Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

TAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 01
Gonga94 · Stories

TAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 01

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
TAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????

SEHEMU YA 01

Nikiwa ndio mara yangu yakwanza kuingia ofisini yaani ndio nimeajiliwa tuu hakika nilikutana nawatu wakila aina pale ofisini????????????

Walikuwa kilammoja na tabia zake wasichana niwarembo haswa na wanamagari yao????????

Mimi hata baiskeli sina nilikuwa najiona waajabu wahadhi ya chini mnoo????????

Basi nilipangiwa kitengo changu cha kazi nikafunga moyo sikujali mtu nilipiga kazi bila kumtizama mtu yeyeto????????????

Walinipenda kwakuwa nilikuwa nikitumwa na mtu yeyote sijawahi kumgomea ????????

Wengine walikuwa wananipa kazi zao nawafanyia sijawai hata kuwakatalia ????????

Japo kuwa walinidharau na kuniona kama house girl ila sikujali walinituma tuma hovyo wala sikujali..

Nilikuwa naenda kwa furaha sijawahi kumnunia mtu au kumchukia mtu????????

Nikiwa kazini pale siku hiyo nilikuwa nimechoka choka nika jikuta natafuta sehem nijipumzishe

Nikaenda kukaa kwenye packing ya magari nikaegemea gari moja zuri sana lakifahari????????

Alikuja mbaba mwenye hiyo gari nimbaba wa kiarabu mrefu kidogo anamwili wa wastani anabody nzuri hivi ????????????

Alipofika akaniona akaniuliza unafanya nini hapa

Niliogopa nikamjibu samahani nilikuwa kichwa kinaniuma nikaona nipumzike hapa ????????

Akaniambia kwanini usimwambie matron wenu huko akuruhusu uende nyumbani ukapumzike

Nilimjibu sawa nitafanya hivyo ila sio tatizo kubwa sana ngoja niende ofisini ????????

Niliondoka haraka na kwenda zangu ofisini

Lakini yule baba alinitizama sana nikiondoka nabaada ya hapo aliondoka

Nikiwa ofisini alikuja mkaka mmoja akaniita na kisha akaniuliza unaitwa nani

Nilimjibu naitwa Natasha

Akaniuliza unaishi wapi

Nilimjibu naishi buguruni rozana

Akaniuliza hapa upo kitengo gani

Nikamwambia kitengo changu

Kisha akaniambia niandike namba yangu ya sim kwenye karatasi nimpe????????????

Sikuogopa kwakuwa alikuwa nikiongozi wetu hivyo nilimwandikia na nilimjiibu kila alichoniuliza

Kisha aliniruhusu niende kwenye kitengo changu

Nilifanya kazi zangu vizuri nakisha muda wakutoka ulipofika niliondoka nyumbani

Nilikuwa hivyo kila siku pale kazini nanidham na upendo sijawahi mdharau mtu

Ila wao ndio wananidharau mimi wananionaje sijui vile sijirembi nawala sijishaui

Basi bwana sikuhiyo kulikuwa na sherehe ofisini walisuka vizuri walipendeza sana wadada wakaka pia ????????

Namimi sikuhiyo nilisuka notres na kujipodoa pia nilivaa gauni nzuri ilinishika kishepu changu????????

Nilipendeza sana nilivaa kiatu kirefu na nilikuja na bajaji niliingia kama wa mwisho hivi ????

Watu wote walishindwa kunitambua kwa haraka walinisifia na kujiuliza nanihuyu ????????

Nilipendeza sana kila mtu alitaka kucheza na mimi

Wakaingia viongozi kuanzia meneja hadi mkurugenzi bodi nzima ya viongozi????????

Tuliikaribisha kisha sherehe ilianza na alisimama meneja na kutoa nasaha zake na kuelezea manufaa ya kampuni na hasara ????????

Kisha tulipongezwa kwa kuwa na manufaa makubwa baada ya hapo alikaribishwa mkurugenzi mkuu ambaye watu wengi hawakuwa wanamjua

Akasimama yule mbaba niliekuwa nimeegemea gari yake ????????????

Watu wote walishangaa na wasichana kumsifia hakika ni handsome wamaana ????????????

Alikua nimtu mzima kiasi ila anaejijali nimwarabu mwenye pesa nyingi

Aliongea hapo na kutupongeza sana kisha aliruhusu sherehe ianze watu wale chakula wanywe na kucheza mziki watu wewe????????????

Tulikula chakula watu walikunywa mivinyo nakucheza mziki sana kila mtu alikuwa na wake hahahaaa????????

Mimi nilichukua juice yangu nikawa na kunywa zangu taratibu peke yangu huku natizama muda nisichelewe nyumbani si mnajua sinaga usafiri my wenu na usiku ukiwa mwingi nitazikosa bajaji????

Nikiwa nipo mwenyewe ghafla????????alikuja kiongozi wa tim yetu???????? akaniita na kuniambia unaitwa huku naomba unifuate

Nyieeeeee????????nani huyo ananiita????????

Niliinuka na kinywaji changu nikamfuata jamaa alinipeleka kwa nyuma kunasehem imejificha sana na pia imetulia sana????????

Mama weeee mbona huku tenaaa????????kunaniiiii..

Itaendeleaaaa...

Full 1000

WhatsApp 0742133100
Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

TAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 01

TAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????

SEHEMU YA 01

Nikiwa ndio mara yangu yakwanza kuingia ofisini yaani ndio nimeajiliwa tuu hakika nilikutana nawatu wakila aina pale ofisini????????????

Walikuwa kilammoja na tabia zake wasichana niwarembo haswa na wanamagari yao????????

Mimi hata baiskeli sina nilikuwa najiona waajabu wahadhi ya chini mnoo????????

Basi nilipangiwa kitengo changu cha kazi nikafunga moyo sikujali mtu nilipiga kazi bila kumtizama mtu yeyeto????????????

Walinipenda kwakuwa nilikuwa nikitumwa na mtu yeyote sijawahi kumgomea ????????

Wengine walikuwa wananipa kazi zao nawafanyia sijawai hata kuwakatalia ????????

Japo kuwa walinidharau na kuniona kama house girl ila sikujali walinituma tuma hovyo wala sikujali..

Nilikuwa naenda kwa furaha sijawahi kumnunia mtu au kumchukia mtu????????

Nikiwa kazini...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/tamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya-01

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi tamuuuuu-kama-chocolate-sehemu-ya
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 13"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 13"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 12"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 12"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????   SEHEMU YA 03"& 04"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 03"& 04"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 08"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 08"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????  SEHEMU YA 9&10"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 9&10"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE????????  SEHEMU YA 07"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE???????? SEHEMU YA 07"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 11"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 11"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ????????  SEHEMU YA 02
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ???????? SEHEMU YA 02
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ?   SEHEMU YA 05" & 06"
MTAMUUUUU KAMA CHOCOLATE ? ? SEHEMU YA 05" & 06"
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

678
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

412
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

288
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘

288
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87

236
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

135
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

132
REAL LOVE  Chapter 12

REAL LOVE Chapter 12

46
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5  ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)

🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5 ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)

19

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.85K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5  ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI) Post Mpya
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5 ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)
@majario LIVE

SEHEMU YA KWANZA 😭😭 Acha nilie alafu ninyamaze duku duku langu nilimalize maana najiuliza maswali magumu sana ivi serekali inajua hawa wahindi wanatufanyisha kazi za ndani raia wa nchi hii...

REAL LOVE  Chapter 12 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 12
@majario LIVE

kitendo cha fahima kushikwa na seven. kiliwakera sana walikasirika ghafla tu lakini fatuma hakusahau dhamira yake akatoka haraka mpaka kwa fahima na kumsaidia kumshika mkono mwingine lakini mzee fahad akamkemea kabisa "wewe...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Basi mimi nilikaa home siku 3. Nikapigiwa simu ya kwenda kusaini mkataba katika iyo bank. Na kweli nilienda nikasaini mkataba wa miaka 2. Na mshahara ulikuwa ni mrefu sana ....

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Daaah yani sikuwa naelewa nifurahi pale . Ama ninune. Yani nilikuwa katika hali ambayo ata siielew. Basi zayd akanishika mpaka karibu na ile gari kabisa. Akafungua milango na nikaona...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘
@majario LIVE

Nilitoka kule ndani kwa Tristan bila hata kuwaaga🙈🙈 wenyewe walikuwa wako busy kubebishana😆 nilichukua usafiri nikaenda hadi maeneo ya kule nyumbani kwa Hemed ilikuwa ni mida kama saa tano sita...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest