Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
22 Sep 2025
124 views
VYOTE NDANI GONGA94
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 19* Romy aliniambia kwa siku atakuwa ananilipa dollar miatatu
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
kibongo bongo ni sawa na laki nane alafu pale hotel ninalipwa laki mbili na nusu kwa mwezi😃😃
Si bora kurisk kazi kuliko kuiacha hii safari😝😝😝kama kwa siku nitakuwa naingiziwa laki nane Bank then what kwanini nikatae??
Nilikubali bwana😃😃nilikwenda kwa meneja nikamwelezea hali halisi sikumficha😝😝😝meneja akaniambia kama naitaka kazi lazima niangalia cha kumpa ili aendelee kunihesabu kama mtumishi..
Alidai hakuna likizo kwa mfanyakazi mpya na isitoshe mimi ndo nilikuwa nimeajiriwa pale so aliniambia kama nataka ruhusa nimpe tamu🙄
Yani nikalale naye hahahaaa na mjue kipindi hiko bado nilikuwa sijatolewa hata hiyo bikra😃 yani usichana wangu nimenyima Hemed aje aule meneja wa hotel huo ujinga siufanyi😂😂😂..
Meneja ananisaidia nini???? Kwanza ni mme wa mtu ana familia yake...pili hanilipi kitu yani ni ananilala ili anipe likizo ya hiyo week moja nitakayokuwa na Romy..
Nitolewe bikra kisa mshahara wa laki mbili na nusu kwa mwezi?..
Si bora nikatolewe na huyo anayenilipa dollar miatatu kwa siku😃😃😃hahahaa nilimwambia meneja sawa ngoja nifikilie nitakupa majibu..
Ukitaka kumshinda mjinga we mpe matumaini tu😝😝 niliona nikimkatalia meneja hazarani anaweza kuniharibia cv kwa Romy nikajikuta napoteza kazi napoteza na hiyo dollar miatatu...
Nilichofanya ni kumpa matumaini Romy nilimwambia nitampa majibu baada ya muda kama nitalala naye au laah... lilichekelea likaniambia we nipe mzigo huo kabla mzungu hajaenda kuukojolea😋..
Nyooo ms😄nge nini... hawa watu wa vitengo fulani wanajikutaga nani sijui yani kazi yao ni kuwala tu watoto wa watu mimi siliwi kizembe hivo😄
Baada ya kuongea na meneja nikamsikiliza upuuzi wake nilirudi kwa Romy akaniambia nijiandae safari ni kesho tunaondoka na ndege ya saa 4 kuelekea Arusha...
Mmhhh lakini mi sina passport ya kusafiria kwa ndege et🥹🥹🥹Romy aliniuliza why kwanini hauna passport inamaana hujawahi kusafiri kwenye ndege???
Nikamwambia hapana sijawahi🥹🥹🥹basi usilie nitacancel safari yangu ya ndege nitaomba nisafirishwe kwa gari okay mama nikafurahi nikamwambia thanks🥰
Aliomba nitafute passport niwe nayo nikamwambia sawa nitafanya hivo🥰🥰 siku hiyo pia Romy aliomba nimtembeze sehemu nzuri nzuri huku jijini Dar🥰🥰
Alinilipa Dollar mia then usafiri na chakula ni juu yake🤗🤗nilitamani niachane na ile course nayoisomea nikasomee tour guide😊
Kumbe hawa wazungu kuwatembeza ndo wanakulipa pesa nzuri ivooo😋😋🤣
Basi bwana pale hotel walimtafutia Romy tour guide wa kujitegemea ndo akaenda kututembeza..
Kutokana na mazingira Romy aliyotaka kutembea yule tour guide alituambia hayo mazingira yapo morogoro maeneo ya misitu maporomoko mavitu kibao wazungu wanaenda kutembea sehemu tunazozizarau😂😂
Tulipelekwa moro tulizurura siku nzima mpaka usiku saa tatu tukarudi Dsm kujiandaa na safari ya kesho🥰🥰🥰..
Hiyo saa tatu tulienda na Romy mpaka pale kazini kwangu kwa ajili ya kula dinner then baada ya hapo ndo nirudi home..
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 19* Romy aliniambia kwa siku atakuwa ananilipa dollar miatatu
kibongo bongo ni sawa na laki nane alafu pale hotel ninalipwa laki mbili na nusu kwa mwezi😃😃
Si bora kurisk kazi kuliko kuiacha hii safari😝😝😝kama kwa siku nitakuwa naingiziwa laki nane Bank then what kwanini nikatae??
Nilikubali bwana😃😃nilikwenda kwa meneja nikamwelezea hali halisi sikumficha😝😝😝meneja akaniambia kama naitaka kazi lazima niangalia cha kumpa ili aendelee kunihesabu kama mtumishi..
Alidai hakuna likizo kwa mfanyakazi mpya na isitoshe mimi ndo nilikuwa nimeajiriwa pale so aliniambia kama nataka ruhusa nimpe tamu🙄
Yani nikalale naye hahahaaa na mjue kipindi hiko bado nilikuwa sijatolewa hata hiyo bikra😃 yani usichana wangu nimenyima Hemed aje aule meneja wa hotel huo ujinga...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mrembo-yatima-na-kijana-tajiri-sehemu-ya-19-romy-aliniambia-kwa-siku-atakuwa-ananilipa-dollar-miatat
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mrembo-yatima-na-kijana-tajiri-sehemu-ya
BINTI MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 38* Kuna muuza magari mmoja hivi ni maarufu sana Dar..nilichukua namba yake Instagram tukamcheki..
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 35* Nilivua nguo zangu zote nikabakia uchi kama nilivozaliwa🥹🥹🥹sijawahi kukaa uchi mbele ya mwanaume yeyote yule Romy ndo mwanaume wa kwanza
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 15
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 15* Na 17 Mr's Martin aliniambia I know how you feel sweetheart sorry🥹🫂❤️akaendelea kunihug na kunifuta machozi..
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 39* Dubai tulifikia katika hotel ya Grand Hyatt🤗🤗kama huijiu hii Hotel jaribu kugugo my friend ni very expensive hotel😴😴
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 24* Nilipokea ile simu mwilini mzima unatetemeka😴😴 nilimwakia mama akaitikia vizuri
MREMBO YATIMA. NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 40* Nilirudi Tanzania nikiwa na huzuni nyingi lakini ndo hivo maisha lazima yaendeleee 😒😒😒...
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 23* That day niliplan ninywe pombe kidogo cha kushangaza kila nikinywa nikimaliza naongeza nilifanya hivo mpaka nikajikuta nimelewa siwezi hata kuona mbele..
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 33*
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 01
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 02*
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 20* Meneja aliomba nirudi tumalizane ndo niondoke☺️☺️ye ana kichumba chake kule hotelini kumbe ndo unyama anaufanyaga huko chumbani😞😞
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI SEHEMU YA 25* Nilichukua tax nikamwambia anipeleke nyumbani sikutaka kwenda kwa Hemed kabla ya kufika
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 08,09,10
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 12
MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 32* Nilimsikiliza Romy maneno yake badae nikamwambia lakini haujawahi kunitongoza kumbuka nilikwambia ile post ya siku ile haikumaanisha kitu chochote🥺🥺
Mrembo yatima na kijana tajiri SEHEMU YA 22* Sasa umalaya wangu ni upi jamani yeye si ndo kaanza mbona mimi sijamtukana😂😂😂
Maoni