Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........06
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia...........
Alikutana na sura ngeni na hakuwahi kuiona hapo kabra.
"Naomba unifate",Mary aliongea pasipo ata kumpa nafasi Albert  ya kuongea...

ENDELEA NAYO.....
Albert aliamua kumfata ili ajue ni kitu gani kilichomfanya amwite, Mary alifika sehemu isiyokuwa na watu akasimama na mda huohuo albert nae aliwasili,
"Wewe ni nani?, na kwanini umeniita huku?",Albert alimuuliza, lakini Mary alimsogelea karibu zaidi,
"Nimesogea karibu yako ili nikupe siri ambayo ni mhimu kwako na kwa mama yako mzazi",Mary aliongea.
"Mama yangu mazazi!!"
"Nisikilize kwa umakini kuna tarifa nilizozipata za chini ya kapeti kuwa kuna watu wamepanga kumfanyia kitu kibaya mama yako endapo watashindwa kwenye mashindano ya  Miss Tanzania",Mary aliongea tena akimwangalia usoni Albert,
"Nini unachoongea wewe, nani huyo aliyepanga kufanya kitu kibaya kwa mama yangu?",Albert alitamani kujua ni watu gani.

Swali la Albert lilimfanya Mary aanze kuwaza upya namana ya kuongeza maneno mengine ya uongo.

Ubongo wa Mary ulikuwa upo haraka sana kufikilia alikuwa ameshapata maneno ya kumwambia Albert,
"Mimi wala sijui ni kina nani, mana kuna watu baadhi hapa wanazo izo tarifa na kiufupi tarifa izo zimevuja na mimi nilipozipata nikaona nije  kukwambia".
"hii haiwezani naenda kuita polisi Sasa ivi hapa upelelezi uanze kufanyika lazima watu wanaoanda huo mpango wakamatwe", Albert aliongea.

Hii ilianza kumuogopesha Mary baada ya kusikia Albert anataka kwenda polisi.

"Nilifikilia ni mtu mwelewa kumbe huna uelewa wowote ule,hujui kama ukienda polisi kampuni yenu ya FNF itapoteza sifa za kusimamisa mashindano haya na hamtapewa tena hii haki", Mary aliongea nakuanza kuondoka.
"Wewe simama hapo", Albert ilibidi amuite Mary ambae nae alitii na kusimama mana ata kuondoka kwake ilikuwa nikujifanya aone Albert ataamua nini.
"Mbona unaondoka na wakati bado hatujamaliza mazungumzo,kwanza sijui unaitwa nani?"
"Mr.Albert you can call me Mary (bwana Albert unaweza kuniita Mary)",Mary alimjibu.
"Huenda ni ukweli ulichoniambia kwangu mama yangu ni kila kitu bora nikose vyote lakini sio kumpoteza mama yangu hii hapa card na ina namba zangu za simu naomba unitafute ili unifahamishe kiundani zaidi", Albert alimpatia card ile Mary na mda huo Mary hakujibu chochote zaidi ya kuichukua ile card na kuondoka maeneo yale akimuacha Albert peke yake.
"Utanisamehe Albert kwa kukudanganya,malengo kwanza mengine badae",Mary aliongea alipokuwa akiondoka pasipo Albert kusikia kile alichokizungumza kutokana na umbali uliokuwepo kati yao.

Mda wa semeni na mafunzo mbalimbali ulitamatika na sasa Diana alichukua simu yake amtafute Albert lakini palepale simu ilipigwa na aliyepiga hakuwa mwingine bali Mr.James.
"Hello Dady"
"Njoo nyumbani haraka sana" Mr.James hakutaka ata kuendelea kuongea na binti yake zaidi ya kukata simu kitendo hicho kilimfanya Diana abaki akishangaa kuna kipi kilichotokea na kumfanya baba yake awe kwenye hali ile, kwakuwa tayali mda wa mafunzo ya mda mfupi ulikuwa umeisha moja kwa moja alienda mpaka lilipo gari lake na kuelekea nyumbani kwao.

Upande wa Mary baada ya kuachana na Albert alifika kwa rafiki yake Faith,
"Mary huwa hashindwi kitu mambo tayali kanipa namba zake za simu mwenyewe tena bira ata kumuomba mimi ndio Mary Miss wa taifa hili", Mary alianza kuongea kwa malingo mbele ya rafiki yake huyo.
"Umemfanya nini kijana wa watu mpaka akakupa namba kirahisi ivyo"
"Siwezi nikakupa siraha yangu ya kivita Faith nakujua vizuri mno wewe ni mama wa kulopokalopoka utavuluga mipango yangu".
"Eeeeeh yamekuwa hayo haya shost twende zetu ila umepitwa na mambo mengi kwenye hii semina na kesho ndio tunaanza sasa kujifunza miondoko hapa tuone nani anamiondoko mikali ya kumfanya aje kuwa miss",
maongezi mengine yaliendelea huku wakiwa wanaondoka ndani ya kampuni hilo.

Upande wa Diana baada ya kupigiwa na baba yake alifika nyumbani kwao na kumkuta baba yake mzazi akiwa na hasira isiyo ya kawaida,
"Dady"
"Paaah",badala ya kuitikiwa na baba yake alifikia kwenye Kofi zito lililomfanya aangukie kwenye kochi lilokuwa pale sebleni.
"Nimepoteza pesa nyingi kukusomesha kumbe hamna chochote ulichokuwa unafanya yani miaka yote upo London kumbe unajitanua tu na sio kusoma"
"Babaaa nini unacho ongea?"
"Kaaa kimya Diana", Mr.james aliongea kwa hasira.

Alisogea mpaka ilipo laptop yake na kuiwasha.

"Aya njoo uangalie nimetumiwa hii kwenye email yangu nikiwa kama mzazi wako, madudu gani haya yani umekuwa wamwisho tena ukiwa na utendaji mbovu darasani poor poor kabisa".Mr.James alifoka.

Diana hakuwa nachakujibu zaidi ya kutulia na kumsikiliza baba yake aliyekuwa akifoka.

Mr.James aliendelea kuongea mbele ya binti yake,
"Akili zote zimekaa kwenye uMiss Tanzania,oohh Mimi nataka kuwa Miss Tanzania ni ndoto yangu kumbe kichwani hamna kitu ",Mr.James aliondoka baada ya kuongea maneno yale mbele ya binti yake.
Diana nae alinyenyuka kwa hasira nakuondoka pale nyumbani tena akiendesha gari lake kwa speed kubwa.
           
Turudi kwa Angelina baada ya kumaliza kazi zake ndani ya kampuni hiyo ya FNF aliamua aende kwenye mgahawa aliokuwa akifanya kazi kabra ya kufukuzwa,alifika na kumkuta rafiki yake Manka akiendelea na majukumu yake kama ilivyo kawaida,
"Angelina ni wewe",Manka hakuamini kumuona rafiki yake pale.
"Kumbe huwa unanikumbuka nikienda mbali leo nimeona ngoja nije nikuone mama wa kulalamika",Angelina aliongea na kila mtu alikuwa ni mwenye furaha kwa kumuona mwenzake.

Walizungumza mengi sana na Angelina alimwambia Manka kuwa na yeye atakuwa mshiriki wa mashindano ya mwaka ya kumtafuta Miss Tanzania.

Tarifa zile Manka alizipokea kwa furaha,
"Ooooh my god, mara zote nilikuwa natamani nikuone ukishiriki ndio mana siku ya kwanza tu nilikuletea tarifa na amini utaibuka mshindi na siku hiyo lazima nije nishuhudie kwa macho yangu"
"Hujui tu kwanini nimekubali kushiriki hayo mashindano na pia siwazi kama wewe unavyowaza, mimi nawaza tofauti kabisa Manka na ipo siku utaelewa ninachokimaanisha".,Angelina hakutaka kumwelezea sababu ya yeye kukubali kushiriki kwenye mashindano ya Miss Tanzania.
Waliendelea na mazungumzo mengine  na badae Angelina alimuaga Manka na kurejea nyumbani kwao.
           
Diana baada ya kukalipiwa na kupigwa na Mr.James alitoka nyumbani kwa hasira na safari yake ilimpeleka mpaka klabu, hakuwa mzoefu wa kutumia kilevi chochote kile ila siku hiyo kutokana na hasira alizokuwa nazo hakutaka kulijua hilo.

Aliletewa vinywaji alivyoagiza na kuanza kunywa kwapupa pasipo kujali kama ni vinywaji vikali na hatari,alichojua yeye kwa wakati huo ni kunywa tu.

Mpaka yanafika majira ya usiku Diana alikuwa bado anakunywa na baada ya pombe kumkolea alianza kuleta usumbufu ndani ya klabu hiyo,
"Heeeeh Mimi ndiyo Diana au niite Miss Tanzania", aliongea kwa sauti ya kilevi iliyowafanya watu waliokuwa maeneo yale wabaki wakimtazama tu.
"Binti mzuri Kama huyo anaanzaje kunywa pombe kwa kuifakamia ivyo na yupo peke yake",ni baba wa makamo aliongea aliyekuwa amekaa na mke wake pembeni.
"Mmmh, watoto wa siku ni shida tupu bora sisi kijana wetu ni msitarabu hana hayo mambo ya ajabu", mke wake nae alimjibu.

Usumbufu wa Diana ulikuwa mkubwa hali iliyowafanya wahudumu wamfate Ili wamtoe nje lakini kabra hata hawajamfikia alilala kwenye meza na kuangusha baadhi ya chupa zilizokuwa pale mezani na kuvunjika.
"Aaaah huyu leo analipa chupa zangu", mhudumu aliyetoa huduma kwa Diana aliliona tukio lile la chupa zake kuvunjwa na kuamua kumfata Diana.

Ulikuwa ni ugomvi mkubwa sana baada ya mhudumu kufika pale na kuanza kumuamsha Diana  ambae nae alianza kuleta ubishi kutokana na pombe alizokuwa amekunywa.

"Mume wangu twende tukamsaidie yule Binti japo hatumjui ila itakuwa vizuri zaidi mana moyo wangu unanisuta hapa nilipo",aliongea mama yule aliyekuwa amekaa na Mme wake.
Mume nae hakuwa nachakupinga zaidi ya kwenda kutoa msaada kwa Diana aliyetawaliwa na pombe katika kichwa chake,walimchukua na kuanza kumuuliza baadhi ya maswali hasa anapokaa lakini hakuna lolote lile waliloambulia zaidi ya kushauliana kipi wafanye,
"Mmmh hapa kazi ipo Mme wangu"
"Tumpeleke nyumbani ili kesho akiamka atakuwa kwenye hali yake na atatueleza vizuri", Mmewe alitoa wazo.

Diana akiwa hajitambui alipata kusaidiwa na watu wasiomjua waliamua kumpeleka mpaka kwenye makazi yao na walimfikisha salama na kumlaza moja kwa moja kwenye chumba cha wageni.

Mwanamama alitoka nakuanza kumuita mwanae,
"Stewart,wewe Stewart"
"Usiku sasa ivi mke wangu huenda kijana kalala  haipaswi umsumbue", Mmewe aliongea.
"Nalijua hilo ila nilitaka kumpa angalizo na vitu vya humu ndani siunajua mtu tuliyemleta hatupaswi kumwamini sana na hatujui tabia yake".

Mmewe alimtoa hofu na kumwambia kama ulinzi wanao wa kutosha ata kama binti waliyemleta angeamka asingeweza kuiba chochote kile.
           
Upande wa Albert usiku huo akiwa na mama yake alitamani kumwambia kile alichoambiwa na Mary lakini mtihani ulikuwa ni njia gani anatumia kumwambia na bahati mbaya au nzuri mama mtu aliliona lile la mtoto wake kutokuwa sawa,
"Tatizo nini Albert mwanangu naona unaniangalia tu na kwa jinsi ninavyokujua kuna kitu unatamani kusema ila unashindwa", Mwanamama katalina aliongea na kumfanya Albert afikilie jinsi ya kumwambia.
"Ndio mama hujakosea kabisa ulichokisema, ni kweli kuna kitu natamani kuongea"
"Niambie nakusikilia mwanangu"
"Mama ivi yule binti kakupa nini mbona tena umempa  nafasi ya kushiriki kwenye mashindano hayo ya Miss Tanzania?",Albert aliamua aulize kitu kingine tofauti na kile alichopanga kumwambia.
Mwanamama katalina alishangaa kusikia mwanae anauliza kitu ambacho hakutegemea.
"Unaweza kuniambia ni kwanini unamchukia sana yule binti", swali la Mwanamama katalina lilimfanya Albert ajutie kile alichokiuliza.....ITAENDELEA.

Albert atamjibu  nini mama yake? na wazazi waliomsaidia Diana ni wazazi wa Stewart je?,ni Stewart yupi yule tunayemjua sisi au ni mwingine Karibu katika sehemu inayofata.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????????????????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.
Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........06
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia...........
Alikutana na sura ngeni na hakuwahi kuiona hapo kabra.
"Naomba unifate",Mary aliongea pasipo ata kumpa nafasi Albert  ya kuongea...

ENDELEA NAYO.....
Albert aliamua kumfata ili ajue ni kitu gani kilichomfanya amwite, Mary alifika sehemu isiyokuwa na watu akasimama na mda huohuo albert nae aliwasili,
"Wewe ni nani?, na kwanini umeniita huku?",Albert alimuuliza, lakini Mary alimsogelea karibu zaidi,
"Nimesogea karibu yako ili nikupe siri ambayo ni mhimu kwako na kwa mama yako mzazi",Mary aliongea.
"Mama yangu mazazi!!"
"Nisikilize kwa umakini kuna tarifa nilizozipata za chini ya kapeti kuwa kuna watu wamepanga kumfanyia kitu kibaya mama yako endapo watashindwa kwenye mashindano ya  Miss Tanzania",Mary aliongea tena akimwangalia usoni Albert,
"Nini...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-06

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

580
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

466
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

465
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

317
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

207
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

83
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

62

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest