Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
30 Nov -0001
19 views
VYOTE NDANI GONGA94
WACHEZAJI WANADAI PESA NDEFU SANA
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
WACHEZAJI WANADAI PESA NDEFU SANA
Siyo wanadai Pesa tu,bali ni pesa Nyingi sana na Bonus Nyingi ambazo ni Sehemu ya Mikataba yao, Bonus zingine zilikuwa ni Sehemu ya Ahadi walipokuwa group Stage
Miezi miwili sasa Hawajalipwa Mishaara yao Ambayo ni Haki ya Kimkataba na Bonus wachezaji hao wanadai Bonus Nyingi Taangu wakiwa wanacheza Group Stage Mechi dhidi ya Tp Mazembe pale Congo, Mechi ya marudiano Benjamin Mkapa Dhidi ya Tp Mazembe pia waliaahidiwa Bonus Kubwa, Tajiri alitoa Pesa Yote ya Bonus ila haikuwafikia Wachezaji hadi Leo.
Pia Kuna Bonus za Ligi kila baada ya Kushinda Mechi kadhaa kwenye ligi huwa wanapewa kulingana na Mikataba yao.
Boss alishatoa Bonus zote na Mishaara ya yote Lakini hakuna pesa yoyote iliyowafikia Wachezaji.
Pesa Haijulikana imeenda Wapi na Rais Ndiye aliyekabiziwa Mzigo wote wa maokoto.
Chanzo changu cha Uhakika cha Taarifa kimeniambia Rais anaogopa hata kufika Kambini kuonana na Wachezaji Wake,Usalama Kambini ni Mdogo sana wachezaji wanataka kulipwa Pesa zao.
Mwanasheria wa Club aliyejiuzuru aliomba kulipwa Stahiki zake Lakini WACHEZAJI WANADAI PESA NDEFU SANA
Siyo wanadai Pesa tu,bali ni pesa Nyingi sana na Bonus Nyingi ambazo ni Sehemu ya Mikataba yao, Bonus zingine zilikuwa ni Sehemu ya Ahadi walipokuwa group Stage
Miezi miwili sasa Hawajalipwa Mishaara yao Ambayo ni Haki ya Kimkataba na Bonus wachezaji hao wanadai Bonus Nyingi Taangu wakiwa wanacheza Group Stage Mechi dhidi ya Tp Mazembe pale Congo, Mechi ya marudiano Benjamin Mkapa Dhidi ya Tp Mazembe pia waliaahidiwa Bonus Kubwa, Tajiri alitoa Pesa Yote ya Bonus ila haikuwafikia Wachezaji hadi Leo.
Pia Kuna Bonus za Ligi kila baada ya Kushinda Mechi kadhaa kwenye ligi huwa wanapewa kulingana na Mikataba yao.
Boss alishatoa Bonus zote na Mishaara ya yote Lakini hakuna pesa yoyote iliyowafikia Wachezaji.
Pesa Haijulikana imeenda Wapi na Rais Ndiye aliyekabiziwa Mzigo wote wa maokoto.
Chanzo changu cha Uhakika cha Taarifa kimeniambia Rais anaogopa hata kufika Kambini kuonana na Wachezaji Wake,Usalama Kambini ni Mdogo sana wachezaji wanataka kulipwa Pesa zao.
Mwanasheria wa Club aliyejiuzuru aliomba kulipwa Stahiki zake Lakini Ofisi ya Mh Rais ilisema haiwezi kumlipa kwasababu hajawahi Kushinda kesi Yoyote ya Club,kaambiwa kitengo chake cha Sheria Ndani ya Club kimeingiza Club kwenye Hasara Hivyo hatalipwa pesa yoyote.
MOTO UNAWAKA MKIONA MOSHI WA MWEUSI UMETOKA NJE MJUE WANATAKA PESA ZAO. chake cha Sheria Ndani ya Club kimeingiza Club kwenye Hasara Hivyo hatalipwa pesa yoyote.
MKIONA MOSHI WA MWEUSI UMETOKA NJE MJUE WANATAKA PESA ZAO.
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Stephen Azizi Ki na Thembinkos Lorch wametoa somo kwa wachezaji kwamba soka ni Karia ya muda mfupi ukipata fulsa itumie mapema.
Nyota Hawa wawili wameondoka Wydad Casablanca na kufuata pesa nyingi zaidi kule Al Ittihad ya Libya. Lorch na Azizi Ki ...
Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA
WACHEZAJI WANADAI PESA NDEFU SANA
WACHEZAJI WANADAI PESA NDEFU SANA
Siyo wanadai Pesa tu,bali ni pesa Nyingi sana na Bonus Nyingi ambazo ni Sehemu ya Mikataba yao, Bonus zingine zilikuwa ni Sehemu ya Ahadi walipokuwa group Stage
Miezi miwili sasa Hawajalipwa Mishaara yao Ambayo ni Haki ya Kimkataba na Bonus wachezaji hao wanadai Bonus Nyingi Taangu wakiwa wanacheza Group Stage Mechi dhidi ya Tp Mazembe pale Congo, Mechi ya marudiano Benjamin Mkapa Dhidi ya Tp Mazembe pia waliaahidiwa Bonus Kubwa, Tajiri alitoa Pesa Yote ya Bonus ila haikuwafikia Wachezaji hadi Leo.
Pia Kuna Bonus za Ligi kila baada ya Kushinda Mechi kadhaa kwenye ligi huwa wanapewa kulingana...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/wachezaji-wanadai-pesa-ndefu-sana
Maoni