Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........06
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia...........
Alikutana na sura ngeni na hakuwahi kuiona hapo kabra.
"Naomba unifate",Mary aliongea pasipo ata kumpa nafasi Albert  ya kuongea...

ENDELEA NAYO.....
Albert aliamua kumfata ili ajue ni kitu gani kilichomfanya amwite, Mary alifika sehemu isiyokuwa na watu akasimama na mda huohuo albert nae aliwasili,
"Wewe ni nani?, na kwanini umeniita huku?",Albert alimuuliza, lakini Mary alimsogelea karibu zaidi,
"Nimesogea karibu yako ili nikupe siri ambayo ni mhimu kwako na kwa mama yako mzazi",Mary aliongea.
"Mama yangu mazazi!!"
"Nisikilize kwa umakini kuna tarifa nilizozipata za chini ya kapeti kuwa kuna watu wamepanga kumfanyia kitu kibaya mama yako endapo watashindwa kwenye mashindano ya  Miss Tanzania",Mary aliongea tena akimwangalia usoni Albert,
"Nini unachoongea wewe, nani huyo aliyepanga kufanya kitu kibaya kwa mama yangu?",Albert alitamani kujua ni watu gani.

Swali la Albert lilimfanya Mary aanze kuwaza upya namana ya kuongeza maneno mengine ya uongo.

Ubongo wa Mary ulikuwa upo haraka sana kufikilia alikuwa ameshapata maneno ya kumwambia Albert,
"Mimi wala sijui ni kina nani, mana kuna watu baadhi hapa wanazo izo tarifa na kiufupi tarifa izo zimevuja na mimi nilipozipata nikaona nije  kukwambia".
"hii haiwezani naenda kuita polisi Sasa ivi hapa upelelezi uanze kufanyika lazima watu wanaoanda huo mpango wakamatwe", Albert aliongea.

Hii ilianza kumuogopesha Mary baada ya kusikia Albert anataka kwenda polisi.

"Nilifikilia ni mtu mwelewa kumbe huna uelewa wowote ule,hujui kama ukienda polisi kampuni yenu ya FNF itapoteza sifa za kusimamisa mashindano haya na hamtapewa tena hii haki", Mary aliongea nakuanza kuondoka.
"Wewe simama hapo", Albert ilibidi amuite Mary ambae nae alitii na kusimama mana ata kuondoka kwake ilikuwa nikujifanya aone Albert ataamua nini.
"Mbona unaondoka na wakati bado hatujamaliza mazungumzo,kwanza sijui unaitwa nani?"
"Mr.Albert you can call me Mary (bwana Albert unaweza kuniita Mary)",Mary alimjibu.
"Huenda ni ukweli ulichoniambia kwangu mama yangu ni kila kitu bora nikose vyote lakini sio kumpoteza mama yangu hii hapa card na ina namba zangu za simu naomba unitafute ili unifahamishe kiundani zaidi", Albert alimpatia card ile Mary na mda huo Mary hakujibu chochote zaidi ya kuichukua ile card na kuondoka maeneo yale akimuacha Albert peke yake.
"Utanisamehe Albert kwa kukudanganya,malengo kwanza mengine badae",Mary aliongea alipokuwa akiondoka pasipo Albert kusikia kile alichokizungumza kutokana na umbali uliokuwepo kati yao.

Mda wa semeni na mafunzo mbalimbali ulitamatika na sasa Diana alichukua simu yake amtafute Albert lakini palepale simu ilipigwa na aliyepiga hakuwa mwingine bali Mr.James.
"Hello Dady"
"Njoo nyumbani haraka sana" Mr.James hakutaka ata kuendelea kuongea na binti yake zaidi ya kukata simu kitendo hicho kilimfanya Diana abaki akishangaa kuna kipi kilichotokea na kumfanya baba yake awe kwenye hali ile, kwakuwa tayali mda wa mafunzo ya mda mfupi ulikuwa umeisha moja kwa moja alienda mpaka lilipo gari lake na kuelekea nyumbani kwao.

Upande wa Mary baada ya kuachana na Albert alifika kwa rafiki yake Faith,
"Mary huwa hashindwi kitu mambo tayali kanipa namba zake za simu mwenyewe tena bira ata kumuomba mimi ndio Mary Miss wa taifa hili", Mary alianza kuongea kwa malingo mbele ya rafiki yake huyo.
"Umemfanya nini kijana wa watu mpaka akakupa namba kirahisi ivyo"
"Siwezi nikakupa siraha yangu ya kivita Faith nakujua vizuri mno wewe ni mama wa kulopokalopoka utavuluga mipango yangu".
"Eeeeeh yamekuwa hayo haya shost twende zetu ila umepitwa na mambo mengi kwenye hii semina na kesho ndio tunaanza sasa kujifunza miondoko hapa tuone nani anamiondoko mikali ya kumfanya aje kuwa miss",
maongezi mengine yaliendelea huku wakiwa wanaondoka ndani ya kampuni hilo.

Upande wa Diana baada ya kupigiwa na baba yake alifika nyumbani kwao na kumkuta baba yake mzazi akiwa na hasira isiyo ya kawaida,
"Dady"
"Paaah",badala ya kuitikiwa na baba yake alifikia kwenye Kofi zito lililomfanya aangukie kwenye kochi lilokuwa pale sebleni.
"Nimepoteza pesa nyingi kukusomesha kumbe hamna chochote ulichokuwa unafanya yani miaka yote upo London kumbe unajitanua tu na sio kusoma"
"Babaaa nini unacho ongea?"
"Kaaa kimya Diana", Mr.james aliongea kwa hasira.

Alisogea mpaka ilipo laptop yake na kuiwasha.

"Aya njoo uangalie nimetumiwa hii kwenye email yangu nikiwa kama mzazi wako, madudu gani haya yani umekuwa wamwisho tena ukiwa na utendaji mbovu darasani poor poor kabisa".Mr.James alifoka.

Diana hakuwa nachakujibu zaidi ya kutulia na kumsikiliza baba yake aliyekuwa akifoka.

Mr.James aliendelea kuongea mbele ya binti yake,
"Akili zote zimekaa kwenye uMiss Tanzania,oohh Mimi nataka kuwa Miss Tanzania ni ndoto yangu kumbe kichwani hamna kitu ",Mr.James aliondoka baada ya kuongea maneno yale mbele ya binti yake.
Diana nae alinyenyuka kwa hasira nakuondoka pale nyumbani tena akiendesha gari lake kwa speed kubwa.
           
Turudi kwa Angelina baada ya kumaliza kazi zake ndani ya kampuni hiyo ya FNF aliamua aende kwenye mgahawa aliokuwa akifanya kazi kabra ya kufukuzwa,alifika na kumkuta rafiki yake Manka akiendelea na majukumu yake kama ilivyo kawaida,
"Angelina ni wewe",Manka hakuamini kumuona rafiki yake pale.
"Kumbe huwa unanikumbuka nikienda mbali leo nimeona ngoja nije nikuone mama wa kulalamika",Angelina aliongea na kila mtu alikuwa ni mwenye furaha kwa kumuona mwenzake.

Walizungumza mengi sana na Angelina alimwambia Manka kuwa na yeye atakuwa mshiriki wa mashindano ya mwaka ya kumtafuta Miss Tanzania.

Tarifa zile Manka alizipokea kwa furaha,
"Ooooh my god, mara zote nilikuwa natamani nikuone ukishiriki ndio mana siku ya kwanza tu nilikuletea tarifa na amini utaibuka mshindi na siku hiyo lazima nije nishuhudie kwa macho yangu"
"Hujui tu kwanini nimekubali kushiriki hayo mashindano na pia siwazi kama wewe unavyowaza, mimi nawaza tofauti kabisa Manka na ipo siku utaelewa ninachokimaanisha".,Angelina hakutaka kumwelezea sababu ya yeye kukubali kushiriki kwenye mashindano ya Miss Tanzania.
Waliendelea na mazungumzo mengine  na badae Angelina alimuaga Manka na kurejea nyumbani kwao.
           
Diana baada ya kukalipiwa na kupigwa na Mr.James alitoka nyumbani kwa hasira na safari yake ilimpeleka mpaka klabu, hakuwa mzoefu wa kutumia kilevi chochote kile ila siku hiyo kutokana na hasira alizokuwa nazo hakutaka kulijua hilo.

Aliletewa vinywaji alivyoagiza na kuanza kunywa kwapupa pasipo kujali kama ni vinywaji vikali na hatari,alichojua yeye kwa wakati huo ni kunywa tu.

Mpaka yanafika majira ya usiku Diana alikuwa bado anakunywa na baada ya pombe kumkolea alianza kuleta usumbufu ndani ya klabu hiyo,
"Heeeeh Mimi ndiyo Diana au niite Miss Tanzania", aliongea kwa sauti ya kilevi iliyowafanya watu waliokuwa maeneo yale wabaki wakimtazama tu.
"Binti mzuri Kama huyo anaanzaje kunywa pombe kwa kuifakamia ivyo na yupo peke yake",ni baba wa makamo aliongea aliyekuwa amekaa na mke wake pembeni.
"Mmmh, watoto wa siku ni shida tupu bora sisi kijana wetu ni msitarabu hana hayo mambo ya ajabu", mke wake nae alimjibu.

Usumbufu wa Diana ulikuwa mkubwa hali iliyowafanya wahudumu wamfate Ili wamtoe nje lakini kabra hata hawajamfikia alilala kwenye meza na kuangusha baadhi ya chupa zilizokuwa pale mezani na kuvunjika.
"Aaaah huyu leo analipa chupa zangu", mhudumu aliyetoa huduma kwa Diana aliliona tukio lile la chupa zake kuvunjwa na kuamua kumfata Diana.

Ulikuwa ni ugomvi mkubwa sana baada ya mhudumu kufika pale na kuanza kumuamsha Diana  ambae nae alianza kuleta ubishi kutokana na pombe alizokuwa amekunywa.

"Mume wangu twende tukamsaidie yule Binti japo hatumjui ila itakuwa vizuri zaidi mana moyo wangu unanisuta hapa nilipo",aliongea mama yule aliyekuwa amekaa na Mme wake.
Mume nae hakuwa nachakupinga zaidi ya kwenda kutoa msaada kwa Diana aliyetawaliwa na pombe katika kichwa chake,walimchukua na kuanza kumuuliza baadhi ya maswali hasa anapokaa lakini hakuna lolote lile waliloambulia zaidi ya kushauliana kipi wafanye,
"Mmmh hapa kazi ipo Mme wangu"
"Tumpeleke nyumbani ili kesho akiamka atakuwa kwenye hali yake na atatueleza vizuri", Mmewe alitoa wazo.

Diana akiwa hajitambui alipata kusaidiwa na watu wasiomjua waliamua kumpeleka mpaka kwenye makazi yao na walimfikisha salama na kumlaza moja kwa moja kwenye chumba cha wageni.

Mwanamama alitoka nakuanza kumuita mwanae,
"Stewart,wewe Stewart"
"Usiku sasa ivi mke wangu huenda kijana kalala  haipaswi umsumbue", Mmewe aliongea.
"Nalijua hilo ila nilitaka kumpa angalizo na vitu vya humu ndani siunajua mtu tuliyemleta hatupaswi kumwamini sana na hatujui tabia yake".

Mmewe alimtoa hofu na kumwambia kama ulinzi wanao wa kutosha ata kama binti waliyemleta angeamka asingeweza kuiba chochote kile.
           
Upande wa Albert usiku huo akiwa na mama yake alitamani kumwambia kile alichoambiwa na Mary lakini mtihani ulikuwa ni njia gani anatumia kumwambia na bahati mbaya au nzuri mama mtu aliliona lile la mtoto wake kutokuwa sawa,
"Tatizo nini Albert mwanangu naona unaniangalia tu na kwa jinsi ninavyokujua kuna kitu unatamani kusema ila unashindwa", Mwanamama katalina aliongea na kumfanya Albert afikilie jinsi ya kumwambia.
"Ndio mama hujakosea kabisa ulichokisema, ni kweli kuna kitu natamani kuongea"
"Niambie nakusikilia mwanangu"
"Mama ivi yule binti kakupa nini mbona tena umempa  nafasi ya kushiriki kwenye mashindano hayo ya Miss Tanzania?",Albert aliamua aulize kitu kingine tofauti na kile alichopanga kumwambia.
Mwanamama katalina alishangaa kusikia mwanae anauliza kitu ambacho hakutegemea.
"Unaweza kuniambia ni kwanini unamchukia sana yule binti", swali la Mwanamama katalina lilimfanya Albert ajutie kile alichokiuliza.....ITAENDELEA.

Albert atamjibu  nini mama yake? na wazazi waliomsaidia Diana ni wazazi wa Stewart je?,ni Stewart yupi yule tunayemjua sisi au ni mwingine Karibu katika sehemu inayofata.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........06
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia...........
Alikutana na sura ngeni na hakuwahi kuiona hapo kabra.
"Naomba unifate",Mary aliongea pasipo ata kumpa nafasi Albert  ya kuongea...

ENDELEA NAYO.....
Albert aliamua kumfata ili ajue ni kitu gani kilichomfanya amwite, Mary alifika sehemu isiyokuwa na watu akasimama na mda huohuo albert nae aliwasili,
"Wewe ni nani?, na kwanini umeniita huku?",Albert alimuuliza, lakini Mary alimsogelea karibu zaidi,
"Nimesogea karibu yako ili nikupe siri ambayo ni mhimu kwako na kwa mama yako mzazi",Mary aliongea.
"Mama yangu mazazi!!"
"Nisikilize kwa umakini kuna tarifa nilizozipata za chini ya kapeti kuwa kuna watu wamepanga kumfanyia kitu kibaya mama yako endapo watashindwa kwenye mashindano ya  Miss Tanzania",Mary aliongea tena akimwangalia usoni Albert,
"Nini...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-06

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

906
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

689
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

687
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

473
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

354
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

231
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

173
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

104
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

67
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

12

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.55K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.51K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest