Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MAMA WEEEE UTANICHANA???? ????????????????  Sehemu ya 18
Gonga94 · Stories

MAMA WEEEE UTANICHANA???? ???????????????? Sehemu ya 18

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
????MAMA WEEEE UTANICHANA????
????????????????

Sehemu ya 18

???? Alifanya ivi...????

Aliipuliza simu kwa mdomo wake kule zai akawa anasikia upepo tu.

" Zai anasema.
MPENZI MPENZI MPENZI.

" Simu ikakatwa na akamtumia sms pale pale.

( Achana na mume wa mtu)

" Boss alishangaa na akamuuliza.

" Mbona unamtumia sms ivyo.

" Nishakupenda mazima nataka dogo aachie ngazi atoe wazo la kuwa na wewe.

( Upande wa zai analia anatafakari sms)

" My ata kama zai namuacha lakini si ivi ghafra nitamuumiza.

( Sasa boss mkojo umemshika akaenda chooni kukojoa hapo mama mdogo wa zai akaandika sms kwa zai kupitia simu ya boss)

" Wewe kumbe umeachana na mumeo na mumeo ni mfanyakazi wangu futa namba yangu kwenye simu yako.

( Zai anasoma anazidi Kulia nani katoa hii taharifa ndio anawaza muda huo huo zai anavaa nguo anaita uba nia aende kwa mama yake mdogo kumwambia aya majanga yaliyomkuta na bahati mbaya kwa zai amekuja deleva yule yule ambaye gali yake unakutana na mawaidha zai ana mawazo yake uku mawaidha yanasema)

" Naam sisi Wanaume bhana Baadhi yetu ifike mahali tubadilike kwa karn hizi inabidi tuambizane ukweli tu kwa usalama wa maisha ya wengine

Yaani umemuoa Mwanamke kwa tadhima ya wazazi wake huku hali yako duni kimaisha maskini binti wawatu akawa hana tamaa akidai Kama ni pesa mutatengenza wote

Mumeishi nyote akikuvumilia kwa uchache wakipato chako gafla unafanikiwa maisha yako Alhmdulih umepanda kimaisha tafauti na ulivyo kuwa mwanzo

Badala yakumuheshimu mke wako kwani kila nyuma ya mafanikio ya mwanaume Mwanamke yupo nyuma ghafla unabadilika sasa haha

Ndio wanasema uhalisia Wa Mtu huweze ujua akiwa maskini ngoja apate pesa Ndio uwanze kumsifu manake amefaulu alikuwa hazini atatafuta mchepuku azini naye kibri kinampanda kisa ana pesa

Utamsikia Sasa Ndio Akasema mke mmoja hatoshi kisa ana vipene vyake ywawaza kuongenza mke wakati nyumba kapanga haha tena akiambiwa hashauriki kabisaa atakachosema yeye Ndio kifatwe duh

Ndio ukakuta baadhi yawanawake hawataki kabisa kuolewa na Mume aliyechini kiuchumi na Baadhi yawanaume wanalalamika mabinti wanapenda pesa Sio kwamba mabinti wote wana tamaa laa hash tatizo wanaume wengine wakipata huwanza kuzisaliti ndoa zao

Mpende Sana Mwanamke aliyekukubali kwa hali yako ya maisha na ukifanikiwa mthamini kwani huenda mafanikio yako yametokana na ushauri wake yeye

Kuna watu walikuwa wanatafuta kazi miaka yote gafla ameoa amefanikiwa Katika maisha amepata kazi Sio kila Mwanamke unayemuona ni chomba cha starehe wengine ni chomba cha mafanikio waheshimu Sana wanawake.

" Zai akawa analia kwenye gali deleva alidhani mawaidha yamemgusa kumbe analilia penzi lake.

" Dada mbona unalia ivyo?

" Acha tu kaka yangu wewe hendesha gali nifike tu.

" Dada aya mawaidha kiukweli wanaume atuyapendi kwa sababu yanagusa tabia zetu baazi ila nashangaa wewe yanakuliza kwanini unalia dada?.

" Mawaidha mazuri ila mimi kinaniliza chengine kaka twende tu usiwaze kuhusu mimi.

( Wakati zai anaenda kwa mama yake mdogo uku boss akaondoka uku anatafakari atafanyaje zai awe sawa na mama mdogo wa zai alifuta sms aliyomwandikia zai pamoja na namba kabisa kafuta boss anaondoka ajui kuwa ata namba ya zai kwenye simu yake aipo)

Zai anafika kwa mama yake mdogo wanakutana zai analia uku anamuonyesha sms mama yake mdogo yani hapa ndio waswahiri wanasema usilo lijua sawa na usiku wa giza na mama mdogo wa zai akawa anasema,

" Mwanangu kwa sasa ivi usimpigie kwanza kama wiki ivi hasira zimpungue hili ukimpigia mutaongea vizuri Jamani kuna watu wabaya kweli.

( Mama mdogo wa zai anashika simu ya zai anafuta sms pamoja na namba yani kashapenda mazima anapigana vita ya peke yake kimya kimya)

Akamuwekea maji chooni zai akaoge atulize mawazo.

" Zai anaona kama upendo anapewa na mama yake mdogo kumbe anazugwa Basi akaoga akarudi akalala ukumbini,

Sasa mama yake mdogo akaenda tandika sokoni kununua mboga aje ampikie mwanawe,

Kumbe nyuma uku boss akawa anakuja kumuuliza kuwa namba ya zai mbona sioni kwenye simu sasa boss anagonga mlango na anayefungua ni zai,

Wanakutana USO kwa USO zai akapiga magoti machozi yanamtoka anashindwa kusema kitu boss anashangaa anajiuliza maswali apati jibu ila akamnyanyua na akamkumbatia akamwambia,

" Zai nakupenda sana nilikuwa nakutania tu je unanipenda zai?.

" Ndio nakupenda sana.

" Sasa mama mdogo wa zai anarudi anakuta gali nje akaingia ndani moja kwa moja anakuta zai kakumbatiwa na anasikia neno lile.

" Ndio nakupenda sana.

" Mama mdogo wa zai roho ikamuuma akafanya kituko cha aibu sana,

Dah yani...

ITAENDELEA...JUMATANO
PATA FULL KWA TSH 1000
NO YA MALIPO NI 0657 774735
JINA MKEGANI MPONDA
MTANDAO NI TIGO

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MAMA WEEEE UTANICHANA???? ???????????????? Sehemu ya 18

????MAMA WEEEE UTANICHANA????
????????????????

Sehemu ya 18

???? Alifanya ivi...????

Aliipuliza simu kwa mdomo wake kule zai akawa anasikia upepo tu.

" Zai anasema.
MPENZI MPENZI MPENZI.

" Simu ikakatwa na akamtumia sms pale pale.

( Achana na mume wa mtu)

" Boss alishangaa na akamuuliza.

" Mbona unamtumia sms ivyo.

" Nishakupenda mazima nataka dogo aachie ngazi atoe wazo la kuwa na wewe.

( Upande wa zai analia anatafakari sms)

" My ata kama zai namuacha lakini si ivi ghafra nitamuumiza.

( Sasa boss mkojo umemshika akaenda chooni kukojoa hapo mama mdogo wa zai akaandika sms kwa zai kupitia simu ya boss)

" Wewe kumbe umeachana na mumeo na mumeo ni...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mama-weeee-utanichana-sehemu-ya-18

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mama-weeee-utanichana-sehemu-ya
MAMA WEEEE UTANICHANA???? ????????????????  Sehemu ya nne...tano
MAMA WEEEE UTANICHANA???? ???????????????? Sehemu ya nne...tano
MAMA WEEEE UTANICHANA? ????  Sehemu ya kwanza.
MAMA WEEEE UTANICHANA? ???? Sehemu ya kwanza.
MAMA WEEEE UTANICHANA???? ????????????????  Sehemu ya pili
MAMA WEEEE UTANICHANA???? ???????????????? Sehemu ya pili
MAMA WEEEE UTANICHANA???? ????????????????  Sehemu ya 21..22 Mwisho
MAMA WEEEE UTANICHANA???? ???????????????? Sehemu ya 21..22 Mwisho
MAMA WEEEE UTANICHANA???? ????????????????  Sehemu ya tatu
MAMA WEEEE UTANICHANA???? ???????????????? Sehemu ya tatu
MAMA WEEEE UTANICHANA???? ????????????????  Sehemu ya 19..20
MAMA WEEEE UTANICHANA???? ???????????????? Sehemu ya 19..20
MAMA WEEEE UTANICHANA? ????  Sehemu ya 11...12
MAMA WEEEE UTANICHANA? ???? Sehemu ya 11...12
MAMA WEEEE UTANICHANA???? ????????????????  Sehemu ya Saba
MAMA WEEEE UTANICHANA???? ???????????????? Sehemu ya Saba
MAMA WEEEE UTANICHANA? ????  Sehemu ya sita
MAMA WEEEE UTANICHANA? ???? Sehemu ya sita
MAMA WEEEE UTANICHANA? ????  Sehemu ya 15
MAMA WEEEE UTANICHANA? ???? Sehemu ya 15
MAMA WEEEE UTANICHANA???? ????????????????  Sehemu ya 10
MAMA WEEEE UTANICHANA???? ???????????????? Sehemu ya 10
MAMA WEEEE UTANICHANA???? ????????????????  Sehemu ya 13...14
MAMA WEEEE UTANICHANA???? ???????????????? Sehemu ya 13...14
MAMA WEEEE UTANICHANA???? ????????????????  Sehemu ya 16..17
MAMA WEEEE UTANICHANA???? ???????????????? Sehemu ya 16..17
MAMA WEEEE UTANICHANA???? ????????????????  Sehemu ya nane...tisa
MAMA WEEEE UTANICHANA???? ???????????????? Sehemu ya nane...tisa
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

915
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

713
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

690
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

501
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

385
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

246
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

175
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

104
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

69
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

62

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.56K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest