Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

SITASAHAU NILICHOKIONA KWENYE LILE KANISA  😱😱 Sehemu ya PILI  (  2  ) ***********
Gonga94 · Stories

SITASAHAU NILICHOKIONA KWENYE LILE KANISA 😱😱 Sehemu ya PILI ( 2 ) ***********

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
SITASAHAU NILICHOKIONA KWENYE LILE KANISA 😱😱
Sehemu ya PILI ( 2 )
************
@Kila Mtu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ghafla palitokea mtu ambaye alikuwa na ulinzi mkali sana.Ulinzi wake ulikuwa ni ulinzi wa mbwa,Yaani kuna mbwa ambao walikuwa pembeni yake,wakiwa wanamlinda huku wakiboka"huhuuu..........................."
Huyo mtu alikuwa ni bibi kizee wa zamani sana,macho yake yalikuwa mekundu mithili ya wavuta bangi.huku kichwani mwake pakiwa na mvi za kutosha.
Hatimaye mazungumzo yalianza rasmi.
"Shikamo Mama" Yule mchungaji alisema.
"Marahaba mwanangu" Yule bibi alijibu.
"Kuna mtoto nimemuokota,huyu mtoto inaonekana kuwa ana nguvu za ajabu hivyo Naomba umwangalie kama kweli ana nguvu"Yule mchungaji alisema.
Hatimaye Yule bibi alimchukua mtoto kisha alianza kuimba nyimbo zake,wakati huo,yule mtoto mchanga alikuwa analia sana.
Baada ya mda,Yule bibi alicheka sana"hahahahaha........................"
Hatimaye alisema kuwa huyo mtoto ana nguvu za ajabu sana,hivyo wanatakiwa kumlea vizuri ili baadae aje kuwa mrithi wao.
Hatimaye Yule mchungaji alifurahi sana kusikia hivyo,Baada ya mda,alimchukua yule mtoto kisha alikwenda nae nyumbani kwake.
Baada ya mda,Yule mchungaji alifika kwenye jumba lake la kifahari ambalo lilikuwa na ulinzi mkali pamoja na CCTV Camera. Ndani ya hilo jumba palikuwa na magari ya kifahari ikiwemo,Hammer, VAT na Mercedes Benz.
Yule mchungaji aliingia ndani ya jumba lake akiwa na yule mtoto.
Hatimaye alipokelewa na mabinti warembo sana ambao walikuwa nusu uchi.kisha aliketi chini.Hao mabinti walishangaa sana kumuona mtoto mchanga.Baadhi yao waliuliza maswali lakini Yule mchungaji hakujibu hata moja.
Hatimaye alitoa amri kwa mfanyakazi wake wa ndani ambaye alijulikana kwa jina la Yemi.Yemi alikabidhiwa huyo mtoto kwa lengo la kumtunza mpaka pale ambapo atakuwa mkubwa.Yemi alimpokea huyo mtoto kwa mikono miwili huku akiwa na maswali kedekede.
Baada ya mda,wale mabinti ambao walikuwa nusu uchi,walianza kumchezea mchungaji,Yaani walianza kumshika mchungaji katika Sehemu nyeti za mwili wake.
Yule mchungaji alikwenda nao mpaka chumbani kwake,kisha alizini nao.
Siku iliyofuata, Yule mchungaji alikwenda kwenye kanisa lake,alikuwa anamiliki kanisa kubwa sana ambao lilijulikana kama"AGAPE HOME OF ALL NATIONS"Hili kanisa lilikuwa maarufu sana,hii ni kutokana na ishara pamoja na miujiza ambayo ilikuwa ikitendeka mahali hapo.
Watu kutoka mashariki,magharibi,kusini na kaskazini,walifurika kwenye kanisa la huyo mchungaji.
Baada ya mchungaji kufika kanisani,alimkuta mwanamke mmoja ambaye alikuwa analia sana.kilio cha huyo mwanamke ilikuwa ni kupata mume kwani miaka imeenda sana hana mume.
Yule mchungaji alimuita yule mwanamke kisha alimwambia kwanini unalia???Yule mwanamke alisema kuwa shida yaku ni mume,anatamani sana kupata mwanaume ambaye atafunga nae pingu za maisha.
Yule mchungaji alimwambia kuwa ili apate mume anatakiwa kuacha kazi yake ya kikahaba ambayo kimsingi ndio sababu ya Yeye kutopata mume mpaka sasa.
Hatimaye Yule mwanamke aliingiwa na hofu huku akipata mshangao kuwa mchungaji amejuaje kuwa Yeye ni kahaba.Baada ya mda,alikwenda zake.
Hatimaye Yule mchungaji aliingia kwenye chumba chake.
Baada ya mda,Yule mchungaji alichukua kitabu Fulani ambacho kilikuwa na rangi nyeusi.kitabu hicho kilisomeka hivi"No Body Is safe"hilo ndilo lilikuwa jina la hicho kitabu.
Ndani yake palikuwa na picha za watu wengi sana ikiwemo; watoto,vijana pamoja na wazee.Jinsia zote wakike kwa wakiume.Lakini kwenye hicho kitabu, Baadhi ya picha zilikuwa na alama nyekundu ya (X).Alafu kila picha ilikuwa na namba yake.
Yule mchungaji alifungua mpaka kwenye picha namba 346,ilikuwa ni picha ya mwanamke mmoja mrembo sana.jina lake lilisomeka Lilian.
Hatimaye Yule mchungaji alichukua kalamu kisha aliweka alama ya (X) kwenye hiyo picha.
Baada ya mda,Yule mchungaji alichukua fimbo yake ya Dhahabu ambayo ilikuwa na sanamu yenye vichwa vitatu vya Nyoka aina ya Python.Nyoka mwenye sumu Kali sana.kisha Alinena maneno machache kwenye hiyo fimbo.Mara tu Baada ya kumaliza,ghafla ile fimbo ilibadilika na kuwa Nyoka mkubwa mwenye vichwa vitatu.huyo Nyoka alijulikana kwa jina la MUNA ambaye kazi yake ilikuwa kutoa kafara.
Hatimaye Yule mchungaji alimpatia MUNA kazi ya kwenda kuondoa uhai wa mwanamke mmoja kwa jina la Lilian ambaye tulimuona kwenye kile kitabu cha No body is safe.
Baada ya MUNA kupatiwa hiyo kazi,ghafla alipotea katika mazingira ya kutatanisha.
Majira ya Usiku,katika familia Fulani,palionekana picha ambazo zilikuwa ukutani.Hizo picha zilikuwa niza ndoa huku nyingine zikiwa ni picha za familia.
Wakati huo,Mr James alikuwa mezani Yeye pamoja na mke wake kwa jina la Lilian, pamoja na watoto wao wawili,Jimmy pamoja na Angel.
Walikuwa wanakula pamoja na kunywa huku wakifurahi na kucheka.
wakiwa kwenye hali hiyo,ghafla Lilian alihisi kutapika,hivyo alikwenda mpaka bafuni.Alifungua mlango wa bafuni kwa haraka sana lakini alichokutana nacho.........................................Dah.
Dah.................directed by Wile boy.
Lilian alikutana na yule Nyoka mwenye vichwa vitatu, Yaani MUNA.
Lilian alikutana uso kwa uso na MUNA, pale pale alimng'ata kwenye paji la uso wake.Sauti ilisikika"noooooo..........................."
Baada ya mda,Lilian alikimbizwa hospitalini huku hali yake ikiwa mbaya sana.
Madaktari bigwa walijitahidi kwa hamu na Mali kuokoa maisha ya Lilian, lakini kwa bahati mbaya sana sumu ya MUNA ilikuwa hatari sana ambayo haina tiba wala dawa.
Usiku wa saa Sita,Lilian alipoteza maisha akiwa na umri wa miaka Ishirini na Tano......huku akiwa na watoto wawili.
Rest In peace Lilian...........
Upande wa pili,kwenye lile kanisa la Yule mchungaji palionekana ....🤔🤔 Nyieeeee....Mambo ni ya motooo.😂 Kwani wewe auogopi Usipite bila kulike na kukomeniti fanya ku share kabisa ili sehemu inayofuata isikukose maana ndiyo sehemu balaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥.
Jamani comment zenu zikiwa nyingi naleta mwendelezo fasta.
Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SITASAHAU NILICHOKIONA KWENYE LILE KANISA 😱😱 Sehemu ya PILI ( 2 ) ***********

SITASAHAU NILICHOKIONA KWENYE LILE KANISA 😱😱
Sehemu ya PILI ( 2 )
************
@Kila Mtu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ghafla palitokea mtu ambaye alikuwa na ulinzi mkali sana.Ulinzi wake ulikuwa ni ulinzi wa mbwa,Yaani kuna mbwa ambao walikuwa pembeni yake,wakiwa wanamlinda huku wakiboka"huhuuu..........................."
Huyo mtu alikuwa ni bibi kizee wa zamani sana,macho yake yalikuwa mekundu mithili ya wavuta bangi.huku kichwani mwake pakiwa na mvi za kutosha.
Hatimaye mazungumzo yalianza rasmi.
"Shikamo Mama" Yule mchungaji alisema.
"Marahaba mwanangu" Yule bibi alijibu.
"Kuna mtoto nimemuokota,huyu mtoto inaonekana kuwa ana nguvu za ajabu hivyo Naomba umwangalie kama kweli ana nguvu"Yule mchungaji alisema.
Hatimaye Yule bibi alimchukua mtoto kisha alianza kuimba nyimbo zake,wakati huo,yule...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/sitasahau-nilichokiona-kwenye-lile-kanisa-sehemu-ya-pili-2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi sitasahau-nilichokiona-kwenye-lile-kanisa-sehemu-ya-pili
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

679
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

412
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

289
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘

289
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87

243
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

135
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

135
REAL LOVE  Chapter 12

REAL LOVE Chapter 12

51
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5  ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)

🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5 ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)

20

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.85K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5  ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI) Post Mpya
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5 ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)
@majario LIVE

SEHEMU YA KWANZA 😭😭 Acha nilie alafu ninyamaze duku duku langu nilimalize maana najiuliza maswali magumu sana ivi serekali inajua hawa wahindi wanatufanyisha kazi za ndani raia wa nchi hii...

REAL LOVE  Chapter 12 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 12
@majario LIVE

kitendo cha fahima kushikwa na seven. kiliwakera sana walikasirika ghafla tu lakini fatuma hakusahau dhamira yake akatoka haraka mpaka kwa fahima na kumsaidia kumshika mkono mwingine lakini mzee fahad akamkemea kabisa "wewe...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Basi mimi nilikaa home siku 3. Nikapigiwa simu ya kwenda kusaini mkataba katika iyo bank. Na kweli nilienda nikasaini mkataba wa miaka 2. Na mshahara ulikuwa ni mrefu sana ....

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Daaah yani sikuwa naelewa nifurahi pale . Ama ninune. Yani nilikuwa katika hali ambayo ata siielew. Basi zayd akanishika mpaka karibu na ile gari kabisa. Akafungua milango na nikaona...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘
@majario LIVE

Nilitoka kule ndani kwa Tristan bila hata kuwaaga🙈🙈 wenyewe walikuwa wako busy kubebishana😆 nilichukua usafiri nikaenda hadi maeneo ya kule nyumbani kwa Hemed ilikuwa ni mida kama saa tano sita...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest