Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Story,: watoto MAPACHA Kipande cha ,,    ,,  19
Gonga94 · Stories

Story,: watoto MAPACHA Kipande cha ,, ,, 19

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Baba Celena alistuka kumuona mkewe ameanguka , huku akitoka na mapovu mdomon ,haraka na upesi akaita wafanyakazi na kusaidiana kumkimbiza hospital, Celena alikuwa analia tu nakuita mamaa ,mamaa ,
Walimuwahisha hospital na haraka na upesi akapatiwa matibabu ya kuuwa sumu kwenye mwili na akalazwa akiwa bado hajitambui ,
Baba Celena alikosa majibu aliwaza mke wake amepatwa nanini hakujua kabisa kuwa ni ile soda ndo chanzo ,
Alirudi nyumbani akiwa na mtoto wake Celena pamoja na wafanyakazi wake ,
Baba Celena alikuwa na mawazo sana ,aliwaza kilichomkuta mkewe na hajui kama atapona na aliwaza kuhusu hawa watoto wawili pamoja na mkewe Celina na hakupata jibu la moja kwa moja ,
Alipitiwa na usingiz na asubuhi na mapema alijiandaa na kuwahi kule hospital , na akaambiwa bado mkewe hajapata nafuu maana sumu ilikuwa Kali sana ,
Akatoka na kwenda kazin , ila bado alikuwa na mawazo sana , muda wa jion akatoka na kabla hajaenda kwa mkewe hospital akaamua aende kule kwa kina Stefano ili akamuone Celena kichaa na ikibidi amuone vizuri yule mtoto aliefanana na mwanae ,
Alifika mpaka kwa kina Stefano na kweli alimuona Celina kichaa akiwa nje ya nyumba hiyo , akapaki gari na taratibu akashuka na kumsogelea pale alipo , alimuangalia vzr akajikuta machozi yanamtoka ,aisee ni kweli huyo ndie mkewe Celina, mke aliedumu nae kwenye shida na Raha , leo amekuwa kichaa , alijikuta analia na kumstua Celina kichaa ,
Celina alipogeuka akamuona haraka na upesi aliamka akaokota jiwe na kulirusha likamkosa mumewe,

""Usinisogelee ,,kaa mbali namimi,,""
Celina aliongea huku akinyanyua jiwe lingine ,

Kule ndani alikuwa mama Stephano na baba Stefano pamoja na Celina akiwa na Stefano,
Waliposikia Celina kichaa anaongea kwa ukali wakatoka nje wote na kushangaa baba Celena akiwa kasimama mbele ya Celina kichaa na Celina kichaa kashika mawe ,

"Mke wangu subili basi tuongee mimi ni mume,,,,

"Hebu funga domo lako nisijenikakuharibu sura na mawe,""
Balozi alitaka kujitetea lakini alikatizwa na Celina kichaa,

Eti mumewe ,,"?au nimeskia vibaya ,,""?
Mama Stefano alimuuliza mumewe aliesimama pembeni akiangalia ule mpambano,

"Celina hebu kajaribu kumtuliza mama yako tuone kama anaweza kutulia,""
Baba Stefano badala ya kujibu swali ye akamtuma Celina,

"Baba subili kwanza tuone na Leo atafanya nn maana anaonekana akiwa kwenye hali hii akili kama zinarudi ,"
Aliongea Celina na wote wakaona ni sawa ,

Balozi akasogea tena ili am bembeleze Celina lakini Celina akarusha jiwe lingine likampata la mgongoni ,

"Nimesema usinisogelee ,kaa mbali na mimi""
Celena kichaa alijibu tena kwa hasira ,

Kumbuka mama stefano na mumewe hawamjui barozi na ndio maana wanamshangaa mala amuite Celina kichaa mkewe , na ni mala ya pili sasa anakuja na kugombana na Celina kichaa ,na hawakujua kama huyu ndio mumewe ,

Celina mtoto anamjua barozi kuwa ndie baba yake na celena sasa hapa kinachomshangaza kwanini anamuita mama yake mkewe,

"Mama inatosha nazani unajua ninavyojiskia nikikuona upo hivyo ,,""
Celina alijalibu kumtuliza mama yake,

"Mwanangu Celina niache tu ,ungejua alichonifanyia huyu mwanaharamu ,basi ungeniacha nikalia mpaka nichoke mwenyewe,""
Celina kichaa alimkumbatia mwanae nakuanza kulia tena kwasauti ,
Baba Stefano akamfuata barozi nakumwambia aondoke na aje siku nyingine maana leo hawawezi kuelewana ,
Barozi alimwangalia baba Stefano akamfananisha yaani nikama alishawahi kunuona mahali ila hakumbuki ni wapi,lakin pia baba Stefano na mama Stefano wamefanana na Celena yaani kama mtoto wao ,

S"amahani naomba nikuulize hivi yule nimwanae kweli au,,""?
Barozi aliuliza , huku akimwangalia Celina mtoto jinsi alivyofanana na mwanae Celena ,

"Ndio ni mtoto wake wa kumzaa kabisa ,,""
Baba Stefano alimjibu barozi,

Inamaana Celina alikuja akapata mtoto,,"" ?
"alizaa nanani,na imekuwaje ,"
Balozi aliwaza huku anapanda kwenye gar yake nakuelekea nyumbani kwake,

Alipofika kwake akajitupa kwenye sofa huku akiwa na mawazo tele,
Sasa itakuwaje au nimrudie mke wangu ,?
Au niongee ukweli kuwa mtoto huyu sio wangu,?lakin watu watanionaje,na baba wa hawa watoto ninani,?

Shkamoo baba ,,"
Celena alikuja na kumsalimia baba yake ,lakini baba alikuwa mbali kimawazo na hata hajaskia salamu ya mwanae,

Babaa,,"
Celena aliamua kumtingisha baba yake na barozi akastuka kumuona Celena

Vipi mwanangu umekuja mudaee ,,"
Barozi aliongea huku anamkagua mtoto wake maana bado alikuwa haamini kama niyeye alijua niyule Celina kule ndio kaja,

Hakyamungu hawa watoto ni mapacha ,,"
Aliwaza barozi wakati anamkagua Celena ,

Baba mbona unaniangalia sana ,,"?

Aah hakuna mwanangu ,ulisema unamjua yule mama kichaa ,"?
Barozi alimuuliza mwanae,

Ndio baba namjua tena ni mama yake na na yule msichana tuliefanana sana ,""
Celina aliongea bila kujua anamchanganya baba yake kabisa,
Kama nikuchanganyikiwa baba huyo alichanganyikiwa haswa,
Alijiuliza siku huyu mtoto akigundua kuwa hapo sio kwao itakuwaje,na mama yake atakuwa katika hali gani,?

**
"Huyu baba itakuwa ni mume wa yule dada aliekuja juzi na kama ni mkewe basi Celina atakuwa ni mtoto wao , sasa swali je mbona kama hawamjui huyu Celina ,"?
Walijiuliza mama na baba Stefano bila kujua kuwa huyo Celina ni mtoto wao wenyewe na wanaishi nae kama kumpa msaada tu yeye pamoja na mama yake kichaa ,
Celina mtoto alikuwa anam bembeleza mama yake huku mama huyo akilia huku anakumbuka mbali sana,

Celina kichaa alikumbuka mbali sana sema ndio hivyo kumbukumbu zake hazidumu ,siku hiyo alikumbuka kuna siku aliamka asubuhi na alitapika sana ,unajua celina alikuwa anajitambua japo alikuwa kama zezeta na viungo vyake kukakamaa kama mtu aliepooza,
Sasa anakumbuka siku hiyo alijitapikia sana na asubuhi yake akanikokota mpaka nnje nia yake ni kumuona barozi amwambie yeye anajihusi kama mjamzito ,
Na kweli alifanikiwa kutoka na kwabahati barozi nae alikuwa anatoka kwenda kazini kwake ,wkakutana mlangoni ,celina alikuwa hawezi kuongea vizuri kutokana na mdomo wake kwenda upande ,hivyo alianza kumuoneshea kwa ishara kuwa mbona kama anjihisi mjamzito ,lakini barozi alimwangalia kwa zarau ,na akampita kama hamjui ,celina akaona nibora aende akamzuie getin wakati anatoka na gari ili amuelezee ,

"Nitakugonga mshenzi wewe toka hapo ,,""
Barozi alimwambia celina wakati celina anamuoneshea kwa ishara tu kwamba anahisi yeye ni mjamzito na pale alipo anaumwa,

"Wee yakobo hebu mtoe huyo ,,"
Barozi alimwita mfanyakazi wake ili aende akamtoe celina pale getini ,yakobo alishindwa maana hata yeye alimuonea sana huruma celina ,

"Mariaaa ,,njoo umtoe huyu mi nipite,""
Baada ya yakobo kushindwa barozi alimwita maria na maria alipokuja na jinsi anavyomchukia akamshika mkono na kum buruza kama anaburuza mbuzi ,huku anampiga makofi yanguvu na barozi hakujali ndo kwanza aliwasha gari lake na kuondoka zake,

"We unajifanya unamimba wewe ,mpuuzi kabisa yaani unajitapisha ili uonewe huruma ,heheheeeee,,haloooo,,,kwataarifa yako tu mi nakwambia mimi ndio nitamzalia mtoto barozi ,sio wewe mpuuzi ,""
Maria alisema huku anampiga mateke ya tumboni ,maskini celina alijihisi maumivu sana sikuhiyo alilia sana ,na hakujua afanye nini ,kitu pekee alichokiona kuliko kuteseka hivi nibora anywe sumu tu ajifie zake ,
Jioni yake barozi aliporudi ,celina alijikokota tena na safari hii aliingia mpaka sebuleni akawakuta wamekaa wamekumbatiana yaani maria na barozi ,
Celina aliomba asikilizwe japo dakika moja ,lakini maria alisimama na kumsukuma na teke mpaka nnje huku barozi akicheka cheka tu ,

"Bora umemtoa maana hali yahewa ilishaanza kubadilika hapa ,""
Barozi aliongea huku akimimina wain kwenye grasi,
Celina akarudi tena na safari hii aliambulia kipigo tena mbele ya mumewe ,

Nimekwambia usiwe unaingia humu kwanini huelewi ,"sas ukiniona niko na mume wangu naomba usisogee eneo hilo sawa,,"??
Maria aliongea kwa sifa na akamalizia kumpiga na teke latumbo ,
Celina alisikia maumivu kupita kiasi na damu zilianza kumtoka ,maria bila hata ya huruma akam buruza na kumtoa nje ili asichafue mazuria meupe ya mule ndani ,celina alipofika nje akili ikamruka yaani hapo ndipo uchizi ulipomuanza ,hakuelewa tena kama damu zinamtoka ,hakujua tena kama pale alipo niwapi ,cha ajabu aliweza kusimama na kuanza kuzurula hovyo ,
Balozi alijona hali ile lakini hakujali na celena alipopata upenyo alitoka nje na kuzurula huku nakule ,na ndio ukawa mwanzo wa ukichaa ,hakujua tena ile mimba iliendaga wapi nakama ilitoka ilitoka vipi maana akili ilihama kabisa,


Aisee tuishie hapa mi machozi yananilenga lenga ,😭😭

Kumbuka story hii utaipata yote mwanzo mwisho kwa elfu moja tu,
Namba ni 0655772653 NJOO WHTSAP
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Story,: watoto MAPACHA Kipande cha ,, ,, 19


Baba Celena alistuka kumuona mkewe ameanguka , huku akitoka na mapovu mdomon ,haraka na upesi akaita wafanyakazi na kusaidiana kumkimbiza hospital, Celena alikuwa analia tu nakuita mamaa ,mamaa ,
Walimuwahisha hospital na haraka na upesi akapatiwa matibabu ya kuuwa sumu kwenye mwili na akalazwa akiwa bado hajitambui ,
Baba Celena alikosa majibu aliwaza mke wake amepatwa nanini hakujua kabisa kuwa ni ile soda ndo chanzo ,
Alirudi nyumbani akiwa na mtoto wake Celena pamoja na wafanyakazi wake ,
Baba Celena alikuwa na mawazo sana ,aliwaza kilichomkuta mkewe na hajui kama atapona na aliwaza kuhusu...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/story-watoto-mapacha-kipande-cha-19

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi story-watoto-mapacha-kipande-cha
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

598
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

507
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

475
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

324
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

238
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

86
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

79

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest