Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII *SEHEMU YA KUMI NA SITA*  Barua ililetwa na baada ya wiki mahari
Gonga94 ยท Stories

LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII *SEHEMU YA KUMI NA SITA* Barua ililetwa na baada ya wiki mahari

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
nayo ililetwa ilikuwa ml 4 na mimi hapo nilikuw nishaanza kazi na kipindi hiko mawasiliano yangu kati yangu mimi na lecturer yakawa shida zinaweza kupita siku 3 mpaka nne hatuwasiliani mimi na yeye na nikija kuwasiliana nae anasema mafunzo sasa hivi yamezidi kuwa magumu sana nilimuelewa nikajua ni shughuli maana hata mimi nimesoma chuo wanafunzi wa mwaka watatu nilikuwa nawaona hiki kipindi cha mwisho wanakuwa busy sana mara trip mara wawe wanaenda wodini kwahyo nilikuwa namuelewa hamna kitu kibaya nikichokuwa nahisi kati kati yake ila nilizidi kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa na kwa uweledi na nilizidi kufanya ibada maan ibada pekee ndio msaada wangu, kipindi hiki nilikuwa mchamungu sana, kuswali na kufunga suna vilikuwa ni kawaida kwangu nilikuwa nafanya hivi kuomba bahati mungu alioniletea isije ikatoka nikononi mwangu maan nilijikuta nampenda sana huyu lecturer maan kaja kubadilisha hatma yangu, na kuwa maji mara moja maharani ya mbeya niliacha, kila kituu kinabadilika ukiamuaa, nilikuwa serious san huu wakati sikutaka ujinga, kwanza mimi ni mchumba wa mtu

Kwa upande wa mama huku aliongea na wazazi wake, kuhusu jambo langu ila hata bibi na babu hawakukaza japo babu alikuwa mtata alilainika pia baada ya kueleweshwa sna, na walifurahi wakasema watakuja karibu na harusi maan ilipangwa mwezi wa 11 harusi yenyewe nilifurahi kwamba itakuwa kwa mara yangu ya kwanza nawaona babu na bibi yangu wazi nilifurahi mno jamani, ila ilitupasa tuhame pale na kutafuta nyumba kubwa ya vyumba vinne ili mimi niwe nalala peke yangu, Famrish Peke yake, mama na mwanae Hemed na kile waje bibi na babu dada zake mama watagawana mmoja atalala na mimi na mwengine atalala na Famrish maan kwao. Walizaliwa watatu na mama ndio alikuwa wa mwisho kwa wote tulifanikiwa kupata hyo nyumba kwa msada pia wa mume wangu mtarajiwa tulihamia pale na tarehe za harusi yangu zilikaribia hivyo bibi babu na mamawakubwa walikuja huku Dsm kutoka huko mkoani, na mimi nikaanza kukaa ndani natawa maaan niliomba ruhusa kazini saa kipindi hicho ni mwezi wa kumi sasa, na hapo mawasiliano ya mimi na mume wangu mtarajiwa yalikata kabisa maan alikuwa hanipigii simu nilimshirikisha na mama, mama alikuwa kama anakata tamaaa ila tulijipa moyo maana kashatoa mahari na aache kuja itakuwa sio kweli

Hii siku nimekaa zangu ndani nimetulia nikashangaa sms imeingia kwenye simu yangu. WhatsApp namba ngeni ila niliifahamu kama ni ya Sam maan kipindi nilibadili na laini yangu kabis sms ilingia inasem hivi Asmy kwa akili zako unahisi huyo mwanaume atakuja kwenye harusi hebu sahau hilo umeshasahau lililotokea by Sam ile sms ilinitisha na sio hiyoo na ile video ilitumwa piaa nilizidi kuogoap jamani hapo nakumbuka bado wiki mbili tu na ndoa yangu ifungwe na nishaalika kila mtu pale mtaani jamani mh hapana, nilimshirikisha na maama, mama yangu aksema nipotezeee nisiweke kichwani, bwana harusi atakuja tu usiwaze muda huo Khalid hata sina mawasiliano naee nampigia simu zangu haokoti jamani nilichoka mimi, nilijiblock kabis ile na namba ya Sam

Na kweli siku ya harusi ilifika, nishapambwa namsubiria bwana harusi kwani anatokea jamani nilijisi kama nife mpaka jioni mtu hajatokeaa nilibaki kama nimeduwaa jamani hii haikuwa sawa nilikaa kimya mpaka asubuhi bila kuongea na mtu yoyote nyumbani nimejifungiaa mlangoo, maaan huu mdhaliliko ni mkubwa kuliko hata Alioufanya Sam ni wanajua watu wa chuo tu sasa huu ni hadi watu wa mitaani wote wanaelewa na bado ndugu zangu jaman hapana nilihisi ule mkosi wa mama yangu umekuja kwangu,

Huku nje bibi na babu wakaanza kumgombeza mama kumwambia etty hata kwangu yamekuwa yale yale yaani mama ni anamukosi walikasirika sana maan waliumbuka mno maan na wao

Tangazo - Bilionea ndani ya hoteli full story mwandishi babie love
Bilionea ndani ya hoteli full story mwandishi babie love
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII *SEHEMU YA KUMI NA SITA* Barua ililetwa na baada ya wiki mahari

nayo ililetwa ilikuwa ml 4 na mimi hapo nilikuw nishaanza kazi na kipindi hiko mawasiliano yangu kati yangu mimi na lecturer yakawa shida zinaweza kupita siku 3 mpaka nne hatuwasiliani mimi na yeye na nikija kuwasiliana nae anasema mafunzo sasa hivi yamezidi kuwa magumu sana nilimuelewa nikajua ni shughuli maana hata mimi nimesoma chuo wanafunzi wa mwaka watatu nilikuwa nawaona hiki kipindi cha mwisho wanakuwa busy sana mara trip mara wawe wanaenda wodini kwahyo nilikuwa namuelewa hamna kitu kibaya nikichokuwa nahisi kati kati yake ila nilizidi kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa na kwa uweledi na nilizidi kufanya ibada maan...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/lecturer-nikikupa-hutoninanii-sehemu-ya-kumi-na-sita-barua-ililetwa-na-baada-ya-wiki-mahari

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi lecturer-nikikupa-hutoninanii-sehemu-ya-kumi-na-sita-barua-ililetwa-na-baada-ya-wiki-mahari
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

10.14K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.27K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.48K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

2.57K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.31K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.12K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.11K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.04K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

1.96K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest