Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

*LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII* Chapter 12  Niliingia ndani, mama alikuwa ananisubiri kwa hamu kweli maana
Gonga94 ยท Stories

*LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII* Chapter 12 Niliingia ndani, mama alikuwa ananisubiri kwa hamu kweli maana

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
inaonekan kafura hasira balaa mimi nilibaki namtizama tu maana kwa jinsi alivyokuwa amekasirika jamni mhh utasema anatka kumuua mtu maana sio kwa jicho lile la hasira alilokuwa akinitizama mama nikasema hapa leo nisipouliwa mimi nisiitwe Asmy tenaa, alinisubiri nikavuee nguoo halafu nikarudi sebuleni nikakaa

"Haya Famrish na Hemed nendeni ndani nataka niongee na huyu dada yenu mjinga mjinga yaani leoo nataka anijibuuu kila swali langu" Famrshi alimchukua Hemed na kwenda nae ndani yeye akabaki na mimi sebuleni "Enhee humu ndani kwangu siku hizi nafuga makahaba sio watu. ambaoo wanawatongoza wanaumee za watu si ndio?, mama yako nilikuwa ndioo nina mambo mengi ila sikuwahi kumtongoza mwanaume kwenye maisha yanguu upo hapo, haya nataka majibu yanguu wewe mpuuzi, tena nijibu haraka ipasavyoo maan naweza kukuuuwa kw ajinsi nilivyo ninahasira na wewe mtoto mjinga, Fatha kanielezea kila kitu mpuuzi wee, na bado ukaenda kutembeea na lecturer wenu si ndioo hivi wewe mtoto umeenda shule kufanya umalaya si ndio?" alikuwa anaongeaa mama hapuziki mimi sikutaka kumkatisha kwa maswali yake nikamuacha tu aseme maana ndio nahisi hasira zake zitaishia hapo mimi japo nilikuwa najua mama yangu ili hasira zake ziishe lazima anibutuee kisawa sawa yaani mpaka maji niyaitee mmma

"Huna majibu ya kunijibu sio, na bado nataka nijuee jana ulilala wapi wewe mshenzi hivi hao wanaume wamekusaidia nini mpaka leo si upo kama mama yako hap nilivyoo, hivi hapa ndio unapata mimba kwa mfano si unakuja kuongeza mizigoo wee mshenzi wewe, yaani wanaume wako wa maana ni mmoja tu na ninahisi pia ni mwanaume wa mtu wewe mjingaa hivi kwani..... hakumalizia sentensi akanirukia na kuanza kunipiga, jamani alinipga miguni akaona haitoshi akachukua fagio alijua kunipiga jamani nilipigwa mimi kha nilivimbaa jamni mpaka kuna mahala alinichana alinipiga mpaka akahakikisha ameridhikaa akaniacha siwezi hata kutembeaa hapo ni ninaliaa mpaka sauti ikakauka alikuja Famrish akaninyanyuaa taratibu akanipeleka chumbani kwangu nikapumzikee, ilikuwa ni majira ya saa 12 sasa maan chuo nilitoka saa 10 nililala sikutaka kusumbuliwa kabisaa nililala yaani kiufupi sikutaka fujo masikioni mwangu maana hata simu ilipoitaa sikupokeaa ila nilishtuka saa 6 usiku nikakuta aliekuwa akipiga ni lecturer nilijaribu kumpigia hakupokeaa, nikajua tu atakuwa amelala

Asubuh ilifika na mdogo wang Famrish alienda shule na mimi nikabaki zangu chumbani nimelala hata mama alijua tu kwamba leo. sitoenda chuoo, maana alikuwa amenipiga vikali mama yangu huwa ana huruma sana alikuja na maji ya motoo akaanza kunikanda huku akinichamba ila hakuwa ananichamba kwa kufoka alikuwa ni kama ananipa ushauri, hii ilinifanya niwe huru kumuelezeaa mama yangu kila kitu, kuhusu hyo video huyo sama, mpaka huyo lecturer na jinsi alivyonisaidia maana jumatatu nilikuwa naanza kazi rasmi

"Anaonekana ni mtu mwema na hana mambo mengi, ila wewe nae mjinga unawezaje kwenda kukutana na mwanaume bila kujua historiaa yake wewe vipi hata kama nilikuwa nimechangamka wakati wangu ila nilikuwa sikutani na mwanaume bila kumjuaa historia yake" alisema mama nilicheka tuu etty alikuwa kachangamkaa mhh mama naee hapana kazidi " sawa mama nitamuuliza" nilimjibu mama" ila wanaume sio watu wa kuwamini kabisa mwanangu japo alipokuja asubuhi alinipattia 400k shga angu, hhh hapa mpenzi umepata ila sasa awe mpenzi wa mtu uabishwe tena hhh ntakucheka" alisema mama nilimtizma tu maneno yake yalikuwa yameniingia japo aliongea kiutani, "haya pumzika sasa usikilizie maumivu alisema mama huku akitoka nje kwenda kuandaa chakula,ile anatoka tu na lecturer akapiga tukaongeaa nikamuhadithia kila kitu alinionea huruma na aliahidi kuja kuniona
Tangazo - Hostinger 2026 on fire
Hostinger 2026 on fire
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII* Chapter 12 Niliingia ndani, mama alikuwa ananisubiri kwa hamu kweli maana

inaonekan kafura hasira balaa mimi nilibaki namtizama tu maana kwa jinsi alivyokuwa amekasirika jamni mhh utasema anatka kumuua mtu maana sio kwa jicho lile la hasira alilokuwa akinitizama mama nikasema hapa leo nisipouliwa mimi nisiitwe Asmy tenaa, alinisubiri nikavuee nguoo halafu nikarudi sebuleni nikakaa

"Haya Famrish na Hemed nendeni ndani nataka niongee na huyu dada yenu mjinga mjinga yaani leoo nataka anijibuuu kila swali langu" Famrshi alimchukua Hemed na kwenda nae ndani yeye akabaki na mimi sebuleni "Enhee humu ndani kwangu siku hizi nafuga makahaba sio watu. ambaoo wanawatongoza wanaumee za watu si ndio?, mama yako nilikuwa ndioo nina mambo...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/lecturer-nikikupa-hutoninanii-chapter-12-niliingia-ndani-mama-alikuwa-ananisubiri-kwa-hamu-kweli-maa

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi lecturer-nikikupa-hutoninanii-chapter
 *LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII*      *Chapter 14&15*  Alitoka nje na kuniacha mimi ndani nipo najichekea chekea
*LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII* *Chapter 14&15* Alitoka nje na kuniacha mimi ndani nipo najichekea chekea
LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII   Chapter 17  Nilikuja kuzinduka najiona nipo hospitali tayri
LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII Chapter 17 Nilikuja kuzinduka najiona nipo hospitali tayri
LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII Chapter 18  mtihani mkubwa sana ambao hata wewe kuusolve
LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII Chapter 18 mtihani mkubwa sana ambao hata wewe kuusolve
*LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII* Chapter 8  Nilililegeaa mara kumi yake jamani huyu mkaka hapana anajua bwana kwa kujua tu anajua
*LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII* Chapter 8 Nilililegeaa mara kumi yake jamani huyu mkaka hapana anajua bwana kwa kujua tu anajua
*LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII* Chapter 10  Tuliachana na lecturer yeye alielekeaa officine na mimi nilielekeaa class
*LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII* Chapter 10 Tuliachana na lecturer yeye alielekeaa officine na mimi nilielekeaa class
*LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII* Chapter 13  Hyo siku ilipita na Lecturer hakuja alinambia tu hakupata muda na kesho
*LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII* Chapter 13 Hyo siku ilipita na Lecturer hakuja alinambia tu hakupata muda na kesho
*LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII* Chapter 7  "Ndio nakupendaa, na nipo tayari kuthibitisha hiloo kwako, msichana wa kiarabu
*LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII* Chapter 7 "Ndio nakupendaa, na nipo tayari kuthibitisha hiloo kwako, msichana wa kiarabu
*LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII* Chapter 9  Nililala mpaka asubuhi, ila niliwahi kuamka mimi wa kwanza kuliko lecturer, nilikaa nikaanza
*LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII* Chapter 9 Nililala mpaka asubuhi, ila niliwahi kuamka mimi wa kwanza kuliko lecturer, nilikaa nikaanza
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

10.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.25K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.48K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

2.56K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.3K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.11K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.11K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.03K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.99K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

1.95K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest