Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26
Gonga94 · Stories

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........26
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia......
Mary alivyosikia anataka kuchomwa sindano yanye sumu alitaka kukimbia lakini alikuwa ameshawekwa katikati na sindano ililetwa kwa ajili ya Mary kuchomwa......

ENDELEA NAYO........
Sindano ililetwe na baba mzazi wa Albert akaishika na kumsogelea Mary,
"Usinichome nakuomba bado napenda kuishi tafadhali,nitamtoa mtoto wako na kesi nitaifuta,na kingine nakuahidi sitaisogelea tena familia yako", maneno yalimtoka Mary akijijitetea lakini haikusaidia kitu mzee alizidi kumsogea na kuamlu vijana wamshike ili amchome sindano.

Vijana walimshika na sindano ililetwa Mary akachomwa,
"Hii sindano ina masaa 6 tu wewe kuweza kuendelea kuishi unachotakiwa kufanya ni kwenda polisi kwa miguu yako mwenyewe ukaongee vile unavyojua wewe ila mwanangu siku ya leo hakikisha anatoka,na wewe utakuja nyumbani kwangu kwa ajili ya kuchomwa sindano ya kuondoa iyo sumu....vijana mwachieni na tuondoke kazi kwake ibaki kwake", Mzee aliongea na kuondoka akiwa na vijana wake.

Mary alihisi kuchanganyikiwa kwanza alianza kukimbia kuelekea kituoni ili aendane na mda kama alivyoambiwa alivyofika kituoni alidanganya kumsamehe Albert na pia atalipia garama zote za usumbufu aliotoa kwa  jeshi la polisi na mda huohuo Albert aliweza kuachiwa.

Aliachiwa na kumkuta mbaya wake ambae ni Mary ila hakutaka kuongea chochote zaidi ya kuondoka na kwenda nyumbani kwao huku akimuacha Mary akisubili kupatiwa bill ya kwenda kulipa kwa usumbufu aliotoa kwa jeshi la polisi,
"Binti hii hapa bill yako lakini siku nyingine unatakiwa uwe makini usije ukaleta usumbufu tena kwa jeshi la polisi lasivyo selo itakuhusu"
"Sawa Afande nimeelewa"
Afande aliongea na Mary alipewa bill nakuondoka huku kichwa kikiwa kinawaka moto sehemu ya kuipata pesa na kulilipa jeshi la polisi.

Albert aliweza kuwasili nyumbani na kumkuta baba yake kitu kilichomfarahisha sana hakujalia kama alikuwa gerezani alisogea na kumkumbatia baba yake na ata mzee nae alifurahi kumuona kijana wake,
"kijana wangu umekuwa sana inatakiwa tukutafutie mwanamke wa kuoa ndiyo mda wenyewe huu",baba mtu aliongea na kumfanya Albert acheke akiwa na mama yake mzazi.
"Albert ingekuwa vyema ukienda kuoga kwanza mwanangu....
lakini kabra Mwanamama Katalina hajamaliza kuongea aliingia Mary pasipo ata kubisha hodi kama vile ameingia nyumbani kwake,

"Tayali mwanao nimeshamtoa Mzee wangu nichome sindano ya tiba nisije kufa mimi angalia yamebaki masaa mawili tu ili nife nakuomba baba ufanye ivyo"
Weeee usiniite baba mimi siwezi kuwa na binti mwenye tabia ya kijinga ivi, usiyekuwa na huruma na binadamu wenzako, yani kijana wangu unampakazia kosa mtu ambae hana hatia, watu kama nyinyi hamtakiwi kuishi kwahiyo mimi siwezi kukuchoma iyo sindano ya kukutibu na inatakiwa uondoke hapa kwangu",Mzee aliamua kumgeuka mwadada Mary nakuvunja makubaliano waliyowekeana.

Mary alihisi kuchanganyikiwa sababu alijaribu kumuomba msamaha baba mzazi wa Albert lakini bado aliweka mkazo hali iliyomfanya amfate mpaka Albert ambae kidogo aliingiwa na huruma.

Albert alisogea mpaka alipo baba yake,

"Baba naamini atakuwa ameshajifunza binadamu tunajifunza kutokana na makosa tunayofanya, na hii itakuwa fundisho kwake na kwa watu wengine inabidi umchome iyo sindano na aondoke akaendelee na maisha mengine",Albert aliongea akimtetea Mary.
"Binti umeona binadamu anavyotakiwa kuwa huyu ulitaka kumfunga kabisa lakini yeye amekusamehe tena kwa moyo mmoja unabahati angekuwa mtu mwingine sasa ivi usingekuwa kwenye hii dunia"
"Nakuahidi sitarudi tena na wala sitafanya kitendo kama hicho kwa mtu mwingine",Mary  aliongea kuonyesha kuwa kathamilia kubadilika.
"Kwakuwa umekili mwenyewe simama na uondoke",Baba Albert aliongea.
"Na sindano je, hunichomi?", Mary ilibidi aulize baada ya kumuona Baba Albert anamwambia aende bira kumchoma sindano.
"Hakuna cha sumu wala nini nilicheza na akili yako tu sisi tumepitia ayo mambo kabra ya wewe kuzaliwa, ile sindano niliyokuchoma ilikuwa na maji", alimaliza kuongea nakuelekea chumbani akimuacha Mary asiamini kile alichokisikia.

Licha ya yote bado alimuomba msamaha Albert na aliahidi kuanzia siku hiyo watakuwa marafiki wenye kujaliana bira kujali ni kipi kiliwahi kutokea kipindi cha nyuma,na tofaut zao wakawa wamezimaliza huku Mary akiondoka nyumbani kwa Mwanamama katalina.

Baada ya miezi 6 Mr.Gerald au baba mzazi wa mwanadada Angelina leo alikuwa akiachiwa huru na siku hiyo Angelina alikuja akiwa na Mwanamama Beatrice kwa ajili ya kumpokea Mr.Gerald,
"Baba Karibu uraiani, tulikukumbuka sana na atimae leo tunaenda kuishi pamoja",Angelina aliongea.

Macho ya Gerald yalikuwa kwenye gari waliyokuja nayo familia yake na uvumilivu ulimshinda ikabidi awaulize Mwanamama Beatrice alimweleza kila kitu Mr.Gerald kwamba binti yake ni Miss Tanzania na maisha aliyoyaacha yamebalika kwa kiasi kikubwa hayapo kama mwanzo,
"Siamini kama binti yangu umeweza kuyabadilisha maisha ya familia yetu kitu ambacho ata mimi nilishindwa mpaka kuingia kwenye kazi za wizi zilizonifanya nikawa gerezani",Mr.Gerald aliongea.
"Baba hayo yameshapita sasa ivi tugange yajayo na wewe sio mwizi tena kuanzia sasa baba".

Walimchukua Mr.Gerald na kwenda nae nyumbani na hii ni baada ya kukaa gerezani kwa mwaka mmoja na sehemu kutokana na kosa la wizi alilowahi kulifanya kipindi cha nyuma.

Nchni Canada baada ya mda mrefu kupita hali ya mwanadada Diana ilianza kutengemaa na sasa alikuwa na uwezo wa kutembea peke yake japo kwa shida ila ilitia matumaini ya kuja kupona mda wowote, huku penzi lake na Doctor Tayler likizidi kuchanua siku hadi siku.

Diana akiwa amekaa na mwenza wake Doctor Tayler alishangaa kumuona mwanadada mrembo mwenye asili ya kihindi akiingia maeneo hayo na kwenda kumkumbatia Doctor Tayler kitendo kilichomfanya Diana apate wivu ila aliamua kunyamaza kimya tu.

Doctor Tayler aliona asipokuwa makini anaweza kugonganisha magari aliamua kunyenyuka na kuondoka na yule mwanadada huku Diana akiwatazama tu jinsi wanavyoondoka.

Doctor Tayler alimfika mpaka nje na mwanadada huyo,
"Naisha mbona unakuja bira tarifa hujui kama na kazi ya kukaa karibu na mgonjwa kipenzi?",Doctor Tayler aliongea akiwa na hasira kwa kumwona Naisha maeneo yale mana aliona mipango yake itavulugika kwa uwepo wa mwanadada huyo.
"Mimi sio mtoto Tayler inaonyesha kuna kitu kinachoendelea kati yenu, kwakuwa upo bize na mgonjwa basi ukiniitaji utanitafuta mweyewe",Naisha aliondoka na kumuacha Doctor Tayler akimtazama.

Mda huo Daina nae alikuwa akija maeneo hayo alimkuta Doctor Tayler kasimama peke yake,
"Mgeni wako yuko wapi mbona ameondoka au umemfukuza?",lilikuwa ni swali kutoka kwa Diana lililomtoa kwenye mawazo Doctor Tayler.
"Aaah yule tulisoma nae na kuna sehemu anaenda sema alipita hapa kunijulia hali tu, lakini nani kakwambia utembee peke yako bira uwepo wangu Diana hii ni hatari kwako emu turudi ndani",Doctor Tayler aliamua kukatisha yale mazungumzo kwa kumwambia Diana arudi ndani.

Naisha alivyotoka kwa Doctor Tayler alienda moja kwa moja kwa rafiki wa Doctor Tayler ili amuulize kile kinachoendelea kati ya Doctor Tayler na mwanadada Diana....ITAENDELEA.

Naisha ataambiwa ukweli wa kinachoendelea kati ya doctor Tayler na Diana? Karibu katika sehemu ijayo.

Pata Story hii mpaka mwisho kwa Tsh 1000 za  k???????????????????????? lipia kupitia namba,
0613083801 HALOPESA,John Bugumba.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........26

Story......................MISS TANZANIA
Mtunzi...................Zooper
Sehemu..ya...........26
Whatsapp..............0613083801

ilipoishia......
Mary alivyosikia anataka kuchomwa sindano yanye sumu alitaka kukimbia lakini alikuwa ameshawekwa katikati na sindano ililetwa kwa ajili ya Mary kuchomwa......

ENDELEA NAYO........
Sindano ililetwe na baba mzazi wa Albert akaishika na kumsogelea Mary,
"Usinichome nakuomba bado napenda kuishi tafadhali,nitamtoa mtoto wako na kesi nitaifuta,na kingine nakuahidi sitaisogelea tena familia yako", maneno yalimtoka Mary akijijitetea lakini haikusaidia kitu mzee alizidi kumsogea na kuamlu vijana wamshike ili amchome sindano.

Vijana walimshika na sindano ililetwa Mary akachomwa,
"Hii sindano ina masaa 6 tu wewe kuweza kuendelea kuishi unachotakiwa kufanya ni kwenda polisi kwa miguu yako mwenyewe ukaongee vile unavyojua wewe ila mwanangu siku ya leo hakikisha...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya-26

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi miss-tanzania-mtunzi-zooper-sehemu-ya
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........01
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........21
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........05
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........20
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........02
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........04
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........03
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........30(FINAL)
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........15
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........07
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........12
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya............29
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........11
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........14
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........10
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........18
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........23
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........16
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........25
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........27
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........13
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........19
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........06
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........08
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........09
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........22
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........24
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........28
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
MISS TANZANIA Mtunzi...................Zooper Sehemu..ya...........17
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

918
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

790
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

623
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

451
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

201
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

122
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

95
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

91
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

56
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest