Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ Itaendelea.... SEHEMU YA 14 Swaumu pia alishtuka akakimbia. Mi
Gonga94 Β· Stories

π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ Itaendelea.... SEHEMU YA 14 Swaumu pia alishtuka akakimbia. Mi

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
nilipogeuka,hamuwezi amini nilikutana uso kwa uso na Raj. Alinikumbatia kwa furaha na kunitazama akasikitika sana. Jamani wasomaji kulea watoto wawili sio mchezo. Nilifubaa nikakonda. Akakaa na kutaka tuzungumze. Mimi hapo mawazo sasa yameishia kumuwaza tu Swaumu kwanini akimbie baada ya kumuona Raj.
"Ney jamani umekuwa mama nani vile"
"mama Zuri au mama Raghav"
"😳πŸ₯°wow kumbe umejifungua mapacha!"
"hapana Raj, Zuri ni mtoto wa Zuri aliniachia baada ya kufariki. Na Raghavu ndiye mwanangu"
"unasemaje Ney?!"
Hapo Raj alianza kulia na kufunguka kuwa alimpenda Zuri ila hakujua pakumpata ili niishi nae tafadhali Ney naomba unionyeshe mtoto wa Zuri"
Raj aliniomba sana na mimi nikakubali baada ya kuona atajaza watu. Wahindi hua wana pipa la maji machoni. We akiachwa analia, akitukanwa katusi kadogo analia,akipoteza kitu sio hata mtu kitu analia, Akipewa zawadi analia.Haya na mimi nimemzaa Raghav wacha nione kama anapipa la machozi au😁.
Basi tuliondoka na Raj hadi walipo watoto aliwaona alifurahi akalia sana. Majirani walipomuona moja kwa moja wakajua Raghav ni mwanae. Baadae tulikuwa kwenye gari lake tukiongea. Hapo nilimaliza kumpa story ilivokuwa.
"ndio hivo Raj. Sasa nimesahau kukuuliza: ulipoteaga nyumbani muda mrefu sana Mpaka nikaondoka sijakuona,na Swaumu alivyokuona alikimbia kuna nini kati yenu?"
Hapo Raj alinihadithia kwamba: Swaumu alimtekaga akiwa na Mwaju na Simon alitishia familia kuhusu pesa na hapo walipewa milion 100. Wakaniachia na leo ndio nilikuwa namuona.
"duuh pole sana Raj"
"Asante. Na ungejitahidi ujue hali ya broo anateseka sana Antara anamnyanyasa. Dadimaa aliondokaga nchini na mama. Hivi pale tumabaki sisi kama watoto tu"
Msomaji sikutaka kujua habari za huyo mpuuzi nilifungua mlango nikatoka. Raj aliniacha maana alijua kila kitu.
Miaka ilipita, na watoto wangu walizidi kukuwa. Zuri alifikisha umri wa miaka 7 na Raghav alikuwa na miaka 7 maana walipishana miezi miwili tu. Raj hakuacha kututembelea na kunisihi nihame pale akanipangie apartment nilikataa. Siku moja sasa nikiwa nawapeleka watoto wangu shule,nilikutana na Mwaju nae akiwa anampeleka mwane shule. Raghav na Zuri walipomuona walijificha nyumba yangu.
"ooh Ney! hatimae tumekutana tena! mwambie Zuri namsalimia sana na mwanae ni yupi hapo?"
niliwaacha watoto wakaingia kisha nikabaki na Mwaju mlangoni.
"Mwaju haya nimaisha mengine kabisa ya watoto ambao hawana hatia. Kwahiyo tafadhali acha kunisumbua"
"sasa mimi na wewe nani anamsumbua mwenzie? wewe hii shule ni ya watu wa chini nashangaa unamleta mwanao hapa unataka nini labda?"
tukiwa kwenye mabishano,ilikuja gari nakuita kwa upole sana.
"mama watoto! emu tuondoke na huyo nii.."
Alishindwa kuendelea mtu yule baada ya kuniona mimi pale. Alinitazmana na kushuka kwenye gari.

Itaendelea......

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

π—£π—˜π—‘π—­π—œ π—Ÿπ—” π—žπ—œπ—π—”π—‘π—” π—ͺ𝗔 π—žπ—œπ—›π—œπ—‘π——π—œ Itaendelea.... SEHEMU YA 14 Swaumu pia alishtuka akakimbia. Mi

nilipogeuka,hamuwezi amini nilikutana uso kwa uso na Raj. Alinikumbatia kwa furaha na kunitazama akasikitika sana. Jamani wasomaji kulea watoto wawili sio mchezo. Nilifubaa nikakonda. Akakaa na kutaka tuzungumze. Mimi hapo mawazo sasa yameishia kumuwaza tu Swaumu kwanini akimbie baada ya kumuona Raj.
"Ney jamani umekuwa mama nani vile"
"mama Zuri au mama Raghav"
"😳πŸ₯°wow kumbe umejifungua mapacha!"
"hapana Raj, Zuri ni mtoto wa Zuri aliniachia baada ya kufariki. Na Raghavu ndiye mwanangu"
"unasemaje Ney?!"
Hapo Raj alianza kulia na kufunguka kuwa alimpenda Zuri ila hakujua pakumpata ili niishi nae tafadhali Ney naomba unionyeshe mtoto wa Zuri"
Raj aliniomba sana na mimi nikakubali baada ya kuona atajaza...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-kijana-wa-kihindi-itaendelea-sehemu-ya-14-swaumu-pia-alishtuka-akakimbia-mi

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-kijana-wa-kihindi-itaendelea-sehemu-ya
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 103

MY WANGU❀️ sehemu ya 103

825
MY WANGU❀️ sehemu ya 101 na 102

MY WANGU❀️ sehemu ya 101 na 102

680
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

636
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 54 na 55

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 54 na 55

568
MY WANGU❀️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma

MY WANGU❀️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma

496
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 53

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 53

427
REALLY LOVE* Chapter 19

REALLY LOVE* Chapter 19

209
REALLY LOVE* Chapter 18

REALLY LOVE* Chapter 18

192
MY CRAZY BOSS 1 - 5

MY CRAZY BOSS 1 - 5

122
MIMI SIKUACHIπŸ₯°  SEHEMU YA 56...57

MIMI SIKUACHIπŸ₯° SEHEMU YA 56...57

105

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.19K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.92K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.69K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.09K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.48K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.42K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.32K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.31K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.26K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.18K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 6
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Nikashangaa amepiga magoti chini akafungua chupa ya maji akamaliza akjimiminia mdomoni, mimi kwangu yalikuwa mageni kabisa sijawahi kuona mtu anakunywa maji kwa staili hiyo Basi alipomaliza kunywa maji akarudi kukaa...

MIMI SIKUACHIπŸ₯°  SEHEMU YA 56...57 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° SEHEMU YA 56...57
@majario LIVE

🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi mwanaume nikawa nawaza tu haka katoto haka katakuja kupenda pesa kinoma na wivu kama woteπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kanasukuma wenzie kabisa hakataki wasogelee simu ila nilitokea kukapenda sana maana nakenyewe kalikuwa active sana...

MY WANGU❀️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 86 na 87 Wenda mpangilio umekosewa endelea kusoma
@majario LIVE

Nyieeeee nilinuka.na deraa tu ndani nilivaa chupi tu nilitoka peku peku. Dooh rahul ana balaa et alienda na wenzie kucheza kwenye bara bara kubwa jamni. Nilichanganikiwa mm. Nafika mpaka pale...

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107
@majario LIVE

Mh. Mie nikajituliza zangu kimyaa. Nishaambiwa mie sio mtamu. Kuma imepanuka nafanyaje sasa . Ila kama ndo kupanuka labda nilivyozaa ila sikuwa na wanaume kabisaa mimi. Yani mpaka nafikia umri...

REALLY LOVE* Chapter 19 Post Mpya
REALLY LOVE* Chapter 19
@majario LIVE

muda ulisonga mbele hatimae jioni ya saa kumi ilifika seven akiwa ofisini alinza kujiandaa kitoka kisha akapitia ofisi ya john, aliingia na kumkuta yuko bize na compyuta ""nakuona upo bize jamaa...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 54 na 55 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 54 na 55
@majario LIVE

54 MPAKA 55 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee, nikaanza kuelezea mm. Akaja yeye. Ahaa akasema tu.mimi uyu sijazaa nae . Mh yupo serious. Akasema sijazaa nae kabisa. Kama alivyosema mwenyewe . Alinipa pesa nikatoe mimba...

MAMLAKA YAPIGA MARUFUKU MITANDAO YA KIJAMII NCHINI GABON Post Mpya
MAMLAKA YAPIGA MARUFUKU MITANDAO YA KIJAMII NCHINI GABON
@majario LIVE

Mamlaka ya mawasiliano ya Gabon (HAC), imepiga marufuku huduma za Mitandao ya kijamii kote nchini humo hadi ilani nyingine itakapotolewa. Uamuzi huo unalenga kuzuia unyanyasaji unaofuata na matumizi mabaya ya...

πŸ‡§πŸ‡·β€οΈβ€πŸ©Ή Brazilian Federation release statement to support Vinicius Jr. Post Mpya
πŸ‡§πŸ‡·β€οΈβ€πŸ©Ή Brazilian Federation release statement to support Vinicius Jr.
@majario LIVE

β€œThe CBF stands in solidarity with VinΓ­cius JΓΊnior, victim of yet another act of racism this Tuesday, after scoring for Real Madrid against Benfica in Lisbon." "Racism is a CRIME. It...

Kwa karne nyingi, dunia iliitazama Milki ya OTTOMAN EMPIRE kama ngome kuu ya Uislamu.  Kutoka milima ya Anatolia Post Mpya
Kwa karne nyingi, dunia iliitazama Milki ya OTTOMAN EMPIRE kama ngome kuu ya Uislamu. Kutoka milima ya Anatolia
@majario LIVE

hadi milango ya Ulaya, kutoka Baghdad mpaka Cairo, bendera ya Uislamu ilipeperushwa juu ya majumba, masoko, na misikiti mikubwa iliyojengwa kwa fahari. Watu waliamini kuwa dola hii ingedumu milele...

REALLY LOVE* Chapter 18 Post Mpya
REALLY LOVE* Chapter 18
@majario LIVE

huku sebleni walipo calor walisikia ugomvi wa wazazi wao wanagomben sana chumbani, calor alihisi kabisa itakuwa kuna tatizo tena sio dogo "kwani kun nini jaman cathe mbona kelel nyingi sielewi nimerudi hakuna...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 53 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 53
@majario LIVE

Basi bwana ikabidi nifate ushauri wa mzeee Kesho yake mapema sana .mimi niliamkia ustawi wa jamii posta. Makao makuu kabisa. Nilivyofika pale nikakuta na mwanamama pale . Anaitwa...

MY WANGU❀️ sehemu ya 103 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 103
@majario LIVE

Nimeingia natetemeka mnoo. Mh kulikuwa na taa ya chemli pale. Mlmi na yeye tulionana vizuri. Akanmbia njoo ukae apa nataka tuongee. Kweli mm nikasoge nikaenda kukaa pale. Akaningalia sana yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 101 na 102 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 101 na 102
@majario LIVE

Nikasema ni kweli yusta nimemfanyia mengi mabaya. Najutia na naumia . Ukipata mda mwambie anisamehe sana. Yusta akasema wee wala sitaki kumtibua mume wangu kipenzi. Yani mume wangu akisikia jina...

MY CRAZY BOSS 1 - 5 Post Mpya
MY CRAZY BOSS 1 - 5
@majario LIVE

MWANZO "Nikiwa nimeketi kwenye benji mimi pamoja na wenzangu kama ishirini hivi nnje ya kampuni ya All Over iliyopo Mikocheni B , ikiwa ni majira ya saa moja kamili asubuhi ambapo...

🚨 ππ‘π„π€πŠπˆππ†: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya VinΓ­cius JΓΊnior Post Mpya
🚨 ππ‘π„π€πŠπˆππ†: Mechi ya Benfica dhidi ya Real Madrid IMESIMAMA kutokana na kisa cha kibaguzi dhidi ya VinΓ­cius JΓΊnior
@majario LIVE

AKIWA UWANJANI. ⚠️🚫 Mchezaji wa Benfica alimwita NYANI!!! ‼️ VINI AKATAA KUCHEZA!! 😀❌

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest