Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

MZUNGU TULIA MOYO HAUNA RANGI part 2 to 3
Gonga94 ยท Stories

MZUNGU TULIA MOYO HAUNA RANGI part 2 to 3

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

SEHEMU YA 2
Hata mi sikujali kwanza niikuwa natamani nimmeze huyo mdada... Na vile tunalingana mwili sasa.

Aliyetustopisha alishuka taratibu kisha sasa yule mdada akawa anamfuata huku akilia kwa sauti ya chini... " Nini shida?" aliuliza kijana huyo ambaye, alikuwa na rangi kama ya huyo binti, pia alionekana kuwa serious sana kuliko kawaida๐Ÿ™.

"Nimemuuliza tu wewe ni nani, akataka kuninyang'anya kikombe cha chai huku akisema ananjaa ndio ikammwagikia... Sasa nashangaa anaanza kunitukana eti mimi nilimwagia makusudi," kibinti hiko kilisema huku kikiendelea kulia kifuani mwa kijana huyo ambaye, hakushughulika na kumbembeleza hata.

"Nani kaja na huyu binti?" aliuliza na kufanya wafanyakazi wote waogope... Sada alijitokeza mbele ya kijana huyo, kisha akapiga magoti.

"Samahani boss, huyu ndio yule mfanya kazi ulitaka wa kupika maandazi๐Ÿ˜ข," Sada aliongea akiwa pale chini tena kwa uoga.

"Ooh! Njooni nae ofisini!" aliamuru kijana huyo kisha akaondoka, yule binti nae akamfuata kwa nyuma.

"Love, hivi hasira zako huwezi kujizuia au? Ona sasa tumeitwa hatujui tunaenda kuambiwa nini sasa๐Ÿคฆ!" alisema Sada akiwa kama kachanganyikiwa.

"Da Sada bana ๐Ÿ˜”! Mi nilishindwa kujizuia na siunajua kama hili dera langu ni jipya!" nilimfanya da Sada atabasamu kidogo, kisha tukaingia ofisini kwa kijana yule.

"Ndio boss, tumeitikia wito," alisema Sada kwa unyenyekevu.

"Good! So, anaumri gani? Na anahisi kutumikia kazii hii muda gani?" aliuliza huyo boss... Hapo nilitaka kujibu ila alinikata jicho na kusema kuwa hajaniuliza mimi nikae kimya.

"A.... ana miaka 21 tu, na kazi hii anaweza kutumikia muda wowote," Sada alisema...

"Okey! Mpe sare zake, na aliweke jina lake kwenye sare hizo; na baada ya kazi aje ku saini mkataba mpya," alisema kijana huyo.

Aliitikia Sada kisha tukatoka nje... " Hein๐Ÿ˜ณ, hivo ulikuwa umebana pumzi!" nilimuuliza Sada kwa mshangao.

"Unajua Love, hii kazi walahi utanifanya nifukuzwe... Liam ni mkaka mmoja serious, na kuongea ni mara kidogo sana, sasa kwanza naona ajabu kuona katuacha... Njoo kwanza uvae sare zako," Sada alinipeleka kwenye chumba cha kubadili mavazi.

"๐Ÿ˜ณ Da Sada, mbona ni fupi sasa! Kwa kweli mi siwezi kuvaa," niligoma kwasababu: kwanza ni sketi ya kubana nyeusi fupi, shati jeupe la mikono mirefu tena tunachomekea, na tie nyeusi.

"Nilijua tu! Ebu vaa halafu, ukienda ku saini mkataba utamwambia boss swala lako sawa?" niliitikia tu kwa kichwa... Ila kiukweli nilikuwa mwoga sana.

Nilichukuwa mtandio wangu wa dera nikajifunga kama kanga... Wafanyakazi wote walinishangaa.

"Loveness, mbona unavaa hivo? Unaficha nini na hauna hata nyama udugu wangu๐Ÿ˜," alisema binti mmoja hapo... Nilisoma kwenye uniform yake nikaona anaitwa Zai.

"Ndio na mimi nashangaa hata nikiyaacha wazi hakuna atakae yataka... Kwasababu hata wenye nyama zao bado wapo hawajaambulia chochote," niliongea hivo kisha nikaondoka zangu.

Baada ya kazi, Sada alinisubiri nje mi nikaingia ofisini kwa boss... Lahaulaaaa! Siamini nacho๐Ÿ‘๐Ÿ‘... Basi nikarudishia mlango.

Lakini alikuwa ashaniona boss wangu... " Come in!" aliniamuru...

"Hivi wewe hauwezi kubisha hodi au?" kiliniuliza kidada hicho baada ya mimi kukutana kikiwa kinamlamba bosi mashavuni na hata mdomoni.

"Sasa humu si ofisini au? Na sio sehemu ya starehe, vyumba vipo! Mgeingia huko," nilisema hivo...

"Wewe! You are in my office! Sitaki kelele๐Ÿ˜ ," alisema boss akiwa anapiga ngumi mezani kwake.

"Babby ni....( Sonia nikukute kwenye gari!)" aliamuru hivo baada ya kumkatisha yule binti maneno yake.

Nikasogea sasa kutazama mkataba, pia akanipa dakika 30 nisome kwanza... Tobaaaa ๐Ÿ˜ณ! Nilichoka baada ya kuona sharti la mwisho.

To be continued ......๐Ÿ’ฅ
SEHEMU YA 3
"Boss๐Ÿ˜ณ! Kazi tuliokubaliana si hii," nilisema nikiwa namshangao... Lakini boss wala hakujibu chochote.

Baada kimya kirefu alisimama na kunifuata... " Kama umemaliza ku saini unaweza kwenda na kama bado unaweza kwenda pia," alisema boss.

Jamani, hivi huyu mnamuelewa kweli au ndio ile wanasema kuendeshwa kwa vitisho... Hanijui sasa kenge huyu...

"Boss, hii sio sawa!" nilisaini nikiwa kama sijapenda kabisa.

"Usinipangie kwenye kazi yangu! Ulishafanya makosa, ukarudi tena ukavaa vitambara vyako, pia ukamtukana mke wangu, halafu unanipangia! Unaitaka adhabu siet?" boss alikuwa akifoka sana... Hapo sasa mwenzenu nishayafunga macho yangu kwa uoga.

Nikachukuwa na ku saini... Mkataba unasema hivi: Asubuhi napika maandazi ya hoteli, halafu hadi mida ya jioni nitamfanyia massage bibi yake yupo hapo hapo hotelini chumba namba 108; mshahara ni 500k kwa mwezi... Jamani khaaaa, kwanza mshahara ulinishawishi nikakubali.

"Ila boss, nitakuwa na sharti moja nami pia... (Sharti gani?)" niache nivae madera yangu mi sipendi nguo fupi," nilisema hivo.

Boss wangu alicheka sana kisha akaniambia niondoke bila kunipa jibu... Niliondoka nikafika nje nakuta dada Sada kanuna yaani kama alikuwa na hasira ya kufilisika kwa biashara.

"Haya muda wote huu unafanya nini huko ndani?" aliuliza Sada akiwa na hasira.

"Sasa da Sada, si ulinileta huku kufanya kazi sasa shukuru nimetoka salama humo ndani," nilisema nikiwa nasimamisha bajaji...

"Eeeh weee, ebu niambie kulitokea nini huko?" aliuliza Sada kwa hofu kidogo... Mi nilimuhadithia kila kitu lakini alionekana kununa balaa.

โ€œSasa unakasirishwa nini we nawe! Badala ushukuru eti unanuna!" nilimshangaa sana Sada...

"Hiko ki Sonia kinakera! Nisikilize Love: pale inabidi umtege boss; kwani we hutaki maisha mazuri au?" Sada aliniuliza hivo...

"Da Sada ๐Ÿ˜ณ, sasa kama nataka maisha mazuri ndio nimtege mkaka wa watu eeh! Hapana bana nitafanya kazi kama kawaida mengine siyataki... Na hata hivo hajanivutia," nilisema kisha tukashuka baada ya kuwasili home.

Basi hatukula maana tunatoka huko tushakula... Tulioga tukawa tunapiga story kibarazani na Kasie pia alikuja.

"Wifi, vipi mbona mpo nje?" aliuliza Kasie...

"Ndio, tunapata upepo wa saa tatu usiku," Sada alimjibu haraka sana...

"Khaa kwani nakusalimia wewe hata!" Kasie alisema...

"Eeh we Kasie, ebu kuwa na adabu bana! Si mkubwa kwako au?" nilimsema Kasie akaondoka.

Lakini baada ya muda, Fredy alikuja na kumvuta pembeni Sada, mkononi akiwa na mfuko mdogo tu...

To be continued.......๐Ÿ’ฅ

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MZUNGU TULIA MOYO HAUNA RANGI part 2 to 3


SEHEMU YA 2
Hata mi sikujali kwanza niikuwa natamani nimmeze huyo mdada... Na vile tunalingana mwili sasa.

Aliyetustopisha alishuka taratibu kisha sasa yule mdada akawa anamfuata huku akilia kwa sauti ya chini... " Nini shida?" aliuliza kijana huyo ambaye, alikuwa na rangi kama ya huyo binti, pia alionekana kuwa serious sana kuliko kawaida๐Ÿ™.

"Nimemuuliza tu wewe ni nani, akataka kuninyang'anya kikombe cha chai huku akisema ananjaa ndio ikammwagikia... Sasa nashangaa anaanza kunitukana eti mimi nilimwagia makusudi," kibinti hiko kilisema huku kikiendelea kulia kifuani mwa kijana huyo ambaye, hakushughulika na kumbembeleza hata.

"Nani kaja na huyu binti?" aliuliza na kufanya wafanyakazi wote waogope... Sada alijitokeza...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mzungu-tulia-moyo-hauna-rangi-part-2-to-3

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mzungu-tulia-moyo-hauna-rangi-part
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

576
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

496
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

226
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

223
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

208
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

132
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

82

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.72K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.55K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.43K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.36K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.34K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, ๐Ÿฅฐ nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba ๐Ÿฅฐ๐Ÿ˜† yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest