Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA  Sehemu ya ,,,,, 8
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
WATOTO MAPACHA
Sehemu ya ,,,,, 8

Sasa humo ndani pakawa mtafutano ,,

Celena akimpiga Stefano, Stefano nae hakubali anamrudishia halafu anakimbia , wakakimbizana mpaka jikoni ,Stefano akapanda juu ya meza ya vyombo kwa bahat mbaya akateleza na vyombo vikaanguka na grass moja ya udongo ikapasuka , Celena akakimbilia kwa mama yake Stefano ,
" Mamaa Stefano kavunja grass ,"
Celena aliongea kwa kudeka , mpaka mama Stefano akawa anamshangaa ,na alikuwa anajiuliza huyu mbona sio Celina ,? Maana kinachowatofautisha Celina na Celena ni tabia , Celina hapendi michezo ye ni mtu wa vitendo ,alimaliza kula atatoa vyombo afagie na akavioshe , sasa Celena hata kutoa vyombo hajatoa tayari wamekimbizana na Stefano, na hata hivyo Celina nguo zake ni chafu chafu , huyu nguo zake ni safi na zinanukia kabisa kama mtoto anaeishi maisha ya kitajiri,
" Mamaa nimeteleza bahati mbayaa ,"
Alijitetea Stefano,
" Mamaa huyu Stefano muongo alipanda juu ya meza , akalipiga teke beseni "
Celena bado alimsemea mwenzako ,
" Basi wanangu tutanunua grass nyingine "
Aliongea mama Stefano ,huku akiwaza kuwa akija mumewe lazima amwambie kioja cha leo ,
Celena aliyafurahia maisha ya kwa kina Stefano kuliko yale yakule kwao ya kitajiri,
Japo ni kwa muda mfupi lakini aliinjoi mpaka akaona ni bora hapo ndo pangekuwa kwao ,
Turudi huku alipoletwa Celina ,ye alikuwa mgeni Sana kwenye jumba hilo , kila akiangalia mazingira alijihisi tofauti sana ,ndani ya jumba hilo kulikuwa na kila kitu Cha kupendeza ,

"Wee Celena mbona unashangaa tu ,,? Kabadilishe hizo nguo nizifue,,""
Mfanyakazi mmoja ambae Celena alizoea kumuita anti alimwambia Celina akijua ni Celena ,

""Chumba cha Celena kiko wapi""?
Celina aliuliza na kumfanya yule mfanyakazi kumcheka ,

"Inamaana leo hii hukijui chumba chako ,,""??
Yule mfanyakazi alimuuliza Celina, ye akijua anaongea na Celena ,

"Sikijui nimekisahau ,,"

""Haya twende chumbani kwako ""
Yule mfanyakazi alimshika mkono Celina akijua anamfanyia utani kumbe nikweli Celina hajui kitu kwenye nyumba ile .

""Haya ingia humu,,""
Celina aliingizwa kwenye chumba cha Celena ,

Chumba cha Celena kilipambwa na picha za ukutani za aina mbali mbali ,midoli ya kuvutia ,hakika hicho chumba kilipendeza ,picha za Celena akiwa na wazazi wake ,picha za Celena akiwa mdogo mpaka amekuwa mkubwa ,zilikuwa zimewekwa ukutani zilipendezesha chumba hicho ,

"We vipi leo ,,""? Mbona unashangaa chumba chako ,,""?
Yule ant alimuuliza Celina ,
Celina akajifanya kuzuga tu ,akabadilisha nguo na kuvaa za Celena ,hapo ndo akaonekana Celena mtupu ,

" Huyo Celena akija sijui itakuwaje ,,""
Aliwaza Celena huku akijiangalia alivyopendeza ,
Aliangalia picha za Celena alishangaa kabisa maana ni yeye mtupu ,
Akaanza kuzurula humo ndani bila mtu yoyote kumstukia , maana mama yake na Celena alikuwa bado kalazwa hospital, kwa hiyo ndani ya jumba hilo walibaki wafanyakazi tu maana hata baba Celena alikuwa kazini ,
Huku kwa kina Stefano ,
Celena kutokana na utoto na kuzidiwa na michezo akajikuta analala kule kwa kina Stefano huku wazazi wa Stefano wakijua mtoto huyo mama yake ni kichaa hivyo hata akilala pale hatatafutwa , baba Stefano alirudi nyumbani ,na mama Stefano akamuhadisia kilichotokea siku hiyo , lakini kwa vile ilikuwa usiku na aliwakuta watoto wameshalala , baba Stefano akamwambia kuwa labda itakuwa Leo alichangamka tu ,maana haiwezekani mtoto kufanana kiasi kile , na hata ingekuwa sio yeye huyu ni lazima angeonesha ugeni ,hivyo akapuuzia na kulala ,

Kule Celina nae alishangaa huyu Celena mbona harudi nyumbani kwao ,maana yeye ndo alikuwa anataka amuone ,akajikuta anakula na kulala sehemu nzuri sana ,asubuhi aliamshwa na akaandaliwa kwa ajili ya kwenda shule , alivalishwa nguo nyingine za shule na akapakiwa kwenye gari akapelekwa shule anayosoma Celena , na akashushwa bila yeyote kugundua kuwa sio Celena ,akaingia darasani kama kawaida huku akijua lazima huyo Celena aje na wataonana tu ,

Kule nyumban kwa kina Stefano Celena nae alijiandaa na nia yake ni kwenda kwenye shule ya kina Stefano akamuone Celina ,wakaongozana na Stefano mpaka shuleni kwao nae akaingia darasani na hakuna mtu aliestuka kuwa yule sio Celina ,hata mwalimu alifundisha na akaambiwa Celena akusanye daftari , na azipeleke ofisin , na kweli Selena alikusanya daftari kwa wanafunzi wenzake na kuzipeleka ofisini ,

Celina alikuwa kule kwenye shule ile ya kina Celena akapata wazo la kutoroka ili aende kule shuleni kwao , na kweli akatoroka ,
Akaja mpaka shuleni kwao ,

kuna mwalimu mmoja wa kiume akaingia ofisini humo , cha ajabu mwalimu huyo akaanza kumshangaa Celena ,
"We umefikaje humu ofisini ," ?
Yule mwalimu alipouliza walimu wakashangaa ,
"Kwan vip " ?
Mwalimu alimuuliza mwalimu mwenzake ,
" Huyu nimemkuta nyuma ya shule na nikamwambia aingie darasani yaani sasa hivi "
Celena aliposikia hivyo akajua alionekana ni Celina inamaana Celina amekuja shuleni hapo akaachia madaftar na kutoka spidi nia ni kumuona huyo aliefanana na yeye , mwalimu nae akatoka sped walimu nao wakapigwa na mshangao nao wakafuata nyuma , nia Celena ni kukutana na Celina maana Kama wamefanana kiasi hicho Cha watu kushindwa kuwatofautisha inamaana basi Kuna undugu uko hapo , Celena akapiga Kona ya kwanza tu na akashangaa ,,,

je wakikutana itakuwaje,,?
KUMBUKA STORY HII UTAIPATA YOTE MWANZO MWISHO KWA ELFU MOJA TU 0655772653 NJOO WHTSAP

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,, 8

WATOTO MAPACHA
Sehemu ya ,,,,, 8

Sasa humo ndani pakawa mtafutano ,,

Celena akimpiga Stefano, Stefano nae hakubali anamrudishia halafu anakimbia , wakakimbizana mpaka jikoni ,Stefano akapanda juu ya meza ya vyombo kwa bahat mbaya akateleza na vyombo vikaanguka na grass moja ya udongo ikapasuka , Celena akakimbilia kwa mama yake Stefano ,
" Mamaa Stefano kavunja grass ,"
Celena aliongea kwa kudeka , mpaka mama Stefano akawa anamshangaa ,na alikuwa anajiuliza huyu mbona sio Celina ,? Maana kinachowatofautisha Celina na Celena ni tabia , Celina hapendi michezo ye...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-sehemu-ya-8

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-sehemu-ya
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,4
WATOTO MAPACHA     Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,7
WATOTO MAPACHA ,  Sehemu ya ,,,,,. 5
WATOTO MAPACHA , Sehemu ya ,,,,,. 5
watoto MAPACHA  Sehemu ya ,,,,,,2
watoto MAPACHA Sehemu ya ,,,,,,2
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA Sehemu ya """""1
WATOTO MAPACHA   Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,, 6
WATOTO MAPACHA        sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA sehemu ya 14
WATOTO MAPACHA  Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA Sehemu ya 10
WATOTO MAPACHA       sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA sehemu ya 15
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA Sehemu ya ,,,,,. 9
WATOTO MAPACHA                            SEHEMU...
WATOTO MAPACHA SEHEMU...
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

739
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

694
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

527
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18

420
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*

266
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

175
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20

152
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

104
BLACK BUTTERFLY 🦋 5

BLACK BUTTERFLY 🦋 5

71
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

12

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.49K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.64K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.56K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.52K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16&17*
@majario LIVE

Sikujua kam nililala pale mpaka asubuhi, tena nimelala kana kwamba pale ni nyumbani kwetu jamni nilikuja kushtuka tena baada ya kupigiwa simu, jamni si ndio naamka najikuta nipo kwenye chumba...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest