VYOTE NDANI GONGA94
π₯ JAMANI KAKA MUUZA MAJI USINIMWAGIE.6.10 MAJI NDANIππ Sehemu ya sita ( shida ya maji shikamoo)
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
__________________________
π Sawa my Asante naisikia inazama Asante Aaaaaaaaa zamisha yote Aaaaaaaaa Aaaaaaaaa Uwiiiiiiiiiiiiiii...π
.
Unaweza.
( Nilishindwa kuvumilia niligonga mlango awakusikia mpaka walipomaliza yao ndio mume wangu kaja kufungua akanishika mkono akanipeleka chumbani ananidanganya)
" Mke wangu lile tambiko hili asiumwe tena usiwaze chochote kibaya.
" Tambiko ndio mapenzi.
" Usiwaze sasa uko lala mke wangu.
( Niliumia ila nikiwaza na mimi nishazagamuliwa nikauchuna mambo yasiwe mengi...nimelala asubuhi naamka simuoni yule demu wala nguo zake na mume wangu kaondoka...nikasema shauri yake...naangalia mezani naona 5000 ya chakula...nikaondoka zangu kununua vitafunwa sasa napita sehemu namuona mume wangu yupo na rafiki yake yule rafiki yake anasema)
" Hapo unafanya la maana sana rafiki yangu iyo ndio inaitwa unamweshimu mkeo.
( Nikasogea kidogo nisikie vizuri ananiheshimu kivipi...mume wangu akasema)
" Yani siwezi kumfanyia mke wangu mambo ayo ndio maana namla yule demu mimi najua yule demu anipendi anapenda pesa zangu lazima nimle kichuri tu.
" Ndio dawa yao iyo unajua kichuri uwezi kumla mke wa ndani kwa sababu akipata matatizo yanakuusu asilimia zote.
" Ilo najua ndio maana namla yule demu kichuri alafu sasa si ndio akaniambia mke wangu amfulie ndio atanipa kichuri vizuri mimi nikatumia akili tu nilifanya ivi........
( Alimwadisia ukweli wote nikawa nimeachwa njia panda neno kichuri na rafiki yake akamwambia)
" Usirudie tena kufanya ivyo na umepata mke mpole angekuwa mwengine kingewaka kisawa Sawa humo ndani.
" Mke wangu ananiogopa sana si nishawai kumpiga.
" Ndugu usimpige Shemeji kama kumpiga mpige uyu anayekupa kichuri sio mke.
( Niliona rafiki yake ananitetea upande wa kupigwa ila amuonyi mwenzie asifanye yale anayofanya...wakaachana mimi najiuliza nini maana ya kichuri nikaona ujinga huu kuumiza kichwa wakati shoga ninao nikampigia shoga yangu mmoja yupo buza nikamuuliza)
" Shoga Samahani ivi kichuri ndio nini?
" Ila wewe ndio ujinga wa kuwai kuolewa uku mengine uyajui kichuri dawa ya kuwakomesha wake wenye mdomo kwenye ndoa zao.
" Ndio nini sasa.
" Ukiwa na mdomo utakuja kujua tu nipo bize kidogo hapa kuna kigodoro naenda kutunza.
( Akakata simu...yani uyu ndio naweza kumuuliza aya mambo wengine nawaheshimu inawezekana kichuri ni tusi nikatulia zangu...jioni mume wangu karudi ananiambia)
" Mke wangu Samahani kwa kukuuzi Jana usiku naomba uwe na amani Sawa.
" Sawa.
" Ila wiki hii nitakuwa bize sana na kazi ivi kwa siku unatumia dumu ngapi nataka niongeze bajeti kidogo.
" Tatu.
" Sawa 8000 mala 7 ngapi?
" 56000.
" Shika hii elf 60 tutaonana siku ya nane acha nipambane kwa ajili yako.
" Sawa.
( Akaondoka zake sijui kazini kweli au ndio kaenda kula kichuri...siku ijaisha siku inayofata kaka muuza maji akaja kuniletea maji ananiambia)
" Vipi Leo utakuja?
" Tutaangalia.
" Poa.
( Akamimina maji akaondoka...kama kawaida achukui pesa...mimi napita pita mtandaoni naona picha ya mume wangu anachambua mchele alafu yupo na yule yule demu alisema binamu yake alafu chini imeandikwa)
" SI DAWA NI UJUZI TU WA KITANDANI"
( Wakati nashangaa ile picha shoga yangu wa buza akanipigia akaniambia)
" Shoga mdomo umeshakuponza naona mumeo amepewa kichuri na mchele anachambua angalia fb mambo jina Fetty mideko.
" Ndio nimeona hapa niambie kichuri ndio nini?
( Aliniambia maana ya kichuri macho yalinitoka)
" Kichuri ni.....
ITAENDELEA
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi jamani-kaka-muuza-maji-usinimwagie
π₯π₯ JAMANI KAKA MUUZA MAJI USINIMWAGIE MAJI NDANIππ Sehemu ya nane ( shida ya maji shikamoo)
π₯π₯ JAMANI KAKA MUUZA MAJI USINIMWAGIE MAJI NDANIππ Sehemu ya saba ( shida ya maji shikamoo)
