Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 07
Gonga94 · Stories

MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 07

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Kwakweli sikuona Kama Ana umuhimu kwa wakati huo nilichofanya ni kumalizana na mapishi yangu na kwenda Kuwalisha watoto wangu.

KWa Mara ya kwanza watoto wangu wakapata chakula wakiwa chumbani kwao lakini pia walikula bila baba Yao, Yaani niliamua kuishi maisha yangu tu, na nilikuwa tayali kuondoka pale kwa mume wangu Leo kesho Ila watoto wangu tu ndio waliniweka pale.


Nikiwa nimetulia zangu chumbani kwangu, naperuzi tu mtandani gafla mlango wangu ulifunguliwa kwa nguvu sana na hamad ndio aliingia, Ila mapenzi yakiisha Walahi hakuna kitu unaweza kuogopa.

Hamad aliingia chumbani kwangu akiwa amevimba kama mbogo lakini Wala sikushtuka Wala kuogopa zaidi Nikamuangalia na kuendelea kuchezea simu yangu.

“Ina maana unioni au ??”

Hamad aliniuliza.

Pia sikujibu kitu niliendelea na mambo yangu.

“Shamsa nakuona hizi siku tangu umetoka hospital Sijui wapi wapi umekuwa na kiburi sana, Yaani umekuwa mtu wa tofauti sana,sasa sikia hizo dharau zako fanya lakini Kaa ukijua Kuwa Mimi ni mume wako Sawa “

Hapo nilinyanyuka na kujibu.

“İlo siwezi Kusahau na siwezi kusahau Kuwa wewe ni muuaji wa Mtoto wangu “

Hapo hamad alishtuka sana na kuniangalia kwa macho ya wasiwasi sana.

“Shamsa “

“Shamsa jina langu Sawa, hamad toka chumbani kwangu nataka kulala “


“Yaani unalalaje ikiwa umu Ndani sote hatujala?”

“Labda wewe na Hadija lakini Mimi na watoto wangu tumeshiba na watoto wangu wameshalala”

“Unamaanisha nini kusema mmeshakula ? Umenunua chakula kutoka nje au ?”

Nilimuangalia hamad kisha Nikatabasamu na kujibu.

“Mimi sio mtu wa kununua chakula Aswa likija suala la watoto wangu, Mimi Kama mama nimeingia jikoni na kupika”

“Kwahiyo umepika na Mimi ujanihesabia Wala Khadija si ndio ??”

“Hamad kwani huyu Khadija ni Pambo au ? Kwa haraka haraka Khadija ni mke wako wa halali kabisa na anastahili kukuhudumia na kubeba majukumu yake Kama mke, nilishika nafasi yangu na sasa ni nafasi yake “

Hamad hakuamini kabisa Kama ni Mimi ndio namjibu hivyo kwa hasira ya hali ya juu akatoka nje na kubamiza mlango kama anaugomvi nao vile.

Aaah kuna Namna niliona Kuwa natakiwa Kuwa imara kama hivi na sio kulia lia hovyo hovyo.

******

Siku ziliendelea kwenda uku nikiwa imara kuliko kawaida, nilihakikisha Kuwa siwi mnyonge Yaani ni mwendo wa kukaza tu.

Nikiwa Nyumbani siku ya jumatatu, niliweza kupokea simu kutoka kwa Neha na akaomba tuonane,
Kwakuwa uoga ulishaniisha kabisa nikatoka zangu na kwenda kuonana na Neha.

“Kuna kazi uko nimekutafutia shoga Angu Sijui Kama uko tayali kufanya”

Nilimuangalia Neha kisha Nikatabasamu na kumuuliza.

“Yaani nikatae kazi ? Weeeeh Neha acha utani shoga Angu, Yaani nataka kazi Leo kesho, nataka kumiliki Pesa zangu Mwenyewe na niwatoe watoto wangu pale”

“Nakuelewa ndio maana najaribu kukusaidia, hii sio kazi Kubwa lakini kwa kuanza nayo na ukiwa na akili Basi utafanikiwa kufanya chochote kitu”


“Ni kazi gani nawe nambie Yaani hapa natamani kuanza ata sasa “

“😂🙌 Ila wewe ni kazi ya gym, Nina shemeji yangu Ana gym kubwa sana na Anafanya na watu wa kubwa mno uwa analipa watu vizuri sana sasa nimekuombea uwe msimamizi wa pale kwenye usafi na mambo mengine “

Walahi nilijikuta nikicheka sana Yaani sio kucheka maana daaaah.

“Unacheka nini sasa ??”

Neha aliniuliza.

“Neha unataka nikaharibu kazi za watu au ? Yaani na huu mwili nawezaje kwenda kwenye gym ya watu ? Nitaleta mfano gani kwa watu ambao wamekuja kwaajili ya kutengeneza Miili yao”

“Shamsa huyo mwanaume wako ameshaharibu ubongo wako kwakweli, unajua siku ya kwanza pale hospital mume wangu ndio alianza kukuona na akaniambia huyu msichana ana body nzuri sana, imagine mume wangu ameshindwa ata kujua Kama wewe ni mama wa watoto wawili, Shamsa una shape nzuri sana Rafiki yangu ni vile tu mume wako anatumia nguvu zote kukufanya ujisikie vibaya “

Aaaah unacheza na kusifiwa nini, nilijikuta nikianza kutabasam kwa aibu aibu uku nikiangalia chini.

“So nitakufuta kesho Saa 4 asubuhi then nakupeleka sehemu husika dear ili ukaonane na boss wako maana Mimi nikishamaliza kila kitu “

“Asante sana Neha Mungu akubariki sana “

Tuliendelea kupiga story zingine pale kisha huyo nikarudi Nyumbani kwangu.

Ikiwa ni Majila ya saa 2 usiku nacheza na watoto zangu, muda huo huo hamad akaja na sauti yake ya kibabe akazungumza.

“Nina mazungumzo na wewe Shamsa “

Niligeuka na kumuangalia kwa muda, kisha nikawageukia wanangu na kuwaambia.

“Endeleeni nakuja sasa hivi”

Kisha nikanyanyuka na kutoka nje na moja kwa moja nikaenda kwenye chumba cha wageni ambacho kilibadilika na Kuwa chumba changu.

“Nafikili ni muda muafaka wa Mimi na wewe kupeana taraka “

Alizungumza hamad baada ya kuingia chumbani na kufunga mlango.

Nilimuangalia kWa muda kisha nikajibu.

“Ni moja kati ya Naombi yangu kila siku, lakini swali langu ni vipi kuhusu watoto wangu ??”

“Watoto wako ??”

Hamad aliniuliza Kana kwamba hakuwa amenielewa.

“Yaaah watoto wangu, hamad hawa watoto bado ni wadogo sana hivyo bado ni watoto wa mama Yao ambaye ni Mimi “

“Watoto wangu watabaki hapa, awawezi kwenda kuishi kwenye ufukara wenu uko”

“Mimi pia sitapokea taraka mpaka pale utakaporuhusu Mimi kuondoka na watoto wangu, Unafikili naweza nikaamini usalama wao mbele ya huyu mwanamke wako au wewe ? “

“Unafikili naweza nikawazuru watoto wangu ??”
Hamad aliniuliza uku akiniangalia kwa kunikazia macho.

“Vyote vinawezekana, lakini pia Mimi Kama mama nataka kuangalia makuzi ya watoto wangu”

“Shamsa haya mapembe uliyoota kuna siku Utakuwa kujutia trust me “

Alizungumza hamad kisha akaondoka zake.

KWa haraka nikarudi chumbani kwa watoto wangu lakini nikakuta wakiwa wameshalala hivyo niliweka vitu vyao vizuri kisha huyo nikarudi zangu chumbani kwangu.

******

Asubuhi na mapema nikaamka zangu na kufanya usafi wa kila kona kisha nikaanza kifungua kinywa cha watoto wangu tu na Mimi, Yaani umu Ndani majukumu yangu ni watoto wangu tu hao wengine ni watu wazima wajiongeze tu.

“Leo sitaenda kazini “

Alizungumza hamad kwenye meza ya chakula ambapo Mimi nilikuwa nikipata kifungua kinywa na watoto wangu.

“Mama ujaweka chai ya baba”

Mtoto wangu mkubwa aliniuliza.

“Baba yupo kwenye mfungo kwa sasa “

Yaani Nilijibu Mwenyewe halafu nikajikuta nikicheka 😂 Yaani Sijui Kwanini nilishindwa kujizuia kucheka.

Hamad alibaki akiniangalia kwa hasira sana lakini pia alishindwa kunifanya chochote kile.

Baada ya muda school bus ya watoto wangu ilifika na watoto wangu wakaondoka.

“Mbona uniulizi Kwanini siendi kazini ??”

Hamad aliniuliza na Mimi nikamuuliza.

“Kwanini nikuulize?”

“Kwa sababu mimi ni mume wako “

“Point of correction sio mume wangu mume wa wote “

“Vyote Sawa lakini Mimi ni mume wako na lazima ujue hatua zangu zote “

“Hamad unajisikia lakini ? Kama Mimi ni mke wako na nastahili kujua hatua zako Mbona hukunishirikisha wakati unamuoa Khadija ? Mbona ukuwai kunishirikisha kwenye chochote kile ? Hamad umefungua biashara kila kona uko lakini naishia kuzijua kupitia mitandao ya kijamii tu, ushawai kufikilia kuhusu Mimi ata siku moja ? Hamad kila mtu afanye yake “

Muda huo huo akaingia mama mkwe akiwa na Wifi yangu, Yaani mama mzazi wa hamad lakini pia na dada wa hamad.

“Muone Mdomo wake juu juu Kama kasuku “

Alizungumza mama hamad ni wazi Kuwa amesikia baadhi ya Maneno yangu.

“Shikamoo mama “

Nilimsalimia.

“Ningepata Mtoto Kama wewe ningemtupa uko uko hospital”

Alijibu mama mkwe wangu, nikaona hizi dharau zimezidi sasa, Nikamuangalia kisha nikataka kuondoka haraka akanirudisha nyuma kwa kunivuta mkono wangu.

“Ukinishika Tena huu mkono ndio Utajua maana halisi ya Kuwa mke wa kwanza kwa huyu Kijana wako kichaa Tena kwa ndoa ya mkeka “

Nikajitoa kwenye mkono wake na kutaka kuondoka, weeeh Wifi yangu si ndio akajichanganya na kunivuta eeeeeh 😂🙌 Leo ameyakanyaga nikamtuliza na kibao kizito sana cha shavu na vile ni mfupi 😂🙌.

My zangu hii vita bado mbichi.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 07



Kwakweli sikuona Kama Ana umuhimu kwa wakati huo nilichofanya ni kumalizana na mapishi yangu na kwenda Kuwalisha watoto wangu.

KWa Mara ya kwanza watoto wangu wakapata chakula wakiwa chumbani kwao lakini pia walikula bila baba Yao, Yaani niliamua kuishi maisha yangu tu, na nilikuwa tayali kuondoka pale kwa mume wangu Leo kesho Ila watoto wangu tu ndio waliniweka pale.


Nikiwa nimetulia zangu chumbani kwangu, naperuzi tu mtandani gafla mlango wangu ulifunguliwa kwa nguvu sana na hamad ndio aliingia, Ila mapenzi yakiisha Walahi hakuna kitu unaweza kuogopa.

Hamad aliingia chumbani kwangu akiwa amevimba kama mbogo lakini Wala sikushtuka ...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mume-wangu-alivyoniolea-mke-wa-pili-sehemu-ya-07

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mume-wangu-alivyoniolea-mke-wa-pili-sehemu-ya
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 15 🔥      Kwanza nilishtuka sana na haraka nikatoa mikono yangu ambayo ilikuwa imemkumbatia ...
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 15 🔥 Kwanza nilishtuka sana na haraka nikatoa mikono yangu ambayo ilikuwa imemkumbatia ...
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 13        KWa mwendo wa taratibu nikamsogelea sabra na kWa sauti ya chini...
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 13 KWa mwendo wa taratibu nikamsogelea sabra na kWa sauti ya chini...
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 08
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 08
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 14       “Yaaah mke wangu, Shamsa Nafikili ungekaa kwanza then ndio tuzungumze”
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 14 “Yaaah mke wangu, Shamsa Nafikili ungekaa kwanza then ndio tuzungumze”
   MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 09....10        Nyie nilianza kulia Kama Mtoto Mdogo na kuomba...
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 09....10 Nyie nilianza kulia Kama Mtoto Mdogo na kuomba...
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI   SEHEMU YA : 12         Kwanza nilishtuka sana na kujiuliza huyu ni Nani na Kwanini...
MUME WANGU ALIVYONIOLEA MKE WA PILI SEHEMU YA : 12 Kwanza nilishtuka sana na kujiuliza huyu ni Nani na Kwanini...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 62💘💘

569
MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

MY WANGU❤️ sehemu ya 96 na 97

516
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 46 na 47

505
*MY WANGU❤️*   *sehemu ya 98 na 99*

*MY WANGU❤️* *sehemu ya 98 na 99*

423
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 63💘💘

323
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

298
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50

297
REALLY LOVE* 16

REALLY LOVE* 16

149
UTANIITA SHEMEJI*  SEHEMU YA 10

UTANIITA SHEMEJI* SEHEMU YA 10

43
MALAIKA  SEHEMU YA 1

MALAIKA SEHEMU YA 1

39

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.17K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.9K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.69K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.08K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.31K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.3K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.17K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
Ramadhani 2026 huanza na masaa 12-15 ya kufunga; katika Kizio cha Kaskazini, siku hukua zaidi, huku katika Kizio cha Kusini, Post Mpya
Ramadhani 2026 huanza na masaa 12-15 ya kufunga; katika Kizio cha Kaskazini, siku hukua zaidi, huku katika Kizio cha Kusini,
@majario LIVE

hukua fupi Kufuatia mzunguko wa mwezi wa miaka 33, Ramadhani huhama siku 10-12 mapema kila mwaka - huzingatiwa mara mbili mnamo 2030, na kupindukia mnamo 2031 na 2047. Kupitia Shirika...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 49 na 50
@majario LIVE

49 MPAKA 50 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi nilimuacha kama mwez lemi anendeelee kumfatilia princess. Akanmbia kila j mosi anakuwa kunduchi beachi. Alafu anaishi kibaha. Na sehemu yake ya kazi ni mikocheni apo ni kutojana...

MALAIKA SEHEMU YA 2 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 2
@majario LIVE

ALIMJARIBU 'BOI' WA NDANI ILI KUHAKIKISHA KAMA NI TASA Hapo ndipo Malaika alipohisi dunia nzima imemuelekea yeye. Kila kona aliyopita ilikuwa ni masengenyo, dharau za ndugu, na minong’ono ya majirani iliyomchoma...

MALAIKA  SEHEMU YA 1 Post Mpya
MALAIKA SEHEMU YA 1
@majario LIVE

“Malaika! Malaika mwanangu!” “Naam mama... mbona unaniita kwa presha hivi, kuna nini tena?” Mama mkwe aliingia ndani huku uso umemshuka kama amekula ndimu, yaani kuanzia asubuhi alikuwa na jambo lake limekaa kooni....

YENYE KIRUNGU  💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 09 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 09
@majario LIVE

MR AB TULIPOISHIA “Ndio, baba yangu alinipa mbinu za kumrudisha mtu aliyechukuliwa msukule arudi duniani kwa mara nyingine......nilijaribu kufanya hivyo ila wao hawakurudi maana mtaalam alisema kwamba hawakuchukuliwa misukule” “Yesu.....” Nilipagawa huku nikiwaza...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 08 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 08
@majario LIVE

NA MR AB Jerry aliendelea kuninyonya ulimi ndipo ghafla yule mwenzake akaondoka kwa hasira kuelekea mlangoni ** Haya mambo ni kama vile ukichaa, ilinibidi nimuachie Jerry na kusogea nyuma kidogo “Vipi mke wangu?...

YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚  SEHEMU YA 07 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 ❤️💚 SEHEMU YA 07
@majario LIVE

MR. AB TULIPOISHIA Piiiiiiiii, alipiga honi konda, nikasogea na kuchungulia vizuri, kweli ilikuwa kama nimetabiri hivi, nilimshuhudia Jerry anashuka kwenye pikipiki amevaa shati na suruali ya kitambaa akasogea “Mke wangu Anita” Alisema Jerry...

YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️  SEHEMU YA 06 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚❤️ SEHEMU YA 06
@majario LIVE

MR. AB TULIPOISHIA “Wewe Anita......Anitaaaa” Ilikuwa sauti ya baba mmoja jirani aitwaye Ba Masoud. Nilishtuka na kufumbua macho nikatazama “Anitaaaa.....wewe binti” Sauti ya mwenyekiti ilisikika “Yupo kweli au ameshatekwa huyu, usikute ameuawa tuko hapa hapa”...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️   SEHEMU YA 05 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ SEHEMU YA 05
@majario LIVE

MR. AB Tulipoishia Ile nimefika sebuleni kulikuwa na giza, nikapapasa swichi na kuwasha taa. Sikuamini, nimewasha taa hivi, naona mwanaume kasimama katikati ya chumba amevaa boxer tu, ana tattoo zake ameinamisha kichwa chini. Kuinua...

YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️ Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛 💚 ❤️
@majario LIVE

Na Mr AB SEHEMU YA NNE Alifanya kuniwekea kunako, akaisukumiza kikaingia kile kichwa tu “Ooohhh..bhaaan...” Nilihema kwa hisia huku nikijisukumiza nyuma ikawa inaingia taratibu hadi ulipoingia mpaka mwisho. Ilinitekenya halafu akaanza kuchochea...

YENYE KIRUNGU 💛💛❤💚 SEHEMU YA TATU Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛💛❤💚 SEHEMU YA TATU
@majario LIVE

"Daah mbona haisimami?" Nilimuuliza boss wa mume wangu "Ngoja niondoke nitarudi siku nyingine leo sijisikii vizuri" alijibu akipandisha suruali yake halafu akatoa shilingi elfu 20 akanipatia "shika hii" "Mh asante" nilisema...

YENYE KIRUNGU💛💚❤  SEHEMU YA PILI Post Mpya
YENYE KIRUNGU💛💚❤ SEHEMU YA PILI
@majario LIVE

Tulipoishia Asubuhi ilipofika Nilijikuta namtext boss wa mume wangu "Wewe" nilituma asubuhi na mapema maana niliamka na nye** vile vile "Niambie madam" "Ninahitaji mboo" Nilimuandikia ujumbe huo ili nione atajibuje, yaani akijibu vizuri tu...

YENYE KIRUNGU 💛💚❤ 🔞 Post Mpya
YENYE KIRUNGU 💛💚❤ 🔞
@majario LIVE

Sehemu ya kwanza Mume wangu ni mtu msiri sana ambapo ni mara nyingi tumekuwa tukigombana hasa pale ninapogundua kwamba kuna mambo ya muhimu amenificha kwa muda murefu. Hata hivyo ugomvi haijaweza...

Bappi Lahiri jina lake halisi ni Alokesh Aparesh Lahiri ambaye amezaliwa tarehe 27 Novemba mnamo mwaka 1952. Post Mpya
Bappi Lahiri jina lake halisi ni Alokesh Aparesh Lahiri ambaye amezaliwa tarehe 27 Novemba mnamo mwaka 1952.
@majario LIVE

Alikuwa ni mwimbaji, mtunzi na mtayarishaji wa muziki kutoka India ambae alifahamika zaidi kama Disco King kwa kutengeneza muziki wa disco unaotumia ala za kielektroniki (synthesizer) kuwa maarufu katika tasnia...

Toss amrithi A.K A, Aingia kwenye pezi jipya na Nadia Nakai Post Mpya
Toss amrithi A.K A, Aingia kwenye pezi jipya na Nadia Nakai
@majario LIVE

Msanii maarufu “Toss”, anayefahamika kama hit maker wa Umlandu, kwa sasa anaripotiwa kuingia kwenye uhusiano mzito wa kimapenzi na aliyewahi kuwa mchumba wa marehemu rapa wa Afrika Kusini, AKA. Mrembo huyo...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest