Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII *SEHEMU YA KUMI NA SITA*  Barua ililetwa na baada ya wiki mahari
Gonga94 · Stories

LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII *SEHEMU YA KUMI NA SITA* Barua ililetwa na baada ya wiki mahari

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
nayo ililetwa ilikuwa ml 4 na mimi hapo nilikuw nishaanza kazi na kipindi hiko mawasiliano yangu kati yangu mimi na lecturer yakawa shida zinaweza kupita siku 3 mpaka nne hatuwasiliani mimi na yeye na nikija kuwasiliana nae anasema mafunzo sasa hivi yamezidi kuwa magumu sana nilimuelewa nikajua ni shughuli maana hata mimi nimesoma chuo wanafunzi wa mwaka watatu nilikuwa nawaona hiki kipindi cha mwisho wanakuwa busy sana mara trip mara wawe wanaenda wodini kwahyo nilikuwa namuelewa hamna kitu kibaya nikichokuwa nahisi kati kati yake ila nilizidi kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa na kwa uweledi na nilizidi kufanya ibada maan ibada pekee ndio msaada wangu, kipindi hiki nilikuwa mchamungu sana, kuswali na kufunga suna vilikuwa ni kawaida kwangu nilikuwa nafanya hivi kuomba bahati mungu alioniletea isije ikatoka nikononi mwangu maan nilijikuta nampenda sana huyu lecturer maan kaja kubadilisha hatma yangu, na kuwa maji mara moja maharani ya mbeya niliacha, kila kituu kinabadilika ukiamuaa, nilikuwa serious san huu wakati sikutaka ujinga, kwanza mimi ni mchumba wa mtu

Kwa upande wa mama huku aliongea na wazazi wake, kuhusu jambo langu ila hata bibi na babu hawakukaza japo babu alikuwa mtata alilainika pia baada ya kueleweshwa sna, na walifurahi wakasema watakuja karibu na harusi maan ilipangwa mwezi wa 11 harusi yenyewe nilifurahi kwamba itakuwa kwa mara yangu ya kwanza nawaona babu na bibi yangu wazi nilifurahi mno jamani, ila ilitupasa tuhame pale na kutafuta nyumba kubwa ya vyumba vinne ili mimi niwe nalala peke yangu, Famrish Peke yake, mama na mwanae Hemed na kile waje bibi na babu dada zake mama watagawana mmoja atalala na mimi na mwengine atalala na Famrish maan kwao. Walizaliwa watatu na mama ndio alikuwa wa mwisho kwa wote tulifanikiwa kupata hyo nyumba kwa msada pia wa mume wangu mtarajiwa tulihamia pale na tarehe za harusi yangu zilikaribia hivyo bibi babu na mamawakubwa walikuja huku Dsm kutoka huko mkoani, na mimi nikaanza kukaa ndani natawa maaan niliomba ruhusa kazini saa kipindi hicho ni mwezi wa kumi sasa, na hapo mawasiliano ya mimi na mume wangu mtarajiwa yalikata kabisa maan alikuwa hanipigii simu nilimshirikisha na mama, mama alikuwa kama anakata tamaaa ila tulijipa moyo maana kashatoa mahari na aache kuja itakuwa sio kweli

Hii siku nimekaa zangu ndani nimetulia nikashangaa sms imeingia kwenye simu yangu. WhatsApp namba ngeni ila niliifahamu kama ni ya Sam maan kipindi nilibadili na laini yangu kabis sms ilingia inasem hivi Asmy kwa akili zako unahisi huyo mwanaume atakuja kwenye harusi hebu sahau hilo umeshasahau lililotokea by Sam ile sms ilinitisha na sio hiyoo na ile video ilitumwa piaa nilizidi kuogoap jamani hapo nakumbuka bado wiki mbili tu na ndoa yangu ifungwe na nishaalika kila mtu pale mtaani jamani mh hapana, nilimshirikisha na maama, mama yangu aksema nipotezeee nisiweke kichwani, bwana harusi atakuja tu usiwaze muda huo Khalid hata sina mawasiliano naee nampigia simu zangu haokoti jamani nilichoka mimi, nilijiblock kabis ile na namba ya Sam

Na kweli siku ya harusi ilifika, nishapambwa namsubiria bwana harusi kwani anatokea jamani nilijisi kama nife mpaka jioni mtu hajatokeaa nilibaki kama nimeduwaa jamani hii haikuwa sawa nilikaa kimya mpaka asubuhi bila kuongea na mtu yoyote nyumbani nimejifungiaa mlangoo, maaan huu mdhaliliko ni mkubwa kuliko hata Alioufanya Sam ni wanajua watu wa chuo tu sasa huu ni hadi watu wa mitaani wote wanaelewa na bado ndugu zangu jaman hapana nilihisi ule mkosi wa mama yangu umekuja kwangu,

Huku nje bibi na babu wakaanza kumgombeza mama kumwambia etty hata kwangu yamekuwa yale yale yaani mama ni anamukosi walikasirika sana maan waliumbuka mno maan na wao

Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

LECTURER NIKIKUPA HUTONINANII *SEHEMU YA KUMI NA SITA* Barua ililetwa na baada ya wiki mahari

nayo ililetwa ilikuwa ml 4 na mimi hapo nilikuw nishaanza kazi na kipindi hiko mawasiliano yangu kati yangu mimi na lecturer yakawa shida zinaweza kupita siku 3 mpaka nne hatuwasiliani mimi na yeye na nikija kuwasiliana nae anasema mafunzo sasa hivi yamezidi kuwa magumu sana nilimuelewa nikajua ni shughuli maana hata mimi nimesoma chuo wanafunzi wa mwaka watatu nilikuwa nawaona hiki kipindi cha mwisho wanakuwa busy sana mara trip mara wawe wanaenda wodini kwahyo nilikuwa namuelewa hamna kitu kibaya nikichokuwa nahisi kati kati yake ila nilizidi kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa na kwa uweledi na nilizidi kufanya ibada maan...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/lecturer-nikikupa-hutoninanii-sehemu-ya-kumi-na-sita-barua-ililetwa-na-baada-ya-wiki-mahari

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi lecturer-nikikupa-hutoninanii-sehemu-ya-kumi-na-sita-barua-ililetwa-na-baada-ya-wiki-mahari
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

597
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

545
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

376
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

374
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

323
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

55
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

41
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8

37

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

10.99K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.26K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

*REALLY LOVE  💕💕💕* *1-5* Post Mpya
*REALLY LOVE 💕💕💕* *1-5*
@majario LIVE

*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake ambaye alikuwa amelala """""ah babe nimechoka"""" mpenzi wake huyo aitwae seven alijibu kiuchovu sana...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 16 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Nikawa Sina budi kukubali nilivokumbuka ndoto ya Jana nikaogopa asije Freeman akafa kwasababu yangu Mimi, nilivokubali yule baba alifurahi akataka Hadi kunibeba ingawa alikuwa Hana nguvu akaniambia twende sasa na...

MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 61 na 62
@majario LIVE

Basi zai ndo wa kwanza akanambia we mbona umevimba macho ulikuwa unalia.nikasema.ndio kuna mtu kamwmabia kaka kuwa mimk.natembea na zayd ule mda nimekuja kukufata ww. Prisca akasema hao ni...

MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 59 na 60
@majario LIVE

Nikasema.achana nae bwana wala hana cha maan . Mi nimemwambia tu kuwa simtaki na asinifatilie mana atakuja kuniletea matatizo. Basi shoga akanambia sawa. Basi mie nikawa busy na mambo ya...

MY WANGU❤️ sehemu ya 58 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 58
@majario LIVE

Mh zayd. Akasogea mpka nilipokaaa na yeye akavuta kiti akakaa karibu yangu. Ila uzuri tu ili darasa lilikuwa halina ata. Mtu. Akanambia eeh , ina maana faridah hukusikia salamu yangu....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest