Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 11"
Gonga94 Β· Stories

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 11"

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????

SEHEMU YA 11"

Hello guys tuendelee na story yetu????????nilichukua simu yangu nikampigia David akapokea nikamuita honey kwa kumdekea????????

Sijawahi kumuita kwa mhba kiasi hiko????????alitabasamu huyooo akaniita mke wangu niambie nimekumiss sana????????

Hata mimi nimekumiss tayari David wangu nilitaka kuuliza kama tayari umeshafika babe????

Devid alijibu hakika nashukulu mungu nimefika sarama kabisaa kpnz changu asante kwa kunijali

Devid alifurahi sana kuona nimempigia mimi sim

Tuliongea vitu vingi sana kisha nilikatasim nikalala

Hatimae kulipambazuka nilijiandaa na kwenda kazini ????????????????

Nilifika kazini kwa bajaji nikaingia ofisini kwangu nilianza kupiga kazi kama kawa????????????

Nilipomaliza muda wakutoka ulifika nikajisogeza bara barani kutafuta bajaji ????????

Nilipokuwa nasubili bajaji ilikuja gari ya Mr devid nikaambiwa ingia bosi kaniagiza nikuchukue shem..

Hehehee nyieee????????????nilipanda kwenye gari nikamuuliza dereva boss wako yupo wapi sasahivi??

Alinijibu kuwa yupo ofisini kwake akimalizia kupanga panga vitu vyake nitaenda kumpitia na yeye????????

Okay basi twende tukamchukue sasa hivi????????tulimpitia devid ofisini kwake nilikuwa nimemmis ila sitaki kumuonyesha hadharani????????

Tulifika karibu na ofisi yake kwa nje baada ya dakika moja alitoka wow alikuwa kapendez kama kawaida yake ni handsome sana mjue????????????

Na ananukia hatari alifika kwenye gari dereva alitoka na kumfungulia mlango akaingia????????

Mimi nilikuwa nimekaa kwanyuma akageuka na kunisalimia ????????????

Habari Natasha vipi hali yako nilikumis sana nimefurahi kukuona mamaa vipi siku yako ya leo imeendaje?.

Nilitabasam viaibu kama vyote???????????? Nilijibu sijambo siku yangu imeenda fresh Boss????????

Devid aliniambia nahitaji kukaa nawewe kwamuda mrefu kidogo leo..

Nikamjibu sasa nabibiangu atakaa na nani Boss jamani????????

Devid akaniamnia nitajua cha kuongea nae usijali..

Tulitoka nje kidogo ya mji nilimuona devid yupo watofauti kidogo sijajua ananini nilikuwa namtizamatuu????????

Tulifika sehem tuliyokuwa tunaenda nipazuri sana nibonge la Hotel na lipo ufukweni mwa bahari..huyu mshnz asije na leo akaniacha huku????

Tulipofika devid alishuka na baada ya hapo alinifungulia mlango namimi nikashuka ????????alishawahi kuniacha ufukweni kipindi cha nyuma

Na leo kanileta tena niliogopa nisije tena nikaachwa kama siku ile????????????unawaza nini Natasha aliniuliza huku akinishika mkono wangu..

Hahaa????????hapana Dady najaribu tu kupashangaa hapa palivo pazuri panavutia sana????????????

Alinishika mkono hadi ndani tulipokelewa na kuelekezwa chumba alichobook devid ????????

Nilijua tu utapapenda hata mimi nimepapenda panatufaa mimi nawewe Natasha wangu????

Hahaha ndio dady Tulielekea chumbani devid akiwa kanishika mkono tulipofika chumbani nikamuachia mkono..

Devid aliniambia naenda kuoga bafuni unaweza kuagiza kitu chochote sim ya mezani hiyo hapo..

Sawa mpnz wala usijali alini????????Kisha aliingia bafuni nilichukuwa sim na kupiga kwa wahudumu nilikuwa na njaa nikaagiza chakula na vinywaji????

Baada ya muda devid nae alitoka akiwa kavaa naniliu tu???????????? akaja karibu yangu na kukaa akaniuliza vipi umeagiza tayari????????

Nilimjibu kuwa tayari nimesha agiza babe????????

Devid akaniuliza huendi kuoga ????????

Nilimjibu hapana sitaki kuoga nasikia baridi????

Baada ya muda chakula kilifika na tulianza kula pia vinywaji vililetwa ??????????

Tulipomaliza devid alipanda ktndn na kuniambi Natasha njoo hapa karibu yangu nataka nilal ukiwa pembeni yangu????

Leo sipo sawa hata kidogo kunavitu vinanisumbua sana kichwani mwangu????????nilishtuka baada ya kusikia hivo nikawaza kipi kinanisumbulia Dady wangu????????

Nilimuonea huruma nikainuka na kwenda kulal pembeni yake nili????????kisha nikamwambia kila kitu kitakuwa sawa Bosi????

Vipi unaeza kunielezea kidogo kuhusiana na kile kilichokusibu?? Mimi nitakuliwaza na nitakushauri pia ???????? hahaha kitoto kidogo nishajikuta mtu mzima sa nitamshauri nini mimi????????????

Nilimnaniliu naniliu ili kumpunguzia mawazo kidogo simu yake ilianza kuita????????

aliamka akatoka kitndn na kwenda kukaa kwenye kochi alionekana kuvurugwa sana????????

Alikuwa anaongea na kakaake nikama kunajambo halipo sawa

nilijifanya nimelala ila sikuwa na usingizi hata kidogo nilikuwa nawasikia kila kitu..

David Alimwambia kaka yake kuwa ni lazima nimuoe maana ndiye nimpendaye..siwezi kuchaguliwa mimi...mama weeee hebu ngoja kwanza nitege sikio vizuri ????????

Sauti ya upande wa pili ilisikika ikimwambia devid lakini mtoto wa mjomba hana shida yuko vizuri na nimzuri kwanini unamkataa nimwarabu mwenzetu yule????????????..

Devid alijibu nimzuri kwenu mimi bado sijauona huo uzuri wake na kingine zama hizo mimi sina tayari ninae nimpendae hivyo nitafanya mipango ya kuhalalisha tu..

Kakaake akauliza anatoka ukoo upi huyo umpendaye?? Na je nayeye nimwarabu mwenzetu??

Toba roho yangu kumekucha????????????nilijisemelea kimoyo moyo huku nikiwa nasubilia hukumu kutoka kwa ndugu wa mme watanikubali na huu uafrica wangu au ndo inalilahi????????

Niombeeni ndugu zangu mi tyr nishampenda mbaba wangu siwezi kuishi bila yeye????????????

Itaendeleaaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 11"

MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????

SEHEMU YA 11"

Hello guys tuendelee na story yetu????????nilichukua simu yangu nikampigia David akapokea nikamuita honey kwa kumdekea????????

Sijawahi kumuita kwa mhba kiasi hiko????????alitabasamu huyooo akaniita mke wangu niambie nimekumiss sana????????

Hata mimi nimekumiss tayari David wangu nilitaka kuuliza kama tayari umeshafika babe????

Devid alijibu hakika nashukulu mungu nimefika sarama kabisaa kpnz changu asante kwa kunijali

Devid alifurahi sana kuona nimempigia mimi sim

Tuliongea vitu vingi sana kisha nilikatasim nikalala

Hatimae kulipambazuka nilijiandaa na kwenda kazini ????????????????

Nilifika kazini kwa bajaji nikaingia ofisini kwangu nilianza kupiga kazi kama kawa????????????

Nilipomaliza muda wakutoka ulifika nikajisogeza bara barani kutafuta bajaji ????????

Nilipokuwa nasubili bajaji ilikuja gari ya...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mtamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya-11

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mtamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 13"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 13"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 12"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 12"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????   SEHEMU YA 03"& 04"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 03"& 04"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 08"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 08"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????  SEHEMU YA 9&10"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 9&10"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????  SEHEMU YA 07"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 07"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ?   SEHEMU YA 05" & 06"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ? SEHEMU YA 05" & 06"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 02
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 02
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

636
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

509
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

203
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8

144
SHAMIRA sehemu ya 38&39

SHAMIRA sehemu ya 38&39

125
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01

118
UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17

UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17

82
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11

82
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |

5

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.28K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.77K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.63K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.5K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 11
@majario LIVE

πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹πŸ¦‹ Noela alipoondoka hakujua hata aende wapi. Alitembea polepole barabarani, machozi yakimtoka na wala hakujali. Aliumia kwa sababu alisalitiwa na watu wawili muhimu sana kwenye maisha yakeπŸ’”. Alikumbuka dalili alizowahi kuona kwamba...

SHAMIRA sehemu ya 38&39 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 38&39
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana sijafanywa hivyo akanmbia nini wewe umegawa namba kwa wanume zako wanatuma sms unajifanya kushaangaaa unanichukuliaje wewe. Kwanini unanidhalilisha shamira mpka najuta kuwa...

MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI | Post Mpya
MASWALI YA BILIONEA WA FALME ZA KIARABU, KHALAF AHMAD AL HABTOOR KWA RAIS WA MAREKANI |
@majario LIVE

1- Mheshimiwa nani alikupa ruhsa kuingiza Ukanda wetu katika vita dhidi ya Iran na kwa gharama gani uliwaza kuwa watu wa kwanza kuteseka ni nchi za Ukanda huu ambao ndio...

UTANIITA SHEMEJI.   SEHEMU YA 17 Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI. SEHEMU YA 17
@majario LIVE

SONGA NAYO............... Mda ulienda jioni ilipofika akatoka kazin ,baada ya kufika nyumbani tu salamu ya kwanza aliingia chumbani na kufungua kioo na kutoka kwenye kibalaza kilicho pembezoni mwa chumba chake . Alifika...

AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01 Post Mpya
AMIRAH WANGU   Sehemu ya 01
@majario LIVE

Tunaanza... Asubuhi na mapema, Sheikh Abdullah alimuita binti yake, Amirah, ambaye alikuwa na umri wa miaka ishirini na tatu. Amirah alitoka chumbani kwake na kumfuata baba yake ili kumsikiliza....

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 8
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Madam hakuwa na maneno mengine ya kuongea zaidi alijiinamia kama mtu anaefikiri kitu, ili kuepuka kesi mtoto wa mama Mira mie nikaamka na mwanangu haoo mpaka chumbani kwetu na...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🀚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest