Ingia

Sema Jambo 2025

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  gonga94 official track

MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 02*

10th Sep, 2025 Views 48


Niliona hiyo ni fursa siku watakazokuwa wanajenga mafundi tutakuwa tunaamka saa 10 za usiku..

Tunawaandalia kiamsha kinywa asubuhi kabla sijaenda chuoni nitakuwa nawapelekeaa nipate na pesa ya nauli za kwendea chuoniπŸ₯°πŸ₯°πŸ₯°...

Nilimpatia namba akaondoka....mimi na poppy tulirudi pale mgawahani kwetu tukaosha osha vyombo tukapaweka sawa then tuliondoka kwenda nyumbani..

Siku tunazokuwa mgahawani huwa tunaondoka huko tumekula cha usiku tukifika nyumbani ni kuoga na kukisomea tu..

Siku hiyo baada ya kufika home nilioga nikamaliza nikaanza kujisomea... simu yangu ilianza kuita huo usiku namba ngeni nikapokea..

Sauti kama naijuaπŸ€”πŸ€”ni kama ya yule Boss aloomba namba ili awe anaoda chakula..

Helloo...

Nikaitikia Helloo..

Samahani naitwa Hemed yule kaka aliyeomba namba ...alijitambulisha hivoo..

Namimi nikamwambia naitwa Bella..

Samahani kwa usumbufu Bella tunaeeza tukafahamiana zaidi???

Nop hapana πŸ˜’πŸ˜’πŸ˜’lbda kama unataka kuweka oda ya chakula nakusikiliza..
Nilipoongea hivo poppy akanifinya akawa ananiambia dada unahitaji na mtu wa kukupenda sijui kwanini unamkataa kila mtu...

Usimjibu hivo Dada pleaseπŸ™„πŸ™„ sikujali anachoniambia poppy niliendelea kumkazia jamaaa..

Baada ya kukataa kumsikiliza Hemed aliniambia ni sawa samahani basi..

Okay nimekuelewaπŸ˜’πŸ˜’... kesho naomba mtuletee chakula mafundi watakuwa watu kadhaa chakula cha asubuhi na mchana..

Sawa Hemed nitafanya hivo... asante kwa oda yako nakuahidi nitatekeleza ipasavo ubarikiwe sanaπŸ₯Ή..

Hemed alivutiwa na hayo maneno akaniambia usijali Bella natamani sana kukufahamu kwa undani lakini kama hautojali😞

Hilo haliwezekani Sorry... jamaa alikuwa akiongelea ishu ya chakula namjibu kwa nidhamu ila haya mambo mengine namkazia balaaaπŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ™Œ

Kabla hatujamaliza kuongea Hemed aliniuliza kitu kimojaπŸ€”πŸ€” alitaka kujua kama huwa tunapika na chakula cha usiku pale kwenye kimgahawa chetu..

Hahahaaaa hapana ni breakfast na lunch tu Boss...

What😳😳😳Bella umeniitajeπŸ™„πŸ˜³ sipendi United hivo tena.. niite Hemed tu inatosha..

Hahahaa mabosi hawapendi kuitwa mabosi ila sasa sisi maskini tunavolipenda hilo jina🀣 nilimuomba samahaniπŸ˜“

Akasema okay😝😝...Hemed aliniomba kama itawezekana kuanzia kesho et nianze kuwa nampikia chakula cha usiku atakuwa ananilipa pesa nzuri tu😝😝..

Khaa jamani huyu jamaa kwani siku zingine alikuwa anakula wapi😝🀣

Nini kitafuata???...itaendeleaaa

Full 2000
Whatsapp 0657171961
KWETU Morogoro.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 02*  >>> https://gonga94.com/semajambo/mrembo-yatima-na-kijana-tajiri-sehemu-ya-02

#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Maoni

You're not logged in
Click here to login and comments
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
gonga94 official track
ZETU
SIMULIZI NA SAUTI ZETU
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Kama wewe hujatimiza miaka 18+ usije nasema usije kabisa ni wakubwa tu
Kama wewe hujatimiza miaka 18+ usije nasema usije kabisa ni wakubwa tu

RATIBA YA SIMULI ZETU

Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.


Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest