*MJEDA INAUMA SIWEZI VUMILIA* *1-5* ** *SEHEMU YA KWANZA* "Hebu wewe harakisha basi yaani wewe sijui utakuwa lini yaani jamani dah, hasara hizi jamani watu wanazaa watoto wengine
"Sawa harakisha wewe jamani , mhh tupatage sisi hata chochote kitu jamni wewe mtoto sijui upoje yaani muda wote wewe unajiandaa tu mhhh hapana " Mama alizidi kuongea jamani "Mama jamani nakuja mimi unataka niende huko kama vile mtumishi naenda ushuani ujue wee haya huko" nilisema " wee bwana wee hebu harakisha hukoo mwenzio anakusubiri bhana , mimi mwenyew nataka zangu niwahi nikafunguwe hako kamgahawa nipate hata hivyoo vimiambili miambili vya kuendesha maisha" mama alikuwa ana kimgahawa chake ambacho kinampa vimia mbili mia mbili "sawa mama natoka naenda mimi jamani" nilitoka nimevaa zangu kisuruali changu pambee balaa kilijua kunikamata ilikuwa ni cargo na shati moja hii tunayo sare mimi na Aika ndio tulipanga tuvae. Nikavaa na kimtandio changu jamani mhh hapana nilijuaa kupendeza na jinsi nina shepu dodo nilinoga hatarii na kimtandioo kilikaa mahala pake jamani , na vipoda poda kwa mbali
"Haya shangingi langu sasa lishapendezaa hapo linajiona lenyewe ndioo top in town , mwanamke mzima hata mchumba wa kusingiziwa huna dash ila wewe jamani hapana" nilimtizama sana maan alikuwa anaongea ukweli sina hata wa dawa jamani huyu mama hapana mara simu yangu ikaita alikuwa ni Aika anapiga
Aika: hivi unajua kama huku tunakusubiri ni wewe tu?
Me: sawa nakuja nishajiandaaa jamani
Aika: haya chukua hyo boda ntalipia mimi sawa kipenzii?
Me:Jamani tajir wangu hapo pekee ndipo ninapokukubal mhhh haya nafika hapo chap shga angu
"Mama baadae tutaonana shga anguu byee" nulimuaga mama angu , maan nikichelewa hata dakika kumi akuu ntamkwaza rafiki yangu maan ni makasiriko isivyo kawaida
"Haya nirudiee maa usiku hapa utalala njee , me sitaki upuuzi kabisaa kwangu , uwahi tu kurudi na utapitia pale funguoo sawa na kam itatokea emergency ya wewe kulala huko huko kwa akina Aika uniambie mapema sawa?" Nilijibu sawa huku naondoka niliita boda boda maana nilikuwa nina namba yake...
Kupata mwendelezo bonyeza link hii hapo juu au chini ukasome yote hadi mwisho...
Itaendeleaa......π₯
Ep 02
Nilifika salama tu nikamkuta tayari yeye na kaka yake washajiandaa nilifika getini nikampigia simu akaja kunikaribisha akalipia na nauli tukaanza kupiga story sema huyu ni ana asili ya kujishauaa sana siunajua watu wenye nazo jamani sisi wasafisha njia tukae kimya tuu , maana tunakuwaga tunajisifiaa na kujichangasha ila hawa sasa wenye nazo wanaishia tu kutudharau maan mhhh ni hatari na nusu , ila tunavumilia maan mimi nishamzoea
"Jamani Rahma umechelewa wenzio wamekusubiria kitamboo ujueee?" Alikuwa ni mam yake na Aika "Jamani mama shikamoo , mama yangu mhh nilichelewa si unajua tena kujiandaa kwetu mhh hatunaga hata cha haraka haraka" nilimjibu kwa heshima na mama yake na Aika alikiwa ananipenda sana , maan alikuwa anasema eti nina adaabu na mchangamfuu sana , ndioo maana nimeweza kuwezana na Aika japo yeye kashafikaga chuoo na yupo chuo sasa mpaka sas na leo ilikuwa ni weekend tu " marahaba mwanangu , mhhh ila nyiee nao kama mnaenda kwenye party kumbee ni hapo tu kurefresh mind tu jaman haya , muwahi sasa ili muwahi kurudi sasa" niliitika tu
"Haya mrembo wangu umependeza ila jamani maneno yote haya nimemaliza hata kukuambiaa hongera zako sijakwambiaa umependeza sana mama yangu" nilitabasamu tuu nilipenda jinsi alinisifiaa jamni na vile ninavyopenda sifa sasaa kha " asante mama" nilisema huku nacheka alidakia Aika " mimi sasa cheusi nisifiwe niotee meno ya dhahabu , wanasifiwa wenye rangi tuu haya tuondokee" alisema Aika , yaaani kinginee ni ana wivu huyu jamani hapana yaana hata shule nililkuwa ikimshinda maksi anavyolalalmika jamani utasema kashindwa nini yaani hapana " mbona na wewe umependeza sana, tena hata kunizidi jamni shga anguu Aika " nikamtizama huku nampandishiaa nyusi , alitabasamu tuu akanitizam " haya twendeni sasa warenbo wangu wazuri wazuri sawa" alisema kaka yake anaitwa Swaleh , yeye ni mchangamfu mnoo afuu mzuri kuliko hata dada yake mishauoo ,ni mwnajeshi kam rafiki yake tunaeenda kumuona
"Haya muwahi kurudi sasa sawa eeh?" Alisema mam yake na Aika na tukaondoka tulipanda gari la kaka yake Aika hapo , maan kaka yake Aika ana kaa kwake ila leo alikuja kutembeaa kwao coz ilikuwa ni weekend na ndio ikatokea huoo mtoko sasa tukaondoka hadi kwa rafiki yake na kaka Swaleh, namuita kaka coz ni kaka wa rafiki yangu
Tulifika tukapokelewa jamani hii nyumba ni nzurii mhhh hapana yaani ni nzuri kuliko hata ya kaka yake na bi shgaaa hapa mama kupenda kusifiwa mhhh nilipapenda buree huku ndani full ac , jamani , kwanza njee kuna swimming pool na kulikuwa na wafanyakazi watatu mule ndani yaani inshort ni pazuri mnoo palikua ni ghorofa moja mhhh ni pazuri ,yaani ningekuwa na simu kubwa ningeparekodi kabisa ila ndio hivyoo kiswaswadu gang wenzangu ni wana kazi ya kujiphotoaa tuu , nilitamani ila sikuoneshaa kabisaa...
Kupata mwendelezo bonyeza link hii hapo juu au chini ukasome yote hadi mwisho..
Itaendeleaa...π₯
Ep 03
Walikuwa wakiendeelea kujirekodi na simu zao nilitamani ila nilikuwa sina mbele , nyuma wala kati kati mimi nikawa nawshangaa tu maana sina llolote na kiswaswadu changu"jamani wewe nae si upige picha na mwenzio khaa sijui ukoje wewe hapana" alisema kaka swalehe namuita kaka coz ni kaka yake na Aika "hee we naee mimi sitampa tu kwani simpagi jamni hapana hata kama hee mimi nikonapiga picha za kupost " alisema Aika kwa nyodo kwelli ila haikuniuma coz nishaozeaa mimi hizo kero zake ni za kawaid kwangu " hee ukimpa mara moja kwani ataimezaa?" Alisema kaka Swalehe hakumjibu wala nini alimtizma tu akamsonya
"Jamani kak Swalehe yey kasema anapiga picha za kupost why mimi nijiweke hapo hata kama ni ukijherehere hapana " nilisema kukatisha maneno" mhh hapo ndio umwambiee huyu mwanaumee" alisema Aika na hapo ndipo walipoanza kuzozana basi kelele tupu sikushangaa coz wamefuatana ni kitu cha kawaida wao kugombana mara kwa mara, mara anakuja yule rafiki yake kaka
Jamani ni mzuri khaa alikuja kavaa pensi na vest na hivi kapanda huu na anarangii mhh alipendezaa sana , plus ni mzuri jamni hapana mara ya kwanza nashanga mwanaume ni mzuri jamani huyuu mhhh nikae kimyaa tutalizungumzia hili baadae , " wageni karibuni naona mnazozana sasa mhh nini shida hapa?, aliongea huku anatabasam jamani na yake meno meupee mhhh alizidi kunivutiaa afu ni anavishimo kwenye mashavu jamani mhh huyu mkaka, wale walishtuka jamani wanaojuana walisalimiana , mhh hadi Aikaa mam nyodo nilionaa anamshangaa huyu mkaka jamani ni mzhri " Karibuni jamni nilikuwa najimwagia maji" alisema. Yule mkaka mzuri namuita hivyoo coz jina lake nilikuwa silijui hata "tushakaribiaa bhana huon tulikuwa tushanz ana kugombana " alisema kaka swalehe
Jamani chakula kimechelewa coz nilietoa delivery hajafika mpaka sasatunaweza tukahave a nice drinks huku tunapiga story tu mbali mbali au vipi? , etty si tuapata wine au vipi? " aliuliza yule mkaka mzurii mi namuona hivyoo sikuwa nishamjua jina tayarii " okay haina shid aunaweza jitambulisha kwanza mimi hawa wote ni wadogo zangu na hawakufahamu vizuri" alisema kaka Swaleh
"Okay naitwa Raphael nice tu meet youu" , alitaka kunipa mkono akaanyoosha Aika"naitw Aika mdogo wake na Swalehe na huyu ni rafiki yangu anaitwa Rahma anakaa Temeke" alikuwa kama ananitenga Fulani ila nishamzoeaa bhana " ooh wow inapendezaa kuwa na rafiki at leat like her" alisema Raphael "Sorry naweza kwenda jikoni maana mimi hivyo vinywaji mimi situmii naweza kwenda kupika bites kam nitaruhusiwa ? , mnielekezee jikoni" niliona nitafute excuse maan panapofuata hapa ni midhaliliko mitupu ni kudhalilishwa alinilelekeza na mimi nikaenda jikoni na kwa upende wa jikoo nipo π₯ , nilikuwa nakaanga vikokoto, viaktless na vikababu na vibibi lakini mpaka kule wanasikiaa ,
Nilimaliza nikaletaa mezani wakaawa wanapiga story huku wanatafunaa hiili ilikuwaa kam chombeza ya story na walipenda wakawa wanasifiaa kasoro Aika yani yey ndio rafiki yangu lakini usiombee akutoe out jamani mhh akifika hukoo anaaanza kukutelekeza jamni mhhh inabidi ushtukee mapema unaweza hata ukaachwa muda wa kurudi ndivyo alivyoo huyu mwanadada , tulikaa na chakula kikaja tukala wakaawa wanacheza game mhh sasa huyoo Aika kujifanya shuhuda hapana ety anamshangiliaa Raphael mimi nikawa namshingiliaa Swaleh , ilaa baada ya muda simu ya Aika iliita na alienda kupokeaa pembeni akamaliza akarudi
"Kaka naomba twende kuna notice naenda kuchukuaa kwa Zulfa za kesh Jumatatu, naomba twende ili twende wote nyumbani , ili mama asije akasema " alisema Aika bila hata kujali na mimi nipo "na vipi kuhusu Rahma ?" Aliuliza Swaleh " jamni huyo kwao ni anapajuaa atenda afu mama yao sio mbabaifu atamuelewa akaniwekeaa shilingi 20k akaondoka zake na kuniacha mimi nashanga. Yaani ananiacha na mtoto wa kiumee
"Usijali nitakupeleka" alisema Raphael " maan wameondoka bila kuaga utanielekeza nitakupeleka usijali madam" nilishukuruu nikasema sawa...
Kupata mwendelezo bonyeza link hii hapo juu au chini ukasome yote hadi mwisho...
Itaendeleaa.....π₯
*Ep 04*
Nilimshukuru tu kwa msaada wake "Sorry unaweza nisubiri hapa naenda kuvaa nguoo ndefu nakuja siwezi kudrive nipo hivi " nilisema sawa , yaani ni mchangamfu balaa mhh basi alibadili hizo nguoo akaja tukapanda gari kwenda nyumbani mimi nilikuwa namuelekeza ila alikuwa ananitizama sana " unajua kupika madam nimekupa sifa zako" alisema Raphael nilimtizama tu sikumjibuu kitu nilitabasam tu kwa vile napenda sifa balaa ila ni vile tu sisifiwagi " yule ni rafiki yako kivipi?" Aliuliza tena Raphael nilimtizma tu nikabadili mada " mhh kwani jeshi mkienda kusoma kuna mafunzoo makali eeh ?" Alinitizama tu " nan kakwambia?"
"Mimi nilikuwa nataka nikajifunze hukoo saa anikaanza kutishwa jamani hhh ila mimi hapana nitengwee" nikanza kucheka " wamekudanganya ni ya kwaida kama ukizoea mwanzo utaona ni mateso" nilijikuta nacheka kwa nguvu yaani naleta uswahili wangu sasa bado mapema " mhh mimi waliniambiaga hivyoo basi nikasema siendii mimi mama nilikuwa mpak naliaa nikiambiwa habari za jeshi basi mama alikuwa akinichokoza kila wakati kuhusu hiyo jeshi mpaka nilikuwa nakomaa mimi jamani khaa mama naee hapan" tulijikuta tunapiga story nyingi za uongo na kweli jamani mhh hapana me naee nilizidi uongoo sana sasa sijui aliamini sielewi hta atajua mwenyew alinifikisha mgahawani kwa Mama, kwa maan mama alisema nipite huku kuchukua funguoo sasa " asante umenifikisha nyumbani" nilimshukuru " sawa usijali kwani hapa ndio kwenu?" Aliuliza
"Hapana hapa ni kazini kwa Mama yangu , na mimi huwa nafanya hapa" alinitizma akasema sawa sasa naomba namba zako ili kukiwa na shida yoyote tutawasilina nilicheka tu nikamwambia "sasa namba jamani ya nini kwni mimi na wewe tutaonana tena?" Hamna binadamu huwa tunakutana hutaki kuwa rafiki yangu Rahma, mimi sio wa hovyoo namna hiyoo" nilimtizama nikampa aandike kwenye kisimu changu akaandika tukaaagana zetu sisi yeye akaondoka sasa , yani hata sijaingia ndani ya mgahawa nasikia sms kuangalia hivi nakuta ni yule yule mkaka Raphael tena katuma umeionaa? Me nikajua ni namba kuiona nikasema ndioo ,nikaingia zangu ndani mgahawani kwa Mama yangu "Mama yangu kipenzi nimerudi" nilimwambia nikimkumbatia Mama kwa nyuma " nilikuwa nataka nikupigiee simu maan saa 10 hio shga angu mhh , vaa nguoo hii uondoke uende ukahudumie wateja, maan hapo unahisi unajiona tajiri kwasababu etty umepewa hako kaelfu 10 yaani wewe hela ndogo zinakupumbaza akili mhh we mtoto" Mama kwa kuongea jamani hapana mhh ningerithi huu uongeaji sijui ningekuaje maana vya kurithi vinazidi sana mhh π nilijianda nikaendaa kuwahudumia wateja kama ilivyo kawaida ni kuwahudumiaa wateja
Tulimaliza sasa na tukafunga tukarudi nyumbani hee si ndio kuangalia simu nakuta text ya umethibitishwa eety 50k mhh nilijua mwanzo bi Aika maan yeye ndio huwa ananipa pesa ndefu kidogo nilimpgiaa akasema sio yeye " mhh shga angu au umepata mchumba huko unanificha?" Niliona na yey mzinguaji tu maan mimi nipo serious yeye analeta matani nilikasirika kweli nikakata na simu , mimi masihala na hela sitaki kabisa ndio maan navumilia dharau zake najua kuna kitu napata pale kwake ndio akil ikaja itakuwa ni Raphael ndio kumpigia simu akapokea simu yeye " Asante nimeiona , ila kwanini umenipa hii jamani" nilimwambiaa Raphael alicheka " jaman kampani yako tu nimeipenda na hyo ni shukrani ya kuniamini na kunipa namba yako rafki yangu , haya lala mimi kesho naenda kazini sawa mam yangu?" Nilimsikiliza tu nikamwambia usiku mwema nikawa nawaza acha nianze kumuuliza Mama kuhusu tabia za wanajeshiπ
" etty mmaa Wanajeshi huwa wapoje yaani tabiaa zao wanakuwaga jee eety Mama nambie " nilimujliza Mama maana yey ni mtu mzima anelewa " wewe naee mhhh wanajeshi. Mhh hamna watu malaya kam hao , mhhh yaani Izrael akikushinndwa kukutoa roho kwa kukuua mapema anakupa mwanaume mwanajeshi au daktari ni malaya hao watu, sasa wewe kama umepata mwanaume mjeda hukoo we jipangee upo bibi " nilimtizama Mama sikummaliza yaani " mimi nimekuuliza tu maama ushaanza kutafsiri mengine , naenda kulala mimi:" nilinyooka chumbani kwangu kujiandaa kwa ajili ya kesho kazini nililala unknown maana huyu mzee khaa, nilikuwa na chumba changu coz ile nyumba ilikuwa kubwa na ni ya kwetu hatujapanga kabisa ni kwetu maan marehemu baba aliniacha hii nyumab japo ni ya kawaida sana...
Kupata mwendelezo bonyeza link hii hapo juu au chini ukasome yote hadi mwisho...
Itaendelea....
*Ep 05*
Asubuhi ilifika salama kabisa niliamka salama namshukuru Mungu, niliaamkia kuchota maji mimi mdada wa watu maana pale nyumbani maji shida hatari na bombani hakuna wala nini tunafuata huko chini wondering, basi nilifuata maji nikaleta zangu nyumbani nikafanya usafi , nikajiandaa kwenda kazini kwa Mama sasa , maan mama yey alitangulia mapema , nilijiandaa nikaendaa kazini
Mida ya saa sita hivi aliiingia mteja mwenye magwanda ya jeshii , niliinuka kumuhudumiaa hee namkuta ni Raphael π hee wewee umekuja kufanay nini hapa jamni ? Nilimuuliza alinitizama " mimi ni mteja hebu nihudumie na ninataka ulichopika wewe jamani" nilicheka nikajuaa tu huyu mkaka mzuri bangi tupu nilimpa chakula chake haya hicho hapo boss " nilikuwa nina adabu sana kwenye kazi hata iwe nakujua vipi siwezi kukuletea masihara kazini hata robo " upo makini na kazi yako etty boss" nilicheka nataka nijibuu tu Mama akaniita kwa sauti ya juu kweli " wew mjinga hebuu njoo huku kuna mteja mwingine" sawa mam nakuaj , nikaondoka kumuelekeaa mama yangu sasa nikahudumiee wateja wenginee sasa , mgahawa wetu japo ulikuwa mdogo lakini ulikiwa msafi muda wotee na hap ndipo upo tu uswazi je ungekuwa hukoo osterbey wee ogopa matapeli, nilimaliza kuhudumiaa naangalia alipokuwa ameekaa Raphael simuonii nilipotezeaa tu nikarudi kwa mam nishamaliza kuhudumia tauri wote napita kutoa vyombo
"Wee mjinga mbona yule mwanajeshi kaacha elfu 30 na amechukuwa chakuala cha elf 4 tu , auua unakopeshaga wewe mjinga afu huandiki angekuwa sio mwanifu " jamani mma bhan always anawaza ujingaa nilisema tu sijui " nyoko sijuii wewe we haya utakamatwa kabisa kam unaona etty ni mjeda ana hela umeyatimba taur wenyew tu hao omba omba kam sisi ana hela angekuja kula uswahili hay ww endelea tu kukopesha" eeh mma yangu yaishe ngoja nikakusanyee vyoonboo nikaoshe " haya ndio ufanye haraka sasa wee bichwa" yaani mama mhh π
Siku zilipita na ndio ikawa tabia ya Raphael mchan kuja kula nyumbani kwetu , kwenye mgahawa wetu na kuna wakati alikuwa anakuja na wanajeshi wenzie hivyoo tulikuwa tunapiga pesa saana mhh na huku Aika akiwa busy na chuo ni tuna kutana mara moja moja tena weekend tu , na kwa upande wa urafiki wetu mimi na Raphael ulizidi kupamba moto yani hatari tupu , hii siku ilikuwa Jumapili huwa tunachelewa kufunguaa mgahawa sisi nilikuwa bado nipo kitandani , nishamaliza mamb yangu nikakaa kitandani tu nimetulia simu ikawa inaita ni Raphael nikaipokeaa
"Unajua kwamba leo saa sita usiku ni birthday yako Rahma?" Mhh nilishangaa "wee nani kakwambiaa sasa wakati mimi siwambiagi watu" alicheka kweli " kwahyo umesahau kuwa wewe ndiie ulieniambia mwenyew mam cha maneno umesahau" nilicheka maan yawezekana kweli nilimwambia mimi mwenyew ila najifany tu nimevurugwa na maisha tayari " mhh labda mhh nambiee"
"Naomba tutoke mimi na wewe yaani saa sita kamili itukutee pamoja " nilitoaa macho " yaani mimi na wewe" nilishangaa kweli yaani " mhhh kwani kuna shida Rahma mimi kutoka na wewe, mimi si rafiki yako sasa wasi wasi wa nini sasa jamni we njoo bhan nyumbani au kuna shida, me nakuahid usalama wako na nitakurudisha baaada ya saa sita usiku nataka ufurahie siku yako ya kuzaliwa kwan umesahau ulinambia hujawahi kuenjoy siku yako ya kuzaliwa?" Nilikumbuka nishawahi kumwambia hivyoo Raphael " ila Raphael nije nyumbani kwako?" Nilikuwa nasita sita sana " yaani tunatokeaa hapa ila kuna sehemu tunaenda sawa mama yangu?" Nilikubali maan alinishawishi sana , nilimuaga Mama nikasema naenda kwa aikna Aika leo amesema anataka anifanyiee suprise special for my day mama yangu huwa hanaga shida alikubali akanipa na funguo ya ndani ili nikija nisumgongee usiku
Nilifika nyumbani kwa Raphael alikuwa tayar kajiandaa kapendez kinoma alivaaa casual mimi nilikuwa nimevaa kibaubui changu tu kizuri kizuri na mtandio mweusi " wow umekuja kweli , ila sasa vaa hii" alinipa nguo muundo wa abaya sijui mnaita wenyew mimi sijuii niliiivaa jamnni nilinoga uwii nilipendeza na sijawahi kuvaa hyoo nguoo maan hizi zinakuwaga ni leo "nimekununulia hiyo coz najua wewe huwezi kuvaa nguo fupi , ila sipo vizuri kwenye kuchagua" nilitabasamu tu nikamwambia usijali nimeipenda mnoo , na ilikuwa nzuri haionekani kam hizi za 45k ilikuwa pambe hatari ya kijani ya jeshi ,basi tuliondoka tukaenda sehem moja kali kweli imetuliaa haina makelele , palikua pamepambwa hatarii , palionekana ni ufukwenu na ilikuwa ni usiku tayari hivyoo tulikuwa wawili kwenye meza jamni ,meza ilikuwa imepambwa sanaa mhh hpana yaani, ningekuwaga na simu ningerekodi kila tukio niwaonyeshe
"Asante hiii yote kwa ajili yangu?" Alisema ndio akinipa kiboksi kimojaa " unaweza funguaa hii hapa , hii sio zawadi ya birthday ni yako binafsi" basi niliifunguaa jamni nilikuta ni simu , nzuri pale kwenye boks lake kuna picha ya appe lililong'atwa jamni nilifurahi mpaka machozi ya kawa yananilenga mimi "kweli ni ya kwangu kaka Raphael?" Alitikisa kichwa niliruka ruka mimi jamani " usijali utaenda kuiset mwenyew hukoo nyumbani na kam utataka hii video ntakutumia" nilikubali coz kuset simu nafaham nishakaa na wasetiji simuu
Ulipita muda tupo tunakula tuna enjoy sasa nikama nilikuwa nimejichafua Raphael akawa ananielekeza mimi sielewei akainuka mwemyew kuja kunifuta jamani ule ukaribu wetu wa pumzi ulinipa shida sana afuu akawa kaganda ananitizama kwa muda mimi nikaainamisha sura chini , hee akaniinuaa kwa kidolee ilkuwa ni karibu na saa sita, nilishtukia tu kasogeza mdomo wake akaanza kunipa juice jamani ilikuwa ghafra lakini mmmh π«£, nilijikuta nashindwa kuvumiliaa nikawa natapatapa tu huyu mkaka duhh nilijikuta tu utamu wa juice unanizidia nilianza kulegea na mimi nikaanza kumpapasa upande wa kichwaa akaonaa wwee usinitaniee akanibeba akanipeleka kwenye hema maana hapo alikua ameshaandaa hadi hema lakini kulikuwa na maboksi ya zawadi humoo jamni , achaa aendeleee kunipa juice muda huo hata haongei ni juicee tu nililegeea mimi mhhh , jamni sijawahi legea hivii huyu mkaka kibokoπ siku ya kwnza kupewa juice ni siku ya birthday yangu , maana hapa alarm ililia kumaaanisha ni saa sita kamili afu bado anaendelea kunikunywa tu nilitamani kufanya vitu vya ajabu π«£...
Itaendelea......π₯
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
