Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 21
Gonga94 · Stories

NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 21

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
SONGA NAYO.........

Kaka Julius akanisogelea Tena karibu zaidi akaniuliza

"Ni Nini hiki .....??"

"Utanipa nafasi nizungumze au utaendelea kunitunishia kifua, kwanza kwanini nitumie nguvu zangu kukuelezea ikiwa video tu ujaielewa maneno yangu utayaelewa "

Nikamsukuma kaka Julius na kumfuata wifi kwanza nilimchapa kibao kimoja Cha mwana ukome Kaka akataka kusogea karibu yangu lakini toby akamshika na kumkaba vilivyo

"Hivi unakumbuka nilikuuliza una uhakika huyu mtoto Ni wetu ??"

Nilikuwa nakuvumilia kwaajili ya precious tu, lakini nilipokuja kugundua hata precious pia sio damu yetu nikaona hauna faida kwetu, na unaongelea kuhusu Jana kukusukuma, wewe kwanini ulinivuta nywele?? Kwamba mimba yako ndo ilikutuma? Nimejisikia vibaya wewe kupoteza mtoto wako lakini hii skendo unayoonesha kwa Kaka yangu ndo inanifanya nioneshe mabaya yako, najua Julius ataumia Sana kujua ukweli lakini ndo ukweli huo "

Niliongea uku nalia nikawatumia video zote kila mtu akazidi kupigwa na butwaa yule mama akaona Mambo yashaharibika akataka kukimbia, lakini Toby alikuwa vizuri akamuachia Julius na kuwai kifunga mlango, kitendo Cha yule mama kutaka kukimbia kilimfanya Kaka Julius kunielewa lakini siku hiyo nilikuwa na maumivu makubwa nikaamua kuongea

"Kaka Julius ulikuwa uko sahihi kuwa sijabadilika maana leo naihatibu ndoa yako kwa ushahidi wenye kishondo kabisa, nakumbuka tulisema kuwa tusahau kila kitu lakini leo umenikumbusha kila kitu najuwa Mimi Ni mkosaji mno"

Kaka Julius hakutaka niendelee kuongea akaja karibu yangu na kusema

"Am sorry"

Kisha akanyoosha kwa Irene jamani alimpiga bao moja la kwenda bao la mama wa kambo, kila mtu alistuka, nilimzuia Kaka Julius kwasababu irene alikuwa bado mgonjwa yaani kwa kawaida tunasema yeye Ni mzazi tu atakama mtoto hayupo nilimtuliza Kaka angu akatulia

"Kabla sijafanya kitu kibaya irene beba mtoto wako uzuri ulikuwa umeshapaki kila kitu toka sitaki kukuona wewe na Hawa wenzio, Dickson changanya miguu mchukue mkeo na muondoke "

Aliongea Kaka kisha akaondoka juu akaja kutoka akiwa amembeba precious na bellah, nikaona Sasa Kaka kachanganyikiwa nikamchukua bellah kumuweka pembeni nilipotaka kumchukua precious wifi aliwai na kusema

"Tutakutana mahakamani"

Nikasema

"Una kichaa wewe eeeh "

Basi taratibu wakabeba mizigo yao na kuondoka precious alikuwa anajionea kila kitu sawa tu maana aelewi hili Wala lile

Niliingia ndani nililia Sana nilijua tu Kaka angu anapitia wakati mgumu, siku hiyo Julius alilewa Sana mpaka akaanza kukumbushia Mambo ya nyuma kabisa nikaogopa nikamuomba Toby aondoke na Bella watarudi nikiwaita, toby hakuwa mkaidi fasta wakachukua gari na kuondoka

"Hivi Mimi Nina mkosi gani kwenye mahusiano nilipokuwa na wewe ulikuwa unanilia pesa zangu tu , bado nikaja kujua wewe ni dada yangu, haya mwanamke mwingine manidhurumu kabisa mtoto wangu, niliyemuoa ndo kanisaliti mpaka kanisaliti Tena "

Alikuwa akiniuliza Kaka Julius niliona aibu eti kati ya watu ambao ametembea nao na Mimi nimo, nilitumia muda mwingi kumtuliza mwisho akalala, nikaomba mlinzi ampeleke chumbani kwake.

Asubuhi na mapema mtu wa kwanza kutuamsha alikuwa Ni mwanasheria wa kaka Julius alikuja akiwa na karatasi za taraka lakini pia mgawanyo wa Mali ambao utafanyika mahakamani

"Huyu mwanamke mpuuzi kweli Mali gani na kila kitu alikikuta hapa amekuja na Dera lake tu umu ndani alikuja Kama house girl kumpenda ndo imekuwa kosa "

Alilalamika kaka.

Siku iliyofuata kesi yetu ilikuwa inaanza saa 7 mchana basi mapema Sana tulikuwa tumeshafika pale mahakamani, taratibu zikafuatwa na kuonekana kuwa mali ni za kaka lakini pia kwakuwa wanataka kuachana inabidi wagawane kwaajili ya malezi ya mtoto ambaye Ni precious

"Lakini precious sio mwanangu muheshimiwa hakimu "

"Tutaaminije bila vipimo ??"

"Well Sasa hivi sayansi na teknologia imekuwa sana majibu ya DNA yanatoka baada ya nusu saa tu nahisi tupime hapa hapa "

Alizungumza Kaka lakini mama precious akadakia

"Nimeshapima na haya Ni majibu "

Basi majibu alipatiwa hakimu na muda na ilionekana kuwa precious ni mtoto wa Kaka Julius kwa asilimia 97 nikasema hapa Kuna kitu , kabla sijaomba nafasi ya kuzungumza Kaka akasema

" Sikuwepo wakati wanapima nafikili tupime hapa , mahakama kubwa Kama hi huwa na dokta wao , lakini pia naomba aje dokta ambaye mama precious alipima mwanzo ili tupate ukweli.

Na uzuri dokta alikuwepo kabla mambo hayajawa mengi dokta akatoka mbele na kuomba radhi kwa udanganyifu kwani alilipwa na Irene kuandika report ya uongo basi tukatoka pale tukiwa na ushindi wetu ingaww nilikuwa nikitamani Sana precious awe wetu na tupewe Haki ya kumlea. Nilipokuwa nataka kuingia kwenye gari irene aka.............

ITAENDELEA........


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 21

SONGA NAYO.........

Kaka Julius akanisogelea Tena karibu zaidi akaniuliza

"Ni Nini hiki .....??"

"Utanipa nafasi nizungumze au utaendelea kunitunishia kifua, kwanza kwanini nitumie nguvu zangu kukuelezea ikiwa video tu ujaielewa maneno yangu utayaelewa "

Nikamsukuma kaka Julius na kumfuata wifi kwanza nilimchapa kibao kimoja Cha mwana ukome Kaka akataka kusogea karibu yangu lakini toby akamshika na kumkaba vilivyo

"Hivi unakumbuka nilikuuliza una uhakika huyu mtoto Ni wetu ??"

Nilikuwa nakuvumilia kwaajili ya precious tu, lakini nilipokuja kugundua hata precious pia sio damu yetu nikaona hauna faida kwetu, na unaongelea kuhusu Jana kukusukuma, wewe kwanini ulinivuta nywele?? Kwamba mimba yako ndo ilikutuma? Nimejisikia vibaya wewe...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nisamehe-mama-sehemu-ya-21

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nisamehe-mama-sehemu-ya
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 20
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 20
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 19
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 19
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 24
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 24
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 23
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 23
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama  SEHEMU YA: 07
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama SEHEMU YA: 07
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama  SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 17
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 17
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA  SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 09
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 18
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 18
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 22
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 22
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 15
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 15
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
NISAMEHE MAMA 😭  SEHEMU YA: 02
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 02
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 01 ANZA NAYO
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 01 ANZA NAYO
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 03
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 03
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 5
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 5
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 04
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 04
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

MY WANGU❤️ sehemu ya 78

601
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

563
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

526
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

392
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

335
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

235
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

147
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

39

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.09K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest