Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

TAMU YA HOUSEGIRL  SEHEMU YA 01
Gonga94 · Stories

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 01

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
TAMU YA HOUSEGIRL

SEHEMU YA 01

ONYO???


Stori hii ina Maudhui ya Kimapenz** na ya buza kwa Mpalange'

****

Mwanadada au mwanamama Yunisi kulipokucha mapema asubuhi alikuwa bado amelala kitandani licha ya mumewe kuamka kwa ajili ya kujiandaa kwenda kazini, mwanamke huyo kama kawaida yake yeye ni kulala mpaka ahakikishe ameumaliza usingizi wote ndipo aamke, haijalishi iwe saa mbili asubuhi, saa nne au hata saa sita, mumewe Benson alimaliza kuvaa suti yake ya kazini na kumsogelea mkewe kitandani ambae ndiyo kwanza alikuwa anajigeuza kitandani akiendelea kuuchapa usingizi

"Naenda kazini, tutaonana baadae"
"Sawa kazi njema" mkewe alimjibu huku akijinyoosha kitandani, mumewe akatikisa kichwa kujisikitikia mwenyewe kwa jinsi ambavyo mwanamke huyo asivyojali kuhusu maandalizi yake ya kwenda kazini, akabeba begi lake la ofisini na kuanza kutoka taratibu kuelekea nje kwenye maegesho (parking) ili aingie kwenye gari lake na ndipo aliposikia geti dogo likigongwa na mlinzi akiwa amekaa kwenye kiti chake anauchapa usingizi

"Mboya!" alimwita kwa ukali, mlinzi huyo akakurupuka kwenye kiti hicho chenye mguu mmoja ambacho alikitegesha tu, akajikuta anaanguka nacho mzima mzima chali baada ya kukurupuka

"Naam bosi" aliinuka haraka haraka huku akikiokota kiti hicho na kukiweka vizuri kisha akamkimbilia bosi wake huyo badala ya kwenda getini ambapo kulikuwa kunagongwa geti

"Sasa unanifuata mimi tena badala ya kulifuata geti linalogongwa, wewe vipi?"
"Oooh samahani bosi" mlinzi alijibu na kugeuka mbio mbio kurudi getini

"Hapa nina mlinzi kweli au nina mtu tu ninayemsaidia maisha na jinsi ya kuishi?" Benson alitikisa kichwa kwa masikitiko akiwa amesimama pembeni mwa gari lake dogo, kisha akaufungua mlango ili aingie

"Kaka!" aliitwa akageuka na kukutana na dada wa kazi (housegirl) aitwae Mwaneke

"Unasemaje Mwane?"
"Tai yako haijakaa vizuri kaka ndo nilikuwa nakuja kukukumbusha tu"
"Oooh sawa asante" Benson, alijibu na kuifunga vizuri tai yake hiyo shingoni kisha akamtazama Mwaneke, msichana mweusi wa rangi na mwenye upara kichwani, mnene kiasi ambae kanyimwa sura tu ila nyuma mashalaah amebebelea kifurushi

"Kazi njema" alimpungia mkono mwanaume huyo aliyetabasamu tu na kuliondoa gari taratibu huku Mwaneke akilitazama kwa kulisindikiza kwa macho, akiwa amevalia gauni refu na pana la mtumba lililofika mpaka chini miguuni, likiziba hata kifurushi chake nyuma alichojazia kisionekane na yote ikiwa ni amri ya mama mwenye nyumba, Yunisi, gari la Benson lilipita getini kukiwa kumefunguliwa na mlinzi tayari, Mwaneke akibaki anatabasamu tu

"Yule alikuwa anaongea nini na mume wangu?" Yunisi alijiuliza huku akiwa amesimama dirishani chumbani kwake anachungulia kinachoendelea nje, Mwaneke aligeuka taratibu kurejea ndani kwenye nyumba kubwa

"Mwaneke, Mwane" aliitwa na mlinzi akasimama na kugeuka kumtazama, mlinzi huyo akimfuata huku akicheka cheka

"Sema shida yako"
"Sasa vipi lile ombi langu nilililokwambia Mwane eeh?"
"Ombi gani?"
"Aah Mwane unajifanya umesahau, twende basi tukaongelee chumbani kwangu"
"Nani aende kwenye chumba chako, tuongelee hapa hapa, nikumbushe"
"Aaah Mwane usinifanyie hivyo, ni kweli hukumbuki au unanifanyia makusudi tu?"
"Naona unazunguka zunguka sana, nina kazi ndani" alitaka kuondoka, mlinzi huyo akamshika mkono kumzuia
"Sikia, basi tufanye yameisha, mimi nakupenda na nilishakwambia mbona?"
"Siwezi kuwa na wewe, siyo hadhi yangu, nilishakujibu mbona?"
"Mimi siyo hadhi yako, we unachekesha kweli, una hadhi gani ya maana zaidi ya uhousigeli humu ndani?"
"Bora mimi housegirl nalala ndani kuliko wewe mlinzi unalala nje"
"Kwenda huko sura yenyewe huna, kichwani upara kama dume"
"Nipishe, mbona umenitongoza, hukuiona hii sura nyooo?" Mwaneke alimsonya akiondoka kuelekea ndani kwenye nyumba kubwa akimuacha mlinzi anaendelea kumtolea maneno ya kashfa, alipopandisha ngazi kuingia ndani akakutana uso kwa uso na Yunisi, mama mwenye nyumba

"Ulikuwa unamwambia nini mume wangu kwenye gari?" aliulizwa na bosi wake huyo aliyejishika mikono kiunoni akisubiri jibu...

#Comment
#Like
Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 01

TAMU YA HOUSEGIRL

SEHEMU YA 01

ONYO???


Stori hii ina Maudhui ya Kimapenz** na ya buza kwa Mpalange'

****

Mwanadada au mwanamama Yunisi kulipokucha mapema asubuhi alikuwa bado amelala kitandani licha ya mumewe kuamka kwa ajili ya kujiandaa kwenda kazini, mwanamke huyo kama kawaida yake yeye ni kulala mpaka ahakikishe ameumaliza usingizi wote ndipo aamke, haijalishi iwe saa mbili asubuhi, saa nne au hata saa sita, mumewe Benson alimaliza kuvaa suti yake ya kazini na kumsogelea mkewe kitandani ambae ndiyo kwanza alikuwa anajigeuza kitandani akiendelea kuuchapa usingizi

"Naenda kazini, tutaonana baadae"
"Sawa kazi njema" mkewe alimjibu huku akijinyoosha kitandani, mumewe akatikisa kichwa kujisikitikia mwenyewe kwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/tamu-ya-housegirl-sehemu-ya-01

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi tamu-ya-housegirl-sehemu-ya
TAMU YA HOUSEGIRL  SEHEMU YA 02
TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 02
TAMU YA HOUSEGIRL  SEHEMU YA 03
TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 03
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

678
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

412
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

289
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘

288
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87

239
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

135
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

135
REAL LOVE  Chapter 12

REAL LOVE Chapter 12

48
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5  ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)

🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5 ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)

20

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.85K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5  ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI) Post Mpya
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5 ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)
@majario LIVE

SEHEMU YA KWANZA 😭😭 Acha nilie alafu ninyamaze duku duku langu nilimalize maana najiuliza maswali magumu sana ivi serekali inajua hawa wahindi wanatufanyisha kazi za ndani raia wa nchi hii...

REAL LOVE  Chapter 12 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 12
@majario LIVE

kitendo cha fahima kushikwa na seven. kiliwakera sana walikasirika ghafla tu lakini fatuma hakusahau dhamira yake akatoka haraka mpaka kwa fahima na kumsaidia kumshika mkono mwingine lakini mzee fahad akamkemea kabisa "wewe...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Basi mimi nilikaa home siku 3. Nikapigiwa simu ya kwenda kusaini mkataba katika iyo bank. Na kweli nilienda nikasaini mkataba wa miaka 2. Na mshahara ulikuwa ni mrefu sana ....

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Daaah yani sikuwa naelewa nifurahi pale . Ama ninune. Yani nilikuwa katika hali ambayo ata siielew. Basi zayd akanishika mpaka karibu na ile gari kabisa. Akafungua milango na nikaona...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘
@majario LIVE

Nilitoka kule ndani kwa Tristan bila hata kuwaaga🙈🙈 wenyewe walikuwa wako busy kubebishana😆 nilichukua usafiri nikaenda hadi maeneo ya kule nyumbani kwa Hemed ilikuwa ni mida kama saa tano sita...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest