Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

𝐿𝑜𝑣𝑒𝑆𝑡𝑜𝑟𝑊.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 𝐁𝐎𝐑𝐍 𝐍𝐀 𝐁𝐈𝐊𝐈𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐇𝐎𝐔𝐒𝐄 𝐆𝐈𝐑𝐋 (𝙎𝙝𝙖𝙣𝙜𝙖 𝙆𝙞𝙪𝙣𝙀𝙣𝙞) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊 SEHEMU YA 07
Gonga94 · Stories

𝐿𝑜𝑣𝑒𝑆𝑡𝑜𝑟𝑊.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 𝐁𝐎𝐑𝐍 𝐍𝐀 𝐁𝐈𝐊𝐈𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐇𝐎𝐔𝐒𝐄 𝐆𝐈𝐑𝐋 (𝙎𝙝𝙖𝙣𝙜𝙖 𝙆𝙞𝙪𝙣𝙀𝙣𝙞) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊 SEHEMU YA 07

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Kiukweli kwa hali halisi ya maisha ni kwamba watu ambao maisha yao ni duni wanaogopaga sana kutoka na watu ambao wana maisha mazuri, hii ni kwa sababu ya kushindwa kulinganisha hadhi, hivyo basi Nasma alivyokuwa anawaza kuhusu kija Raymond aliona kama vile anapoteza muda wake.

Ray alimaliza kupiga mswaki akaenda chumbani na kuchukua taulo halafu akazama bafuni akioga “Mh yaani Rose atahisi nimesusa jamani wakati ninampenda sana” aliwaza akiwa bafuni anajipaka sabuni taratibu. Maana tangu jana usiku alikuwa hajamtakia hali mpenzi wake wa jijini Dar aitwaye Rose.

Ray alioga haraka haraka na kuweza kurudi chumbani, muda huo bado mama yake alikuwa amelala, ila mzee alikuwa akichunga mbuzi wake mitaa ya jirani kidogo kutoka pale nyumbani.

Ray alitoka nje akiwa ananukia, hasa, halafu akasimama mlangoni na kumuangalia binti aliyekuwa anamalizia kufagia uwanja “Heeeh kaka” Nasma alianza mazoea

“Nini” aliuliza Ray

“Unaoga kila saa?” alimuuliza

“Kawaida, nimezoea, kule Dar kulivyo na joto lazima mtu uoge mara 3 mpaka 4 kwa siku”

“Mungu wangu ni nyingi sana” alisema Nasma

“Vipi wewe umeoga kweli tangu jana, maana nguo zilikuwa hizo hizo” Ray aliuliza

“Hamna, nimeoga, sema tu, nguo mimi ninazo mbili tu, hii ya kufanyia kazi, ila nikishaoga navaa hiyo nyingine nzuri nzuri”

“Mungu wangu, nguo mbili? Unalipwaga mshahara?” alimuuliza

“Nalipwa, ila hivyo nyumbani kuna maisha magumu, mimi ndo mtoto ninayetegemewa na wazazi mshahara wangu huwa unatumwa kwao wote”

“pole sana” alisema Ray binti akatikisa kichwa na kuinama kuendelea kufagia uwanja wake “Utaratibu wa chai vipi?” aliuliza Ray

“ngoja namalizia usafi halafu nitatengeneza” alisema binti

“vitafunwa je?” aliuliza

“Kuna kiporo cha makande”

“Hahahaaa
..kwa huu mjengo nilijua maisha yamebadilika lakini kumbe wapi, embu niacheni kidogo bwana mimi ngoja nikalete vitafunwa nje huko.” Alisema Ray na kurudi ndani akachukua pochi pamoja na simu yake akatoka nayo mpaka njiani.

Alitembea tembea, kutafuta sehemu yakununulia chapati au vitafunwa vingine vitramu vitramu, akaona kama vile pale kijijini hakuna, ndipo akaanza kuelekea katika duka moja kununua mkate. Kabla hajafika akasikia sauti

“We, Raymond” ilitokea sauti nyuma yake, akatazama, ni Elinami pamoja na Doto walikuwa na mizigo ya majani wanapeleka nyumbani.

“Naaam” aliitika na kusimama kuwasubiri mpaka wakafika pale

“Heh, ni wewe unanukia barabara nzima jamani?” Elinami alianza kumpamba lakini Ray alimtazama kwa aibu kidogo

“kawaida mbona?” alisema Ray na kumgeukia Doto aliyekuwa pembeni mwa Elinami

“Shikamoo” alisema Doto huku akimkagua kuanzia juu mpaka chini

“Marahaba wewe ni yupi tena?” aliuliza

“Doto” alisema binti

“Doto yupi
.wale niliwaacha vidonchi juzi juzi wa kwa mama Saumu?” aliuliza

“ndio”

“Duuuh mnakuwa sana” alisema na kumgeukia Elinami “Vipi natafuta sehemu wanayouza chapati chapati ntapata kweli humu kijijini?” aliuliza

“Dah, ni mbali, karibia na sokoni mule
.ina maana umeshasahau mitaa hii miaka michache tu mh” alimuuliza binti

“Hamna, maisha yamebadilika, mimi kipindi natoka huku kulikuwa hamna maendeleo hivi, nyumba kama hizi hapa, zote hazikuwepo” alisema akizungusha mikono angani kuonyesha nyumba zilizokuwa zimejaa maeneo yale

“Ndo hivyo lakini, wewe nyoosha na hii barabara, utapaona kumechangamka kidogo kuna kabango kameandika Rukia Food” alisema Elinami

“Ok powa asante” Ray alisema, ndipo Elinami akamkonyeza kwa style fulani kwamba watawasiliana kwenye simu, halafu jamaa aliondoka zake akiwa anatabasamu.

Alimtext Rose, Good morning babe” alitum text kwa furaha lakini kwa bahati mbaya Rose hakujibu kabisa ile message akajua labda yuko bize na kazi yeye akaendelea na mishe zake

Kweli alifikia maeneo fulani akaona bango dogo limeandikwa Rukia Food, akatazama, akamuona mama mmoja mweusi mweusi akisukuma chapati

“Shikamoo” alisilimia ikabidi yule mama atabasamu bila kuitikia salamu yake “Vipi mbona unatabasamu” aliuliza

“Hahaaa
..hivi Ray, wewe ni wa kunipa shikamoo mimi?” mama yule alimfahamu

“mh
..mbona sijaelewa hapo kumbe najulikana”

“Embu kwenda bwana,
.yani mkishatoka mjini ndo zenu, mnasalimia hadi wadogo zenu, au kisa tumezeeshwa na maisha sisi?” aliuliza

“Mmmmh hapana, sister sorry sijakujua fulani hivi”

“Humkumbuki dada mkuu wako ee?” aliuliza huku akimkazia macho, ndipo Ray akakumbuka na kucheka

“Hahahaaaaaa

Sawa bana, jina la Rukia likanichanganya kumbe Mwanaidi
ok sorry sana nimezeeka mpaka kumbukumbu zimeenda mbali

“Achana na mimi” alisema huyo dada kwa jeuri, halafu akainuka “Embu nipe zawadi yangu kutoka huko mjini, au ndo umemletea mama yako peke yake” alisema mwanamke yule

“Hamna cha zawadi wala nini, sikia, nifungie chapati 3 mara 4, nikale raha mimi” alisema Ray

“Mh yaani chapati kumi na mbili?” aliuliza mwanaidi

“Yaaap” Ray alisema na kutoa noti ya 5000 kwenye pochi akamkabidhi, na yule dada alifanya hivyo “Shilingi ngapi inakuwa” aliuliza

“3600” alisema huyo dada maana chapati moja ilikuwa sh 300 tu

“Ok iliyobaki kunywa soda”

“Hayo ndo maneno, lakini kabla ya yote uoee” alisema mama huyo

Wote walibaki wakicheka huku akizidi kumuwekea chapati kwenye gazet. Akiwa anasubiri chapati pale ziwekwe vizuri, Doto alitokea akikimbia na kusimama pale, akamtazama Ray na kumuongelesha kwa sauti ndogo “Unisubiri” alisema hivyo ili muuzaji asielewe kinachoendelea

Hata hivyo mwanamke huyo alimaliza akamuwekea vizuri na kumkabidhi Ray, wakaagana Ray aliondoka kwa mwendo wa taratibu huku akimsubiri Doto taratibu alikuwa anataka asikie kwamba ataambiwa nini

“Doto leo umekujua huku?”aliuliza

“Ndio,naomba unipe chapati mbili haraka ninawahi” alisema Doto

“sasa mbona kuna moja tu imebaki hizo zingine ni za kusubiri” alisema mwanaidi

“Basi nipe hiyo hiyo, inatosha” aliongea kama vile ni mtu anawahi sana, kumbe alichokuwa anawahi ni kwenda kuongea na Ray.

𝐿𝑜𝑣𝑒𝑆𝑡𝑜𝑟𝑊.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 𝐁𝐎𝐑𝐍 𝐍𝐀 𝐁𝐈𝐊𝐈𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐇𝐎𝐔𝐒𝐄 𝐆𝐈𝐑𝐋
(𝙎𝙝𝙖𝙣𝙜𝙖 𝙆𝙞𝙪𝙣𝙀𝙣𝙞)
𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊
SEHEMU YA 08

Alipatiwa chapati moja na kuondoka akikimbia akamuwahi Ray, huku akicheka na kuhema sana

“We kaka, shikamoo” alimuamkia

“Kila saa??” Ray aliuliza

“Hamna jamani
si lazima nikuamkie kila saa kukuheshimu au hupendi?” aliuliza

“Ok marahaba, shule vipi?” Ray alijifanya kukaza asijeonekana mrahisi

“Shule nzuri, naona umeamua kuja kututembelea huku kijijini” alisema

“Hahaa
.nimekimbia maisha magumu Dar wewe” alisema Ray
“Mmmh muongo, maisha magumu upendeze hivi?” aliuliza dotto

Ray alicheka kisha akamuambia “By the way sitakaa sana, nitaondoka siku sio nyingi”

“Unawahi nini? Au ndo wifi? Eeh naona, ila sawa kweli hawezi kuwa wifi” alisema mtoto huyo aliyekuwa na uchangamfu uliozidi kipimo

“Kwanini asiwe wifi?” Ray aliuliza

“Hahaa.. wanaume wa Dar hizo mambo mh, kwani mnakuwaga nazo?” alimuuliza ikabidi Ray asimame na kumshangaa kidogo

“Hiv wewe ni Doto au nakufananisha, mbona unaongea sana?” alimuuliza “Mtoto wa juzi una maneno mengi hivi, kwanza wewe una miaka mingapi?” aliuliza

“kumi na saba”

“Kumi na saba ndo uongee hivyo?” embu acha mambo yako, nambie kwanza mambo mazuri mazuri

“Mazuri ni yapi kaka? Embu kwanza, kwani hayo niliyoongea sio mazuri? Mbona jamani watu wanayang’ang’ania wanasema ni matramu”

“Shit


. Doto
.kimbia uende nyumbani” alisema Ray”

“Haya sawa, basi nipe namba yako kaka”

“Elinami anayo kamuombe” alisema Ray

“Poa bye”
Binti alianza kukimbia mpaka akaenda nyumbani kwa Elinami huku akiwa ameificha chapati ili Elinami asishtuke kwamba alimfukuzia Raymond kule kibandani.

“Eliii” alimuita mwenzake

“Nini dogo?” alimwambia kwa kejeli

“Una message unisaidie nimtumie mtu?” aliuliza binti

Elinami alitoka na simu mkononi kisha akampatia binti mkononi “zipo chache” alisema na kuingia ndani kwake alikuwa anafanya fanya usafi kidogo

Kumbe ili ilikuwa ni gia ya binti kuiba namba ya Ray alitaka anagalao aibe namba ya Ray kwenye simu ya Elinami, hata hivyo bahati kama bahati ni kwamba Elinami alikuwa amesevu namba ya Ray hivyo hivyo kwa jina la Ray hivyo basi haikumpa taabu kuipata na kuiiba akaweka kwenye kisimu chake kidogo lakini kalikuwa ka-smartphone ka Samsung ambako ni version ya zamani halafu akamuita Elinami

“Shogaaa” alimuita “Mi naenda kufua simu yako niweke hapa?” alimuambia

“Nyooo, uweke simu yangu hapo? Je wakiiba” alisema mtoto wa kike huku akitoka ndani na kuipokea simu yake

“Asante ee” alisema Doto halafu akakimbia kuelekea nyumbani alipofika nyumbani hivi alikunywa kwanza chai na ile chapati yake

*
Upande wa Ray yeye muda huo alikuwa yuko mezani anakunywa chai na mama yake baba bado alikuwa anachungua mbuzi na kondoo wake, Ray alikula chapati mbili halafu akawa hoi na kuachana nazo halafu akatoka nje ya nyumba akamkuta Nasma akiwa ameketi kwenye ndoo akabaki anamshangaa

“Hivi wewe mbona hauna raha muda wote?” alimuuliza

“Samahani kaka, ndo hivi nilivyo mimi nina raha sana”

“Haya kale chapati huko ndani halafu leo kwani una kazi ngumu sana?” alimuuliza

“hapana ninafua nguo za baba na mama, halafu nitapika” alimuambia

“Ok basi, wewe nenda kanywe chai pale kuna chapati, ukishamaliza oga vizuri nikuone na nguo nyingine hiyo ni chafu sana” aliongea akimnyooshea kidole maana alijua uchafu tu ndo kilichokuwa kinamponza mpaka wazazi wakawa wanamdharau

“Sawa kaka
.nilikuwa na mpango huo pia” alijitetea baada ya kuhisi amedharaulika.

“Sio kwamba nimesema hauogagi lakini nimekuambia uvae nyingine, wewe mbona mzuri ukiwa kila saa msafi basi utavutia saaanaa
hujioni ulivyo mweupe?” alimuuliza, Nasma alitabasamu kwa furaha kwani mwanamke anapenda kusifiwa sana

Alitazama chini kichwa mwake wakiwa anawaza kwamba mh kanipenda au? Lakini ni kwamba jamaa alikuwa anamsaidia tu kimawazo, sio mapenzi.

Hata hivyo baada ya maneno hayo, Ray aliondoka akaenda mpaka pale baba yake alipokuwa anachunga mbuzi “Mzee umeamkaje?” alimsalimia

“salama umeamkaje wewe?” alimuuliza

“sijambo, emb niachie mbuzi hapa ukanywe chai kidogo” alisema Ray na kusogea kwenye jiwe akaketi

“Huh, kuna chai na nini viporo mimi sili bwana” alisema

“Hahaha, mzee unaringa
 kule nimeleta chapati za kutosha” alisema kijana huyo

“Hapo sawa” mzee alisema akitabasamu na kuanza kuondoka kuelekea nyumbani.

Sasa alipomuacha Ray pale na mbuzi Ray alipata muda wa kupiga selfie za kutosha, halafu aliwatumia marafiki zake aliokuwa akifanya nao kazi huko jijini Dar.

Lakini pia alimtumia Rose na kuweka captions “Ukwen kuko hivi utakuja kweli wewe mtoto mayai?” alisema na kumtumia, akaona imefika na kusomwa tayari, lakini haikujibiwa ikabidi ampigie simu aelewe labda ni ubize ama

“hallow Rose” aliongea baada ya binti kupokea simu

“Usiniite tafadhali niache na maisha yangu” Rose aliongea kwa hasira na kukata simu

Hilo suala lilimpa taabu sana Ray maana alimpenda yule mwanamke japo alikuwa akimsaliti mara kwa mara. Alimpigia simu tena na binti hakupokea simu kabisa ikabidi jamaa abaki akicheka maana hakuelewa kosa lake liko wapi “ni hasira kisa sijamtafuta asubuhi atakuwa powa tu” alijisemea Ray na kuchukua jiwe akamrushia kondoo aliyetaka kuondoka eneo lile.

Baada ya kumrushia jiwe, alisikia ujumbe umetumwa akaufungua ni namba mpya
“Hello, uko pouwa?”

“Niko powa, nani?” alimuuliza

“Mi Doto, ingia WhatsApp kuna kitu nimekutumia” alisema Doto

“Ok” Ray alijibu na kuingia WhatsApp moja kwa moja, alipongia hivi aliona ametumiwa ujumbe na Doto, akaingia kwenye msururu, alichokiona kutoka kwa Doto wala hakuamini



..JE KAONA NINI?
Soma muendelezo kwa sh 1000
Njoo WhatsApp 0743433005

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

𝐿𝑜𝑣𝑒𝑆𝑡𝑜𝑟𝑊.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 𝐁𝐎𝐑𝐍 𝐍𝐀 𝐁𝐈𝐊𝐈𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐇𝐎𝐔𝐒𝐄 𝐆𝐈𝐑𝐋 (𝙎𝙝𝙖𝙣𝙜𝙖 𝙆𝙞𝙪𝙣𝙀𝙣𝙞) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊 SEHEMU YA 07


Kiukweli kwa hali halisi ya maisha ni kwamba watu ambao maisha yao ni duni wanaogopaga sana kutoka na watu ambao wana maisha mazuri, hii ni kwa sababu ya kushindwa kulinganisha hadhi, hivyo basi Nasma alivyokuwa anawaza kuhusu kija Raymond aliona kama vile anapoteza muda wake.

Ray alimaliza kupiga mswaki akaenda chumbani na kuchukua taulo halafu akazama bafuni akioga “Mh yaani Rose atahisi nimesusa jamani wakati ninampenda sana” aliwaza akiwa bafuni anajipaka sabuni taratibu. Maana tangu jana usiku alikuwa hajamtakia hali mpenzi wake wa jijini Dar aitwaye Rose.

Ray alioga haraka haraka na kuweza kurudi chumbani, muda huo bado mama yake alikuwa amelala,...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/lovestory-last-born-na-bikira-ya-house-girl-shanga-kiunoni-burudan-simulizi-sehemu-ya-07

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi lovestory-last-born-na-bikira-ya-house-girl-shanga-kiunoni-burudan-simulizi-sehemu-ya
𝐿𝑜𝑣𝑒𝑆𝑡𝑜𝑟𝑊.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 𝐁𝐎𝐑𝐍 𝐍𝐀 𝐁𝐈𝐊𝐈𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐇𝐎𝐔𝐒𝐄 𝐆𝐈𝐑𝐋 (𝙎𝙝𝙖𝙣𝙜𝙖 𝙆𝙞𝙪𝙣𝙀𝙣𝙞) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊 SEHEMU YA 15
𝐿𝑜𝑣𝑒𝑆𝑡𝑜𝑟𝑊.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 𝐁𝐎𝐑𝐍 𝐍𝐀 𝐁𝐈𝐊𝐈𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐇𝐎𝐔𝐒𝐄 𝐆𝐈𝐑𝐋 (𝙎𝙝𝙖𝙣𝙜𝙖 𝙆𝙞𝙪𝙣𝙀𝙣𝙞) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊 SEHEMU YA 15
𝐿𝑜𝑣𝑒𝑆𝑡𝑜𝑟𝑊.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 𝐁𝐎𝐑𝐍 𝐍𝐀 𝐁𝐈𝐊𝐈𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐇𝐎𝐔𝐒𝐄 𝐆𝐈𝐑𝐋 (𝙎𝙝𝙖𝙣𝙜𝙖 𝙆𝙞𝙪𝙣𝙀𝙣𝙞) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊 SEHEMU YA 20
𝐿𝑜𝑣𝑒𝑆𝑡𝑜𝑟𝑊.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 𝐁𝐎𝐑𝐍 𝐍𝐀 𝐁𝐈𝐊𝐈𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐇𝐎𝐔𝐒𝐄 𝐆𝐈𝐑𝐋 (𝙎𝙝𝙖𝙣𝙜𝙖 𝙆𝙞𝙪𝙣𝙀𝙣𝙞) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊 SEHEMU YA 20
𝐿𝑜𝑣𝑒𝑆𝑡𝑜𝑟𝑊.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 𝐁𝐎𝐑𝐍 𝐍𝐀 𝐁𝐈𝐊𝐈𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐇𝐎𝐔𝐒𝐄 𝐆𝐈𝐑𝐋 (𝙎𝙝𝙖𝙣𝙜𝙖 𝙆𝙞𝙪𝙣𝙀𝙣𝙞) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊  SEHEMU YA 21
𝐿𝑜𝑣𝑒𝑆𝑡𝑜𝑟𝑊.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 𝐁𝐎𝐑𝐍 𝐍𝐀 𝐁𝐈𝐊𝐈𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐇𝐎𝐔𝐒𝐄 𝐆𝐈𝐑𝐋 (𝙎𝙝𝙖𝙣𝙜𝙖 𝙆𝙞𝙪𝙣𝙀𝙣𝙞) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊 SEHEMU YA 21
𝐿𝑜𝑣𝑒𝑆𝑡𝑜𝑟𝑊.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 𝐁𝐎𝐑𝐍 𝐍𝐀 𝐁𝐈𝐊𝐈𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐇𝐎𝐔𝐒𝐄 𝐆𝐈𝐑𝐋 (𝙎𝙝𝙖𝙣𝙜𝙖 𝙆𝙞𝙪𝙣𝙀𝙣𝙞) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊 SEHEMU YA 12
𝐿𝑜𝑣𝑒𝑆𝑡𝑜𝑟𝑊.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 𝐁𝐎𝐑𝐍 𝐍𝐀 𝐁𝐈𝐊𝐈𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐇𝐎𝐔𝐒𝐄 𝐆𝐈𝐑𝐋 (𝙎𝙝𝙖𝙣𝙜𝙖 𝙆𝙞𝙪𝙣𝙀𝙣𝙞) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊 SEHEMU YA 12
𝐿𝑜𝑣𝑒𝑆𝑡𝑜𝑟𝑊.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 𝐁𝐎𝐑𝐍 𝐍𝐀 𝐁𝐈𝐊𝐈𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐇𝐎𝐔𝐒𝐄 𝐆𝐈𝐑𝐋 (𝙎𝙝𝙖𝙣𝙜𝙖 𝙆𝙞𝙪𝙣𝙀𝙣𝙞) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊 SEHEMU YA 25
𝐿𝑜𝑣𝑒𝑆𝑡𝑜𝑟𝑊.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 𝐁𝐎𝐑𝐍 𝐍𝐀 𝐁𝐈𝐊𝐈𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐇𝐎𝐔𝐒𝐄 𝐆𝐈𝐑𝐋 (𝙎𝙝𝙖𝙣𝙜𝙖 𝙆𝙞𝙪𝙣𝙀𝙣𝙞) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊 SEHEMU YA 25
𝐿𝑜𝑣𝑒𝑆𝑡𝑜𝑟𝑊.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 𝐁𝐎𝐑𝐍 𝐍𝐀 𝐁𝐈𝐊𝐈𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐇𝐎𝐔𝐒𝐄 𝐆𝐈𝐑𝐋 (𝙎𝙝𝙖𝙣𝙜𝙖 𝙆𝙞𝙪𝙣𝙀𝙣𝙞) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊 SEHEMU YA 17
𝐿𝑜𝑣𝑒𝑆𝑡𝑜𝑟𝑊.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 𝐁𝐎𝐑𝐍 𝐍𝐀 𝐁𝐈𝐊𝐈𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐇𝐎𝐔𝐒𝐄 𝐆𝐈𝐑𝐋 (𝙎𝙝𝙖𝙣𝙜𝙖 𝙆𝙞𝙪𝙣𝙀𝙣𝙞) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊 SEHEMU YA 17
𝐿𝑜𝑣𝑒𝑆𝑡𝑜𝑟𝑊.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 𝐁𝐎𝐑𝐍 𝐍𝐀 𝐁𝐈𝐊𝐈𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐇𝐎𝐔𝐒𝐄 𝐆𝐈𝐑𝐋 (𝙎𝙝𝙖𝙣𝙜𝙖 𝙆𝙞𝙪𝙣𝙀𝙣𝙞) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊 SEHEMU YA 19
𝐿𝑜𝑣𝑒𝑆𝑡𝑜𝑟𝑊.....: 𝐋𝐀𝐒𝐓 𝐁𝐎𝐑𝐍 𝐍𝐀 𝐁𝐈𝐊𝐈𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐇𝐎𝐔𝐒𝐄 𝐆𝐈𝐑𝐋 (𝙎𝙝𝙖𝙣𝙜𝙖 𝙆𝙞𝙪𝙣𝙀𝙣𝙞) 𝑩𝒖𝒓𝒖𝒅𝒂𝒏 𝑺𝒊𝒎𝒖𝒍𝒊𝒛𝒊 SEHEMU YA 19
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

573
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

490
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

249
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

229
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

223
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

219
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

187
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

127
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

109
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

80

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.54K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.36K
I LOVE YOU DADY 💘❀💘10

I LOVE YOU DADY 💘❀💘10

2.34K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, 🥰 nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba 🥰😆 yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌🌌 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

SHAMIRA 8   MPK  12 Post Mpya
SHAMIRA 8 MPK 12
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 sehemu ya 8 Mwandishi; lissa wa huru media Sikuwa na habar na kushangaa kwake mm nilikuwa na mkatikia sio powa. watu wanashangalia sio powa nikaona yule kaka kajitoa chapu, kabaki ananishangaaaa yule...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest