Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MR ARROGANT 17&18*
Gonga94 · Stories

MR ARROGANT 17&18*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.



Baada ya siku ndefu ya kazi, Leon alimwambia Jasmine .
“Usiondoke leo nataka tuwe na usiku wa tofauti mimi na wewe .
Jasmine alitabasamu kwa aibu. Hakujua Leon alikuwa na mipango gani, ila moyoni alitamani kila kitu kizuri kitokee.
" Watu wote wameondoka?
" Ndio hao tumebaki mimi na wewe na mlinzi getini.
" Basi hatuna muda wa kupoteza twende zetu.
Walitoka ofisini huku Leon akiwa kabeba pochi ya Jasmine
Walipofika nje walipanda kwenye gari ya kifahari ya Leon.
Waliondoka na kwenda sehemu moja ambayo ilikuwa ni uwanja kama wakichezea mpira . Gari ilisimama hapo leon akawasha taa full
, akaweka muziki wa romantic ukawa unasikika taratibu ndani yake. Harufu ya air freshener na manukato ya Leon vilitawala kwenye gari .Jasmine alimuangalia Leon aliweka mkono wake juu ya mkono wake, akitabasamu kwa jicho la kimahaba.
" Jasmine niambie unataka nikufanyie nini ili uamini kuwa nakupenda?
" Matendo yako tu yananifanya niamini kuwa unanipenda.
" Upo tayari kuwNzisha familia na mimi?
" Unauhakika na unachosema? Aliuliza jasmini kama vile haamini
" Ndio sitaki tupotezeana muda nataka uwe wangu wa halali kila nitakapokuhutaji basi nikupate kwa urahisi sio kama hivi zimetulia mara Nadia anapiga simu na kutaka urudi nyumbani haraka.
" Mimi nipo tayari hata leo .
Mara simu ya Leon iliingiza ujumbe na Leon alichukua simu yake na kusoma. Kisha akatabasamu.
" Tunatakiwa kwenda sehemu.
" Wapi? Nilijua leo umepanga tuwe hapa.
Leon alicheka
" Yani mtoto mzuri jana wewe nikulete sehemu kama huu? Haiwezekani.
Leon aliwasha gari wakaondoka.

Walifika kwenye ukumbi wa kifahari uliopambwa na taa za bluu na nyeupe, na muziki wa live band ukicheza nyimbo laini za mapenzi. Meza yao ilikuwa karibu na jukwaa, mishumaa ikiwaka na maua mekundu ya waridi yakiwa katikati.
Leon alimsogelea Jasmine, akamwambia kwa sauti ya chini sana kana kwamba ni siri .
“Unajua Jasmine, kila mara nikikuona, moyo wangu unapiga muziki wake wa pekee.
Jasmine alitabasamu. Leon akaendelea kusema
"Leo, nataka ucheze na mimi muziki huo.
Leon alisimama akanyosha mkono kwake. Jasmine akajisikia aibu lakini hakuweza kumpinga. Alimpa mkono wake leon alishika vyema kiganja cha Jasmine wakasogea kwenye uwanja mdogo , mwanga wa taa ukimulika sura yao, Leon alimzungusha taratibu, akimshika kiuno kwa upole. Miili yao ikakaribiana zaidi, pumzi zikigongana, na macho yao kuzungumza zaidi ya maneno.

Muziki ulipokuwa unaimba kwa hisia Jasmine alijikuta akiegemea kifuani mwa Leon, akisikiliza mapigo ya moyo wake. Leon naye, akamshika zaidi kwa nguvu kana kwamba hataki tena kumwachia.
Hakukuwa na maneno mengi vitendo ndio vilipewa kipaombele kwa usiku huo.
Leon alisogea karibu na sikio la Jasmine alimnong’oneza kwa sauti nzito ya kiume iliyokuwa na msisimko fulani, yenye joto la mapenzi:
“Jasmine huu ndio mwanzo wa muziki wetu, na nataka ucheze nami hadi mwisho wa maisha.”
Macho ya Jasmine yalijaa machozi ya furaha, alinyanyua macho akamuangalia na kusema kwa sauti yenye haiba ya kike
“Na mimi sitaki muziki huu uishe kamwe.”
Leon naomba nikuombe kitu.
" Haina haja ya kuomba sema tu mpenzi.
" Leo siwezi kwenda kulala mwenyewe nataka kulala pembeni yako.
Leon akifumba macho alihisi msisimko.
" Sawa mama twende ukanifanye nilale usingizi mzito wenye amani.
Baada ya maneno hayo, kimya kifupi kilitawala. Jasmine alibaki akimtazama Leon kwa macho yaliyojaa upendo na shauku. Leon naye alimwangalia kwa ukimya, moyo wake ukicheza midundo isiyoelezeka.
Alinyanyua mkono wake, akapapasa shavu la Jasmine kwa upole.
“Jasmine… unajua ni mara ngapi nimewaza kuhusu hii siku? Lakini leo nimehisi ndoto yangu imekuwa kweli.”
Jasmine akatabasamu kwa aibu, akainamisha uso wake taratibu. Lakini Leon akainua kidevu chake kwa kidole gumba, macho yao yakakutana tena. Dakika hiyo ikawa kama dunia imesimama kwa ajili yao pekee.

Wakati huo muziki wa live band uliendelea kuimba nyimbo za mapenzi, taa za ukumbi zikizidi kuangaza nyuso zao. Leon hakusubiri tena. Alisogea, akabusu midomo ya Jasmine kwa upole . Jasmine alijibu busu hilo bila kujizuia, mikono yake ikimkumbatia Leon kwa nguvu.
Usiku ule, kila kitu kikawa kimesahaulika mashaka, migongano, na hofu. Kilichokuwepo ni hisia kali za mapenzi.

Baada ya muda, Leon akamnong’oneza tena,
“Twende nyumbani Jasmine… leo nataka nipate joto lako kwa ukaribu zaidi .
Jasmine Alikubali moyo wake ukiwa tayari kwa hatua mpya ya safari yao ya mapenzi.

Offer offer
Soma yote kwa sh 500

Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MR ARROGANT 17&18*




Baada ya siku ndefu ya kazi, Leon alimwambia Jasmine .
“Usiondoke leo nataka tuwe na usiku wa tofauti mimi na wewe .
Jasmine alitabasamu kwa aibu. Hakujua Leon alikuwa na mipango gani, ila moyoni alitamani kila kitu kizuri kitokee.
" Watu wote wameondoka?
" Ndio hao tumebaki mimi na wewe na mlinzi getini.
" Basi hatuna muda wa kupoteza twende zetu.
Walitoka ofisini huku Leon akiwa kabeba pochi ya Jasmine
Walipofika nje walipanda kwenye gari ya kifahari ya Leon.
Waliondoka na kwenda sehemu moja ambayo ilikuwa ni uwanja kama wakichezea mpira . Gari ilisimama hapo leon akawasha taa full
, akaweka muziki wa romantic ukawa unasikika taratibu ndani yake....

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mr-arrogant-17-18

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mr-arrogant
MR ARROGANT SEHEMU YA KUMI NA TATU*
MR ARROGANT SEHEMU YA KUMI NA TATU*
MR ARROGANT 💎🔥*  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
MR ARROGANT 💎🔥* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
MR ARROGANT 14&15*
MR ARROGANT 14&15*
MR. ARROGANT 💎🔥 9
MR. ARROGANT 💎🔥 9
MR ARROGANT 💎 🔥 8
MR ARROGANT 💎 🔥 8
MR ARROGANT 💎🔥* ______________________________________*  *SEHEMU YA KUMI NA SITA*
MR ARROGANT 💎🔥* ______________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA SITA*
MR. ARROGANT 💎🔥* *1----2* *
MR. ARROGANT 💎🔥* *1----2* *
MR. ARROGANT 💎🔥 3
MR. ARROGANT 💎🔥 3
MR ARROGANT 💎🔥10
MR ARROGANT 💎🔥10
MR ARROGANT 14&15*
MR ARROGANT 14&15*
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

576
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

496
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

226
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

223
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

208
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

132
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

82

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.55K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.36K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.34K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, 🥰 nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba 🥰😆 yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest