Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
Gonga94 · Stories

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
kama kawaida,  niliamka kwa kujitahidi sana kuhakikisha sishindwi,  muda wa kwenda pared ulipofika tulienda vikosi vyote,   hapo tukafanya pared  kisha ukaguzi ukafika,  alikuwa tayari General yupo mbele kabisa,   tayari kwa kufanya ukaguzi wa vikosi,  alianza kukagua kikosi kimoja hadi kingine,  akafika kwenye kikosi namba saba ambacho nipo mimi,  alikagua mmoja mmoja hadi kufikia kwangu,  aliponifikia mimi akasimama na kunitizama,   kisha aliendelea  na ukaguzi.

Baada ya ukaguzi kukamilika,   tuliruhusiwa kwenda kupata breakfast chap chap,  dakika kadhaa wakati tunapata breakfast,  nilijikuta nimeshika kikombe cha chai kinamoto kweli kweli   hata kunywa nishida,   nilipiga funda mbili tuu,   kengere ikapigwa hapo hapo,  ikabidi niache kunywa chai nakukimbia, nilijitahidi kiukweli,   tukaanza kufanya mazoezi  mbali mbali ya kijeshi,  nikiwa kati kati ya mazoezi nilisikia naitwa,  nikaitikia na kwenda alikuwa kiongozi wa kambi zote:


"Naam mkuu"


"Unajukumu lako ambalo tuliwapa jana, linaendelea hadi atakapo ondoka muheshimiwa General,   hivyo unapaswa kwenda kufanya maandalizi ya mchana wake"


"Sawa muheshimiwa"


Japo kimoyo moyo nilikuwa najisemea mwenyewe, 

"huu niuonevu mbona mwenzangu jana usiku hakuja,    lakini kila mala mimi tuu,   na wangejua huyo  General simpendi  hata kumuona"


Kisha niliambiwa niende kufanya maandalizi, niliondoka na kuelekea jikoni niliambiwa kitu cha kumuandalia,  nikafanya kama walivyo sema,  na nilipo maliza nilibeba na kukipeleka mezani tayari kwa kuliwa,   muda ulikuwa umefika wa yeye kupata chakula,  alienda kuambiwa,   baada ya dakika chache alikuja  kupata chakula,  alipo fika na kuniona alinitizama na kisha alitabasam, nilimkaribisha:


"Karibu chakula"


Nilijawa na hasira kweli nilipo muona,  lakini nikajikaza tuu,  baada ya kumkaribisha akakaa,  na kisha nilisogea kumchotea chakula kwenye sahani,  nilipo maliza  nilimkalibisha ale,  nae akanikaribisha namimi,  nilimjibu:


"Asante"


Kisha niliendelea kusimama pembeni,  baada ya kuchota chakula na kukiweka mdomoni akaniambia:


"Laura,  kwani wewe ulisomea mapishi"


Nilimjibu huku nikiwa makini:


"Hapana"


"Chakula chako nikitamu sana,  na nakuomba ukae hapa tule wote sasahivi"


Nikamjibu:


"Asante bado ninashibe mkuu,  wewe endelea tuu"


"Sasa hii ni amri sio ombi,  kaa hapa na ule chakula nami"


Nilikaa kwa hasira na kisha nilichukua sahani na kupakuwa chakula kidogo sana nikaanza kula muheshimiwa akaniambia


"Pamoja na yoote,   Laura mimi sio mchoyo,  tafadhari furahia chakula chako,  na naomba usinichukie namna hiyo sawa"


"Asante,  ila mbona sikuchukii mimi"


Nilimjibu tuu,  lakini ndani ya moyo wangu najua mimi mwenyewe,  kisha niliendelea kula,  nilikuwa nimechota chakula kidogo sana,   alivuta sahani yangu na kuniongezea tena chakula huku akisema:


"Unasafari ndefu sana,  na ili ufanikiwe uwe mkakamavu,   unapaswa kula zaidi usionje,  utafia kwenye mazoezi bule, sawa bint mdogo"


Milimtizama na kisha nilimjibu:


"Ila hiki sio chakula cha kruta,  hichi ni cha muheshimiwa General,  ndio maana sina uhuru nacho muheshimiwa"


Ksha alitabasam na kunijibu:


"Umekiandaa wewe mwenyewe,  mimi sina roho mbaya hivyo,   na kingine nimezoea kula na familia,  hivi ninavyokula mwenyewe huwa naboreka tuu,  nafurahi nikipata kampani kama hivi,  tafadhari mambo ya kazi tusiyaweke mezani basi Laura eeh!


Kiukweli nilijisikia kutabasam,  baada ya kusikia maneno yake,  kisha aliniambia:


"Hupendenzi kununa nuna kabisaa,  na kingine unasauti nzuri ya upole,  kama sio binti mkorofi niliyemkuta jana anampiga  mwenzie"


Nilimtizama machoni tukakutana macho kwa moacho nikajikuta naona aibu kwanza anajicho zuri limelegea linaita hatari ukikutana nalo lazima uhisi kitu lakini ni jicho lake lilivyo tuu nikainamisha uso wangu kwa aibu chini akaniambia:


"Laura,  ninaonekana mkorofi sio,   lakini mimi sio mkorofi bwana,   arafu nafurahi utakuwa rafiki tangu,   nisamehe kama nilikukosea sawa"


Nilishindwa hata kumuangalia tena,  nilibaki nimeinamisha uso wangu chini tuu,   huku nakula akanyoosha mkono na kunishika kidevu changu,   na kuniinua huku akiniambia:


"Usinionee aibu,  mimi tayari ni rafiki yako sawa Laura"


Nilitabasam tuu na kuendelea kula kisha alipomaliza kula aliniambia


"Asante  kwa chakula kitamu sana,   nakuacha ninakazi nyingi sana ofisini kwangu,   nitawaona jioni huko mazoezini sawa Laura usinichukie tena"

"Sawa muheshimiwa"


Kisha aliondoka na kuniacha mwenyewe mezani,   nilimalizia kula baada ya hapo nikatoa vyombo,   na kupeleka jikoni kuvisafisha,   nilipo maliza nikaelekea moja kwa moja  mazoezi nilipokuwa, niliendelea na mazoezi kwa amani kabisa, kwani tayari muheshimiwa General kaniomba msamaha,  kwa alicho nifanyia jana,   hivyo niliona kweli pamoja na yoote sina budi kumsamehe, kwanza alikuwa ananikomaza kimazoezi,   kwanini alinizingatia mimi tuu,  nadhani kunanamna anataka niwe, hivyo sina budi kumchukia,  nilikuwa najiambia mwenyewe kimoyo moyo tuu,  sikuhiyo nilifanya mazoezi kwa morari nzuri sana,   hadi mkuu wa kikosi changu alinifurahia,  na kuniambia:


"Sikutegemea kama leo ungekuwa wa moto namna hii,  kutokana na hali uliyokuwa nayo jana usiku,  hivyo nilikuwa nahofu kuhusu siku yako ya leo itakuwa mbaya sana,  lakini tofauti na nilivyo fikilia asante mungu haya endelea kupiga tizi"



Nilitabasam na kisha siku mjibu chochote,   niliendelea tuu na mazoezi tuu, hatimae muda ulikuwa tayari umeenda,   tunakaribia kwenda kwenye pared,   nilijikuta nashauku ya kutaka kumuona muheshimiwa General tu,  muda wote nilikuwa nageuka geuka tuu kutaka kumuona je amekuja kutuona,  kwa gafla wakati nainua uso wangu kutizama kama kaja nilikutana nae uso kwa uso,  nae alikuwa akinitafuta anione tulikutana macho kwa macho,  nikajikuta naona aibu tena,   sikujua ni hali gani tena inanitokea kwa huyu General,  nikawa najisemea kimoyo moyo:

"mmh!  Mbona wote nawatizama vizuri tuu,  na sijikuti katika hali hii,  kwanini iwe kwa General"

Kisha nikajisemea:


"Niujinga wangu tuu,  hembu niendelee na mazoezi mimi"


Niliendelea kufanya mazoezi kisha General alitabasam na kuondoka zake,   kwenda kuendelea kukagua  vikosi vingine,  nilitabasam pia nilipo muona anaondoka huku akitambasam,  makruta wenzangu hawakuelewa ana tabasam kwanini,  baada ya muda  mfupi firibi ilipulizwa,  tukatoka na kwenda moja kwa moja pared, tulipofika tufanya pared yetu hapo,  kisha alitoa matangazo General na kuturuhusu tukaoge,   kisha tukale chakula na kwenda kupumzika,  nilikuwa nimechoka sana nilienda moja kwa moja bafuni kuoga,  na nilipomaliza nilitoka na kwenda bwenini kwetu kubadili  nguo, nilivaa suruali yangu na tisheti zote ni zahapo kambini,  kisha nilikaa kitandani kujisomea vitabu vyangu,  jioni hiyo alienda yule mwenzangu tulie chaguliwa wote,  kwaajili ya kazi hiyo kumuandalia chakula muheshimiwa General,   na mimi niliambiwa na mkuu wangu wakikosi nipumzike,   hivyo nilikuwa nasoma kitabu changu lakini nikimkumbuka General najikuta natabasam pekeangu,  mpaka kina Catrine na wenzie wakawa wananitizama,  sikujali nilipo waona wakinitizama,  niliendelea kujisomea mwenyewe, muda wa kwenda kula ulifika tukaenda kula chakula,   na tulipo maliza kula tulirudi bwenini kupumzika,  nikiwa nimejiegemesha kitandani nahuku ninasoma kitabu changu,  alikuja mwenzangu yule tulie chaguliwa wote kwa kazi ya kumuuhudumia General,  na kuniambia:


"Laura,   unaitwa na General  yupo kule kwake tulipomuandalia siku ile,  sasa hivi"


Nikainuka na kuanza kwenda kina Catrine na wenzie wakaanza minongono  na huku wakicheka walikuwa wakisema:


"Atakuwa anaenda kupewa adhabu tuu lazima,    maana huyu hasikii,  na General hampendi kabisa"


Sikuwajibu hata,   nikaondoka zangu tu tulipofika nje,  nilimuuliza yule mwenzangu:



"Nancy kwani ninaitiwa nini na General?


"Kiukweli sijui,   na mimi tayari nimesha maliza kazi yangu,   hivyo nakuacha nikapumzike sasa,  haya  usiku mwema Laura "


"Sawa usiku mwema Nancy"


Nilijiongelea mwenyewe  kimoyo moyo:


"Mmh! Mimi tena mzee wa majanga,   haya sijui nimefanya nini tena na leo,   na sijui naenda kupewa adhabu gani huko tena ehe!  Mungu  nisaidie"




Endelea kufuatilia...............

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi

kama kawaida,  niliamka kwa kujitahidi sana kuhakikisha sishindwi,  muda wa kwenda pared ulipofika tulienda vikosi vyote,   hapo tukafanya pared  kisha ukaguzi ukafika,  alikuwa tayari General yupo mbele kabisa,   tayari kwa kufanya ukaguzi wa vikosi,  alianza kukagua kikosi kimoja hadi kingine,  akafika kwenye kikosi namba saba ambacho nipo mimi,  alikagua mmoja mmoja hadi kufikia kwangu,  aliponifikia mimi akasimama na kunitizama,   kisha aliendelea  na ukaguzi.

Baada ya ukaguzi kukamilika,   tuliruhusiwa kwenda kupata breakfast chap chap,  dakika kadhaa wakati tunapata breakfast,  nilijikuta nimeshika kikombe cha chai kinamoto kweli kweli   hata kunywa nishida,   nilipiga funda mbili tuu,   kengere ikapigwa hapo hapo,  ikabidi niache kunywa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya-04-kulipokucha-tena-alfajiri-namapema-filimbi-ilipigwa-wote-t

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending 🐓 Follow the ommy khan Tanzania channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029VbCg0JyFsn0hCN1ByD44

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE

421
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15

276
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14

178
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba

9

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

12.05K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.73K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.92K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.69K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

3.12K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

3.04K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.91K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.88K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.78K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.72K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 141 - 144 MWISHO WA SEASON THREE
@majario LIVE

:141 Nikamwambia kwa ujumbe “Boss ni usiku sana, nenda nyumbani, tutaongea kesho naomba nipumzike.” Akanijibu “sitaondoka hapa mpaka uje kunisikiliza.” Nikamuonyesha Dorice, Dorice akasema “kamsikilize Labda ni muhimu.” Nikamwambia Dorice “kusema kweli mimi roho...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 15
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Simu ilikatwa,nilichanganyikiwa,iv nimeskia kweli au ni mawenge yangu?keanu ananisaliti?yani maneno yake makavu yote aliyoniambia hayakua na maana sikuyajali kabisa nilijali mwanamke alieongea.nikasema hapana ngoja,nikapiga simu iliita ikakatwa,nilipiga tena ikakatwa,nikapiga...

Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba Post Mpya
Kinachomtisha Mgosi ni kuwa Edna Lema anawachezaji walioonekana wa kawaida Simba
@majario LIVE

ila sasa wapo kwenye kiwango cha hali ya juu kiasi cha baadhi kuitwa timu zao za taifa. Diana Mnally Ritticia Nabbosa Precious Christopher Wincate Kaari Aisha Djafar Edna Lema...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 14
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Mmmh nilihisi utumbo unacheza, kwa nn haruhusiwi ndoa sasa? Au ameoa? Nilijiuliza sana, keanu akasema sijakuelewa kwa nn siruhusiwi kuoa sasa? Akasema kuna mashart katika kila kanisa ili...

💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18 Post Mpya
💋ILA BOSS ANAJUA KUPELEKA MOTO 💋 18
@majario LIVE

Mida ya jioni vipindi vilipoisha tuliongozana na Glad hadi kwa kaka yake ilikuwa ni saa kumi na moja za jioni hivyo alikuwa kasharudi toka kazini tulimkuta nyumbani 🏡. Karibuni...

CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10 Post Mpya
CHAGUO LA MOYO ❣️ 8 -- 10
@majario LIVE

SEHEMU YA 08 "Kwanza haoni ajabu kukufukuza,na akisema hakutaki ujue hakuna was kukutetea hata mama hataongea .... kwaiyo muangalie hivyo hivyo kauli yake moja tu inakuondoa........... Nicole aliposema hivyo nilimuogopa sana...

Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii Post Mpya
Iran rejects peace plan and mocks Trump Akhtar Makoii
@mjukuu LIVE

Screengrab from video put out by Iranian state media Tasnim News of an Iranian missile with Trump's name on it, in response to the great gift from Iran Trump claimed...

NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 131 - 140 SEASON THREE
@majario LIVE

:131 Nikawa natoa ile bahasha. Vile natoa, namuona Boss Yule anakuja. Ni wazi alisikia kengele au aliniona kwa juu. Nikasema kwa ndani “niondoke?” Ataona Kama namkimbia, Nikajikaza pale kusubiri. Basi kweli alifika,...

MFALME KIPOFU  27 Post Mpya
MFALME KIPOFU 27
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 27 (FINAL) Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Nawauliza Princess Nailet yupo wapi? alipotazama Pembeni hakuamini kuona mwili wa binti yake....... ENDELEA NAYO...... Mfalme Tengu alilia kama mtoto mdogo "Pole sana mfalme kwa kipindi kigumu unachopitia Prince...

MFALME KIPOFU  25 -- 26 Post Mpya
MFALME KIPOFU 25 -- 26
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 25 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno ya Lindiwe yalimfanya Princess Nailet kutabasamu nakutulia kuwaacha waongonzane watu watatu tu Malikia,Prince Yao na Amma mwenyewe kwenda kutafuta iyo dawa...... ENDELEA NAYO.......... Malikia andwaa aliongoza msafara wa...

MFALME KIPOFU  23 -- 24 Post Mpya
MFALME KIPOFU 23 -- 24
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 23 Whatsapp.............0748697173 ilipoishia sehemu iliyopita....... Maneno yale yalipenya kwenye masikio ya Amma na baadhi ya watu waliokuwa pale wakitazama tu badala ya kutoa msaada,Babaaaaa............ ENDELEA NAYO.......... "Baba amka",Amma alimwita baba yake, Aliye kuwa tayali amepoteza...

MFALME KIPOFU  21 -- 22 Post Mpya
MFALME KIPOFU 21 -- 22
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............ 21 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Malikia alichanganyikiwa baada ya kusikia maneno yale ya dakitari Malikia aliita walinzi na ,kuwapa maagizo ya kuwakamata matabibu wote...... ENDELEA NAYO....... Walisubili pakuche msako uanze wa kuwakamata matabibu...

MFALME KIPOFU  19 -- 20 Post Mpya
MFALME KIPOFU 19 -- 20
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............19 Whatsapp.............0748697173 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Ni mapenzi ya ajabu aliyokuwa nayo Princess Nailet kwa Yao licha ya kumfahamu kwa mda mfupi tu lakini aliteka sehemu kubwa ya moyo wake... ENDELEA NAYO....... Aliendelea na safari ya...

MFALME KIPOFU  17 -- 18 Post Mpya
MFALME KIPOFU 17 -- 18
@mjukuu LIVE

Sehemi..ya............17 Ilipoishia sehemu iliyopita...... Lindiwe alitege sikio vizuri na kweli alisikia sauti emu njoo huku alimvuta Prince Yao pembeni na kujificha sehemu ni ngumu kuonekana. Namu sura ya General haikutoka machoni mwake alimuona...

MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17 Post Mpya
MFALME KIPOFU MtunziZooper ...................Sehemi..ya............16 & 17
@mjukuu LIVE

Ilipoishia sehemu iliyopita...... Asikari",Mfalme Tengu aliita kwa hasira "Nendeni mkawarudishe haraka" "Mfalme tayali wameshavuka mpaka" "Nimesema nendeni mkawarudishe" Waliondoka na kumuacha Mfalme akiendelea ..... SEHEMU YA 16 ENDELEA NAYO...... Waliondoka na kumuacha mfalme akiendelea kuongea na binti...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest