๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น๐น *JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO* *1---2* *_______________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* LEYNA NA LEYLA ni mabinti mapacha wanaofanana sana kwa mtu ambae hawafahamu hakuweza
aliyependa kwenda na wakati, kupenda kuwa na vitu vizuri wakati maisha yao hayakuwa mazuri kihivyo. Wallishi na mama yao na alikuwa akifanya biashara ya kuuza samaki. Lakini Leyla alikuwa binti mpole sana ambae hakutaka makuu aliangalia masomo yake.
Siku moja likuwa majira ya saa sita mchana wa jua kali. Binti Leyla alikuwa akimsaidia mama yake kuandaa samaki wake wa biashara. "Leyla mwanangu, waoshe vizuri hao samaki na
hakikisha unaweka viungo vya kutosha. Mama
yake alimkumbusha.
"Usijali mama yangu, kila kitu kitakuwa sawa." "Huyu dada yako Leyna yuko wapi tena?" mama aliuliza.
Nuria akatabasamu kisha akajibu. "Mmh, kama ujuavyo, kukikucha tu anaanza kupuyanga kama kunguru."
Mama akatikisa kichwa, "Jamani huyu mtoto amenishinda tabia mwenzenu, muda sio mrefu utasikia kazua jambo huko.
Mara ghafla vishindo vya watu vilisikika nje, karia kwamba kuna ugomvi. "Leyla ni nini hicho?
Sijul.... Alisema Leyla huku akinyanyuka kwenda kuangalia, mara Leyna aliwapita kama upepo na kuingia ndani
akajifungua mlango. Nyuma yake walikuwepo wanawake wawili waliokuwa wakipiga makelele. "Jamani kuna nini? mama Leyna akauliza kwa
hofu
Mwanamke mmoja akajibu kwa hasira: "Mama Leyna ongea na huyo binti yako Aachane na mume wangu la sivyo nitamuumiza vibaya."
"Jamani..." Mama alijaribu kutuliza hali ikae sawa
lakini Leyna akapaza sauti kwa kuongea kwa dharau, "Mama acha nao hao. Huyo mume wake mimi
sikumfuata, kwahiyo akasema na mume wake na sio mimi. Mimi ninefuatwa kama ilivyodaiwa wewe dada
"Wewe! Wewe! Toka nje nikuvuruge kama kweli wewe ni jasiri yule mwanamke aliongea kwa hasira lakini
Leyna akamcheka, Thubutul Mwambie mume
wako siyo kunilaumu mimi. Na kwa taarifa yako, mumeo mwenyewe ameniambia huna unalijua yani huna maajabu, kwa ushauri tu nenda tafuta kungwi akufunde, sio kulialia huku na kutafuta sababu kwa watu tusio na hatia.
Maneno ya Leyna yalimfanya Mama yake akapandwa na hasira, "Leyna nyamaza! Utaniua kwa albu wewe
mtoto."
Lakini Leyna hakukoma, aliongeza maneno makali yaliyozidi kuchochea ugomvi. Hatimaye, Mama Leyna aliwaomba wale wanawake waondoke.
"Mama Dani, nyle nendeni kwanza. Nitazungumza na huyu kichaa wangu." Mama Leyna ongea na mtoto wako na inaondoka hapa kwa heshima yako. "Sawa mama.
Wale wanawake wakaondoka kwa hasira. Mama Leyna akawa anaelekea ndani.
"Fungua mlango wewe mjinga!" Leyna akafungua wakawa wanaangaliana usoni
na mama yake. Wewe unataka nife kwa presha au unataka
nikifa nikose watu wa kunizika? Mama huko ni kujichulia unakufaje sasa kwa mambo madogo hivi?
*Wewe mpuuzi wewe hii naongea kwa mara ya mwisho na kama ikitokea umefanya tena Madudu yako na kufukuza hapa kwangu,
nimekuchoka.
Mama Leyna aliongea sana na kumkanya juu ya tabia zake mbaya. Lakini Leyna hakuwa na hata chembe ya majuto macho yake yalijaa kiburi na dharau.
Kilichokuwa kikitoa kiburi Leyna alikuwa binti mrembo mno, mwenye akili na mvuto wa hali ya juu. Kila mwanaume aliemuona lazima amsaidie na wengine kumtamani Lakini tatizo lake kubwa lilikuwa kuutumia ujana wake kwa anasa na tamaa za dunia.
Siku moja alienda klabu maarufu mjini. Wakati amejas sehemu alimuona mwanaume mmoja ambae alikuwa amekaa vip aliwa anakunywa kinywaji Huko akitangaza macho liliangukia kwa
Leyna
Leyna alianza jujishsuwa maana alijua ndege
anaenda kunasa kwenye tundu bovu.. Baada ya sekunde chache kuna mwanaume alimfuata Leyna.
"Habari mrembo.
Safi.
"Unamuona yule jamaa aliyekaa pale. "Nimemuona.
"Anahitaji kuongea na wewe. Leyna akitabasamu kisha taratibu akaanza kutembea kwa Madaha kuelekea alipohuyo kijana mtanashati.
Yule mwanaume alijulikana kwa jina la Abisai, mfanyabiashara tajiri na maarufu.
Leyna alienda kukaa pembeni yake wakawa wanaangaliana. Mambo.
"Safi.
Nimevutiwa na wewe, napenda tufurahi pamoja kwa huu muda uliobakia. "Usijali. Alijibu kama huku akiwa anatabasamu.
Walikunywa huku wakiendelea kufahamiana. Muda ulivyokwenda waliondoka pamoja Usiku huo walijikuta wamelala pamoja.
Usiku huo mambo yalikuwa tofauti kwa Leyna
hakuwahi kukutana na mwanaume anayejua mapenzi kiasi kile, japokuwa nae hakukubali kushindwa alijifunza mno lakinihakuna bado Abisai alichukua ushindi wake na kumvisha taji
la mr mahaba.
Abisai nae akajikuta akimpenda ghafla Leyna. "Leyna, usiku huu umenifanya nisahau shida zangu zote za dunia. Nataka tuwe wapenzi." Leyna alimuangalia na kuona Abisai anafaa na alikuwa ana vigezo vyote vya mwanaume. aliekuwa anamtaka pesa, hadhi na ufundi
kitandani akakubali bila kusita.
Kuanzia hapo walikuwa wapenzi rasmi. Abisai
alimpatia kila kitu pesa, shopping, starehe, simu
kali, kuchukuliwa na usafiri kila alipotoka na
kurudi nyumbani.
Kidogo tabia ya Leyna ya kuchanganya wanaume ilipungua.
Lakini baada ya muda mfupi, Abisal akaanza kusikia sifa za Leyna huko mtaani kuwa ndiye binti anayejulikana kwa michepuko na tamaa. moyo wa Abisai ukajaa wivu usioelezeka.
Abisai hakutaka kukazia damu. Siku moja alikutana na Leyna kwenye chumba cha hoteli wakafanya yao na siku hiyo ilikuwa balaa maana hasira zake zote alimaliza pale kitandani
Wewe baba mbona kama tunakimoana? " nimesha kupenda Leyna, wewe ni wangu tu, Sitaki mwanaume yeyote akukaribie na wala sitaki kusikia sifa mbaya mtaani na kama
nitakuwa sikutoshelezi basi sema muongeze dozi Abisai aliongea kwa kwa sauti nzito, macho yake yakiwa yamejaa wivu.
Leyna akatabasamu, kukubakijisemea moyoni "Wivu wa kike huo lakini sio tatizo. Bora ananipa kila kitu."
Leyna hakujua wivu wa Abisal ulikuwa sumu inayoweza kufanya maisha yake kuwa gereza,
Chapter 2
Siku zilisonga, mahusiano ya Leyna na Abisal yalizidi kushamiri. Kila mtu mtaani alianza kumshangaa Leyna
"Huyu binti, leo gari jipya, kesho simu mpya! Si mchezo..."
Mwenzangu sasa hivi kaamua kutupumzisha hapa mtaani sijui kapatwa boss wa wapi?
Bila shaka mume wa mtu mbona huyo mwanamke nampa pole maana huyu mtoto kama jini mahaba alimshika mume wa mtu hakuachi.
Abisai alizidi kumiliki maisha ya Leyna kama mumevaliemuowa na kumdhibiti. Kila mara akimpigia simu,
"Uko wapi? Umevaa nini? Uko na nani?"
Kila akichelewa kujibu ujumbe simu kumi kumi
zilipigwa mfululizo.
Leyna alianza kuchoka na ukali wake.
Siku moja usiku Leyna walikuwa ametoka na marafiki zake wakawa wamekaa sehemu wanafurahi. Mara simu ya Abisai iliingia.
*Ohoooo kashasnza usumbufu wake na hii simu wala sipokei.
Leyna aliacha simu iitwe mpaka ikakata kisha akaamua kuzima kabisa ili afurahie kwa raha.
Waliendelea kula na kufurahi na marafiki huku akiwa hana habari na Abisai mwanaume anaemuweka mjini. Baada ya dakika 20 Abisai alifika kwenye lile eneo na kwenda moja kwa moja alipokuwa amekaa Leyna na marafiki zake.
Alifika na kusimama pembeni yake, Leyna alipomuona alishituka maana hakutegemea
kama kama Abisal angejua yupo pale na kumfuata.
*Abisal....
"Nyanyuka tuondoke.
"Yani umenifuata huku, kwanza umejuaje.....
Kabla hata hajamaliza kuongea Abisai alimshika mkono na kumvutia nje, alimpandisha kwenye gari na kuondoka.
"Abusai, kwanini unanibana hivi? Mimi si mtumwa wako. Aliongea Leyna huku akiwa kakasirika.
Abisai alimtazama kwa macho makali, "Wewe ni wangu, Leyna. Ukithubutu kunisaliti, nitakufundisha jinsi ya kujiheshimu.
"Basi tuachane tu maana nimechoshwa na tabia zako.
*Wewe maoema yote hii unachoka? Alafu swala la mimi na wewe kuachana sahau na ukumbuke ya kuwa ulipo nipo.
Walienda nyumbani kwa Abisai.
*Sasa umenileta hapa ili iweje?
*Pandisha juu nimfukuze chumbani.
"Chumba gani?
Leyna aliuliza kwa hasira, Abisai alimgeukia na kumuangalia kwa macho makali alafu taratibu alipiga hatua kumfuata, walisimama jaribu mpaka kiasi cha pumzi zao kukutana na baadhi ya viungo vyao kugusana. Kisha Abisai akasema
"Chumbani kwangu, nimfukuze kitandani ukiwa umeshajiandaa.
"Abisai huo imezidi sasa.
" Lakini hili ni swala la kuongea tukaelewa tu.
"Huelewi kiswahili?
Leyna alianza kujitetea maana alikuwa anajua hasira zote zinaenda kumalizikia kitandani. "Nisamehe mpenzi hili haitajirudia tena.
"Una uhakika na unachosema?
"Ndio nakuahidi.
Leyna alijitahidi kumtuliza mpaka Abisai akawa sawa baada ya hapo wakaenda pamoja kupumzika.
Kesho yake asubuhi waliamka na kwenda kuoga pamoja, Leyna alivaa nguo zake alizokuwa amevaa jana usiku. Abisal alimuangalia alafu
akatoka chumbani. Baada ya dakika kama 25 alirudi akiwa na mfuko
mkononi.
*Naomba uvue hizo nguo zake zilizokuwa na heshima hata kidogo.
"Alafu?
"Shika hil uvae. Leyna alipokea ule mfuko akakuta kijora kipya.
*Hii nivae mimi?
"Unataka nivae mimi?
"Abisal mimi haya mambo ya kushikilia manguo marefu kama naenda kubariki ndoa siwezi.
"Kwangu utaweza tu.
* Lakini ulinipenda nikiwa kwenye muonekano
huu. Ni kweli lakini kwa sasa sivutiwi na huo
muonekano wako nataka mali zangu zistiliwe, mimi pekee yangu ndio natakiwa kuona hayo mapaja, mikono na kifua.
Leyna alivua zile nguo zake na kuvaa kijora na mitandio akamuacha kitandani. Abisai alichukua mitandio na kumfunika kichwani. "Jamani kama kibibi?
"Umependeza sana mpenzi wangu hivi ndivyo nataka kuwa nakuona.
Kujitia ushehe wakati wote ndio walewale. Aliongea Leyna kwa sauti ya chini.
* Unasemaje?
Hakuna kitu nataka kuondoka.
"Tukanywe chai kwanza.
"Sihusiki kunywa hata hiyo chai yako.
Abisai alitabasamu kisha akavuta mkono wakaenda dinning na kuanza kunywa chai. Abisai alikuwa akimuangalia usoni huku
akijisemea.
Lazima ibadilike na kufuata njia inazotaka mimi.
Na wakati huo Leyna alikuwa akijisemea.
Wewe hunijui nitakufanyia vitimbwi mpaka utanyoisha mikono juu.
Full 1000
Whatsp 0784468229
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi



Maoni