Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 07
Gonga94 Β· Stories

πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 07

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Kiukweli kwa hali halisi ya maisha ni kwamba watu ambao maisha yao ni duni wanaogopaga sana kutoka na watu ambao wana maisha mazuri, hii ni kwa sababu ya kushindwa kulinganisha hadhi, hivyo basi Nasma alivyokuwa anawaza kuhusu kija Raymond aliona kama vile anapoteza muda wake.

Ray alimaliza kupiga mswaki akaenda chumbani na kuchukua taulo halafu akazama bafuni akioga β€œMh yaani Rose atahisi nimesusa jamani wakati ninampenda sana” aliwaza akiwa bafuni anajipaka sabuni taratibu. Maana tangu jana usiku alikuwa hajamtakia hali mpenzi wake wa jijini Dar aitwaye Rose.

Ray alioga haraka haraka na kuweza kurudi chumbani, muda huo bado mama yake alikuwa amelala, ila mzee alikuwa akichunga mbuzi wake mitaa ya jirani kidogo kutoka pale nyumbani.

Ray alitoka nje akiwa ananukia, hasa, halafu akasimama mlangoni na kumuangalia binti aliyekuwa anamalizia kufagia uwanja β€œHeeeh kaka” Nasma alianza mazoea

β€œNini” aliuliza Ray

β€œUnaoga kila saa?” alimuuliza

β€œKawaida, nimezoea, kule Dar kulivyo na joto lazima mtu uoge mara 3 mpaka 4 kwa siku”

β€œMungu wangu ni nyingi sana” alisema Nasma

β€œVipi wewe umeoga kweli tangu jana, maana nguo zilikuwa hizo hizo” Ray aliuliza

β€œHamna, nimeoga, sema tu, nguo mimi ninazo mbili tu, hii ya kufanyia kazi, ila nikishaoga navaa hiyo nyingine nzuri nzuri”

β€œMungu wangu, nguo mbili? Unalipwaga mshahara?” alimuuliza

β€œNalipwa, ila hivyo nyumbani kuna maisha magumu, mimi ndo mtoto ninayetegemewa na wazazi mshahara wangu huwa unatumwa kwao wote”

β€œpole sana” alisema Ray binti akatikisa kichwa na kuinama kuendelea kufagia uwanja wake β€œUtaratibu wa chai vipi?” aliuliza Ray

β€œngoja namalizia usafi halafu nitatengeneza” alisema binti

β€œvitafunwa je?” aliuliza

β€œKuna kiporo cha makande”

β€œHahahaaa…..kwa huu mjengo nilijua maisha yamebadilika lakini kumbe wapi, embu niacheni kidogo bwana mimi ngoja nikalete vitafunwa nje huko.” Alisema Ray na kurudi ndani akachukua pochi pamoja na simu yake akatoka nayo mpaka njiani.

Alitembea tembea, kutafuta sehemu yakununulia chapati au vitafunwa vingine vitramu vitramu, akaona kama vile pale kijijini hakuna, ndipo akaanza kuelekea katika duka moja kununua mkate. Kabla hajafika akasikia sauti

β€œWe, Raymond” ilitokea sauti nyuma yake, akatazama, ni Elinami pamoja na Doto walikuwa na mizigo ya majani wanapeleka nyumbani.

β€œNaaam” aliitika na kusimama kuwasubiri mpaka wakafika pale

β€œHeh, ni wewe unanukia barabara nzima jamani?” Elinami alianza kumpamba lakini Ray alimtazama kwa aibu kidogo

β€œkawaida mbona?” alisema Ray na kumgeukia Doto aliyekuwa pembeni mwa Elinami

β€œShikamoo” alisema Doto huku akimkagua kuanzia juu mpaka chini

β€œMarahaba wewe ni yupi tena?” aliuliza

β€œDoto” alisema binti

β€œDoto yupi….wale niliwaacha vidonchi juzi juzi wa kwa mama Saumu?” aliuliza

β€œndio”

β€œDuuuh mnakuwa sana” alisema na kumgeukia Elinami β€œVipi natafuta sehemu wanayouza chapati chapati ntapata kweli humu kijijini?” aliuliza

β€œDah, ni mbali, karibia na sokoni mule….ina maana umeshasahau mitaa hii miaka michache tu mh” alimuuliza binti

β€œHamna, maisha yamebadilika, mimi kipindi natoka huku kulikuwa hamna maendeleo hivi, nyumba kama hizi hapa, zote hazikuwepo” alisema akizungusha mikono angani kuonyesha nyumba zilizokuwa zimejaa maeneo yale

β€œNdo hivyo lakini, wewe nyoosha na hii barabara, utapaona kumechangamka kidogo kuna kabango kameandika Rukia Food” alisema Elinami

β€œOk powa asante” Ray alisema, ndipo Elinami akamkonyeza kwa style fulani kwamba watawasiliana kwenye simu, halafu jamaa aliondoka zake akiwa anatabasamu.

Alimtext Rose, Good morning babe” alitum text kwa furaha lakini kwa bahati mbaya Rose hakujibu kabisa ile message akajua labda yuko bize na kazi yeye akaendelea na mishe zake

Kweli alifikia maeneo fulani akaona bango dogo limeandikwa Rukia Food, akatazama, akamuona mama mmoja mweusi mweusi akisukuma chapati

β€œShikamoo” alisilimia ikabidi yule mama atabasamu bila kuitikia salamu yake β€œVipi mbona unatabasamu” aliuliza

β€œHahaaa…..hivi Ray, wewe ni wa kunipa shikamoo mimi?” mama yule alimfahamu

β€œmh…..mbona sijaelewa hapo kumbe najulikana”

β€œEmbu kwenda bwana,….yani mkishatoka mjini ndo zenu, mnasalimia hadi wadogo zenu, au kisa tumezeeshwa na maisha sisi?” aliuliza

β€œMmmmh hapana, sister sorry sijakujua fulani hivi”

β€œHumkumbuki dada mkuu wako ee?” aliuliza huku akimkazia macho, ndipo Ray akakumbuka na kucheka

β€œHahahaaaaaa……Sawa bana, jina la Rukia likanichanganya kumbe Mwanaidi…ok sorry sana nimezeeka mpaka kumbukumbu zimeenda mbali

β€œAchana na mimi” alisema huyo dada kwa jeuri, halafu akainuka β€œEmbu nipe zawadi yangu kutoka huko mjini, au ndo umemletea mama yako peke yake” alisema mwanamke yule

β€œHamna cha zawadi wala nini, sikia, nifungie chapati 3 mara 4, nikale raha mimi” alisema Ray

β€œMh yaani chapati kumi na mbili?” aliuliza mwanaidi

β€œYaaap” Ray alisema na kutoa noti ya 5000 kwenye pochi akamkabidhi, na yule dada alifanya hivyo β€œShilingi ngapi inakuwa” aliuliza

β€œ3600” alisema huyo dada maana chapati moja ilikuwa sh 300 tu

β€œOk iliyobaki kunywa soda”

β€œHayo ndo maneno, lakini kabla ya yote uoee” alisema mama huyo

Wote walibaki wakicheka huku akizidi kumuwekea chapati kwenye gazet. Akiwa anasubiri chapati pale ziwekwe vizuri, Doto alitokea akikimbia na kusimama pale, akamtazama Ray na kumuongelesha kwa sauti ndogo β€œUnisubiri” alisema hivyo ili muuzaji asielewe kinachoendelea

Hata hivyo mwanamke huyo alimaliza akamuwekea vizuri na kumkabidhi Ray, wakaagana Ray aliondoka kwa mwendo wa taratibu huku akimsubiri Doto taratibu alikuwa anataka asikie kwamba ataambiwa nini

β€œDoto leo umekujua huku?”aliuliza

β€œNdio,naomba unipe chapati mbili haraka ninawahi” alisema Doto

β€œsasa mbona kuna moja tu imebaki hizo zingine ni za kusubiri” alisema mwanaidi

β€œBasi nipe hiyo hiyo, inatosha” aliongea kama vile ni mtu anawahi sana, kumbe alichokuwa anawahi ni kwenda kuongea na Ray.

πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹
(π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž)
𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š
SEHEMU YA 08

Alipatiwa chapati moja na kuondoka akikimbia akamuwahi Ray, huku akicheka na kuhema sana

β€œWe kaka, shikamoo” alimuamkia

β€œKila saa??” Ray aliuliza

β€œHamna jamani…si lazima nikuamkie kila saa kukuheshimu au hupendi?” aliuliza

β€œOk marahaba, shule vipi?” Ray alijifanya kukaza asijeonekana mrahisi

β€œShule nzuri, naona umeamua kuja kututembelea huku kijijini” alisema

β€œHahaa….nimekimbia maisha magumu Dar wewe” alisema Ray
β€œMmmh muongo, maisha magumu upendeze hivi?” aliuliza dotto

Ray alicheka kisha akamuambia β€œBy the way sitakaa sana, nitaondoka siku sio nyingi”

β€œUnawahi nini? Au ndo wifi? Eeh naona, ila sawa kweli hawezi kuwa wifi” alisema mtoto huyo aliyekuwa na uchangamfu uliozidi kipimo

β€œKwanini asiwe wifi?” Ray aliuliza

β€œHahaa.. wanaume wa Dar hizo mambo mh, kwani mnakuwaga nazo?” alimuuliza ikabidi Ray asimame na kumshangaa kidogo

β€œHiv wewe ni Doto au nakufananisha, mbona unaongea sana?” alimuuliza β€œMtoto wa juzi una maneno mengi hivi, kwanza wewe una miaka mingapi?” aliuliza

β€œkumi na saba”

β€œKumi na saba ndo uongee hivyo?” embu acha mambo yako, nambie kwanza mambo mazuri mazuri

β€œMazuri ni yapi kaka? Embu kwanza, kwani hayo niliyoongea sio mazuri? Mbona jamani watu wanayang’ang’ania wanasema ni matramu”

β€œShit………. Doto….kimbia uende nyumbani” alisema Ray”

β€œHaya sawa, basi nipe namba yako kaka”

β€œElinami anayo kamuombe” alisema Ray

β€œPoa bye”
Binti alianza kukimbia mpaka akaenda nyumbani kwa Elinami huku akiwa ameificha chapati ili Elinami asishtuke kwamba alimfukuzia Raymond kule kibandani.

β€œEliii” alimuita mwenzake

β€œNini dogo?” alimwambia kwa kejeli

β€œUna message unisaidie nimtumie mtu?” aliuliza binti

Elinami alitoka na simu mkononi kisha akampatia binti mkononi β€œzipo chache” alisema na kuingia ndani kwake alikuwa anafanya fanya usafi kidogo

Kumbe ili ilikuwa ni gia ya binti kuiba namba ya Ray alitaka anagalao aibe namba ya Ray kwenye simu ya Elinami, hata hivyo bahati kama bahati ni kwamba Elinami alikuwa amesevu namba ya Ray hivyo hivyo kwa jina la Ray hivyo basi haikumpa taabu kuipata na kuiiba akaweka kwenye kisimu chake kidogo lakini kalikuwa ka-smartphone ka Samsung ambako ni version ya zamani halafu akamuita Elinami

β€œShogaaa” alimuita β€œMi naenda kufua simu yako niweke hapa?” alimuambia

β€œNyooo, uweke simu yangu hapo? Je wakiiba” alisema mtoto wa kike huku akitoka ndani na kuipokea simu yake

β€œAsante ee” alisema Doto halafu akakimbia kuelekea nyumbani alipofika nyumbani hivi alikunywa kwanza chai na ile chapati yake

*
Upande wa Ray yeye muda huo alikuwa yuko mezani anakunywa chai na mama yake baba bado alikuwa anachungua mbuzi na kondoo wake, Ray alikula chapati mbili halafu akawa hoi na kuachana nazo halafu akatoka nje ya nyumba akamkuta Nasma akiwa ameketi kwenye ndoo akabaki anamshangaa

β€œHivi wewe mbona hauna raha muda wote?” alimuuliza

β€œSamahani kaka, ndo hivi nilivyo mimi nina raha sana”

β€œHaya kale chapati huko ndani halafu leo kwani una kazi ngumu sana?” alimuuliza

β€œhapana ninafua nguo za baba na mama, halafu nitapika” alimuambia

β€œOk basi, wewe nenda kanywe chai pale kuna chapati, ukishamaliza oga vizuri nikuone na nguo nyingine hiyo ni chafu sana” aliongea akimnyooshea kidole maana alijua uchafu tu ndo kilichokuwa kinamponza mpaka wazazi wakawa wanamdharau

β€œSawa kaka….nilikuwa na mpango huo pia” alijitetea baada ya kuhisi amedharaulika.

β€œSio kwamba nimesema hauogagi lakini nimekuambia uvae nyingine, wewe mbona mzuri ukiwa kila saa msafi basi utavutia saaanaa…hujioni ulivyo mweupe?” alimuuliza, Nasma alitabasamu kwa furaha kwani mwanamke anapenda kusifiwa sana

Alitazama chini kichwa mwake wakiwa anawaza kwamba mh kanipenda au? Lakini ni kwamba jamaa alikuwa anamsaidia tu kimawazo, sio mapenzi.

Hata hivyo baada ya maneno hayo, Ray aliondoka akaenda mpaka pale baba yake alipokuwa anachunga mbuzi β€œMzee umeamkaje?” alimsalimia

β€œsalama umeamkaje wewe?” alimuuliza

β€œsijambo, emb niachie mbuzi hapa ukanywe chai kidogo” alisema Ray na kusogea kwenye jiwe akaketi

β€œHuh, kuna chai na nini viporo mimi sili bwana” alisema

β€œHahaha, mzee unaringa… kule nimeleta chapati za kutosha” alisema kijana huyo

β€œHapo sawa” mzee alisema akitabasamu na kuanza kuondoka kuelekea nyumbani.

Sasa alipomuacha Ray pale na mbuzi Ray alipata muda wa kupiga selfie za kutosha, halafu aliwatumia marafiki zake aliokuwa akifanya nao kazi huko jijini Dar.

Lakini pia alimtumia Rose na kuweka captions β€œUkwen kuko hivi utakuja kweli wewe mtoto mayai?” alisema na kumtumia, akaona imefika na kusomwa tayari, lakini haikujibiwa ikabidi ampigie simu aelewe labda ni ubize ama

β€œhallow Rose” aliongea baada ya binti kupokea simu

β€œUsiniite tafadhali niache na maisha yangu” Rose aliongea kwa hasira na kukata simu

Hilo suala lilimpa taabu sana Ray maana alimpenda yule mwanamke japo alikuwa akimsaliti mara kwa mara. Alimpigia simu tena na binti hakupokea simu kabisa ikabidi jamaa abaki akicheka maana hakuelewa kosa lake liko wapi β€œni hasira kisa sijamtafuta asubuhi atakuwa powa tu” alijisemea Ray na kuchukua jiwe akamrushia kondoo aliyetaka kuondoka eneo lile.

Baada ya kumrushia jiwe, alisikia ujumbe umetumwa akaufungua ni namba mpya
β€œHello, uko pouwa?”

β€œNiko powa, nani?” alimuuliza

β€œMi Doto, ingia WhatsApp kuna kitu nimekutumia” alisema Doto

β€œOk” Ray alijibu na kuingia WhatsApp moja kwa moja, alipongia hivi aliona ametumiwa ujumbe na Doto, akaingia kwenye msururu, alichokiona kutoka kwa Doto wala hakuamini…………..JE KAONA NINI?
Soma muendelezo kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005
Tangazo - TAKE NOW
TAKE NOW
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 07


Kiukweli kwa hali halisi ya maisha ni kwamba watu ambao maisha yao ni duni wanaogopaga sana kutoka na watu ambao wana maisha mazuri, hii ni kwa sababu ya kushindwa kulinganisha hadhi, hivyo basi Nasma alivyokuwa anawaza kuhusu kija Raymond aliona kama vile anapoteza muda wake.

Ray alimaliza kupiga mswaki akaenda chumbani na kuchukua taulo halafu akazama bafuni akioga β€œMh yaani Rose atahisi nimesusa jamani wakati ninampenda sana” aliwaza akiwa bafuni anajipaka sabuni taratibu. Maana tangu jana usiku alikuwa hajamtakia hali mpenzi wake wa jijini Dar aitwaye Rose.

Ray alioga haraka haraka na kuweza kurudi chumbani, muda huo bado mama yake alikuwa amelala,...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/lovestory-last-born-na-bikira-ya-house-girl-shanga-kiunoni-burudan-simulizi-sehemu-ya-07

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi lovestory-last-born-na-bikira-ya-house-girl-shanga-kiunoni-burudan-simulizi-sehemu-ya
πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 15
πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 15
πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 12
πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 12
πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š  SEHEMU YA 21
πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 21
πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 20
πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 20
πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 25
πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 25
πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 17
πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 17
πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 19
πΏπ‘œπ‘£π‘’π‘†π‘‘π‘œπ‘Ÿπ‘¦.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 ππŽπ‘π 𝐍𝐀 ππˆπŠπˆπ‘π€ π˜π€ π‡πŽπ”π’π„ π†πˆπ‘π‹ (π™Žπ™π™–π™£π™œπ™– π™†π™žπ™ͺπ™£π™€π™£π™ž) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 π‘Ίπ’Šπ’Žπ’–π’π’Šπ’›π’Š SEHEMU YA 19
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

8.9K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

5.53K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.24K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.18K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

1.93K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

1.91K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

1.72K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

1.65K
RUNGU LA KIPOFU 21.

RUNGU LA KIPOFU 21.

1.65K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.64K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest