Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*KIJIJINI KWA BIBI* *1-----5* Na Mwaisa Story   Sehemu Ya 1 ___________ MWANZO ____________ "njoo uingie bado gari iko wazi hii, mama kaa vizuri hapo mnatosha
Gonga94 · Stories

*KIJIJINI KWA BIBI* *1-----5* Na Mwaisa Story Sehemu Ya 1 ___________ MWANZO ____________ "njoo uingie bado gari iko wazi hii, mama kaa vizuri hapo mnatosha

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

watu wawili",ilikua sauti ya mpiga
debe aliyekuwa anaita abiria katika
stendi kuu ya daladala mkoani Dodoma(Jamatini).
Ni dhahiri kabisa mpiga debe huyo alikuwa amechoka kutokana na njaa na jua kali, pia muonekano wake ulijidhirisha alivyochoshwa na maisha. Mdomon alikuwa na sigara iliyokuwa inawaka na aliipeleka mdomoni kila alipogida kipakiti cha konyagi kilichokuwa na nembo ya kichwa cha jogoo, na kila alipogida konyagi hiyo aliimeza kwa tabu huku sura yake akiwa anaikunja kama anaumia koo. Alivaa shati na suruali ya rangi ya bluu iliyopauka na zaidi suruali yenyewe aliivalia chini ya makalio na kufanya kuonekana kwa nguo yake ya ndani iliyokuwa na rangi isiyoeleweka kutokana na kuvaliwa kwa muda mrefu au kukosa maji yenye sabuni ya unga kwa muda mrefu.
Na kichwani alikuwa na kofia ya kapelo yenye picha ya mmea kwa mbele na uso wake ulipambwa na macho makubwa malegevu yenye rangi nyekundu, alikuwa na pua pana ilienea vizuri juu ya mdomo wake uliokuwa mwekundu kama umeunguzwa na kemikali au moto, na masikioni alikuwa amevaa heleni ya duara kama mtoto wa kike na miguu ilikuwa na raba nyekundu ya kupanda iliyonakshiwa na mchoro wa nyota uliozungukwa na neno lililoandikwa "allstars".

Ndani ya daladala mojawapo pale
stendi anaonekana kijana mmoja
mtanashati, ingawa sio sana ila
mpangilio wake wa mavazi na usafi
ndo vimemfanya aonekane wa kipekee kuliko vijana wengine
ndani ya ile daladala.
Mpangilio wake mzuri wa mavazi ilitosha kumjua kabisa huyo kijana ni aina ya vijana wa kileo wanaokwenda na wakati. Alikaa kiti cha nyuma kabisa cha daladala huku masikioni akiwa amevaa headfones kubwa kama mpigaji mziki wa disco.

Baada ya muda wa dakika ishirini, ile daladala ilijaa kabisa na Dereva akaiwasha na safari ikaanza.

Ilitumia mwendo wa dakika 30, ile
gari ilisimama mbele ya majengo
marefu(ghorofa) yaliokuwa
yameandikwa UNIVERSITY OF
DODOMA.

kijana akatelemka na kumlipa konda nauli kisha akashika njia iliyokuwa ikielekea kwenye ghorofa lililokuwa na rangi nyeupe, alipolifikia alipanda ngazi mpaka ghorofa ya tatu na kuingia katika chumba ambacho inaonekana anaishi humo,

'niaje kayoza,? vipi umepata body
spray ya chastity,'" wenzake ndivyo
walivomlaki namna hiyo,hakujibu
kitu akawatupia begi,

"Alafu sio ustaharabu huo, muwe mnajifunza kusalimia ndipo muulize shida zenu" Kayoza aliongea huku akitoa shati
lake akabaki na vest iliyoruhusu kifua
chake kionekane kwa ufasaha zaidi, alafu akajitupa kitandani akachua
simu yake aina ya HTC desire,
akaenda upande wa ujumbe mfupi
wa maneno ambao kulikuwa na ujumbe mfupi uliongia muda mrefu uliopita ila hakuonekana kuujali, akaona huo ndio muda wa kuangalia huo ujumbe, alipousoma aliishia kutabasamu kwa dharau huku akisikitika, kisha akaandika
"usipoteze
muda wako kunifikiria, sina mpango
wa kuwa na mahusiano ya kimapenzi
muda huu" akautuma ule ujumbe katika jina alilosevu
KICHECHE.

"Vipi umekula" Rafiki yake mmoja alimuuliza huku alivaa fulana,

"Tayari, sasa nitaendaje mjini alafu nisile?" Kayoza alijibu huku akiutupia mto chini ya kitanda,

"Poa basi, mimi ndio naenda kutafuta msosi" Rafiki yake huyo aliongea huku akifungua mlango,

"Haina noma, Acha nijipumzishe kidogo" Kayoza alijibu.

Siku iliyofuata ilikua sikukuu ya
kitaifa, kwa hyo wanafunzi wengi
hawakuwa na ratiba ya kuingia
darasani.

Kayoza alichelelewa
kuamka hiyo siku, aliamka saa nne
asubuhi, akaingia bafuni, alipomaliza
kuoga akarudi katika chumba chao, ile kuingia ndani akakunja sura
ghafla baada ya kumkuta ndani msichana ambaye hakuwa akimpenda,

"mambo kayoza", ilikua sauti ya binti mrembo ambae
anawakimbiza wanawake wenzake
kwa uzuri wa umbo na sura, alikua
katika tatu bora katika shindano la urembo lililoshirikisha vyuo vyote vilivyopo Dodoma.

Huyu binti anaitwa Stellah
Malingumu, ni msichana wa miaka ishirini na moja ambaye alikuwa mwanafunzi chuoni hapo akichukua shahada ya ualimu katika masomo ya sayansi.

"poa, umeamkaje?",Kayoza akajibu
huku akijilazmisha kujua hali ya stellah ingawa hakutaka,

"aah safi, mbona meseji yako uliyonitumia jana sikuielewa?", Stellah nae akamtupia swali,

"kwani niliiandika kwa kutumia lugha
ya kichina?", Kayoza badala ya kujibu
nae akauliza, tena kwa jeuri,

" Ok, yaishe", stellah akaamua
kukatisha mabishano,

"Samahan naomba utoke nje mimi
nataka kuvaa", kayoza akaongea kwa
ustaharabu wa kinafki,

"mimi naondoka moja kwa moja, ila
naomba jioni tukutane mjini katika
maeneo ya nyerere square", Stellah
akamwambia Kayoza,

"kuna ishu gani?, alafu jioni, si bora
ingekua mchana ningekuja",Kayoza
akajibu. ,

"usiwe na wasiwasi mpenzi, kama
unahofu njoo hata na marafiki
zako",Stellah akamalizia huku akitoa tabasamu murua.

"Mimi sio mpenzi wako Stellah, rekebisha kauli zako" Kayoza alimuonya Stellah huku akiwa amekasirika,

"Sawa, nisamehe kwa hilo. Kwa hiyo jioni utakuja ama?" Stellah aliuliza tena,

" Jioni ya saa ngapi?", Kayoza akauliza,

"Saa moja na nusu tutakua pale tunawangojea, nitakua na Tausi",

"Poa, haina noma, nitakuja", Kayoza
akakubali mwaliko. Kama angejua

"Peke yako au?" Stellah aliuliza,

"Vipi kwani, mbona maswali mengi?" Kayoza aliuliza huku akiwa amehamaki,

"Inatakiwa nijue ili nipange ratiba zangu za matumizi vizuri" Stellah alijibu kwa upole,

"We panga unavyojua wewe, maana mimi nije peke yangu au na wenzangu hayo hayakuhusu na gharama zangu au wenzangu pia hazitokuhusu" Kayoza aliongea macho yakiwa makavu,

"Basi baba, hatugombani hapa" Stellah aliongea huku akitabasamu,

"Haya nenda nje mimi nivae" Kayoza alimwambia stellah,

"Kwani ukivaa mbele yangu kuna ubaya gani?" Stellah aliuliza kwa utani,

"Wewe mpumbavu nini?" Kayoza aliongea huku akimsukumia Stellah nje na kubaki ndani peke yake akisonya kwa hasira huku akiufikiria mualiko aliopewa na Stellah..

Ila angejua ambacho kitamtokea, basi asingekubali ule mwaliko.......

******ITAENDELEA******
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*KIJIJINI KWA BIBI* *1-----5* Na Mwaisa Story Sehemu Ya 1 ___________ MWANZO ____________ "njoo uingie bado gari iko wazi hii, mama kaa vizuri hapo mnatosha


watu wawili",ilikua sauti ya mpiga
debe aliyekuwa anaita abiria katika
stendi kuu ya daladala mkoani Dodoma(Jamatini).
Ni dhahiri kabisa mpiga debe huyo alikuwa amechoka kutokana na njaa na jua kali, pia muonekano wake ulijidhirisha alivyochoshwa na maisha. Mdomon alikuwa na sigara iliyokuwa inawaka na aliipeleka mdomoni kila alipogida kipakiti cha konyagi kilichokuwa na nembo ya kichwa cha jogoo, na kila alipogida konyagi hiyo aliimeza kwa tabu huku sura yake akiwa anaikunja kama anaumia koo. Alivaa shati na suruali ya rangi ya bluu iliyopauka na zaidi suruali yenyewe aliivalia chini ya makalio na kufanya kuonekana kwa nguo yake ya ndani iliyokuwa na rangi isiyoeleweka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/kijijini-kwa-bibi-1-5-na-mwaisa-story-sehemu-ya-1-___________-mwanzo-____________-njoo-uingie-bado-g

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi kijijini-kwa-bibi
Simulizi: *KIJIJINI KWA BIBI* Na Mwaisa Story   Sehemu Ya 3  ______________ ILIPOISHIA ______________ Walipofika nyerere square, wakamuona kwa mbali stellah
Simulizi: *KIJIJINI KWA BIBI* Na Mwaisa Story Sehemu Ya 3 ______________ ILIPOISHIA ______________ Walipofika nyerere square, wakamuona kwa mbali stellah
*KIJIJINI KWA BIBI* Na Mwaisa Story   Sehemu Ya 2 ______________ ILIPOISHIA. _______________ "Inatakiwa nijue ili nipange ratiba zangu za matumizi vizuri" Stellah
*KIJIJINI KWA BIBI* Na Mwaisa Story Sehemu Ya 2 ______________ ILIPOISHIA. _______________ "Inatakiwa nijue ili nipange ratiba zangu za matumizi vizuri" Stellah
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

601
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

563
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

526
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

391
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

332
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

234
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

141
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

38

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.09K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest