VYOTE NDANI GONGA94
๐ฅ MAMA MKUBWA NIIZAMISHE YOTE๐ฅ Sehemu ya Saba (;Mtoto pita mbali na simulizi hii na wewe mjuaji pita mbali huu mziki wa watu wazima)
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Twende kazi..๐
Akapeleka mkono ukutani anawasha taa...
Dah yani...๐
Bahati nzuri umeme ulikuwa umekatika taa aikuwaka nikanyanyuka kitandani kumuwai mama mkubwa...nishajua aliyekuwa ananinyonya nanii yangu ni shoga yake)
" Mama mkubwa unanipenda umewai kuja chumbani kwangu twende sebuleni.
" Nakupenda sana juma ila nishakukataza kuniita mama mkubwa niite mamy.
( Nikamshika mkono nikamtoa chumbani akaniambia)
" Usipende kulala chali ndio maana unaweweseka.
" Itakuwa sasa kwanini aukuniamsha kwenye sofa.
" Nilikuamsha aukusikia sikutaka nikukatishe starehe yako.
" Sawa.
" Aya nenda kalale ila ujue nakaribia kumaliza.
" Sawa acha nikusindikize chumbani kwako ulale wewe alafu nikalale mimi.
" Nimeipenda iyo juma.
( Ajui nampa nafasi shoga yake atoke chumbani kwangu kweli nilimpeleka chumbani kwake akapanda kitandani mimi nikarudi chumbani kwangu na kweli sikumkuta shoga yake...asubuhi ilipofika mama mkubwa wakati anaoga shoga yake ananiambia)
" Jana kidogo nifumwe ungekosa umeme kukatika.
" Kwanini sasa umefanya vile.
" Nilitaka kuistua alafu niikalie wewe ni wangu nakupa Muda wowote.
" Hapana mama mkubwa akijua atamwambia mama alafu itakuwa ni mbaya kwangu.
" Basi sirudii kukufata usiku.
" Sawa.
( Sasa Waliondoka ila shoga mtu akaona aende kwa jogoo poll akamwambie swala la mama mkubwa kunitaka mimi ikiwezekana aweke somo la onyo...kumbe wanakawaida ya kuwa wanaendaga kwa jogoo poll...sasa alipofika alikuta wanawake wamejaa wanamsikiliza jp na jp alikuwa anawaambia wanawake)
" Hivi wakina dada unajua kuna mwanaume anaweza kuomba namba yako na asikutafute kabisa? Hivi unajua sababu yake unakuwa unasuburi akutafute wala hakutafuti au anaweza akakutafuta mara moja na asikutafute tena huwa zipo sababu nyingi moja wapo ni
Alitaka kujipima anaweza kupewa no na mwanamke kama wewe? Alitaka kujipima muonekano wake na uwezo wa ushawishi tu
Alipata tamaa ila akili yake iliporudi sawa akawaza huo ni ujinga na amekosea sana anaifuta no yawezekana ana mahusiano tayari anawaza anaweza kumpoteza mtu sahihi kwa ajili yako ambaye hana malengo na wewe
Wapo wanaowaza kuwa na mahusiano na wewe ni kuongeza gharama za maisha ilihali ana mtu wake ambaye wapendana sana.
Wapo mnaoweza kuongea na kupanga kuonana ila moyo ukagoma kwasababu ya kuona anachotaka kufanya si chema kabisa hofu inamtawala juu yako ana haji kuonana
Wapo wale wanapoongea na wewe siku ya kwanza wasivutie na wewe kabisa wakuacha hivyo bila kuendeleza mawasiliano na wewe
Wapo ambao kuna mahala anapafukuzia kwahiyo akiona pamekaa sawa anakupotezea
Wapo wale ambao mahusiano yao yana mgogoro kwahiyo anakuomba no yako ili awe anapata faraja ila baada ya kutafakari anaona huo ujinga na usaliti kwenye mahusiano yake yenye changamoto na hakutafuti tena kabisa
Nina mengi ila Muda mdogo nataka niwai kupumzika.
( Shoga wa mama mkubwa akamfata jogoo poll wakaongea pembeni taratibu tu shoga wa mama mkubwa akasema yote na akamuomba jogoo poll aweke somo juu ya kukemea na jogoo akasema)
" Wewe kama utaki litokee mpe nauli dogo aondoke ila kwa somo aitawezekana kwa sababu uyo kaamua lake kamleta kwa marengo maarumu sio yeye tu kwenye jamii hii wapo wengi wanatembea ndugu kwa ndugu bila aibu jaribu kuzuia kwa kumtoa dogo tu hapo.
" Sawa.
( akaona njia yake ya kwanza kuzuia imeshindikana na kuniondoa mimi anaona ni ngumu na yeye anautaka huu...akarudi zake kazini...usiku wakaja wote nyumbani...siku zilipita ikafika siku ambayo mama mkubwa yupo vizuri...alichofanya kama alichofanya shoga yake wameenda kazini alafu mchana akanijia...mimi kunichukua...shoga mtu alitumia njia ya simu kuniita...ila mama mkubwa akatumia njia ya kunifata...kweli tulienda lodge mama mkubwa alichukua konyagi akanywa akaniambia)
" Nimekata aibu nataka yote ila wewe usinywe sawa.
" Sawa.
( Dk 10 mama mkubwa kazima simu kalewa anatoa nguo ananiambia )
" Hii IPO kwa ajili yako nataka uikune kweli kweli nakupenda.
( Jamani sisemi mengi nilijizima data)
ITAENDELEA
HAPA SASA HAKUNA PAZIA TENA.....
NUNUA UJUE NI VITA YA KUTAKA MBEGU YA JUMA KWA SABABU NI SHOMBE SHOMBE NANI HATASHINDA?
ITAKUWAJE?
Kwa wakubwa zaidi ndio kumeingia.
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mama-mkubwa-niizamishe-yote-sehemu-ya-saba-mtoto-pita-mbali-na-simulizi-hii-na-wewe-mjuaji-pita-mbal