MTAMU TOKA UTOTONI, SIKUACHI*π₯°π Chapter 14&15 Wawili hawa walichukua Garii Lao na Kwenda Nyumbani Wanapofikaa Nyumbn wanaonekana wakipiga leo story
Saraah Anasema "Jordan Ngojaa nikaogee na ww kaogee piaa sawaaa ntakuonaa keshoo" Jordan anakubali na kuonekana anawahi kabisaa kuoga Saraah Anashangazwaa na kitendoo cha Jordan "Amekuwaa Msikivuu sanaa kwanguu "Saraa Alisemaa huku akitabasamu na kwendaa kuogaaa Anapomaliza kuogaa akiwaa kajifungaa Towel huku akikaushaa kichwaa chakee ghflaa anageukaa nyumaa anamuonaa Jordan kumbee Jordan aliwahi kuogaa ili ajee kwa Saraah. Saraah Anapotaka kusemaa kitu anajikutaa amechelewaa maana Jordan Anamsogeleaa na kumpigaa bongee la denda Saraah nae anakuwaa mpolee kabsa wawili hawa wanasogezanaa kimahabaa kabsaa kitandanil huku Jordan Akifunguaa Night Dress Ya Saraah Na Saraah Akifunguaa Nguo ya Jordan, Yakufanyikaaa yanafanyikaaaa na Usiku wao unakuwaa mtamu sanaaa.
Ni Asubuhi Nyinginee Kabsaa Ambayo Juaal Linaonekanaa Kuchomozaa kwa ukubwaa sanaa na uku liking'aaa sanaaa, Kitandani Saraah Anaonekanaa kumlaliaa kifuaa Handsomee wetu Jordan. Ivi Jordan Kweli Tu Tu Tulifanya Bilaa Kingaa yyte "Saraah Alisemaa kwa uogaa sanaaa. Upandee wa Jordan yeye Ilikuwaa nikitu ambacho alikuwa ameshakipangaa kbsaa baada ya kugunduaa Saraah kamaa anauogaa aliamuaa kumkumbatiaa kwa nguvuu na kumwambiaa uku akitabasamu "Usiogopee banaa Mamy I'm your Man And Your Husband Too so Usiogopee najuaa umeshafahamu mm ni nan so usijali kbsaa sawaa Baada ya ishu zotee hapaa Must Tufunge ndoaa halali na Twende Ukweni Pisa Marekani kwahiyoo ondoaa Shaka Nakupendaa sanaa Mke wanguu"Baad ya kumwanbiaa ayoo Saraah Jordan alimkiss Saraah na hapo ndipo Saraah alipopata ujasiriii mkubwaa kabsaa wakuwaa na Jordan Maan Alielewaa Jordani ni Mtu wa ainaa ganii na Anampendaa kiasi ganii.. Siku hiyoo ililishaal wakiwaa nyumbni maana ilikuwaa ni kama siku ya mapumzikoo kwaoo.
Upande wa Madam Lindaa, Narsha Na Dr Abdulh wanaonekana wakiwaa wamekaa kabsaa bilaa hamuu Δ°yoo siku asee.Narshaa kwaa hasiraa Anasemaa "Ivi Jordan Kwelii hanipendii au ni vp maana simuelewii kbsaaa Watatu hawaa wanashauriaa kwendaa kesho katikaa ofise ya Jordan ili kuyamalizaa. Baaada ya hayoo Narshaa anaonekana kupokea simu ya kibiashaa ambayo inahus madawaa ya kulevyaa tuu na biashaa haramu zaidii ambapo anaambiwaa mzigoo upo tyr kwahiy ajiandaee kupokeaa, Narshaa Anafurahiaaa na kuwekaa tarehee ya uwo mzigo kununulikaa wiki mojaa baadaye.
Mda unakwendaa sanaa.
Upande wa Jay Anaonekaanaa kuwaa na furaha
sanaa "Hatimayee nmemalizaa kazi yanguu maaana Jordan Tyr anafahm ukwelii kbsaa wa kuhs yeye na mamaake na plaa kafahamu pia ni kwann Saraa hatakwi na Madam Lindaa kwahiyo kesho naweza rudii Arushaa tenaa lakin ngoj nifatiliee kifoo cha mtu aliyeuwawaa na madam. Lindaa kwanzaa then ndo nirudee Arusha Ilikumaliza Game "Jay anasemaa huku akitabasamuu sanaa na kataa ticket yakee ya ndege kupitiaa simu yake.Jay ni mdaa wakee anamuaaa kuanzaa kufatiliia taarifaa zilee na anagunduaa kwamba kesili hiyoo inafatiliwaaa bado maake mauajii hayoo yalikuwa ni hatr sanaa na yauonevuu piaa. "Duuh kumbee Madm Lindaa Sio Mtu Mzurii kabsaa Yote hayaa yeye anafanyaa ili kuwekaa maishaa yakee poaa na kilaa kituu chakee poaa tu lkn hajali kbsaa. maisha ya wengineee Jay Alisemaa huku akijipangaa na safari yakee ya keshoo yakee... Upande wa Saraah na Jordan Wanaoneka wenyee tabasamu sanaa maana iyoo ndiyoo ilikuwaa furahaa yao waliosubiriiaa kwa mdaa mrefuu sanaaa kwelii Baada ya dhiki ni Farajaa. Saraaah na Jordan wapo kitandani wakichezaa michezoo mbalii mbalii ya kimahabaa sanaaa huku wakifurahiiaa sanaa maaana furahaa yaoo Imerudil tenaa...vichekoo haviishii kitndan Ikn Saraah ghaflaa tu anainuka na kuachaa kuchezaa mchezo ule Jordan anagundua jambo lile na kumsogelea Saraah.
"Vipi kunatatizoo kipenzii "Jordan Alisemaa. Saraah alimjibuu kwa kumbatoo zitoo la nguvuu na kusemaa "Nakupenda Daimaa naombaa unilindee na uwe na mm siku zotee" Jordan Alitabsamu na kumjibuu akisema "Usijalii Mamaangu Naahidi ilo"Wawili hawaa walizimaa taa yaoo na kulalla maake walikuwaa wamechokaa piaaa. Upande wa Narshaa wanaonekaa kujipangaa
yeye na madam Lindaa piaa na Dr Abdulh kwa maana kesho yakee wanataka pakachimbikee ukoo kazini kwa Jordan.. Usiku unaendaa na ni masaa ya Asubhi piaa. Jordan na Saraah wanafikaa Ofisin huku watuu wengii wakifurahi sanaa kuwaonaaa kwasasa Jordan na Saraah hawaogopi kbsaa kuoneshaa penzii lao kwa watuu kwa hiyo wanaingiaa ofisini huku wameshikanaa mikono yao na tabasamu kubwa usonii.
Wanafikaa ofisini na kazii zinaendeleaal unapofikaa saa midaa ya saa nne Mr Poul anaonekana kujaa Ofisin na wanaanzaa kupigaa story wote kwa pamojaa hasaa kuhusu tukio la sherehe ilee. Baada ya kamaa nusuu saa Narshaa, Madam Lindaa na Dr Abdulh wanaingiaa Ofisinii. Sarah anapowaonaa anaonekanaa kuwa na uogaa Jordan anagundua kilee kituu anaamuaa kusemaa huku akijiamini "Karibuni sanaa ketinii au hamjaja kibiasharaa ??" Jordan anasemaa kwa kujiamini sanaa maana anatakaa kumfundishaa kujiamini piaa Saraaah.
"Hapanaa naomba kujua kwanin unampendaa Saraah ukijua kbsaa mm ndo mtuu wako Narshaa Alisemaa huku akigombaa sanaa pia Madam Lindaa na Doctor Abdulh Walikaziaa kbsaa kiasi kwambaa Jordan Hakutaka kubishana nao kbsa.. lakini siku zotee kisichokuwaa liziki sio chako tuu Ghaflaa Saraah Anaonekanaa kusimama kwa uharakaa kbsaa Na kilaa mtuu anashituka maaana sio kawaidaa ya Saraah kushtukaa vilee piaal anakunjaa usoo wakee kama hanaa Hali nzurii kbsaa vp kuna nn upandee wa Saraah Ikn Jordan Ndo mtu pekee ambaee haogipii kabisaa anaonekana kakaa kbsaa vp kuna nn??.......
Itaendelea...
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi