VYOTE NDANI GONGA94
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 24
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
(Mwisho)
Nilimgeukia yule Bibi nilitamani kumrukia yaani nilitamani nimshike nimpige mpaka akili zimkae sawa lakini muda huo huo akaanza kuongea
"Kamili Hawa ndugu zako awakupendi walikutelekeza Mimi ndio nikikuchukua nikakulea "
"Lakini unakumbuka siku ambayo nilitoka kwenye ajali ya moto, nilitaka kumuita mama ukaniziba mdomo,. mpaka leo sikujua maana yako Ni nini sawa wanaweza wakawa awanipendi lakini sio Mr Julius hapa alinipenda sana alimsaidia mama angu kila hatua, nikishukuru kwa kunilea lakini pia niseme sikuwa nikipenda ulivyokuwa ukinitendea"
Maneno ya kamili yaliniumiza Sana nikakaa chini kwanza maana hasira na maumivu vilikuwa vikiumiza moyo wangu, kamili akamgeukia Julius
"Tafadhali naomba unichukue Nina imani wewe Ni mtu mzuri uniifadhi kwako hata mwezi mmoja Kisha nitatafuta siku ya kukaa naomba Sana "
Julius akujibu kitu zaidi alimkumbatia Sana kamili huku wote wakilia, kamili hakuwa akijua kabisa kama Julius ni Kaka yake kabisa yaani baba mmoja mama mmoja.
Tukafuata taratibu zote mwisho tulikabidhiwa kamili wetu ilikuwa kama majila ya saa 12 jioni ndo tulikuwa tumefika nyumbani kwetu masaki tukiwa na kamili wetu, kwa Mara ya kwanza Bella aliogopa kuona mtu ambaye Hana miguu nilijisikia vibaya lakini nikasema kuwa Bella ni mtoto tu.
Niliandaa chakula na kuweka mezani kamili alikuwa akiniangakia muda wote huo maana alionakama namchanganya tu nimebadilika yaani nimekuwa tofauti namwanzo, niliwakaribisha mezani, baada ya kupata chakula tulikaa sebleni kwaajili ya mazungumzo.
"Ningependa tuwe na maongezi mafupi kabisa maana nimechoka mno nilikuwa na siku ndefu sana naimani kila mtu anaitaji kupumzika, kamili KARIBU Sana Sana sana, nikuambie tu hi ni familia yako kabisa yaani haujasingiziwa, namaanisha hivi Mimi ni kaka yako kabisa Ni wa kwanza kuzaliwa wa pili saada watatu Ni wewe "
Basi Julius akaelezea kila kitu siku hiyo akuficha hata kitu hapo ndipo Toby akajua maisha YANGU na ukweli wangu alinipa pole na hongera ya kubadilika na kuwa Kama nilivyo.
Basi Kama familia tukaanza maisha mapya.
Asubuhi na mapema Kaka Julius alitoka na kuwai kurudi alirudi akiwa na kibaiskeli Cha kumsaidia kamili kutembea lakini pia alimnunulia na miguu ya bandika kwani kamili alikuwa na miguu ambayo haijatimia, tukakodisha dokta ambaye alikuwa akifatilia afya ya kamili na alikuwa akimfundisha jinsi ya kutembea na kila kitu.
Maisha yakaenda yalikuwa maisha mazuri Sana yenye amani, tulikutana na baba yetu na kuombana radhi na muda huo baba alikuwa ameshaachana na yule mwanamke wake aliyekuwa akiishi nae
Nilifanikiwa kumuombea wifi YANGU msamaha na aakasamehewa akarudi nyumbani bellah wangu akampata wangu kucheza nae yaani precious Mungu akajaalia mama precious akapata ujauzito na muda ulipofika akajifungua mtoto wa kiume yaani alikuwa kafanana na Kaka Julius kila kitu jamani tulikuwanna furaha Sana niliona umuhimu wa kuwa na familia niliinjoi kupita maelezo kila siku niliona kuwa ni siku mpya katika maisha yangu.
Mwisho....................
KUBADILIKA INAWEZEKANA CHUKUA HATUA, JUA MAKOSA YAKO TUBU, KISHA FANYA MAAMUZI YENYE UWAKIKA.
Nilimgeukia yule Bibi nilitamani kumrukia yaani nilitamani nimshike nimpige mpaka akili zimkae sawa lakini muda huo huo akaanza kuongea
"Kamili Hawa ndugu zako awakupendi walikutelekeza Mimi ndio nikikuchukua nikakulea "
"Lakini unakumbuka siku ambayo nilitoka kwenye ajali ya moto, nilitaka kumuita mama ukaniziba mdomo,. mpaka leo sikujua maana yako Ni nini sawa wanaweza wakawa awanipendi lakini sio Mr Julius hapa alinipenda sana alimsaidia mama angu kila hatua, nikishukuru kwa kunilea lakini pia niseme sikuwa nikipenda ulivyokuwa ukinitendea"
Maneno ya kamili yaliniumiza Sana nikakaa chini kwanza maana hasira na maumivu vilikuwa vikiumiza moyo wangu, kamili akamgeukia Julius
"Tafadhali naomba unichukue Nina imani wewe Ni mtu mzuri uniifadhi kwako hata mwezi mmoja Kisha nitatafuta siku ya kukaa naomba Sana "
Julius akujibu kitu zaidi alimkumbatia Sana kamili huku wote wakilia, kamili hakuwa akijua kabisa kama Julius ni Kaka yake kabisa yaani baba mmoja mama mmoja.
Tukafuata taratibu zote mwisho tulikabidhiwa kamili wetu ilikuwa kama majila ya saa 12 jioni ndo tulikuwa tumefika nyumbani kwetu masaki tukiwa na kamili wetu, kwa Mara ya kwanza Bella aliogopa kuona mtu ambaye Hana miguu nilijisikia vibaya lakini nikasema kuwa Bella ni mtoto tu.
Niliandaa chakula na kuweka mezani kamili alikuwa akiniangakia muda wote huo maana alionakama namchanganya tu nimebadilika yaani nimekuwa tofauti namwanzo, niliwakaribisha mezani, baada ya kupata chakula tulikaa sebleni kwaajili ya mazungumzo.
"Ningependa tuwe na maongezi mafupi kabisa maana nimechoka mno nilikuwa na siku ndefu sana naimani kila mtu anaitaji kupumzika, kamili KARIBU Sana Sana sana, nikuambie tu hi ni familia yako kabisa yaani haujasingiziwa, namaanisha hivi Mimi ni kaka yako kabisa Ni wa kwanza kuzaliwa wa pili saada watatu Ni wewe "
Basi Julius akaelezea kila kitu siku hiyo akuficha hata kitu hapo ndipo Toby akajua maisha YANGU na ukweli wangu alinipa pole na hongera ya kubadilika na kuwa Kama nilivyo.
Basi Kama familia tukaanza maisha mapya.
Asubuhi na mapema Kaka Julius alitoka na kuwai kurudi alirudi akiwa na kibaiskeli Cha kumsaidia kamili kutembea lakini pia alimnunulia na miguu ya bandika kwani kamili alikuwa na miguu ambayo haijatimia, tukakodisha dokta ambaye alikuwa akifatilia afya ya kamili na alikuwa akimfundisha jinsi ya kutembea na kila kitu.
Maisha yakaenda yalikuwa maisha mazuri Sana yenye amani, tulikutana na baba yetu na kuombana radhi na muda huo baba alikuwa ameshaachana na yule mwanamke wake aliyekuwa akiishi nae
Nilifanikiwa kumuombea wifi YANGU msamaha na aakasamehewa akarudi nyumbani bellah wangu akampata wangu kucheza nae yaani precious Mungu akajaalia mama precious akapata ujauzito na muda ulipofika akajifungua mtoto wa kiume yaani alikuwa kafanana na Kaka Julius kila kitu jamani tulikuwanna furaha Sana niliona umuhimu wa kuwa na familia niliinjoi kupita maelezo kila siku niliona kuwa ni siku mpya katika maisha yangu.
Mwisho....................
KUBADILIKA INAWEZEKANA CHUKUA HATUA, JUA MAKOSA YAKO TUBU, KISHA FANYA MAAMUZI YENYE UWAKIKA.
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nisamehe-mama-sehemu-ya
