Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........19
Whatsapp..............0613083801

Ilipoishia......
Mr.James alimweleza Beatrice hali ya mwanae Diana  ya ulemavu alionao na hii kumfanya Mwanamama aumie sana ndani ya moyo wake baada ya kupokea tarifa hizo na aliamua mda huohuo waongozane ili akamuone mtoto wake Diana....

ENDELEA NAYO......
Mwanamama Beatrice aliamua kuongozana na Mr.James akiwa pamoja na kijana Albert na mda ambao walitoka tu mwanae Angelina aliweza kuwasili akiwa na rafiki yake Manka,
Ajabu alivyofika ndani hakumkuta mama yake ikabidi aende kumuuliza mlinzi aliyemwambia kila kitu juu ya mama yake kuondoka na watu waliokuwa wamekuja pale mda sio mrefu.

Mwanadada Angelina alirudi ndani alimomwacha rafiki yake Manka,
"Mama kaondoka na Kuna watu alioondoka nao"
"Angelina isije kuwa mama yupo matatizoni, kumbuka wewe ni mtu mkubwa sasa ivi watu wanajua unapesa kwakuwa ni mtu maarufu",Manka aliongea na kuzidi kumpa wasiwasi rafiki yake.
"Huo ni wasiwasi wako ngoja nimpigie simu",alichukua simu yake ili ampigie mama yake ajabu simu iliita humohumo ndani kumaanisha kuwa simu iliachwa na mama yake.

Maneno aliyoongea Manka kidogo yalianza kumpa wasiwasi mwanadada Angelina ya kutokumuona mama yake na pia kitendo cha kuacha simu yake mle ndani.

Upande wa Mary sasa alikuwa mtu tofauti baada ya kupata pesa kutoka kwa Albert aliamua kumtafuta Faith siku hiyo baada ya kutengana nae kwa mda na kila mtu kuendelea na mambo yake.
yalikuwa ni kama maajabu kwa Faith baada ya kupita mda kidogo bira kutafutwa na Mary lakini siku hiyo alimtafuta ilibidi apokee simu, Mary alimwambia waonane kwa ajili ya mazungumzo.

Faith alijiandaa haraka na kwenda mpaka sehemu aliyoelekezwa na Mary kwanza alikuta meza yote imejaa vyakula na pia kulikuwa na vivywaji vya kila aina maeneo yale napesa baadhi zimewekwa juu ya meza,
"Faith nilikwambia hapo kabra Mary is genius always, kunywa chochote unachotaka na kula chochote unachotaka tajiri niko hapa",Mary aliongea na tayali pombe zilikuwa zimeshaanza kumtawala mwanadada.

Faith hakutaka ata kuuliza kwa wakati huo alikaa na kuanza kufakamia vyakula vilivyokuwa pale, na baada ya kuanza kushiba ndipo alipofungua kinywa chake,
"Umetoa wapi pesa zote hizi Mary?",Faith alimuuliza.
"Hahahaahaha, hiki ni kisasi cha mimi kukoswa uMiss Tanzania na hii ni kama adhabu kwa yule mpuuzi ninayompatia", Mary aliongea kilevi.
"Mpuuzi unamaanisha Albert".
"Huyohuyo katoa million 100 hapa najiandaa kesho kutwa tu natinga kwake temu hii nataka nichukue kila kitu kutoka kwao", Mary aliongea aliongea kwa kujiamini tena bira wasiwasi wowote ule.
"Lakini hii ni hatari rafiki yangu unaweza kuingia kwenye hatari Mary",Faith aliongea kama kumpa ushauli rafiki yake huyo.
"Naona umeshalizika na maisha mpaka unaanza kunitisha, aya nyenyuka na uondoke",Mary alibadilika gafra na kumtaka Faith aondoke mahali pale.

Faith aliamua kujishusha mbele ya Mary na kuanza kumpamba Mary ili asiweze kutolewa mahali pale.

Faith hakutegemea kama rafiki yake amebadilika kisa hicho kisa kukoswa taji la uMiss Tanzania, kuna mda alimuhurumia  mana aliitamani sana ile nafasi ila bahati haikuangukia kwa mwanadada huyo na iliangukia kwa Angelina.

Siku hiyo kama ni maisha Faith aliyafaidi mana pia alipatiwa pesa za kutosha kitendo kilichomfanya ata yeye aone kumbe kutajirika ni vyepesi kama ukiwa na akili za kukufanya utajiriki.

Mr.James aliweza kuwasili nyumbani kwake akiwa kaongozana na Mwanamama Beatrice na kijana Albert,na waliingia mpaka ndani na kumkuta Diana amekaa kwenye kiti chake anachotumia kutembelea.

Mwanamama Beatrice hakuamini kumuona binti yake akiwa kwenye hali ile alimsogelea na kuchuchumaa mbele yake huku Diana yeye akimuangalia tu akiwa haelewi kinachoendelea,
"Diana binti yangu unakumbuka mda sio mrefu tulikuwa tukimuongelea mama yako basi huyo unayemuona ni mama yako mzazi",Mr.James aliongea na kumfanya Diana aelewe.
"Hapana huyu sio mama yangu mzazi",Diana alimjibu baba yake.
"Unaongea nini wanangu yote yameshapita na Mimi baba yako nimeshakueleza mwanangu kila kitu naomba uelewe kile nilichokwambia",Mr.James aliongea  kwa mara nyingine.

Albert alijua ni kitu gani kinachomtia hasira Diana alimsogelea na kushika mikoni yake,
"Diana najua una machungu mengi sana ya wewe kupoteza nafasi ya kuwa mshindi katika mashindano ya Miss Tanzania lakini kila kitu kinatokea kwa sababu, naomba ukubaliane na hiki kilichotokea Diana na usamehe kila kitu",Albert aliongea.

Mwanamama Beatrice alianza kutoa machozi mbele ya binti yake na hakuamini kuwa kitendo cha mwanae huyo kukoswa ushindi wa Miss Tanzania ndio kilipelekea yey kupata ajali,
"Mimi sikuwa mama mazuri ata kidogo nilimuimiza sana mwanangu Angelina ashiriki mashindano hayo ya Miss Tanzania na nilitoa baraka zote za yeye kushinda katika mashindano hayo, kumbe pia kulikuwa na mwanangu mwingine aliyekuwa akishiriki  huenda nisingemlazimisha Angelina kushiriki basi wewe ungeibuka mshindi na yasingetokea haya yote",Mwanamama Beatrice aliongea kwa uchungu sana,Albert akimsogelea na kumtia moyo.

Mwanamama Beatrice alikuwa na kazi kubwa ya kujieleza kwa binti yake na badae mama na mtoto walipatana huku Mr.James na Albert wakifurahi kuona Diana akitoa chuki alizokuwa nazo kwa mama yake.

Stewart sasa aliamua kwenda kwao Angelina baada ya kuona imekuwa kazi kuonana nae ili aongee nae, alifika na kukutana na nyumba yenye hadhi ambayo ata yeye ilimvutia alibisha hodi na mlinzi akaja,
"Mambo vip, Angelina nimemkuta?",Stewart alitoa salamu kwa Mlinzi aliyekuja kumfungulia.
"Ndio yupo",Mlinzi alimruhusu kuingia mpaka ndani.

Alimpeleka mpaka kwa mwanadada Angelina aliyekuwa na mawazo yake siku hiyo ya kutokumuona mama yake tangu alipofika hapo nyumbani.

"Boss kuna mgeni wako huyu hapa", mlinzi aliongea na kuondoka huku mda huo akimuacha Stewart maeneo hayo.
"Ni wewe tena?", Manka aliongea aliyekuwa maeneo hayo na kumfanya Angelina avute kumbukumbu ya wapi amewahi kumuona Stewart na alifanyikiwa kukumbuka tu.
"Kuna kitu cha mhimu sana kimenileta hapa",Stewart aliongea huku akikaa kwenye kochi mda huo tena bira kukalibishwa na alianza kuwaelezea kila kitu kuhusu kampuni anayofanyia kazi Angelina kwa wakati huo.

Na alikuwa amejipanga mana alikusanya tarifa zote za warembo waliowahi kushinda taji la Miss Tanzania na waliochukuliwa na kampuni hilo kwenda kufanya kazi na niukweli usiopingika kuwa wanadumu kwa mda mfupi tu katika kampuni iyo ya uigizaji,
"Hapo kidogo nimeaanza kukuelewe lakini wewe ni nani na kwanini umeamua kuja kumpa tarifa hizi Angelina?",lilikuwa ni swali la Manka lililomfanya Stewart awe na kigugumizi cha kujibu kile alichoulizwa.

Wakiwa bado wanaendelea na maongezi Mwanamama Beatrice aliingia ndani tena akionekana hayupo sawa,
"Mama,Mwanadada Angelina alimwita mama yake.........
ulikuwa wapi mama mda wote huo nimekaa kusubiri hapa?".
"Nilikuwa kwa dada yako Diana",Mwanamama Beatrice alijibu bira kujali kama kuna mgeni maeneo yale ambae ni Stewart na pia Manka aliyekuwa maeneo yale.
"Diana!!",Angelina aliuliza kwa mshangao na alishindwa kumuelewa mama yake anamuongelea Diana yupi na ata Stewart nae alishituka baada ya kusikia jina la Diana....ITAENDELEA.

Angela atagundua ni Diana yupi anayemwongelea mama yake anayedai ni ndugu yake Karibu katika sehemu inayofata.

NB: Story hii  NIYAKUTUNGA na haina ukweli wowote ule unaoendana na taratibu za nchi yetu????.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k?????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........19
Whatsapp..............0613083801

Ilipoishia......
Mr.James alimweleza Beatrice hali ya mwanae Diana  ya ulemavu alionao na hii kumfanya Mwanamama aumie sana ndani ya moyo wake baada ya kupokea tarifa hizo na aliamua mda huohuo waongozane ili akamuone mtoto wake Diana....

ENDELEA NAYO......
Mwanamama Beatrice aliamua kuongozana na Mr.James akiwa pamoja na kijana Albert na mda ambao walitoka tu mwanae Angelina aliweza kuwasili akiwa na rafiki yake Manka,
Ajabu alivyofika ndani hakumkuta mama yake ikabidi aende kumuuliza mlinzi aliyemwambia kila kitu juu ya mama yake kuondoka na watu waliokuwa wamekuja pale mda sio mrefu.

Mwanadada Angelina alirudi ndani alimomwacha rafiki yake Manka,
"Mama kaondoka na Kuna watu alioondoka nao"
"Angelina isije...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-19

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

677
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

633
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

628
FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18

539
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

425
BLACK BUTTERFLY 🦋 3

BLACK BUTTERFLY 🦋 3

119
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia

8

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.46K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.75K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.21K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.54K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.45K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.4K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY 🦋 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee “ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest