Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
25 Nov 2025
371 views
VYOTE NDANI GONGA94
LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII *SEHEMU YA KUMI NA SITA* Barua ililetwa na baada ya wiki mahari
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
nayo ililetwa ilikuwa ml 4 na mimi hapo nilikuw nishaanza kazi na kipindi hiko mawasiliano yangu kati yangu mimi na lecturer yakawa shida zinaweza kupita siku 3 mpaka nne hatuwasiliani mimi na yeye na nikija kuwasiliana nae anasema mafunzo sasa hivi yamezidi kuwa magumu sana nilimuelewa nikajua ni shughuli maana hata mimi nimesoma chuo wanafunzi wa mwaka watatu nilikuwa nawaona hiki kipindi cha mwisho wanakuwa busy sana mara trip mara wawe wanaenda wodini kwahyo nilikuwa namuelewa hamna kitu kibaya nikichokuwa nahisi kati kati yake ila nilizidi kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa na kwa uweledi na nilizidi kufanya ibada maan ibada pekee ndio msaada wangu, kipindi hiki nilikuwa mchamungu sana, kuswali na kufunga suna vilikuwa ni kawaida kwangu nilikuwa nafanya hivi kuomba bahati mungu alioniletea isije ikatoka nikononi mwangu maan nilijikuta nampenda sana huyu lecturer maan kaja kubadilisha hatma yangu, na kuwa maji mara moja maharani ya mbeya niliacha, kila kituu kinabadilika ukiamuaa, nilikuwa serious san huu wakati sikutaka ujinga, kwanza mimi ni mchumba wa mtu
Kwa upande wa mama huku aliongea na wazazi wake, kuhusu jambo langu ila hata bibi na babu hawakukaza japo babu alikuwa mtata alilainika pia baada ya kueleweshwa sna, na walifurahi wakasema watakuja karibu na harusi maan ilipangwa mwezi wa 11 harusi yenyewe nilifurahi kwamba itakuwa kwa mara yangu ya kwanza nawaona babu na bibi yangu wazi nilifurahi mno jamani, ila ilitupasa tuhame pale na kutafuta nyumba kubwa ya vyumba vinne ili mimi niwe nalala peke yangu, Famrish Peke yake, mama na mwanae Hemed na kile waje bibi na babu dada zake mama watagawana mmoja atalala na mimi na mwengine atalala na Famrish maan kwao. Walizaliwa watatu na mama ndio alikuwa wa mwisho kwa wote tulifanikiwa kupata hyo nyumba kwa msada pia wa mume wangu mtarajiwa tulihamia pale na tarehe za harusi yangu zilikaribia hivyo bibi babu na mamawakubwa walikuja huku Dsm kutoka huko mkoani, na mimi nikaanza kukaa ndani natawa maaan niliomba ruhusa kazini saa kipindi hicho ni mwezi wa kumi sasa, na hapo mawasiliano ya mimi na mume wangu mtarajiwa yalikata kabisa maan alikuwa hanipigii simu nilimshirikisha na mama, mama alikuwa kama anakata tamaaa ila tulijipa moyo maana kashatoa mahari na aache kuja itakuwa sio kweli
Hii siku nimekaa zangu ndani nimetulia nikashangaa sms imeingia kwenye simu yangu. WhatsApp namba ngeni ila niliifahamu kama ni ya Sam maan kipindi nilibadili na laini yangu kabis sms ilingia inasem hivi Asmy kwa akili zako unahisi huyo mwanaume atakuja kwenye harusi hebu sahau hilo umeshasahau lililotokea by Sam ile sms ilinitisha na sio hiyoo na ile video ilitumwa piaa nilizidi kuogoap jamani hapo nakumbuka bado wiki mbili tu na ndoa yangu ifungwe na nishaalika kila mtu pale mtaani jamani mh hapana, nilimshirikisha na maama, mama yangu aksema nipotezeee nisiweke kichwani, bwana harusi atakuja tu usiwaze muda huo Khalid hata sina mawasiliano naee nampigia simu zangu haokoti jamani nilichoka mimi, nilijiblock kabis ile na namba ya Sam
Na kweli siku ya harusi ilifika, nishapambwa namsubiria bwana harusi kwani anatokea jamani nilijisi kama nife mpaka jioni mtu hajatokeaa nilibaki kama nimeduwaa jamani hii haikuwa sawa nilikaa kimya mpaka asubuhi bila kuongea na mtu yoyote nyumbani nimejifungiaa mlangoo, maaan huu mdhaliliko ni mkubwa kuliko hata Alioufanya Sam ni wanajua watu wa chuo tu sasa huu ni hadi watu wa mitaani wote wanaelewa na bado ndugu zangu jaman hapana nilihisi ule mkosi wa mama yangu umekuja kwangu,
Huku nje bibi na babu wakaanza kumgombeza mama kumwambia etty hata kwangu yamekuwa yale yale yaani mama ni anamukosi walikasirika sana maan waliumbuka mno maan na wao
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila k...
LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII *SEHEMU YA KUMI NA SITA* Barua ililetwa na baada ya wiki mahari
nayo ililetwa ilikuwa ml 4 na mimi hapo nilikuw nishaanza kazi na kipindi hiko mawasiliano yangu kati yangu mimi na lecturer yakawa shida zinaweza kupita siku 3 mpaka nne hatuwasiliani mimi na yeye na nikija kuwasiliana nae anasema mafunzo sasa hivi yamezidi kuwa magumu sana nilimuelewa nikajua ni shughuli maana hata mimi nimesoma chuo wanafunzi wa mwaka watatu nilikuwa nawaona hiki kipindi cha mwisho wanakuwa busy sana mara trip mara wawe wanaenda wodini kwahyo nilikuwa namuelewa hamna kitu kibaya nikichokuwa nahisi kati kati yake ila nilizidi kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa na kwa uweledi na nilizidi kufanya ibada maan...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/lecturer-nikikupa-hutoninanii-sehemu-ya-kumi-na-sita-barua-ililetwa-na-baada-ya-wiki-mahari