VYOTE NDANI GONGA94
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 02
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????
SEHEMU YA 02"
Tulipofika kwenye hiko kisehemu nilimuona mkurugezi amekaa hapo huku anakula chakula chake taratibuu????????
Nilimsalimia kisha aliitikia na kumwagiza yule jamaa alonipeleka akaniletee kuku na juice ninayo kunywa????????????
Nilimwambia hapana nitaenda mimi bosi????????
Alijibu hapana tulia hapa mimi ndio nimekuita na namtuma yeyote nimtakae sawa??????
Nikamwitikia sawa bosi kisha nilikaa huku nikimuogopa sana nilikuwa natetemeka kindani????
aliniuliza unaitwa nani mrembo????????????
Nilimjibu naitwa Natasha bosi????????
Kabla sijamaliza kutamka neno boss nikashangaa nafanyiwa shhhhiiiiii????????????
Niite David sawa
Niliitikia sawa David ????????
Aliniuliza Natasha unakaa wapi????????
Nilimjibu nakaa buguruni rozana ????????
David akaniuliza tena unaishi nanani ????????
Nilimjibu naishi na bibiangu????????
Akaniambia ok safi kisha akaniuliza upo kitengo kipi kule ofisini????????
Nikamtajia kitengo changu????????
Wakati maongezi yanaendelea mara msosi nao ukafika aya yayayayahhhh????????????????????ile nyama ya kuku ilikuwa inanukia utraaaaaaaam????????
Kajuice fulani hivi kabaridiiiiiiiiiii ????????nilipokea nikashukuru????????????jamaa akaondoka nikabakia na mubaba tukaendelea kuongea????????
Kula basi mrembo wangu????????alidonoa kidogo akanilisha nilijisikia aibu???????? nikamwambia Dady usifanye hivo naeza kula mwenyewe ????????
Alitabasamu akaniuliza unaendeleaje lakini siku ile kule parking uliniambia hujisikii vizuri...????????
Nilishangaa kumbe ananikumbuka???????????? wakati najiuliza hilo swali akadakia
Akaniambia Usidhani sikukumbuki ????????
Huku akismail ????kwa mbali nahata uongeaji wake kama hataki dah hili libaba nyieee????????????litamu kama shokoleti????????
Niliduwaa na ule muonekano nikawa nawaza vitu vingine kichwani????????????mubaba akashangaa bibie mbona kimya mara
Akanipungia mkono machoni helloo upo????????????
Nilibaki nikijifanya na smile kwambali namimi ????
Chakula kinapoa mama kula nikaendelea kula wakati nakula mara nikashangaa naulizwa????????
Natasha una mtu,?? Yani uko kwenye mahusiano ya kmpnz???
Niliona aibu nikajifanya kama nimepaliwa hivi nikatizama kwa pembeni najikoholesha????????????
Akachukuwa maji na kunimiminia akanipa ninywe
Nilipokea na kumwambia asante kisha nikanywa na baada ya hapo nikaludisha mezani glas????
Alinitazama na kuniuliza hujanijibu swali langu bibie...dah huyu mzee jamani????????
Niliinamisha kichwa chini nikamjibu hapana sina mi nipogo tu mwenyewe mwenyewe ????????
Akaniuliza kwanini ???????????
Oops sijahitaji tu kuwa na mahusiano hayo kwa sasa kutokana na mipango niliyojipangia mwenyewe????????
Akaniuliza mipango ipi hiyo Natasha????????
Nilimjibu sipo tayari kwasasa kujihusisha na hayo mambo nayaogopa????????
David alicheka????????????kisha akaniuliza vipi mtu akija na kukuambia anakupenda utafanyaje????
nitamwambia sitaki????????
David akaniambia ooooh! No????????????kwa hiyo hunitaki Natasha???????
Nilimjibu ndio sihitaji ????????baada ya kujibu hivo nikashangaa mubaba ananisogelea ????????
Mama wee kwani anataka kuuuuuu????????????kumbuka ni usiku na huko ndani mziki mnene watu wako bize na sherehe
Full 1000
WhatsApp 0742133100
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11
π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦ Noela alipoondoka hakujua hata aende wapi. Alitembea polepole barabarani, machozi yakimtoka na wala ...
SHAMIRA sehemu ya 38&39
ππππππππππππππππππππππππππππππππ Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe ume...
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliin...
AMIRAH WANGU β Sehemu ya 01
Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na...
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi...
AFANDE MILLANπ Sehemu ya 24 na 25
Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua ...
AFANDE MILLANπ Sehemu ya 23
Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji ...
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama ...
AFANDE MILLANπ Sehemu ya 21 na 22
π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦π¦ Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu ...
Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
Skip Ad
My true love mwanzo Hadi Mwisho
share
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 02
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????
SEHEMU YA 02"
Tulipofika kwenye hiko kisehemu nilimuona mkurugezi amekaa hapo huku anakula chakula chake taratibuu????????
Nilimsalimia kisha aliitikia na kumwagiza yule jamaa alonipeleka akaniletee kuku na juice ninayo kunywa????????????
Nilimwambia hapana nitaenda mimi bosi????????
Alijibu hapana tulia hapa mimi ndio nimekuita na namtuma yeyote nimtakae sawa??????
Nikamwitikia sawa bosi kisha nilikaa huku nikimuogopa sana nilikuwa natetemeka kindani????
aliniuliza unaitwa nani mrembo????????????
Nilimjibu naitwa Natasha bosi????????
Kabla sijamaliza kutamka neno boss nikashangaa nafanyiwa shhhhiiiiii????????????
Niite David sawa
Niliitikia sawa David ????????
Aliniuliza Natasha unakaa wapi????????
Nilimjibu nakaa buguruni rozana ????????
David akaniuliza tena unaishi nanani ????????
Nilimjibu naishi na bibiangu????????
Akaniambia ok safi kisha akaniuliza upo kitengo kipi kule ofisini????????
Nikamtajia kitengo...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mtamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya-02
#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle
Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn Share on Pinterest
 
Show Text
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mtamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya
Maoni