VYOTE NDANI GONGA94
๐ฅ๐ฅ JAMANI KAKA MUUZA MAJI USINIMWAGIE MAJI NDANI๐๐ Sehemu ya saba ( shida ya maji shikamoo)
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
__________________________
๐ Kichuri ni...๐
Nyuma yani njia ya kutokea mwanaume anapewa aingie.
" Weee usiniambie.
" Ndio ivyo nakwambia mumeo kapewa kichuri kachanganyikiwa naisi.
" Basi sina mume siwezi kukaa na mwanaume kama uyu.
" Sasa shoga unataka kumuukumu kwa kosa dogo tu ilo yani siku akikuomba kichuri ndio ulianzishe.
" Yani nitamng'ata 1200 zake aniambie ujinga huo.
" Ujinga wenzio tunatamba mjini.
" Shoga na wewe unatoa kichuri.
" Nikufiche uchawi natoa vizuri ila kwa waume za watu mpenzi wangu simpi na ajui kama natumia ayo mambo.
" Shoga acha ujue sio vizuri.
" Tuachane na izo mada wewe umeolewa usingeolewa ningekwambia usinywe pombe na mwanaume umjui.
" Basi tuache izo mada.
( alikata simu nikawa nawaza sana nimeolewa na mwanaume wa aina gani mimi Nilichukua ile picha na maandishi yake nikatulia mala akaja wifi yangu nikamuonyesha namuuliza)
" Ungekuwa wewe ndio mimi wifi unafanyaje?
" Mimi nikiona wangu kachukua mwanamke kanipita viwango sigombani nae najua nikisema fyoko natoka anaingia yeye nanyamaza tu kama uyu kakuzidi kiwango kila kitu anaonyesha zigo zigo guu guu tulia wifi.
" Je ningekuwa nimefanya mimi ungemshauri kaka yako atulie?
" Thubutu yani ungenijua rangi yangu nyengine umfanyie ivi kaka yangu.
" Basi tuyaache.
" Sawa mimi nimekuja kuoga kwangu sina maji yani aya maji mwaka huu yanatunyosha.
" Sawa kaoge maji yapo.
( Akamimina maji akaenda kuoga akarudi akaniambia)
" Wifi maji unayo mengi ngoja nije kufua kidogo mwenzio sina maji nyumbani.
" Sawa njoo ufue.
( Akaondoka mimi nawaza juu ya mume wangu na tabia yake...basi alikuja akafua mimi nikaenda dukani kununua unga nije kusonga ugali...kweli penzi ni kikohozi kulificha uliwezi nilimuona mkaka muuza maji ameshika simu anasoma soma nikajua anasoma sms ya mapenzi katumiwa nilimfata kama vile mume wangu nikamnyang'anya simu kuangalia anachosoma nikachoka hoi nikaanza kusoma na mimi)
" -Mwanamke anayekupenda kitendo tu cha kumshikashika au kukuwaza ukija kumvua chupi utaona imelowa. Ukiwa akilini mwa mwanamke unalowa mwenyewe unamvua nguo ya ndani umelowa. Changamoto tu ya wanawake wengi wanaishi na watu wasio na HISIA nao. Mwanamke anaweza akiwa na hisia halafu uko naye kila kitu huwa hakiendi sawa anakuwa kama kuku aliyenyeshewa na mvua hata ngozi yake huwa inapoteza nuru kwasababu ya hisia
Mwanamke akiwa na hisia ngozi hujiandaa kwa hekaheka damu unaongezeka kwenye mzunguko wengine hutetemesha midomo kwasababu ya hisia wengine miguu kabisa wapo ambao hutazama kwa huruma wapo ambao huwa wanaitika tu hata kama hujamuita unashang'aa anaitika kwa jicho la nahitaji huduma yako mtoto anaitaka
Mwanamke akikupenda kwa dhati kabisa unaweza hisi ana pepo la ngono kuna wakati anaiomba kabisa au anaishika anaiweka ndani anakupa kama hatakupa tena"
( Nilimwambia)
" Kumbe unasoma maneno aya.
" ndio ila my jaribu kujizuia wewe ni mke wa mtu.
" Sawa ila au basi.
" Nini niambie.
( Naisi kama nishampenda kuliko mume wangu nimekuwa na hisia na yeye kama ilivyoandikwa nikamwambia)
" Nina hamu na wewe.
" Dah unafanya nizidi kukupenda sijawai kuambiwa hili neno ila saizi nipo kazini baadae njoo home nitakupa na zawadi nzuri.
" Sawa.
( Nilienda zangu dukani nikarudi nikapika chakula tukala na wifi alafu akaondoka mimi sasa na kiranga changu mwenyewe naenda kwa kaka muuza maji...hii siku sitaisahau alijua kuifumua uyu kaka ni fundi alianza kwa kuichambua nanii yangu)
" Tanua miguu my.
" Sawa.
" Nakupenda sio mbishi wewe.
" Sawa kazi kwako my si unaiona vizuri.
" Ndio.
( Dah yani...)
ITAENDELEA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi jamani-kaka-muuza-maji-usinimwagie-maji-ndani-sehemu-ya-saba-shida-ya-maji-shikamoo