MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI❣️ SEHEMU YA 24* Nilipokea ile simu mwilini mzima unatetemeka😴😴 nilimwakia mama akaitikia vizuri
Mama aliniambia yani Bella huwezi amini ni jana tu nilikuwa nakuwazia mpaka nikataka nikupigie simu nikwambie napanga kuja kuwatembelea...
Tupange kuhusu ndoa yenu lakini badae nikasema nitawa surprise😊😊mpaka usiku tumemaliza kuwaongelea tukalala cha ajabu leo naamka nakuta missed call yake vipi hamjambo lakini??.
Nikamwambia sijambo mama niliwakumbuka tu nikasema niwatafute🙈🙈 mama aliniambia kwa vile tumeshaongea basi hii siyo surprise tena..
Jiandae tu kutupokea leo badae badae tutawatembelea tunakuja kupanga kuhusu uchumba wako inatakiwa Hemed akuvishe pete then ndoa yenu itaanza kuandaliwa...
Mmhhh wazazi inaonekana hawajui chochote kinachoendelea😳😳😳kama Hemed hajawaambia namimi siwaambii😝😝 hapa cha kufanya ni kurudi Dar leo leo wakija wanikuteee...
Nilimaliza kuongea na mama tukaagana nikaanza kupanga vitu vyangu kwa ajili ya kurudi Dar😝😝..
Nimemaliza kupanga vitu nikaingia kuoga nilipotoka bafuni nikakuta Romy nayeye amenitumia msg...
Good morning sweetheart I hope your night was good...nikamwambia of course Romy my night was so Good ❤️❤️..
Romy aliniambia nijiandae tukale kifungua kinywa then baada ya hapo kuna sehemu alitaka twende🙄..
Wapi??? Akaniambia anataka twende kilimanjarooooo kutembeaa🙄😳... nilimwambia haiwezekani Romy mimi leo naondoka narudi Dar..
What??? Haiwezekani 😰 kwanini unaondoka ghafla tulikubaliana tutakaa huku week nzima mbona unabadili maamuzi??
Romy alipanic sana hakutaka niondoke🥺🥺nilimdanganya nikamwambia nimepigiwa simu mama yangu anaumwa sana nataka nikamuone😰😰..
Romy aliposikia kuhusu mama akapoaaa akanipa pole ye hajui kama mimi ni yatima sikuwa nimwelezea chochote kuhusu hiloo..
Alinikubalia niondoke na akaniambia nikifika Dar nimpigie video call aongee na mama😴😴😴nilikubali tu kikubwa anilipe pesa yangu tuliyokubaliana niondoke pale..
Tulikunywa zetu breakfast tukamaliza nikamkumbusha kuhusu pesa😝😝😝 aliniambia twende chumbani kwake akanipe pesa🙄🙈
Pesa kweli naitaka lakini mbona nikaipewe chumbani hahahaa😴😴 nilimwambia sawa twende..
Tulielekea chumbani kwa Romy alivuta droo akanihesabia kiasi cha pesa za siku nilizospend na yeye akanipatia baada ya hapo nikawa naondoka akaniita..
Akaniuliza mbona unaondoka bila kuniaga??... nikampungia mkono byeeeee😝😝😝akashangaa really 😳😳hivi ndivo unavotakiwa kumuaga mpenzi wako???
Khaaa mpenzi gani jamani hahahaaa🤣🤣🤣hapo kwanza nicheke😝😝Romy aliniomba nimkiss ndo niondoke😴😴😴
Sikutaka anipotezee muda nilimkiss shavuni nikamaliza nikataka kuondoka akaniambia bado sijamkiss🙄🙄
Nilimpa tu anachokitaka ila sikupenda😏😏😏lilininyonya mpaka likadindisha ila mimi sikujisikia raha hata kidogo..
Niliondoka chumbani kwake nikiwa nimenuna nikaingia chumbani kwangu kuchukua beg nisepe...
Romy alinifuata kule chumbani kwangu akaniongezea pesa🙈🙈kidogo nikamchekea🙈 alinibebea beg tukaenda kutafuta usafiri😴😴
Kwa muda ule hapakuwepo na bus la kwenda Dar nafanyaje mieee😴😴😴nilibaha mpaka nikawa nalia Romy anajua namlilia mamangu mgonjwa lakini wala nina mambo yangu mengine🤣🤣🤣
Aliniambia twende Airport hawawezi kunikatalia kusafiri ndani ya Tanzania bila passport 😴😴tulipanda tax mpaka Airport hata hawakuniuliza mambo ya passport 😂
Nilikatiwa zangu tkt ya ndege na Romy tukakaa naye pale airport mpaka muda wa kuondoka ulipofika nikaenda kupanda ndege nayeye ndo akaondoka kurudi hotel..
Romy aliniambia atarudi Dsm baada ya siku kadhaa akishatoka mlima kilimanjarooooo ndo atarudi Dar..
Aliniambia nikishafika Dar nitafute nyumba nzuri alipie ili akirudi kutoka Arusha afikie huko tuanze kukaa wote😴😴😴
nyieee siku mtasikia nimepigwa lisasi za ubongo na vile Romy anamiliki mtutu siku akijua namdanganya sijui atanifanyaje😂😂🙈
Bwana wee hiyo ndo ilikuwa siku yangu ya kwanza kupanda ndege from Arusha to Dar es salaam 🥰🥰🥰🤗
Ile tu nimetua Dar nawasha simu mama Hemed akanipigia akaniuliza uko wapi??? Nikamwambia niko njiani natoka chuo🙈
Aliniomba nipite kwanza nyumbani kwa Hemed anahitaji kuniona😴😴nyieee kumbuka Hemed hatuongei na ndo ninaenda kwake😂😂😂
Itaendeleaaaaaa
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi





Maoni