Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

SITASAHAU NILICHOKIONA KWENYE LILE KANISA  😱😱 Sehemu ya PILI  (  2  ) ***********
Gonga94 · Stories

SITASAHAU NILICHOKIONA KWENYE LILE KANISA 😱😱 Sehemu ya PILI ( 2 ) ***********

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
SITASAHAU NILICHOKIONA KWENYE LILE KANISA 😱😱
Sehemu ya PILI ( 2 )
************
@Kila Mtu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ghafla palitokea mtu ambaye alikuwa na ulinzi mkali sana.Ulinzi wake ulikuwa ni ulinzi wa mbwa,Yaani kuna mbwa ambao walikuwa pembeni yake,wakiwa wanamlinda huku wakiboka"huhuuu..........................."
Huyo mtu alikuwa ni bibi kizee wa zamani sana,macho yake yalikuwa mekundu mithili ya wavuta bangi.huku kichwani mwake pakiwa na mvi za kutosha.
Hatimaye mazungumzo yalianza rasmi.
"Shikamo Mama" Yule mchungaji alisema.
"Marahaba mwanangu" Yule bibi alijibu.
"Kuna mtoto nimemuokota,huyu mtoto inaonekana kuwa ana nguvu za ajabu hivyo Naomba umwangalie kama kweli ana nguvu"Yule mchungaji alisema.
Hatimaye Yule bibi alimchukua mtoto kisha alianza kuimba nyimbo zake,wakati huo,yule mtoto mchanga alikuwa analia sana.
Baada ya mda,Yule bibi alicheka sana"hahahahaha........................"
Hatimaye alisema kuwa huyo mtoto ana nguvu za ajabu sana,hivyo wanatakiwa kumlea vizuri ili baadae aje kuwa mrithi wao.
Hatimaye Yule mchungaji alifurahi sana kusikia hivyo,Baada ya mda,alimchukua yule mtoto kisha alikwenda nae nyumbani kwake.
Baada ya mda,Yule mchungaji alifika kwenye jumba lake la kifahari ambalo lilikuwa na ulinzi mkali pamoja na CCTV Camera. Ndani ya hilo jumba palikuwa na magari ya kifahari ikiwemo,Hammer, VAT na Mercedes Benz.
Yule mchungaji aliingia ndani ya jumba lake akiwa na yule mtoto.
Hatimaye alipokelewa na mabinti warembo sana ambao walikuwa nusu uchi.kisha aliketi chini.Hao mabinti walishangaa sana kumuona mtoto mchanga.Baadhi yao waliuliza maswali lakini Yule mchungaji hakujibu hata moja.
Hatimaye alitoa amri kwa mfanyakazi wake wa ndani ambaye alijulikana kwa jina la Yemi.Yemi alikabidhiwa huyo mtoto kwa lengo la kumtunza mpaka pale ambapo atakuwa mkubwa.Yemi alimpokea huyo mtoto kwa mikono miwili huku akiwa na maswali kedekede.
Baada ya mda,wale mabinti ambao walikuwa nusu uchi,walianza kumchezea mchungaji,Yaani walianza kumshika mchungaji katika Sehemu nyeti za mwili wake.
Yule mchungaji alikwenda nao mpaka chumbani kwake,kisha alizini nao.
Siku iliyofuata, Yule mchungaji alikwenda kwenye kanisa lake,alikuwa anamiliki kanisa kubwa sana ambao lilijulikana kama"AGAPE HOME OF ALL NATIONS"Hili kanisa lilikuwa maarufu sana,hii ni kutokana na ishara pamoja na miujiza ambayo ilikuwa ikitendeka mahali hapo.
Watu kutoka mashariki,magharibi,kusini na kaskazini,walifurika kwenye kanisa la huyo mchungaji.
Baada ya mchungaji kufika kanisani,alimkuta mwanamke mmoja ambaye alikuwa analia sana.kilio cha huyo mwanamke ilikuwa ni kupata mume kwani miaka imeenda sana hana mume.
Yule mchungaji alimuita yule mwanamke kisha alimwambia kwanini unalia???Yule mwanamke alisema kuwa shida yaku ni mume,anatamani sana kupata mwanaume ambaye atafunga nae pingu za maisha.
Yule mchungaji alimwambia kuwa ili apate mume anatakiwa kuacha kazi yake ya kikahaba ambayo kimsingi ndio sababu ya Yeye kutopata mume mpaka sasa.
Hatimaye Yule mwanamke aliingiwa na hofu huku akipata mshangao kuwa mchungaji amejuaje kuwa Yeye ni kahaba.Baada ya mda,alikwenda zake.
Hatimaye Yule mchungaji aliingia kwenye chumba chake.
Baada ya mda,Yule mchungaji alichukua kitabu Fulani ambacho kilikuwa na rangi nyeusi.kitabu hicho kilisomeka hivi"No Body Is safe"hilo ndilo lilikuwa jina la hicho kitabu.
Ndani yake palikuwa na picha za watu wengi sana ikiwemo; watoto,vijana pamoja na wazee.Jinsia zote wakike kwa wakiume.Lakini kwenye hicho kitabu, Baadhi ya picha zilikuwa na alama nyekundu ya (X).Alafu kila picha ilikuwa na namba yake.
Yule mchungaji alifungua mpaka kwenye picha namba 346,ilikuwa ni picha ya mwanamke mmoja mrembo sana.jina lake lilisomeka Lilian.
Hatimaye Yule mchungaji alichukua kalamu kisha aliweka alama ya (X) kwenye hiyo picha.
Baada ya mda,Yule mchungaji alichukua fimbo yake ya Dhahabu ambayo ilikuwa na sanamu yenye vichwa vitatu vya Nyoka aina ya Python.Nyoka mwenye sumu Kali sana.kisha Alinena maneno machache kwenye hiyo fimbo.Mara tu Baada ya kumaliza,ghafla ile fimbo ilibadilika na kuwa Nyoka mkubwa mwenye vichwa vitatu.huyo Nyoka alijulikana kwa jina la MUNA ambaye kazi yake ilikuwa kutoa kafara.
Hatimaye Yule mchungaji alimpatia MUNA kazi ya kwenda kuondoa uhai wa mwanamke mmoja kwa jina la Lilian ambaye tulimuona kwenye kile kitabu cha No body is safe.
Baada ya MUNA kupatiwa hiyo kazi,ghafla alipotea katika mazingira ya kutatanisha.
Majira ya Usiku,katika familia Fulani,palionekana picha ambazo zilikuwa ukutani.Hizo picha zilikuwa niza ndoa huku nyingine zikiwa ni picha za familia.
Wakati huo,Mr James alikuwa mezani Yeye pamoja na mke wake kwa jina la Lilian, pamoja na watoto wao wawili,Jimmy pamoja na Angel.
Walikuwa wanakula pamoja na kunywa huku wakifurahi na kucheka.
wakiwa kwenye hali hiyo,ghafla Lilian alihisi kutapika,hivyo alikwenda mpaka bafuni.Alifungua mlango wa bafuni kwa haraka sana lakini alichokutana nacho.........................................Dah.
Dah.................directed by Wile boy.
Lilian alikutana na yule Nyoka mwenye vichwa vitatu, Yaani MUNA.
Lilian alikutana uso kwa uso na MUNA, pale pale alimng'ata kwenye paji la uso wake.Sauti ilisikika"noooooo..........................."
Baada ya mda,Lilian alikimbizwa hospitalini huku hali yake ikiwa mbaya sana.
Madaktari bigwa walijitahidi kwa hamu na Mali kuokoa maisha ya Lilian, lakini kwa bahati mbaya sana sumu ya MUNA ilikuwa hatari sana ambayo haina tiba wala dawa.
Usiku wa saa Sita,Lilian alipoteza maisha akiwa na umri wa miaka Ishirini na Tano......huku akiwa na watoto wawili.
Rest In peace Lilian...........
Upande wa pili,kwenye lile kanisa la Yule mchungaji palionekana ....🤔🤔 Nyieeeee....Mambo ni ya motooo.😂 Kwani wewe auogopi Usipite bila kulike na kukomeniti fanya ku share kabisa ili sehemu inayofuata isikukose maana ndiyo sehemu balaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥.
Jamani comment zenu zikiwa nyingi naleta mwendelezo fasta.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SITASAHAU NILICHOKIONA KWENYE LILE KANISA 😱😱 Sehemu ya PILI ( 2 ) ***********

SITASAHAU NILICHOKIONA KWENYE LILE KANISA 😱😱
Sehemu ya PILI ( 2 )
************
@Kila Mtu
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ghafla palitokea mtu ambaye alikuwa na ulinzi mkali sana.Ulinzi wake ulikuwa ni ulinzi wa mbwa,Yaani kuna mbwa ambao walikuwa pembeni yake,wakiwa wanamlinda huku wakiboka"huhuuu..........................."
Huyo mtu alikuwa ni bibi kizee wa zamani sana,macho yake yalikuwa mekundu mithili ya wavuta bangi.huku kichwani mwake pakiwa na mvi za kutosha.
Hatimaye mazungumzo yalianza rasmi.
"Shikamo Mama" Yule mchungaji alisema.
"Marahaba mwanangu" Yule bibi alijibu.
"Kuna mtoto nimemuokota,huyu mtoto inaonekana kuwa ana nguvu za ajabu hivyo Naomba umwangalie kama kweli ana nguvu"Yule mchungaji alisema.
Hatimaye Yule bibi alimchukua mtoto kisha alianza kuimba nyimbo zake,wakati huo,yule...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/sitasahau-nilichokiona-kwenye-lile-kanisa-sehemu-ya-pili-2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi sitasahau-nilichokiona-kwenye-lile-kanisa-sehemu-ya-pili
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

960
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

671
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

603
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

590
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

461
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

358
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

202
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

172
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

105
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example

3

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.5K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.26K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.23K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.67K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.59K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.53K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.47K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest