Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............01  Anza nayo...... Ni katika ufalme wa ADELI,majira ya usiku katika jumba kubwa la kifalme
Gonga94 · Stories

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............01 Anza nayo...... Ni katika ufalme wa ADELI,majira ya usiku katika jumba kubwa la kifalme

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
wanaonekana watumishi mbalimbali katika falme hiyo wakiwa wanahangaika huku na huku kutokana na jambo kubwa lililokuwa linaendelea usiku huo katika jumba hilo la kifalme.

"Kyaoooo mfalme,ni salamu iliyokuwa inatumika katika falme iyo ya ADELI
"Setuleeeeeee,mfalme aliitikia salamu"
"Mfalme Malikia Andwaa kajifungua mtoto wa kiume"
"Emesema????"
"Mfalme mkeo kajifungua mtoto wa kiume"
"Hahahahahaha ni furaha iliyoje katika jumba hili tukufu la kifalme ,pongenzi kubwa kwako bi yetunde kwa kazi kubwa uliyoifanya,umekuwa mkunga wa mda mrefu katika falme yetu hii na sasa ni mda wa wewe kupatiwa zawadi itakayofaa kwa kazi kubwa uliyoifanya"
"Mtukufu mfalme na fanya ivi kwa ajili ya kulinda ufalme wako, isingependeza kulipwa chochote kile, hii ni fahali kubwa kwangu mimi kama bi yetunde kuwa mkunga katika falme hii tukufu"
"Hii ni amri mimi kama mfalme nakupa ni lazima upoke zawadi nitakayokupa".
ilikuwa ni amri ambayo hutakiwi kuipinga kutoka kwa mfalme.
"Nitashukuru mtukufu mfalme kwa zawadi yoyote utakayonipa nami nitaipokea kwa kutii agizo lako"bi yetunde ilibidi akubali amri ya mfalme.

Mfalme pamoja na mkunga huyo walielekea kumwangalia Malikia andwaa baada ya kujifungua mtoto wa kiume kama tarifa zilivyomfikia mfalme .

Mwite mfalme kojo aliyekuwa na siku nzuri baada ya kupokea tarifa njema za Malikia andwaa kujifungua mtoto wa kiume.

"Malikia hongera kwa kujifungua mtoto wa kiume"
"Lindiwe mtumishi wangu nafikiri mfalme kojo atakuwa na furaha sana huko aliko alitamani mtoto wake wa kwanza awe wa kiume"
"Ndio malikia na mda sio mrefu atakuja kukuona yeye pamoja na bibi yetunde".

*****************

Polini anaonekana asikari akikimbia kwa kasi licha ya kuwa kuna giza lililotanda katika msitu huo ila hakujali alifika karibu na kambi waliyokuwa wameweka wenzake na kuanza kuita kwa nguvu na kuwafanya ata wale walinzi waliokuwa wamelala usiku huo kuamka kwa kelele za asikari yule,
"General,General,General kuna tarifa mbaya"
"Tarifa gani izo mpaka unawapigia kelele asikari wangu waliopumzika usiku huu?????"
"Katika jumba la kifalme, mfalme kojo amefanyikiwa kupata mtoto wa kiume tofauti na mtabili alivyotuambia"
"Ujinga gani huu unaniambia, general alikasilika kwa tarifa zile alizoletewa na mplelezi wake wa siri"
"Ndio general mtabili alitudanganya"
"Atafutwe popote alipo nataka kabra hapajakucha awe ameletwa hapa nikate kichwa chake kwa mikono yangu mwenyewe haiwezekani atudanganye sisi kuwa malikia atajifungua mtoto wa kike na sio wa kiume na pia wewe rudi katika jumba la kifalme uendelee kupokea habari kutoka kwa mpepelezi wetu"
General alichafukwa aligawa asikari wake waende kumtafuta mtabili upesi na haraka aletwe mbele yake kabra hapajakucha.

************

Katika jumba la kifalme mfalme kojo na bi yetunde wanafika kwa Malikia andwaa, na mfalme kojo anafurahi kumuona mtoto wake wa kiume alijikuta anacheza akiwa amemubeba mwanae mikononi na kushindwa kuizuia furaha yake mbele ya watumishi wake.
"Mfalme!!!! mtabili amekuja yupo hapa anahitaji kukuona,ilikuwa ni sauti ya mlinzi aliyeleta tarifa ile mbele ya mfalme kojo"
"Mwambie aingie,mfalme kojo alimjibu mlinzi yule".
"Kyaoooooo myukufu mfalme....."
"Setuleeeeee"
"Mfalme najua upo kwenye kipindi cha furaha kwa sasa ila kuna tatizo kubwa sana kwa huyo mtoto wako".
Mtabili aliongea na kuwafanya wote waliokuwa mle ndani wamwangalie mtabili yule.
"Tatizo kubwa???"
"Wote humu ndani naomba mtupishi,nibaki mimi,malikia pamoja na mtabili,sauti ya mfalme kojo ilisikika na kuwafanya watumishi watii amri ile ya mfalme wao"
"Mfalme mwanao anatatizo kubwa sana nimeonyeshwa na miungu"
"Tatizo gani hilo mtabili???""
"Mwanao itakuwa ngumu kuongonza ufalme huu wa ADELI mtukufu mfalme"
"Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???,Malikia andwaa aliongea"
"Mfalme pamoja na Malikia mtoto wenu ni kipofu hapo alipo.....ITAENDELEA

Ndio kwanza tumeanza je? Mfalme kojo pamoja na Malikia andwaa watachukua uamzi gani baada ya kusikia mtoto wao ni kipofu na je? General atafanyikiwa kumpata mtabili anayemtafuta kwa kitendo cha kumdanganya???. Tukutane sehem inayo fata

Maoni

You're not logged in


profile
mjukuu 12 Dec 2025 07:35
Ndio kwanza tumeanza je? Mfalme kojo pamoja na Malikia andwaa watachukua uamzi gani baada ya kusikia mtoto wao ni kipofu na je? General atafanyikiwa kumpata mtabili anayemtafuta kwa kitendo cha kumdanganya???. Tukutane sehem inayo fata.
Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MFALME KIPOFU Sehemi..ya............01 Anza nayo...... Ni katika ufalme wa ADELI,majira ya usiku katika jumba kubwa la kifalme

wanaonekana watumishi mbalimbali katika falme hiyo wakiwa wanahangaika huku na huku kutokana na jambo kubwa lililokuwa linaendelea usiku huo katika jumba hilo la kifalme.

"Kyaoooo mfalme,ni salamu iliyokuwa inatumika katika falme iyo ya ADELI
"Setuleeeeeee,mfalme aliitikia salamu"
"Mfalme Malikia Andwaa kajifungua mtoto wa kiume"
"Emesema????"
"Mfalme mkeo kajifungua mtoto wa kiume"
"Hahahahahaha ni furaha iliyoje katika jumba hili tukufu la kifalme ,pongenzi kubwa kwako bi yetunde kwa kazi kubwa uliyoifanya,umekuwa mkunga wa mda mrefu katika falme yetu hii na sasa ni mda wa wewe kupatiwa zawadi itakayofaa kwa kazi kubwa uliyoifanya"
"Mtukufu mfalme na fanya ivi kwa ajili ya kulinda ufalme wako, isingependeza kulipwa chochote...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mfalme-kipofu-sehemi-ya-01-anza-nayo-ni-katika-ufalme-wa-adeli-majira-ya-usiku-katika-jumba-kubwa-la

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mfalme-kipofu-sehemi-ya
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............08   Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............08 Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............04  Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............04 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............02   Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story MFALME KIPOFU Sehemi..ya............02 Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............06     Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............06 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............10
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............10
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............14
MFALME KIPOFU Sehemi..ya............14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE

369
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)

340
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE

329
CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7

CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7

178
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE

131
LETICIA Sehemu ya 19 na 20

LETICIA Sehemu ya 19 na 20

117
MFALME KIPOFU  27

MFALME KIPOFU 27

53
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17

40
MFALME KIPOFU  19 -- 20

MFALME KIPOFU 19 -- 20

35
MFALME KIPOFU  21 -- 22

MFALME KIPOFU 21 -- 22

35

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.01K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.7K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.9K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.65K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.09K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.03K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.88K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.85K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.75K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.7K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

LETICIA Sehemu ya 19 na 20 Post Mpya
LETICIA Sehemu ya 19 na 20
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍 Nikasikia madam prisca anasema nyie uko jikoni mbona kama mnajibizana sana ,polela akasema amna madamu ,kisha akaondoka basi mwenzenu polela akawa ananisumbua kila siku ,yaani kila akiniona nipo peke yangu...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 121 - 130 SEASON THREE
@majario LIVE

:121 Nilishtushwa na maumivu yake kabla sijafanya kitu, mama akawa anaingia, nikamzuia mama, mama alinitazama kisha Dorice, nikamuonesha mama Ishara asiseme kitu na badala yake atoke. Mama yangu ana upendo sana, alitii...

ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5) Post Mpya
ZARA❤️ MPYA ( 1 MPAKA 5)
@majario LIVE

MPYA MPYA MPYA ⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️⚪️ ⚪️⚪️ Sehemu ya 1 na 2 Ilikuwa ni siku ambayo nna raaha kweli kweli, nikiagana na rafiki zangu shuleni, ni siku ambayo tayali wanafunzi wa kidato cha...

NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA: 109 - 120 SEASON THREE
@majario LIVE

109 Mwenzenu nimechambwaaa, nishanangwa siamini kama ndiyi nilifunguliwa mlango mimi, nikapelekwa mtoko mimi, na nikawa natumiwa ujumbe. Leo hii kwa ukali nafokewa macho yametoka mpaka natetemeka. Nilikuwa nimechoka sana. Sijui nini kiliendelea,...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 6 -- 7
@majario LIVE

NO 06 Niliamka na kwenda sebleni nikakuta johari haha amka naona itakuwa nimeamka mapema sana ilibidi nikae nimsubiri maana sikuwa najua vifaa vya usafi vinatoka wapi .........nilikaa...

NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON THREE 101 - 108 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA SEASON THREE 101 - 108
@majario LIVE

:101 Nimeingia tu chumbani, rafiki yangu alikuwa amejilaza akakaa ananitazama, ni kweli alionekana kama vile katoka kulia. Hakunipa nafasi hata akasema “wewe mtoto, unanukia kama kajini kakitajiri.” Nikacheka nikisema “upoje jini la...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest