Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ 3
Gonga94 ยท Stories

MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ 3

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Wiki moja badae Jasmine alikuwa anajiandaa kutoka mara Rafiki yake mkubwa, Sasha, alifika nyumbani kwao akiwa na furaha kubwa.
โ€œJas! Leo nimekuja na habari nzuri.
" Habari gani?
"Hii ni nafasi yako. Kuna kampuni kubwa imetoa tangazo la kazi. Wanaajiri receptionists, secretaries na hata personal assistants. Jaribu bahati yako shoga yangu. Sasha alimkabidhi tangazo lililochapwa.

Jasmine alilisoma kwa makini, moyo wake ukijaa matumaini.
โ€œKampuni ya Maxwell Empireโ€ฆโ€ alisoma kwa sauti ya chini.
โ€œHiyo ni kampuni kubwa sana. Ila watakubali kweli mtu kama mimi?โ€
Sasha akamshika mkono.
โ€œHakuna lisilowezekana. Wewe ni mrembo, una akili, na una ujasiri. Hebu jaribu. Hii inaweza kubadilisha maisha yako.
" Asante rafiki yangu kwa kunitia moyo .

Ilipofika Usiku Jasmine aliandaa CV yake vizuri, akakaa akiiombea nafasi hiyo kwa moyo wa dhati.
" MUNGU wangu naomba wakati huu ufike wakati ule uliopanga mimi nifanikiwe. Kesho niende kupata kazi kwenye hii kampuni kubwa.

Siku ya interview ilipofika, Jasmine aliamka mapema, akaivaa sketi ndefu nyeusi na blouse nyeupe iliyompendeza sana. Alionekana kama mwanamke wa ofisini.
Alikaa kwenye foleni kusubiri interview kuanza.

Interview ilianza baada ya dakika chache, na jambo la kushangaza ni kwamba Jasmine hakuulizwa maswali mengi wala magumu. maofisa walivutiwa na kujiamini kwake, na baada ya dakika chache walipeana macho kana kwamba tayari walikuwa wameamua.
Mmoja alimuangalia usoni alafu akasema
โ€œTutawasiliana na wewe ndani ya siku tatu.
" Sawa , asanteni sana , muwe na kazi njema.

Ndani ya siku mbili tu alipigiwa simu kutoka kwenye kampuni ya aliyofanya interview
โ€œHongera Jasmine! Umechaguliwa kujiunga na kampuni yetu kama secretary mpya!โ€
Jasmine alipiga kelele za furaha, akamkumbatia Sasha ambaye alikuwa karibu.
โ€œHii ni ndoto yangu imetimia. Hatimaye nimepata kazi kwenye kampuni kubwa!โ€
" Hongera sana rafiki yangu .
" Niliomba sana jamani.
" Hata mimi nilikuwa nina matumaini kuwa utapata kazi. Jasmine na Sasha waliendelea kufurahia bila kujua ilikuwa jaribio kubwa la moyo wake.

Kesho yake jasmealiamka mapema sana na kuanza kufanya maandalizi, siku hiyo alivalia nguo yake mpya ambayo alichukua dukani kwa shangazi yake , nywele zake alizitengeneza vizuri na kuwa kwenye muonekana mzuri.
Jasmine alifika kazini akiwa na furaha, akitembelea jengo kubwa la kifahari la Maxwell Empire. Alivutiwa na ujenzi wa kisasa, magari ya kifahari kwenye parking, na wafanyakazi waliovaa suti safi.

Alipofika mapokezi, receptionist aliangalia orodha na kumwambia:
โ€œKaribu, Jasmine. Utakuwa secretary wa boss.โ€
Jasmine akatabasamu.
โ€œBoss gani?โ€ aliuliza.
Receptionist akamjibu na kusema:
โ€œMheshimiwa Leon Maxwell.โ€

Jasmine alibaki ameduwaa.
โ€œWhat?!โ€ alishusha pumzi, moyo wake ukianza kudunda kwa kasi.
โ€œYaaniโ€ฆ yuleโ€ฆ yule mwenye jeuri ndio boss wa hii kampuni?!โ€

Hapo macho yake yakajaa mshangao na hasira kwa wakati mmoja.
Mara mlango wa ofisi kubwa ulifunguliwa. Leon Maxwell mwenye suti nyeusi iliyompendeza sana akatokea, akitembea kwa kujiamini. Macho yake makali yakatua moja kwa moja kwa Jasmine.
Tabasamu la dharau likajaa usoni mwake.
โ€œKaribu Jasmine. Sikujua mbinu zako tungefanya kazi haraka sana, sasa umekuja moja kwa moja kwenye himaya yangu. Huu mchezo sasa ndio unaanza rasmi.

Jasmine akavuta pumzi ndefu, akainua kichwa kwa ujasiri.
โ€œHata kama wewe ndio boss, Leon, kumbuka kitu kimoja Mimi siogopi. Na usitegemee nitainama mbele yako....
Kabla hajamaliza kuongea leon alimkatisha.
" Wewe ni secretary wangu sasa , njoo ofisini kwangu haraka.
Leon alitangulia kuelekea ofisini kwake na Jasmine alibaki akiwa kasimama huku akiangalia baadhi ya wafanyakazi usoni.
" Huu ni ujinga Jasmine mimi sijawahi kuogopa kitu naenda. Alijisemea kimnya kimnya kisha akapiga hatua kuelekea ofisini kwa boss Leon ambae yeye alimpa jina la mr arrogant.

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ 3



Wiki moja badae Jasmine alikuwa anajiandaa kutoka mara Rafiki yake mkubwa, Sasha, alifika nyumbani kwao akiwa na furaha kubwa.
โ€œJas! Leo nimekuja na habari nzuri.
" Habari gani?
"Hii ni nafasi yako. Kuna kampuni kubwa imetoa tangazo la kazi. Wanaajiri receptionists, secretaries na hata personal assistants. Jaribu bahati yako shoga yangu. Sasha alimkabidhi tangazo lililochapwa.

Jasmine alilisoma kwa makini, moyo wake ukijaa matumaini.
โ€œKampuni ya Maxwell Empireโ€ฆโ€ alisoma kwa sauti ya chini.
โ€œHiyo ni kampuni kubwa sana. Ila watakubali kweli mtu kama mimi?โ€
Sasha akamshika mkono.
โ€œHakuna lisilowezekana. Wewe ni mrembo, una akili, na una ujasiri. Hebu jaribu. Hii inaweza kubadilisha maisha yako.
" Asante rafiki yangu kwa kunitia...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mr-arrogant-3

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mr-arrogant
MR ARROGANT SEHEMU YA KUMI NA TATU*
MR ARROGANT SEHEMU YA KUMI NA TATU*
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ*  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
MR ARROGANT 17&18*
MR ARROGANT 17&18*
MR ARROGANT 14&15*
MR ARROGANT 14&15*
MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ 9
MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ 9
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž ๐Ÿ”ฅ 8
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž ๐Ÿ”ฅ 8
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ* ______________________________________*  *SEHEMU YA KUMI NA SITA*
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ* ______________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA SITA*
MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ* *1----2* *
MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ* *1----2* *
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ10
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ10
MR ARROGANT 14&15*
MR ARROGANT 14&15*
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

576
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

496
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

226
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

223
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

208
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

132
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

82

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.72K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.55K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.43K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.36K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.34K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, ๐Ÿฅฐ nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba ๐Ÿฅฐ๐Ÿ˜† yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest