤣🤣🤣 basi tangia apo nilikua nikuto ng*zwa nasemelea mpk baba akawa anasema nina akili za kitoto mpk namaliza form four nilikua nikito ng*zwa nasemelea🤣🤣

basi nilikaa hospital mpk kesho yake tena asubuhi nikaruhusiwa ila hakua yule dokta tumpe jina la Elias basi bhana nmerudi siku zikasonga hatimae siku za shule zikakaribia nikajiandaa huyo baba akanipeleka shule

Maisha ya shule yalikua magumu sababu sikuwahi kusoma boarding lkn nilizoea mpk ikafika likizo ya kwanza likizo fupi nikaenda kwa dada angu mkubwa sababu kwake ilikua ni mkoa mmoja na shule nilopangiwa.

Nilimmiss sana mama angu sababu mimi nmezoea kuishi nae lkn ndo hvo sikwenda likizo ilipoisha nikarudi shule nikasoma😣😣 mpk ikafika likizo kubwa ndo nikaenda kwa mama

Sasa nilipofika tu nyumbn nilikuta kaka angu anaumwa kipindi hicho kamaliza shule anasubiri Ajira sasa kesho yake mama akanambia mpeleke kaka ako hospital apo kijijini kwetu hospital ni hio moja ndo kubwa

nyingine ni Dispensary tu basi nilivofika tu nikakutana na yule yule dokta Elias😌❤️ akasema skyler vipi na leo umekuja na baba ako nikamwambia hapana kaka angu anaumwa akasema yuko wapi nikamwambia mapokezi
basi akanambia ngoja niwafanyie mpango muepukane na foleni kamlete nikaenda nikampeleka mpk chumba cha daktari me nikatoka nje akamchukua maelezo tukaenda maabara akapima tukarudisha majibu

basi bhana baada ya hapo wakati tunaenda kuchukua dawa kuna dawa tukaikosa wakasema twende tukamwambie dokta atuandikie tukanunue nikamuacha kaka nikaenda mwenyewe nmefika dokta😌❤️

akasema nilijua tu utarudi sababu nilishindwa kukupata ukiwa peke ako😌❤️❤️ nikaona niandike dawa ambayo haipo😌😌 ili urudi nikacheka🤣🤣🤣 ukweli nilikua napenda sana kumuangalia yule dokta😌😌❤️

basi akanambia sikuandikii dawa ila nakuandikia namba ya simu ukanitafute uniambie nikutajie jina la dawa🤣🤣🤣🤣 nikasema huyu akinito ng*za simwambii tena baba🤣🤣🤣 basi nikachukua namba 😌😌❤️❤️❤️itaendeleaaaa

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

HATARIIII SEHEMU YA "1"❤️❤️❤️❤️❤️❤️ Mwenzenu kwa majina tuseme naitwa skyler ni mzaliwa wa mwisho

ktk familia ya watt wanne wa kwanza dada wapili kaka watatu dada na wanne ni mimi apa skyler kwetu ni wakristu na tunaishi na mama baba yetu alifariki miaka ya nyuma kdg iliyopita😞

basi bhana nilimaliza form four 2011 story yetu ianzie hapa tangia nmevunja ungo nikiwa form one sikuwahi kua na mahusiano kabisa hio ni kwa sababu kwetu walikua wanatuchunga sana sio wa kishua ila tulikua hakuna kutoka mpk ruhusa maalumu

pia changamoto ilofanya nisiwe na mahusiano nilikua nina kimwili kidogo sana nahisi wanaume walikua wanahisi bado mdg 🤣🤣🤣

sasa bhana baada ya kumaliza form four huyu dada...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/hatariiii-sehemu-ya-1-mwenzenu-kwa-majina-tuseme-naitwa-skyler-ni-mzaliwa-wa-mwisho

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi hatariiii-sehemu-ya
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘

544
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

483
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

471
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 44 na 45

448
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

247
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*

*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*

236
REAL LOVE  Chapter 15

REAL LOVE Chapter 15

190
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘

142
REALLY LOVE* 16

REALLY LOVE* 16

96
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50

92

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.16K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.9K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.31K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.3K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50
@majario LIVE

49 MPAKA 50 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi nilimuacha kama mwez lemi anendeelee kumfatilia princess. Akanmbia kila j mosi anakuwa kunduchi beachi. Alafu anaishi kibaha. Na sehemu yake ya kazi ni mikocheni apo ni kutojana...

MALAIKA SEHEMU YA 2 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 2
@majario LIVE

ALIMJARIBU 'BOI' WA NDANI ILI KUHAKIKISHA KAMA NI TASA Hapo ndipo Malaika alipohisi dunia nzima imemuelekea yeye. Kila kona aliyopita ilikuwa ni masengenyo, dharau za ndugu, na minong’ono ya majirani iliyomchoma...

MALAIKA  SEHEMU YA 1 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 1
@majario LIVE

“Malaika! Malaika mwanangu!” “Naam mama... mbona unaniita kwa presha hivi, kuna nini tena?” Mama mkwe aliingia ndani huku uso umemshuka kama amekula ndimu, yaani kuanzia asubuhi alikuwa na jambo lake limekaa kooni....

YENYE KIRUNGU  💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 09 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 09
@majario LIVE

MR AB TULIPOISHIA “Ndio, baba yangu alinipa mbinu za kumrudisha mtu aliyechukuliwa msukule arudi duniani kwa mara nyingine......nilijaribu kufanya hivyo ila wao hawakurudi maana mtaalam alisema kwamba hawakuchukuliwa misukule” “Yesu.....” Nilipagawa huku nikiwaza...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 08 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 08
@majario LIVE

NA MR AB Jerry aliendelea kuninyonya ulimi ndipo ghafla yule mwenzake akaondoka kwa hasira kuelekea mlangoni ** Haya mambo ni kama vile ukichaa, ilinibidi nimuachie Jerry na kusogea nyuma kidogo “Vipi mke wangu?...

YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚  SEHEMU YA 07 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚 SEHEMU YA 07
@majario LIVE

MR. AB TULIPOISHIA Piiiiiiiii, alipiga honi konda, nikasogea na kuchungulia vizuri, kweli ilikuwa kama nimetabiri hivi, nilimshuhudia Jerry anashuka kwenye pikipiki amevaa shati na suruali ya kitambaa akasogea “Mke wangu Anita” Alisema Jerry...

YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️  SEHEMU YA 06 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️ SEHEMU YA 06
@majario LIVE

MR. AB TULIPOISHIA “Wewe Anita......Anitaaaa” Ilikuwa sauti ya baba mmoja jirani aitwaye Ba Masoud. Nilishtuka na kufumbua macho nikatazama “Anitaaaa.....wewe binti” Sauti ya mwenyekiti ilisikika “Yupo kweli au ameshatekwa huyu, usikute ameuawa tuko hapa hapa”...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 05 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 05
@majario LIVE

MR. AB Tulipoishia Ile nimefika sebuleni kulikuwa na giza, nikapapasa swichi na kuwasha taa. Sikuamini, nimewasha taa hivi, naona mwanaume kasimama katikati ya chumba amevaa boxer tu, ana tattoo zake ameinamisha kichwa chini. Kuinua...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️
@majario LIVE

Na Mr AB SEHEMU YA NNE Alifanya kuniwekea kunako, akaisukumiza kikaingia kile kichwa tu “Ooohhh..bhaaan...” Nilihema kwa hisia huku nikijisukumiza nyuma ikawa inaingia taratibu hadi ulipoingia mpaka mwisho. Ilinitekenya halafu akaanza kuchochea...

YENYE KIRUNGU 💛💛❤💚 SEHEMU YA TATU Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛💛❤💚 SEHEMU YA TATU
@majario LIVE

"Daah mbona haisimami?" Nilimuuliza boss wa mume wangu "Ngoja niondoke nitarudi siku nyingine leo sijisikii vizuri" alijibu akipandisha suruali yake halafu akatoa shilingi elfu 20 akanipatia "shika hii" "Mh asante" nilisema...

YENYE KIRUNGU💛💚❤  SEHEMU YA PILI Post Mpya
YENYE KIRUNGU💛💚❤ SEHEMU YA PILI
@majario LIVE

Tulipoishia Asubuhi ilipofika Nilijikuta namtext boss wa mume wangu "Wewe" nilituma asubuhi na mapema maana niliamka na nye** vile vile "Niambie madam" "Ninahitaji mboo" Nilimuandikia ujumbe huo ili nione atajibuje, yaani akijibu vizuri tu...

YENYE KIRUNGU 💛💚❤ 🔞 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛💚❤ 🔞
@majario LIVE

Sehemu ya kwanza Mume wangu ni mtu msiri sana ambapo ni mara nyingi tumekuwa tukigombana hasa pale ninapogundua kwamba kuna mambo ya muhimu amenificha kwa muda murefu. Hata hivyo ugomvi haijaweza...

Bappi Lahiri jina lake halisi ni Alokesh Aparesh Lahiri ambaye amezaliwa tarehe 27 Novemba mnamo mwaka 1952. Post Mpya
Bappi Lahiri jina lake halisi ni Alokesh Aparesh Lahiri ambaye amezaliwa tarehe 27 Novemba mnamo mwaka 1952.
@majario LIVE

Alikuwa ni mwimbaji, mtunzi na mtayarishaji wa muziki kutoka India ambae alifahamika zaidi kama Disco King kwa kutengeneza muziki wa disco unaotumia ala za kielektroniki (synthesizer) kuwa maarufu katika tasnia...

Toss amrithi A.K A, Aingia kwenye pezi jipya na Nadia Nakai Post Mpya
Toss amrithi A.K A, Aingia kwenye pezi jipya na Nadia Nakai
@majario LIVE

Msanii maarufu “Toss”, anayefahamika kama hit maker wa Umlandu, kwa sasa anaripotiwa kuingia kwenye uhusiano mzito wa kimapenzi na aliyewahi kuwa mchumba wa marehemu rapa wa Afrika Kusini, AKA. Mrembo huyo...

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘
@majario LIVE

Usiku mzima Hemed hakuniongelesha kitu chochote namm sikutaka kumuongelesha nililala zangu kimya nikajikausha mpaka asubuhi niliwahi kuamka nikamwandalia kiamsha kinywa then nilirudi chumbani kwa ajiri ya kujiandaa kwenda kazini.... nilivyotoka...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest