Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

TAMU YA HOUSEGIRL  SEHEMU YA 02
Gonga94 · Stories

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 02

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
TAMU YA HOUSEGIRL

SEHEMU YA 02

"Dada shikamoo" Mwaneke alimsalimia bosi wake huyo badala ya kujibu swali aliloulizwa
"Shikamoo inaniongezea nini mimi Mwane, nataka jibu la swali langu na siyo unanitazama kama ndumi la kuwili hapa?"

"Mimi kaka aliniita tu kunipa maagizo wala sikumwambia kitu chochote, mbona hakuna tulichoongea mimi na yeye dada?"
"Una uhakika?"
"Ndiyo dada"
"Mwane, ujitazame, humu ndani umeingia kwa huruma tu, wadada wenzio hawakaagi humu siku mbili tu wanaondoka kwa sababu huwa sipendagi ujinga na sijuagi kucheka cheka na mjinga hata siku moja"

"Nakuelewa dada"
"Potea, kuna nguo zinakusubiri na kazi zote humu ndani zifanyike sasa hivi, mimi naenda zangu saluni saa hizi"

"Sawa dada" Mwaneke alimuitikia bosi wake huyo akimpita huku akisonywa, Yunisi akarudi chumbani kwake taratibu huku Mwaneke akielekea chumbani kwake na alipofika alikutana na simu yake ndogo 'kiswaswadu' ikiita kitandani akaichukua na kutazama namba ni ya Benson, baba mwenye nyumba, mke wa Yunisi, kabla hajaipokea akaweka koo lake vizuri kwanza akirekebisha sauti kisha akaipokea na kuweka sikioni bila kuzungumza chochote

"Mwane"
"Abee kaka?" aliongea kwa sauti ya kubana, ya kudeka
"Vipi salama, upo nyumbani?"
"Nipo nyumbani kaka"
"Oooh huyo mwanamke yupo?"
"Mwanamke gani kaka?"
"Mke wangu"
"Yupo ila atatoka anataka kwenda saluni nadhani, kwani namba yangu umeipata wapi kaka mbona sijawahi kukupa?"
"Kwani vibaya mimi kuwa na namba yako Mwane?"
"Hamna nimeuliza tu siyo kwa ubaya"
"Nimeipata kwa huyo mwanamke nimeichukua kwenye simu yake"

"Oooh sawa"
"Sasa na wewe mbona namba yangu umeniitikia tu haraka haraka ikionekana kabisa umeisevu, umeipata wapi, kwani nilikupa namba yangu?"

"Aaaamh hamna mimi nimee...nimee.." Mwaneke alishindwa kujibu akijiuma uma maneno tu, akitafuta cha kusema

"Oky tuyaache hao, atarudi saa ngapi huyo aliyeenda saluni?"
"Mh sijajua saa ngapi ila akiendaga saluni mfano saa hizi asubuhi basi kurudi ni saa kumi na mbili jioni au saa moja moja hivi, harudigi mapema kivile"

"Sawa asante" Benson alijibu na kukata simu
"Mh mbona maswali mengi leo huyu mwanaume kulikoni?" Mwaneke aliguna huku akiitazama simu,

"Wewe mjinga mjinga" alikaripiwa akashtuka kutazama mlangoni alimwona Yunisi mke wa Benson akiwa amesimama anamtazama

"Abee dada?"
"Yaani nimekwambia ufanye kazi wewe unaongea na simu na mabebi zako?"
"Hamna ni kaka yangu tu huyu"
"Na hiyo simu ipo siku yake nitaitupa chooni, nguo zinakusubiri nje, haraka sana"
"Sawa dada" Mwaneke alijibu kwa hofu na kutoka haraka haraka akimpita bosi wake huyo mlangoni huku akisonywa, alipotoka nje akakutana na mlima mkubwa wa nguo za mwanamke huyo na mumewe, zikimsubiri, akatoa macho kwa mshangao, zilikuwa nyingi, za kawaida mpaka za ndani...

Benson baada ya kukata simu ya Mwaneke akatabasamu na kuirudisha mezani
"Mbona unafurahi mwenyewe Ben umepata mchepuko nini?" mfanyakazi mwenzake aitwae Kassim alimwuliza
"Hamna, dada wa kazi tu"
"Ndo kakuambiaje tena mpaka ufurahi, umemuelewa nini?"
"Hamna, ila naenda nyumbani saa hizi kuna dharura kidogo"
"Dharura wapi wakati nimekusikia unaongea na simu sijui mkeo anatoka nyumbani hayupo, naona kabaki housegirl peke yake mzee unaenda kujilia vyako"
"Hamna siyo kweli"
"Siyo kweli wapi, wewe nenda kale bwana, kapige vyako, mke akijisahau wewe kung'uta dada wa kazi usirembe bob, ningekuwa mimi nishamla zamani sana, anaonekana kakuelewa huyo" Kassim aliongea kwa msisitizo akimwacha mwenzake huyo anajikuna kichwa akiwa anatafakari cha kufanya

"Sijawahi kuchepuka na kuwaza ujinga kama huu lakini safari hii itabidi tu" aliongea akifunga laptop yake na kuinuka akichukua ufunguo wa gari, safari tayari kuelekea nyumbani...

Maoni

You're not logged in


Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 02

TAMU YA HOUSEGIRL

SEHEMU YA 02

"Dada shikamoo" Mwaneke alimsalimia bosi wake huyo badala ya kujibu swali aliloulizwa
"Shikamoo inaniongezea nini mimi Mwane, nataka jibu la swali langu na siyo unanitazama kama ndumi la kuwili hapa?"

"Mimi kaka aliniita tu kunipa maagizo wala sikumwambia kitu chochote, mbona hakuna tulichoongea mimi na yeye dada?"
"Una uhakika?"
"Ndiyo dada"
"Mwane, ujitazame, humu ndani umeingia kwa huruma tu, wadada wenzio hawakaagi humu siku mbili tu wanaondoka kwa sababu huwa sipendagi ujinga na sijuagi kucheka cheka na mjinga hata siku moja"

"Nakuelewa dada"
"Potea, kuna nguo zinakusubiri na kazi zote humu ndani zifanyike sasa hivi, mimi naenda zangu saluni saa hizi"

"Sawa dada" Mwaneke...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/tamu-ya-housegirl-sehemu-ya-02

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi tamu-ya-housegirl-sehemu-ya
TAMU YA HOUSEGIRL  SEHEMU YA 01
TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 01
TAMU YA HOUSEGIRL  SEHEMU YA 03
TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 03
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

864
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

666
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

542
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

338
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

164
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

120
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

108
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

100
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

9

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.53K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY 🦋 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee “ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest