Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 23
Gonga94 · Stories

NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 23

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

SONGA NAYO.................

Kaka akakaa chini kwanza yaani alika chini kabisa na kunyoosha miguu Kisha akaniambia

"Kaa chini "

Nikakaa na kumuangalia kwa makini kutaka kujua anatak kusema nini, nilipokaa akaanza kunishika kichwani, shingoni na mwili kiujumla, nilibaki nikimshangaa mwisho akauliza

"Uko sawa kweli??"

"Ndio "

"Una uhakika hata kichwa akiumi, usikii joto sana au baridi ?"

"We mbona sikuelewi ??"

" Mimi ndo sikuelewi, hivi unajua nilimtafuta kamili kiasi gani Mimi ?? Nilimtafuta kamili kwenye majivu Mimi niliangaika Sana ingawa walisema ameungua na kupoteza maisha lakini sikuchoka kumtafuta nimemtafuta takribani miaka miwili sijampata wewe inakuwaje unasema kamili anaishi umemuona wapi na Kama alikuwa anaishi muda wote huo na Nani anaishije ??"

Maneno ya Julius yalinifanya nijue kuwa Mimi na mama na baba ndo tuliamini kuwa kamili kweli amekufa, nikaanza kumuelezea kila kitu nilichoambiwa na yule rafiki yangu neema, Basi kaka akasema tutajitaidi twende usiku ndo itakuwa rahisi kuwapata.

Kweli jioni tukaenda kwa mwenyekiti wa serikali za mitaa na nashukuru alikuwa yule yule niliyemuacha na hakuwa amenisahau hata kodogo, tulipokeleww vizuri na kusema kilichotuleta.

" Ni kweli kamili yupo na nilikuwa bize nafanya utaratibu wa kumuamisha kwa yule mama anamtumia vibaya kama mlivyosikia na nilikuwa nimeanza mikakati hili apelekwe kwenye kituo Cha watu walemavu, nakumbuka nilijaribu Sana kukutafuta saada lakini nilipata taarifa kuwa umefariki kwenye uzazi hata sijui hi dunia inaenda wapi, lakini pia sikuwai kujua kuwa mna mkaka mkubwa hivi "

"Ndo hivyo Kaka angu alikuwa nchi za nje uko SI unajua alipata ufadhili akaenda kulelewa hivyo amerudi na anaishi tanzani, mda mrefu tu maana hata hapa alikuwa akija kumuona mama "

"Sawa Mimi naomba mje asubuhi Sasa hivi nitampelekea barua ya wito ja asubuhi tutakuwa na kikao kifupi kwaajili yenu naomba saa mbili kamili muwe hapa.

Tukaondoka nilikuwa na furaha Sana lakini Sasa niliwaza kamili akiniona atanikubali kweli maana alikuwa ni mkubwa na alikuwa akiona kila ubaya ninaofanya ukizingatia alikuwa na akili Sana ya kukalili mambo.

Asubuhi na mapema yaani kabla ya saa mbili tayali tulikuwa mbagala kwa mwenye kiti wa mtaa yaani nakumbuka nyumbai sijui tulitoka saa tisa maana Barabara ilikuwa nyeupe kabisa, na nakumbuka mwenyekiti na familia yake waliamka na kutukuta tumepaki gari nje na tumelala Ni ajabu lakini kiukweli hatukuweza kulala usiku huo tulikuwa tunaweza kuhusu kamili tu

" Ila njaa ishaanza kuniuma ujue "

Nilimwambia Julius tukiwa ndani ya gari

"Darasa la pili D punguza kula kula unataka unenepe Ufike wapi ??"

"Umeanza "

"Sasa nimeanza Nini na nasema kweli unanenepa mno mdogo wangu fanya upungue upendezi "

Nikaona huyu ananipa somo Sasa nikatoka nje ya gari na kukaa chini ya mti majila ya saa mbili Bibi mindoli alifika pale alistuka aliponiona hakuamini Kama angeniona, pale lakini Kaka Julius alimsogelea huyo mama na kusema

"Waoooh ajabu Kama Ni wewe"

Nikamuomba atulie ingawa sikuwa naelewa anaongea kuhusu nini, Basi kikao kikaanza pale.

"Habari zenu jamani najua no asubuhi Sana lakini nimeona kikao hiki kifanyike wakati huu ili kiwai kuisha na kila mtu akaendelee na shughuli zake za utafutaji, kwanza kabisa saada na Julius naomba mtambue kuwa huyu ndo Bibi mindoli , Bibi mindoli huyu Ni sa ........."

" Nawajua tuendelee"

"Aaaah walikuja Jana na kuniambia kuwa wamepata taarifa kuwa ndugu yao Ni mzima na anaishi kwako, sikuona sababu ya kukataa ikiwa Ni kweli unaye ndugu yao, na wanamuitaji "

" Walikuwa wapi siku zote hizo? Wanajua nimemleaje ??"

Hapo Julius aliinuka kwa hasira na kumakaba yule mama kiukweli nilibaki nikishangaa tu yaani kwanini Kaka amekuwa na hasira sana tangu amemuona yule mama, tukasaidiana kumtoa asije akaua maana alimkapa kabali Moja matata

" Unazungumzika kuhusu tulikuwa wapi , unasema umetumia ghalama nyingi vipi kuhusu wewe kumtembeza barabarani kwenye jua akiomba omba kwaajili yako, mwenyekiti sikia huyu mwanamke ni mtu mzima lakini mpuuzi sana sana, Mimi sikuwai kuamini kuwa kamili amefariki lakini aliniaminisha alisema yeye ndie alimtoa mama kwenye lakini alipokuwepo kamili moto ulikuwa mkali mno alishindwa kumsaidia, lakini bado niliendelea kumtafuta akaonesha ushirikiano kuwa Yuko na Mimi , takribani miezi sita halafu Leo unaongea upuuzi gani namtaka kamili hapa laaah sivyo nitakuonesha upande wangu wa pili wa sarafu hapa sijauonesha kamili Yuko wapi "

Mwenyekiti akatuliza fujo na kumuuliza huyo Bibi

"Kamili Yuko wapi .."

"Ahahah mnafikili mtampata kirahisi mpaka nilipwe"

Nikasema kumbe huyu kabali haijamtosha nilimrukia na kuanza kumpiga hovyo hovyo watu wakanishika.

"Unapata wapi nguvu ya kunipiga we mtoto laana kabisa eeeh unapata wapi hiyo nguvu na ukuwai kumpenda kamili hata kidogo "

Muda huo huo kamili alikuwa akija kwa kusota mikononi ndio alikuwa amevaa ndala kiukweli alikuwa amekuwa mkaka kabisa jamani na kama angekuwa anasimama angekuwa na muonekano Kama wa toby hivi sema afya yake ilionekana kuzolota Sana uvumilivu ulinishinda nikamkimbilia ajabu akawa ananiogopa nikajua kabisa anakumbuka ubaya niliokuwa namfanyia lakini alifurahi Sana alipomuona Julius alikuwa akimkumbuka ingawa alimjua kwa muda mfupi tu.

"Umekuja kufanya Nini huku ??"

Aliuliza yule Bibi na kumfanya kamili aogope kabisa

"Wewe Bibi uo mdomo wako utakuponza "

Nilizungumza, kamili akaniita Dada saada
Niligeuka na kuitika Kisha kamili akamgeukia Bibi mindoli na kusema

" Si ulisema Dada saada na mama wamekufa kwaajali na nimebaki na wewe ambaye umeamua kunisaidia huyu Ni Nani ??"

Nilimgeukia Tena yule Bibi kwa hasira Nika..........

ITAENDELEA...



FORGIVE ME, MOM 😭😭
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 23


SONGA NAYO.................

Kaka akakaa chini kwanza yaani alika chini kabisa na kunyoosha miguu Kisha akaniambia

"Kaa chini "

Nikakaa na kumuangalia kwa makini kutaka kujua anatak kusema nini, nilipokaa akaanza kunishika kichwani, shingoni na mwili kiujumla, nilibaki nikimshangaa mwisho akauliza

"Uko sawa kweli??"

"Ndio "

"Una uhakika hata kichwa akiumi, usikii joto sana au baridi ?"

"We mbona sikuelewi ??"

" Mimi ndo sikuelewi, hivi unajua nilimtafuta kamili kiasi gani Mimi ?? Nilimtafuta kamili kwenye majivu Mimi niliangaika Sana ingawa walisema ameungua na kupoteza maisha lakini sikuchoka kumtafuta nimemtafuta takribani miaka miwili sijampata wewe inakuwaje unasema kamili anaishi umemuona wapi na Kama alikuwa anaishi muda wote...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nisamehe-mama-sehemu-ya-23

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nisamehe-mama-sehemu-ya
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 20
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 20
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 19
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 19
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 24
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 24
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 21
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 21
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama  SEHEMU YA: 07
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama SEHEMU YA: 07
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama  SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM 😭😭 nisamehe mama SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 17
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 17
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA  SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 09
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 18
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 18
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 22
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 22
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 15
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 15
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
FORGIVE ME, MOM 😭😭 NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
NISAMEHE MAMA 😭  SEHEMU YA: 02
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 02
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 01 ANZA NAYO
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 01 ANZA NAYO
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 03
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 03
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 5
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 5
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 04
NISAMEHE MAMA 😭 SEHEMU YA: 04
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

565
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

530
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

396
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

335
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

235
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

150
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

40

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.09K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.28K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest