Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Story MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............02   Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Gonga94 · Stories

Story MFALME KIPOFU Sehemi..ya............02 Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
,Malikia andwaa aliongea"
"Mfalme pamoja na Malikia mtoto wenu ni kipofu.....

KUPATA MWENDELEZO ZAIDI WA SEHEMU INAYOFYATA BONYEZA LINK YA HAPO CHINI 👇👇👇👇 usisahau kunifollow 🙏🙏
https://www.facebook.com/profile.php?id=61550632115006

ENDELEA .........
"Mfalme pamoja na Malikia mtoto wenu ni kipofu hatoweza kuona na itakuwa ngumu kwake kuwa kiongonzi wa falme hii tukufu"
"Hapana haiwezekani tengua utabili wako"
"Mfalme ni wajibu wangu kuleta tarifa nilizopewa na miungu na nipo tayali kupokea adhabu yoyote ile kwa tarifa hii mbaya mtukufu mfalme"
"Mfalme umemsikia huyu mtabili haiwezekani mwanangu awe kipofu,siamini mambo ya utabili kabisa, naomba umtoe humu ndani,"Malikia andwaa aliongea.

Wakati maongezi hayo yanaendelea kulikuwa na watumishi katika jumba la kifalme wanaofanya kazi ya upelelezi wa siri pasipo mtu yoyote kujua.
Na moja ya mpelelezi katika jumba la kifalme ni Nzegi ambae ni mlinzi wa karibu na mfalme na alisikia maongenzi yote yaliyokuwa yanaendelea katika kile chumba .

Mfalme pamoja na Mtabili waliamua kutoka mle chumbani na kumuacha Malikia pamoja na mtoto bira kujua kama mlinzi mkuu Nzegi amesikia kila kitu.

Mfalme kojo alikuwa anaamini sana mambo ya utabili tofauti na Malikia andwaa.
"Mtabili hamna njia yoyote ya kumfanya mwanangu aweze kuona????"
"Mtukufu mfalme utanisamehe kwa haya maneno nitakayokuambia,
MIAKA MITATU IJAYO ATAZALIWA MTOTO WA KIKE KATIKA KIJIJI KILICHO NDANI YA FALME YETU NA HUYO NDIE ATAKAYE MFANYA MWANAO AWEZE KUONA".
"Miaka mitatu ijayo mbona mbali sana????"
"Ndio mfalme itabidi muwe wavumilivu na ni tarifa nilizopewa na miungu niwafikishie"
"Tutamjuaje huyo mtoto atakayezaliwa kama ndie mtu anayetakiwa amtibu mtoto wangu??????"
"Utanisamehe mfalme kwa hili Miungu yangu imenikataza kukweleza hili mfalme sitaweza kukuambia ni katika familia gani au ni kijiji kipi icho atakachozaliwa mtukufu mfalme"

Baada ya maongezi mtabili aliondoka katika jumba la kifalme na kuelekea katika makazi yake na kumuacha mfalme katika kipindi kigumu sana akitafakari maneno ya mtabili.

******************

Nyumba iliyo pembezoni na makazi ya watu,mtabili anafanyikiwa kufika salama usiku huo katika makazi yake baada ya kutoka katika jumba la kifalme.

"Tulijua tu lazima utarudi ndio mana tulikaa kukusuburi hapa"
"Ata mimi nilijua lazima nitawakuta tu ndio mana nimekuja"
"Anajifanya jeuli huyu mtabili aya mkamateni haraka twende nae mpaka kwa General haiwezekani atudanganye sisi,asikari kiongonzi aliongea".

Mtabili alikamatwa na kupelekwa kwa general ambae alikuwa na mipango mikubwa juu ya ufalme wa ADELI.

"Safi sana asikari wangu kwa kuniletea huyu mtabili,unajifanya mjanja sana wewe mtabili mpaka ukaamua kutudanganya juu ya mtoto atakayezaliwa"
"Hahahahaha nakuonea huruma sana general hutopata unachokitaka bora uendelee kuwa mtiifu tu kwa mfalme kojo"
"Niwe mtiifu????,mimi nautaka ufalme nimechoka kuwa mtumwa na nitakuwa mfalme ajaye wa ADELI mda sio mrefu".
"Pole sana general umeshachelewa mtoto aliyezaliwa ndie atakayekuwa mfalme wa ADELI katika miaka ijayo"
"hahaha utabili wako ni uongo tu hakuna chochote cha ukweli unachoongea watu kama nyinyi hamtakiwi kuishi kwenye hii dunia".
"Najua naenda kufa ila naishukuru miungu kwa kunipa nafasi ya kumuona mfalme wangu ajaye,mtabili yule aliongea akiimaanisha kuwa ameshaona dalili za yeye kufia katika mikono ya general"
Sawa kawasalimie kuzimu,General alinyenyua upanga wake na kukata kichwa cha mtabili yule na ukawa mwisho wa mtabili.
"Ni usiku sana kila mtu akapumzike sasa kesho nitaenda katika jumba la kifalme mwenyewe,General aliongea na kuwafanya asikari wake watii amri".

*********************

Ni asubuhi na mapema katika jumba la kifalme, Malikia andwaa ni mtu aliyekuwa na mawazo kutokana na tarifa aliyoipata juu ya mtoto wake kuwa kipofu, mfalme kojo alilitambua hilo kwa malikia wake.

"Malikia wangu hujalala tangu jana usiku ni vyema ukapumzika sasa"
"Naanzaje kulala mtukufu mfalme kwa kile mtabili alichotuambia usiku wa jana, mwangalie mtoto wetu ni mtoto mzuri na shupavu alafu leo hii et awe kipofu???,hii hapana"
"Hii ni siri ambayo hatakiwi mtu yoyote kuijua kama mtoto wetu ni kipofu,
Na kuanzia leo na miaka yote ya kukuwa kwake atakaa chumbani kwake humu,na haruhusiwi kutoka nje mpaka pale matibabu yake yatakapo patikana".

Malikia hakufurahishwa na maamuzi ya mfalme ila alikubaliana nayo na hii ikawa siri kati yao wawili bira kujua kuna mtu wa tatu ambae ni Nzegi nae anafahamu iyo siri.

***************
General akiwa katika maandalizi ya kuelekea katika jumba la kifalme gafra mpelelezi wake anafika.
"General kuna tarifa mpya na nzuri Nzegi kanipatia"
"Sema tarifa gani izo"
"Inasemekana mtoto aliyezaliwa hatokuwa na uwezo wa kuona, jana nzegi alimsikia mtabili akiwaambia mfalme kojo pamoja na malikia andawaa"
"Mimi nikajua ni tarifa za mhimu kumbe ni za kijinga ivyo, yule mtabili muongo tuliyemua jana hana utabili wowote ule"
Hapana General ni ukweli ninachoonge....
Kabra ata hajamaliza kuongeza neno lolote mpelelezi yule tayali mshale ulikuwa katika kolomeo lake nakushindwa kuendelea kuongea alianguka na kufa hapohapo.

"Huwa sipendi wapelelezi wajinga wajinga kama hawa, aya mimi nelekea katika jumba la kifalme mbebeni mkamtupe huko na asikari mwingine achukue nafasi yake ".

Huyo ndie general au kwa kirefu mwite General Tengeli,nimkatili asiye na huruma ata kidogo ndio mana akapatiwa nafasi kubwa katika jumba la kifalme ya kuongonza jeshi lote la mfalme Kojo,General Tengeli anataman kuwa mfalme na ndio sababu ilimfanya atengeneza jeshi lake mwenyewe katikati ya msitu ili siku moja aje apindue ufalme na kukikalia kitu cha kifalme .....ITAENDELEA.

Hii si ya kukosa General anaelekea katika jumba la kifalme na vipi kuhusu siri ya mtoto kipofu je? watu wengine watafahamu kama mtoto yule ni kipofu tukutane hatua inayofata
Tangazo - General kumbe ulinipenda kweli eee
General kumbe ulinipenda kweli eee
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Story MFALME KIPOFU Sehemi..ya............02 Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???

,Malikia andwaa aliongea"
"Mfalme pamoja na Malikia mtoto wenu ni kipofu.....

KUPATA MWENDELEZO ZAIDI WA SEHEMU INAYOFYATA BONYEZA LINK YA HAPO CHINI 👇👇👇👇 usisahau kunifollow 🙏🙏
https://www.facebook.com/profile.php?id=61550632115006

ENDELEA .........
"Mfalme pamoja na Malikia mtoto wenu ni kipofu hatoweza kuona na itakuwa ngumu kwake kuwa kiongonzi wa falme hii tukufu"
"Hapana haiwezekani tengua utabili wako"
"Mfalme ni wajibu wangu kuleta tarifa nilizopewa na miungu na nipo tayali kupokea adhabu yoyote ile kwa tarifa hii mbaya mtukufu mfalme"
"Mfalme umemsikia huyu mtabili haiwezekani mwanangu awe kipofu,siamini mambo ya utabili kabisa, naomba umtoe humu ndani,"Malikia andwaa aliongea.

Wakati maongezi hayo yanaendelea kulikuwa na watumishi katika jumba la kifalme wanaofanya kazi ya...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/story-mfalme-kipofu-sehemi-ya-02-ilipoishia-sehemu-iliyopita-mbona-unazunguka-mtabili-emu-niambie-mw

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi story-mfalme-kipofu-sehemi-ya
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............08   Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............08 Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............04  Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............04 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............06     Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............06 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............10
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30

MY WANGU❤️ sehemu ya 29 na 30

377
MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33

MY WANGU❤️ sehemu ya 32 na 33

360
MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35

MY WANGU❤️ sehemu ya 34 na 35

247
MY WANGU❤️ sehemu ya 31

MY WANGU❤️ sehemu ya 31

235
MPISHI ANA UTAMU WAKE  SEHEMU YA 16

MPISHI ANA UTAMU WAKE SEHEMU YA 16

143
MFALME KIPOFU 11

MFALME KIPOFU 11

62
walio mpiga Murtaza Mangungu wakemewa

walio mpiga Murtaza Mangungu wakemewa

58

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

10.67K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.6K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.6K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

2.85K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.37K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.31K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.21K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.17K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.16K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.06K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest