Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

TAMU YA HOUSEGIRL  SEHEMU YA 03
Gonga94 ยท Stories

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 03

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
TAMU YA HOUSEGIRL

SEHEMU YA 03

****

Dada wa kazi (housegirl) Mwaneke alianza kufua furushi kubwa la nguo alilotolewa nje, likijumuisha nguo za wanafamilia wote, mama, baba na watoto wao wawili, kuanzia nguo za nje mpaka nguo za ndani, kazi aliyopewa na mama mwenye nyumba hiyo, mwanadada Yunusi ambae hajui kazi yoyote ya ndani zaidi ya kujipodoa na kula na kulala na hata mapishi huwa hagusi kabisa jikoni, akatoka akisimama mlangoni kumtazama dada wa kazi (housegirl) huyo anavyohangaika na nguo

"Eeh hapa kazi tu hakuna kulala, hakuna hela inayotoka burebure, umeomba kazi, fanya kazi" alimwambia

"Sawa dada" Mwaneke aliitikia huku akizichambua chambua nguo akitafuta za kuanza nazo hasa nyepesi

"Na ufue vizuri hizo nguo zote ziishe na zitakate, siyo ilimradi tu" mwanadada huyo alimjibu huku akimpita akiwa tayari ameshajiandaa, akielekea getini kwa ajili ya kutoka, bajaji ikiwa imeshafika inamsubiri,

"Hivi huyu mwanamke anajionaje kwa mfano?" Mwaneke alimtazama bosi wake huyo mpaka alipoondoka, akazitupa nguo hizo akizichambua chambua kwa hasira na kuzitapanya kisha akasimama huku akiwa amejishika kiuno akishusha pumzi

"Nimekwambia mimi si unajifanya mjuaji, kazi kwako, fua hizo, ungenikubalia ningekusaidia tungefua moja baada ya nyingine kwa mahaba kabisa mpaka tungemaliza" mlinzi alimwambia, Mwaneke akamgeukia akimtazama kwa kumpandisha na kumshusha

"Nani aliyekwambia nataka msaada wako, nani mimi, thubutu, ni heri niziache tu bila kuzifua kuliko kusaidiwa na wewe mtu usiye na mbele wala nyuma"

"Mimi na wewe Mwane ni nani asiye na mbele wala nyuma, ungekuwa una mbele wewe ndo ungefulishwa minguo yote hiyo hahaha"

"Eeh naifua ndiyo, ila siku si nyingi utajua nguvu ya mwanamke siyo kama yako wewe mwanaume, na utajuta kunichukulia poa"
"Thubutu, unaota ndoto za mchana"
"Eeh nitakutuma kuanzia maji mpaka unipeleke chooni kwa kunibeba mgongoni"

"Unaleta dharau Mwane, usinichukulie poa, mimi nikubebe wewe na upara wako huo?" mlinzi alishikwa na hasira baada ya vita ya maneno aliyoianzisha kuanza kumshinda

"Eeh kwani si nitakulipa"
"Acha dharau nitakupiga" mlinzi alilivuta gauni la Mwaneke
"Hebu niache utanichania gauni langu" alijitahidi kujitoa mikononi mwa mlinzi huyo kwa bahati nzuri honi ya gari ilisikika getini

"Wewe bahati yako, ningekupasua, sipendi dharau mimi" mlinzi alimuonya huku akiliachia gauni lake
"Si umechokoza nyuki mwenyewe, acha wakuume, mwehu nini?" Mwaneke aliliweka weka vizuri gauni lake huku honi ikiendelea kupigwa mfululizo getini, mlinzi akakimbilia geti na kulifungua, lilikuwa gari la Benson, baba mwenye nyumba ambae alishusha kioo cha dirisha na kumkata jicho mwanaume huyo

"Siku hizi umekuwaje, umeshaichoka kazi?"
"Hamna bosi, nilikuwa chooni"
"Kama umeshindwa kazi sema atafutwe mtu mwingine anayejua majukumu yake"
"Hapana bosi, naweza majukumu, samahani" mlinzi alijibu huku akijikuna kwa wasiwasi, gari hilo dogo likampita taratibu na kuegeshwa huku Mwaneke akiwa hayupo pale nje tayari ameshakimbilia ndani asionwe na mwanaume huyo, baba mwenye nyumba, alikuwa chumbani kwake ameacha mlango wazi huku akiwa ameishika nguo ya ndani (boksa) ya mwanaume huyo mikononi na yeye mwenyewe alishalivua gauni lake kubwa na pana alilolivaa akijifunga upande wa khanga moja nyepesi mwilini, akimchungulia kupitia dirishani

"Leo lazima aingie kwenye kumi na nane zangu" aliongea na kusogea mlangoni wakati huo Benson alikuwa ameingia sebuleni akitokea nje

"Mwane, Mwane?!" aliita bila kujibiwa, alipokatiza mlangoni kwa mwanadada huyo dada wa kazi (housegirl) akamkuta amesimama huku ameishika boksa yake mikononi, akajibanza asionwe na kumchungulia ili kujua kinachoendelea, akimtazama msichana huyo kuanzia chini mpaka juu, kijikhanga chepesi alichojifunga na jinsi nyuma alivyovimbiana na Mwaneke alishajua kuwa bosi wake huyo yupo mlangoni amejificha anamchungulia lakini akijifanya kama hajamwona bado

"Benson nakupenda sana na ndiyo maana naumia mkeo asipokujali, sijajua kama hakujali nje tu au mpaka huko chumbani kitandani, yaani boksa yako hii mpaka nimekuja nayo chumbani, nikiitazama najisikia kulowa lowa tu kwa jinsi navyokupenda wewe baba" aliongea mwenyewe huku akiigeuza geuza boksa ya mwanaume huyo na kuibusu, Benson mwenyewe akishuhudia, Mwaneke hakuishia hapo akaishika boksa hiyo na kuiingiza ndani ya khanga yake katikati ya mapaja akijipapasia papasia huku akiguna guna kimahaba na kufumba macho kabisa akijitekenyea tekenyea kwenye uch** wake, kitendo kilichomvuruga zaidi mwanaume huyo ambae alijikuta akijishika shika zipu ya suruali yake akijipapas** papas** Jogoo'????wake aliyekuwa ameshasimama tayari na akashindwa kujizuia na kujitokeza kabisa

"Mwane!" alimwita msichans huyo aliyeshtuka na kulisitisha zoezi hilo, akiificha boksa nyuma mgongoni
"Kaka?!"
"Unafanya nini?" alimwuliza huku akipiga hatua kumkaribia, akiingia chumbani
"Nilikuwa nachukua nguo yako tu nikafue na..." kabla Mwaneke hajamaliza sentensi yake alijikuta tayari ameshashikwa kiunoni na mwanaume huyo

"Usinidanganye Mwane nimeona kila kitu" alimjibu na kuanza kumbusu busu shingoni, tayari uchu wa tendo ukiwa umempanda mpaka kichwani

"Kaka jamani niache?!" Mwaneke alilalamika akasukumwa mzima mzima akiangukia kitandani kwake....
Tangazo - ila baba mkwe full Epsode
ila baba mkwe full Epsode
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 03

TAMU YA HOUSEGIRL

SEHEMU YA 03

****

Dada wa kazi (housegirl) Mwaneke alianza kufua furushi kubwa la nguo alilotolewa nje, likijumuisha nguo za wanafamilia wote, mama, baba na watoto wao wawili, kuanzia nguo za nje mpaka nguo za ndani, kazi aliyopewa na mama mwenye nyumba hiyo, mwanadada Yunusi ambae hajui kazi yoyote ya ndani zaidi ya kujipodoa na kula na kulala na hata mapishi huwa hagusi kabisa jikoni, akatoka akisimama mlangoni kumtazama dada wa kazi (housegirl) huyo anavyohangaika na nguo

"Eeh hapa kazi tu hakuna kulala, hakuna hela inayotoka burebure, umeomba kazi, fanya kazi" alimwambia

"Sawa dada" Mwaneke aliitikia huku akizichambua chambua nguo...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/tamu-ya-housegirl-sehemu-ya-03

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi tamu-ya-housegirl-sehemu-ya
TAMU YA HOUSEGIRL  SEHEMU YA 02
TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 02
TAMU YA HOUSEGIRL  SEHEMU YA 01
TAMU YA HOUSEGIRL SEHEMU YA 01
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

10.14K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.27K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.48K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

2.57K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.31K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.12K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.11K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.04K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

1.96K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest