Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........25
Whatsapp..............0613083801

Doctor Tayler alishika mkono wake na kujaribu kuangalia kwa utaalamu anaojua yeye ndani ya mda mfupi tu aliweza kugundua kitu kilichomfanya ata yeye jasho lianze kumtoka huku akiwa na wasiwasi wa hali ya juu......

ENDELEA NAYO....

Doctor Tayler alikuwa na wasiwasi na ata Diana aliliona hilo,
"Tatizo nini kipenzi mbona umekosa raha gafra na umegundua kitua gani kinachonisibu",Diana alitamani kujua ni kitu gani kilichomfanya mpezi wake awe na wasiwasi kiasi hicho.
"Diana hamna tatizo lolote lile sema unahoma kali sana hapo ulipo na inatakiwa nikutafatie dawa haraka sana uweze kutumia",Doctor Tayler aliongea na mda huo alitoka na kwenda kuchukua dawa.

Upande wa Diana baada kipenzi chake kutoka alijiona mwenye bahati sana kumpata mwanaume wa kizungu anayemjali na kumpenda tena akiwa na mvuto,lakini hakuona dalili zozote za yeye kuwa na homa kama mpenzi wake alivyosema japo hakuwa na mashaka na kitu chochote kile.

Doctor Tayler alikuwa akitembea kwa kasi sana tena akiwa na wasiwasi wa hali ya juu alifika na kumkuta doctor mwenzake ambae ni rafiki yake na wanafanya kazi pamoja katika hospital hiyo,
"Njoo tuongee pembeni na maongezi na wewe doctor", aliongea  huku akishika mkono wake na kumpeleka pembeni.
"Tatizo nini Doctor Tayler?, mbona unaonekana ni mtu mwenye wasiwasi sana?",swali kutoka kwa doctor mwenzake lilimfanya doctor Tayler kuangaza kila pande kama kuna mtu yoyote yule anayesikiliza mazungumzo yao alipohakikisha hamna alimgeukia rafiki yake nakuongea,

"Tatizo ni kuwa yule mgonjwa wa kiafrika aliyechini ya uangalizi wangu nilitengeneza nae mahusiano ndugu yangu", Doctor Tayler aliongea.
"Waafrika ni wazuri sana na ata mimi nataka niwe na mwanamke wa kiafrika",
"Sipo hapa kwa ajili yakuongea hayo mambo ila nimemwangalia na kwa utalamu atakuwa anamimba tayali japo yeye mwenyewe hajui isipokuwa mimi peke yangu ndiyo nafahamu",Doctor Tayler aliongea na kumfanya rafiki yake kushangaa.

Walikubaliana kufanya siri kati yao na Doctor Tayler hakutaka kuzaa na Diana kwasababu alikuwa na mwanamke mwingine waliyepanga kuoana, na kitu alichoshauliwa na doctor mwenzake ni kwenda kumpa dawa Diana itakayo mfanya mimba itoke na mambo mengine yaendelee kama walivyopanga.

Baada ya kupokea ule ushauli alichukua dawa na kwenda nazo, alifika na kumpatia Diana ambae nae alikunywa bira kujua kama anaua kiumbe kilicho ndani ya tumbo lake, na haikupita mda tumbo lilianza kuuma maumivu ya tumbo yalikuwa ni makali kwa mrembo Diana.

Doctor Tayler alienda kuchukua sindano na kuja kumchoma nayo iliyomfanya atulie na kulala usingizi wa kutokujitambua,Doctor Tayler alifurahi mana mambo yake yalienda kama alivyopanga na  aliamua kumfanyia matibabu yatakayo mrudisha Diana kwenye hali yake ya kawaida.

Baada ya wiki moja kupita Albert akiwa bado gerezani na mwanamama katalina aligoma kabisa kutoa pesa kwa  Mary hali iliyomfany mwanae aendelee kukaa gerezana na kusubiri siku ya kesi yake kusikilizwa ifike.

Nyumbani kwa Mwanamama katalina mme wake aliwasili baada ya kutoka nchi ya nje, ilikuwa ni furaha kwa Mwanamama katalina kumuona mmewe  aliyeondoka Tanzania kwa miaka kadhaa iliyopita.

Cha kwanza alimuomba picha za binti anaye isumbua familia yake, Mwanamama Katalina alitafuta picha za Mary kwenye simu na kufanyikiwa kuzipata na kumuonyesha mmewe aliyeichukua simu ya mke wake na kuangalia picha za mke wake,
"Huyu binti anajifanya anaakili sana basi mimi nitamwonyesha, lazima nimuondoe duniani", mmewe aliongea kitu kilichomfaya Mwanamama katalina ashituke.
"Hapana usije ukafanya kitu kama hicho mme wangu mimi ninachotaka tu ni mwanangu aweze kurudi sihitaji kuona wewe ukijiingiza kwenye mambo yakuanza kumwaga damu za watu,naomba tutumie akili mme wangu ili tumpate Albert", Mwanamama Katalina alitoa ushauli kwa mme wake.
"Sawa nahitaji kuwatafuta vijana wachache watakaoweza kunifayia kazi na ndani siku mbili nakuahidi Albert atakuwa hapa na mtaishi nae tena kwenye hii nyumba"alijua nini atafanya mme wa Mwanamama katalina mda huohuo aliondoka pale nyumbani asimwambie Mke wake ni wapi anakoenda.

Na safari yake ilimpeleke kwenye vijiwe vya vijana wa mtaani na akaongea nao pia aliwaahidi atawapatia pesa endapo watakubali kufanya kazi yake.
         
Stewart hakukata tamaa ya kutompata Angelina bado aliamini ipo siku ata mkubali,aliamua atumie njia nyingine aliyoona ni sahihi kwake, na mtu peke aliyeona ni msaada kwake ni Manka ambae ni rafiki wa  Angelina au ukipenda mwite  Miss Tanzania.

Alimuahidi malipo mazuri endapo atafanyikiwa kumshawishi Angelina japo Manka alikuwa mgumu kukubali lakini aliposikia ahadi ile ya pesa aliamua kukubali,siku hiyo alienda kwao Angelina na alimkuta ni mtu mwenye mawazo sana,
"Angelina tatizo nini rafiki yangu mbona leo upo tofauti au unamfikilia Stewart wako", Manka aliongea huku akimsikiliza rafiki yake kuona atajibu kitu gani.
"Mimi namuwaza Albert na wala sio Stewart", Angelina aliongea, na mda huohuo alipigiwa simu na aliipokea mbele ya Manka,
"Angelina njoo nyumbani haraka sana huku",sauti ya upande wa mpigaji ilisikika kisha baada ya hapo simu ilikatwa na hii kumfanya Manka abaki njia panda na alitamani kujua mtu aliyempigia Angelina ni nani huyo.

Mda huohuo Mwanamama Beatrice alifika na kuwakaribisha chakula ila Angelina hakuwa na mda wa kula zaidi ya kuondoka pale nyumbani huku akimuacha mama yake akilalamika tu mbele ya Manka aliyebaki nae,
"Huyu mtoto tangu Albert aende gerezani safari kwenda kwa rafiki yangu katalina haziishi na ata sasa ivi naamini atakuwa anaenda hukohuko tu",Mwanamama Beatrice aliongea na kumfanya Manka aelewe ni wapi Angelina anapoenda.

Mawazo yao yalikuwa sahihi kwani Angelina alikuwa ameshafika kwa Mwanamama katalina baada ya kuitwa  na siku hiyo alimwona baba mzazi wa Albert kwa mara ya kwanza,aliwakuta wote wakimsubiri yeye,

"Angelina samahani kwa usumbufu tumekuita hapa ili utusaidie kitu kimoja,ni wapi tutaweza kumpata Mary mana tangu afungue kesi anaishia kutupigia simu na kutoa vitisho na sasa ivi hapatikani kwenye simu", Mwanamama katalina aliongea na kumfanya Angelina avute kumbukumbu kipindi cha mashindano ni yupi aliyekuwa rafiki wa mwanadada Mary,
"Nimekumbuka kuna rafiki yake alikuwa anaitwa Faith ngoja nimtafute kwenye mtandao humu naweza kumpata",Angelina palepale alianza kumtafuta Faith na baada ya mda alifanyikiwa kuona picha zake na alituma jumbe mbalimbali na kilichokuwa kikisubiliwa kwa wakati huo ni Faith kujibu moja ya jumbe zile.

Bahati ilikuwa upande wao kwani Faith alijibu ndani ya dekika kadhaa tu na Angelina akamuomba namba kwa ajili ya mawasiliano ambae nae hakukataa kutoa namba.

Walimweleza Faith msaada wanaohitaji wa kujua alipo Mary na yeye hakusita kuwasaidia kwani aliwaelekeza mahari alipo mwanadada Mary,na baada ya kupata uhakika tu mme wa Mwanamama katalina aliondoka na kwenda kuwachukua vijana wake mpka alipo Mary kwa wakati huo.

Mary akiwa hana hili wa lile alishangaa kuona kazungukwa na vijana na hawakuwa na mda wa kupoteza moja kwa moja walimchukua na kumpeleka kwa mhusika aliyewatuma,
"Wewe nani na umepata wapi nguvu ya kunikamata mimi?",Mary aliongea na hakutaka kuonekana zaifu mbele ya watu waliokuwa wamemzunguka.
"Umemweka jela mwanangu alafu unaniuliza swali la kijinga hapa haya nileteeni sindano yenye sumu nimchome kwanza huyu akili zimkae sawa",Mary alivyosikia anataka kuchomwa sindano yenye sumu alitaka kukimbia lakini alikuwa ameshawekwa katikati na sindano ililetwa kwa ajili ya Mary kuchomwa...ITAENDELEA.

Mary atachomwa sindano?, karibu katika sehemu inayofata.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........25
Whatsapp..............0613083801

Doctor Tayler alishika mkono wake na kujaribu kuangalia kwa utaalamu anaojua yeye ndani ya mda mfupi tu aliweza kugundua kitu kilichomfanya ata yeye jasho lianze kumtoka huku akiwa na wasiwasi wa hali ya juu......

ENDELEA NAYO....

Doctor Tayler alikuwa na wasiwasi na ata Diana aliliona hilo,
"Tatizo nini kipenzi mbona umekosa raha gafra na umegundua kitua gani kinachonisibu",Diana alitamani kujua ni kitu gani kilichomfanya mpezi wake awe na wasiwasi kiasi hicho.
"Diana hamna tatizo lolote lile sema unahoma kali sana hapo ulipo na inatakiwa nikutafatie dawa haraka sana uweze kutumia",Doctor Tayler aliongea na mda huo alitoka na kwenda kuchukua dawa.

Upande wa Diana baada...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-25

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

664
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

626
FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18

535
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

511
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

386
BLACK BUTTERFLY 🦋 3

BLACK BUTTERFLY 🦋 3

119
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja

100
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia

8

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.46K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.75K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.21K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.54K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.45K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.4K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY 🦋 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee “ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest