Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 33πŸ’˜πŸ’˜
Gonga94 Β· Stories

AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 33πŸ’˜πŸ’˜

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

Baada ya kumkuta hakim akiwa na boxa peke yake nilitoa machoπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† hee ana limutango yule jamaaa nilichokifanya nilijidondosha chini nikajidai nimezimia🀣🀣 nilimuomba mungu kimoyomoyo anisaidie niweze kubana pumzi kwa muda mrefu😹😹😹 baada ya kudondoka hakim alikimbia kuja kuniokota pale chini alifika akanibeba akaniinua pale chini akanilaza kitandani alikuwa ananiita na kuniomba msamaha alinitikisa tikisa sana lakini sikuamka🀣🀣 nyie ila kubana pumzi ni kaziπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† nilikuwa nategeshea muda anaonitikisa tikisa ndo na mimi navuta pumzi chapuπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† alivyoona siamki alichukua simu akaanza kutafuta usafiri zile tax za online nahisi alikosa tax akaamua kuvaa nguo akafungua mlango akatoka vile ametoka tu mimi nilichukua nguo haraka nikavaa vitu vyangu vingine niliviacha kule chumbani sikukumbuka kubeba kitu zaidi ya kujiokoa tu kutoka mikononi mwa hakim! Nilifungua mlango taratibu nikatoka kule chumbani nilianza kushuka chini lakini nilihofia kukutana na hakim make alishuka chini kutafuta usafiri! Nikiwa nimeganda pale nawaza pa kuelekea nilimsikia hakim kwa mbali akiwa anaongea na cm ni kama vile anikuwa anaongea na dreva tax akawa anamwelekeza pale hotelini......

Niliwaza pa kwenda ni wapi nikiangalia vyumba vyote pale vimefungwa na ni usiku sana nilichokifanya nilirudi chumbani haraka nikapanga mito pale kitandani then nikaifunika blanket baada ya hapo nilijificha kule nyuma ya mlango ili hakim akija akifungua mlango akipiga jicho kitandani akiiona ile mito atajua ni mimi hivyo ataelekea kitandani mojo kwa moja na mimi nitapata muda wa kukimbia hakim alifika pale mlangoni akafungua mlango haraka akakimbilia pale kitandani vile ameingia mimi tayari nilikuwa nimeshauchomoa ufunguo niko nao mkononi nilitoka haraka nikamfungia hakim kule chumbani funguo nikakimbia nazo ili asijefunguliwa kabla cjafika mbali nilifanikiwa kutoka nje ya ile hotel.....

Nilikimbia umbali mrefu kutokea kule hotelini tulipokuwepo nilifika katika mtaa fulani hivi kulikuwepo na jengo moja la ghorofa ambalo lilikuwa halijaisha nilikaa pale usiku mzima baridi ilikuwa ni kali sana nilikaa hadi pakakucha sikuwa na pesa zozote zile nilichokifanya baada ya kupambazuka nilienda katika nyumba moja nikagonga getini alikuja kunifungulia kaka aliyejitambulisha kwa jina hemed alinikaribisha ndani kisha akaniuliza vipi una shida gani nikusaidie nini vipi tunafahamiana?! Nilimwambia mimi naitwa Recho ni mwenyeji wa jijini dar nilikuja huku kwa ajiri ya kutafuta kazi nakuomba kama hautojali uweze kunipatia kazi yoyote..... kazi gani unataka?! Yoyote tu kaka yangu....na mbona hauna mzigo wowote hata bag la nguo?! Niliibiwa vitu vyote etπŸ₯ΉπŸ₯ΉJana nilopofika zanzibar sikuwa na sehemu ya kufikia usiku ulipoingia nilijilaza nje katika jengo moja ambako nilivamiwa na vibaka wakanitoa kila kituπŸ₯ΉπŸ₯Ή nilidanganya hadi nikalia vyote nilifanya ili kujitilisha huruma kwa hemed ili anipatie msaada alinikaribisha ndani kwake nikaket sebleni yeye alikuwa yuko nje anaimwagilia maji bustani yake ya maua alimaliza kumwagilia akarudi ndani alinihoji vimaswali pale nikawa namdanganya lakini alinihurumia akaniruhusu nikae naye pale nyumbani kwake hemed alidai ya kwamba yeye zanzibar huwa anakujaga tu vocation akiwa yuko likizo kazi zake huwa anafanyia usa....tulifahamiana kijuujuu japo mimi kila kitu nilimdanganya sikumwambia ukweli juu ya kile kilichonikuta kwa kuwa bado ilikuwa ni asubuhi sana hemed alinionyesha chumba cha wageni akaniambia niende nikaoge kisha nipumzike.... nilimwambia asante niliingia kule chumba ni chumba kikubwa kizuri sana niliingia washing room nikaoga baada ya hapo nilingia kulala..... nililala hadi mida ya saa tano asubuhi nikagongewa mlango nikaamka kwenda kufungua alikuwa ni hemed aliniuliza vipi unajisikiaje bado una usingizi?! Hapana kaka niko sawa usingizi umeisha..... niite hemed karibu tunywe chai utalala badae tena.... niliongozana naye kwenda mezani tuliletewa chai tukanywa aliyeleta chai ni mkaka hivi nazani ni house boy kule ndani baada ya chai hemed aliniomba nimwandikie mahitaji ya vitu ninavyovihitaji ili akitoka mjini anichukulie au kama vipi tunaweza kutoka wote alinimbia.... hapana hemed kwa leo siwezi kutoka lbda siku nyingine.... nilimwandikia kila kitu nikampatia kile kikaratasi akaondoka nilitoa vyombo mezani nikapeleka jikoni nikajipa majuku ya kuviosha kwa muda huo Idris alikuwa kaenda kumfungulia hemed geit! Hehehe jamani weye ni mgeni et ungeviacha tu mimi ningeosha... aliniambia idris baada ya kunikuta nikiwa naosha vile vyombo.... ucjali idris hata mimi naweza wacha nikusaidie......

Nilimaliza kuosha vyombo huku nikiwa napiga story mbili tatu na idris kule jikoni nilimuomba anisaidie dawa za maumivu make mwili wote ulikuwa unauma..... aliniletea dawa nikanywa baada ya hapo nilienda sitting room kuangalia movie.... ile nyumba ni jumba kubwa sana la kifahari na kule ndani alikuwa anakaa idris tu make hemed huwa anakuja likizo tu na kuondoka likizo ikishaisha..... tuliendelea kuwatch movie huku tukiwa tunapiga story na idris ni mcheshi sana alinipigisha story mbalimbali akanisimulia kuhusu boss wake hemed jinsi alivyo mtu mwema namna alivyomsaidia vitu vingi kimaisha mida ya saa nane tulipika zetu wali wa nazi na maharage mboga za majani na samaki tukala tukarudi zetu kwenye movie jioni mida ya saa 12 boss hemed alirudi nyumbani idris alikuwa yuko bafuni ilibidi mimi ndo niende kumfungulia geit..... nilifungua geit akaingia alinijulia hali baada ya hapo alipeleka gari parking akatelemka alifungua but na kuanza kushusha mizigo nilikwenda mpokea alinipatia vitu alivyonunua kwa ajiri yangu vingine aliniambia niachane navyo idris atakuja kupeleka ndani..... hemed ni mkaka fulani hivi siyo mkubwa kwa haraka haraka ana miaka kama 28 au 30...ni shombeshombe yupo kama mwarabu hivi ni mpole siyo mtu wa mambo mengi nilipokea vile vitu nikaanza kuondoka kuelekea ndani kabla cjapiga hatua nyingi hemed aliniita.....
""Recho""
""Abee niliitika then nikarudi kumsikiliza...""
""Be free ukiwa na shida yoyote usisite kuniambia nitakutafutia kazi huku zanzibar ikikosekana nitakuangalizia hata huko marekani kwani umesomea nini?! Nilimwambia kitengo nilichosomea akanipromise kunitafutia kazi!....""

Nilienda ndani nikafungua vile vitu alivyoniletea hemedπŸ™ˆπŸ™ˆ hadi chupi🀣🀣 alf kama vile alinipima jomon😁😁 chupi zilinifit ile mbaya.... alininunulia product za ngozi nguo viatu pamoja na cm.... nilivipanga vile vitu kabatini baada ya hapo nilienda kutoa asante kwa hemed aliniambia ni sawa recho be free kwangu niambie chochote..... nilimuiza kama atakula chochote aliniomba juice nilienda nikamchukulia juice nikamletea then mimi nilirudi chumbani kwangu..... ilifika mida ya saa moja moja hemed akaingia jimu ila lizuri😌😌 ana jimu ndogo pale nyumbani kwake alipiga mazoezi mie nikawa namchabo dirishani😹😹

Uuuwww ni gentlemen na nusu😹😹 hemed alimaliza kufanya mazoezi nikakimbilia zangu jikoni niliingia jikoni nikapasha pasha msosi hemed alipotoka kwenye mazoezi alielekea bafuni alipotoka bafuni alikuja jikoni kwa muda huo idris alikuwa katoka...
""Wow vinanukia sana..... alinimbia hemed""
""Nilismile then nikamwambia kidogo tu et siyo sana😁😁""
""Hahahaa haya bn unapika nini?!""
""Nilipika mchana wali samaki, maharage na mboga za majaniπŸ™ˆπŸ™ˆ""
'""Wow 🫰kitakuwa kitamu sana eh🫰""
""Hahahaaa cha kawaida et""
""Hii hapa line utaweka kwenye simu yako....""
""Thank youπŸ™πŸ™""
"" ni sawa usiwe na shaka kuna chochote kingine unahitaji?! Usiogope niambie tu....""
""Hakuna kitu hemed basi nikihitaji chochote nitakwambia...""
""Sawa recho basi mie niko zangu sitting hapo nataka nicheki game mara moja kama hautojali unaweza kuja tukaangalie wote... sawa basi wacha nimalizie kupakua chakula kwenye hotpot then nitakujoin..... we shabiki wa team gan rechoi?! Hahahaa mimi ni simba etπŸ™ˆπŸ™ˆ wow kesho nitakununulia jez umenifurahisha sana kuwa mwanasimba hemed aliniambia hivyo then akanigeiπŸ‘ŠπŸ‘Š baada ya hapo alitoka kwenda sebleni kuangalia mpira mimi nikabakia jikoni napakua chakula.... basi nilijikuta nasmile et😁😁 nikasahau na kipigo cha jana usiku kutoka kwa hakim! Nilimaliza kupakua chakula nikapeleka dinning hemed aliniomba tu nipakue chakula chetu mimi na yeye nipeleke pale sebleni tule huku tukiwa tunaendelea kuangalia mpira idris alikwenda kucheki mpira bandani yeye alidai nyumbani hakuna vibe tulikula mimi na hemed taratibu huku tukiwa tunaendelea kuangalia mpira..... mazungumzo ya hapa na pale yaliendelea kati yangu mimi na hemed line alinipatia ya kwake nilikuta kaniungia bando la mwezi na namba yake kanisevia tayariπŸ™ˆπŸ™ˆ

Usiku nilimuaga nikaelekea chumbani kwangu kwenda kulala amani ya moyo ilirudi niliona ni kama tayari nimeshapata sehemu ya kujificha ili hakim asinipate..... niliendelea kukaa pale nyumbani kwa hemed walikuwa wakarimu sana kwangu kila asubuhi hemed alikuwa akiwahi kuamka na kwenda kuimwagilizia maji bustani yake ya maua kila aliponikuta nafanya kazi yoyote alinisaidia.....siku moja aliniuliza kama ninaweza pata vyeti vyangu vya form four pamoja na vya chuoni ili anitumie maombi ya kazi tuone kama nitafanikiwa kupata kazi zanzibar au usa..... alikuwa kabakiwa na siku chache tu za kukaa visiwani zanzibar...... nilimwambia vyeti vipo nitafanya mpango nikavifuate huko dar! Niliwaza nitafanyaje ili niweze kuvipata vyeti vyangu bila kuonana na wazazi wangu kwa kile walichonifanyia sikutamani hata kuwatia machoni kwangu niliwaogopa sana niliwaona kama maadui zangu wa kwanza katika dunia hii.... nilikaa pale nyumbani kwa hemed kwa takribani mwezi mzima.... siku moja usiku nikiwa chumbani kwangu najiandaa kulala nilipanga safari ya kurudi jijini dar kesho asubuhi na mapema kwa ajiri ya kwenda kuvichukua vyeti vyangu kule nyumbani kwetu nilipanga pia kwenda kuchungulia kule nyumbani kwa paschal kama yupo au laa! Nilikuwa na wasiwasi sana juu ya hiyo safari yangu lakini sikuwa na budi ilikuwa ni lazima niende....

Itaendeleaaaaaaa
Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 33πŸ’˜πŸ’˜


Baada ya kumkuta hakim akiwa na boxa peke yake nilitoa machoπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† hee ana limutango yule jamaaa nilichokifanya nilijidondosha chini nikajidai nimezimia🀣🀣 nilimuomba mungu kimoyomoyo anisaidie niweze kubana pumzi kwa muda mrefu😹😹😹 baada ya kudondoka hakim alikimbia kuja kuniokota pale chini alifika akanibeba akaniinua pale chini akanilaza kitandani alikuwa ananiita na kuniomba msamaha alinitikisa tikisa sana lakini sikuamka🀣🀣 nyie ila kubana pumzi ni kaziπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† nilikuwa nategeshea muda anaonitikisa tikisa ndo na mimi navuta pumzi chapuπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† alivyoona siamki alichukua simu akaanza kutafuta usafiri zile tax za online nahisi alikosa tax akaamua kuvaa nguo akafungua mlango akatoka vile ametoka tu mimi...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/aaaaaaah-imetosha-boss-n0-33

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi aaaaaaah-imetosha-boss-n0
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜  N0 36πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 36πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 34πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 34πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 37...38πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 37...38πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 35πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSSπŸ’˜πŸ’˜ N0 35πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 39...40πŸ’˜πŸ’˜
AAAAAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 39...40πŸ’˜πŸ’˜
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67

608
MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65

550
MY WANGU❀️ sehemu ya 68

MY WANGU❀️ sehemu ya 68

422
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜

396
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

335
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13

65
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11

59
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8

43

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.65K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.43K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.4K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.27K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.25K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.23K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHIπŸ₯° Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑🟑 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❀️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜ Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS πŸ’˜πŸ’˜ N0 45πŸ’˜πŸ’˜
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on πŸ€·β€β™‚οΈ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❀️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

*REALLY LOVE  πŸ’•πŸ’•πŸ’•* *1-5* Post Mpya
*REALLY LOVE πŸ’•πŸ’•πŸ’•* *1-5*
@majario LIVE

*SEHEMU YA KWANZA* """""babee amka basi unachelewa kazini"""" sauti hiyo ya msichana catherine akimuamsha mpenzi wake ambaye alikuwa amelala """""ah babe nimechoka"""" mpenzi wake huyo aitwae seven alijibu kiuchovu sana...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 16 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Nikawa Sina budi kukubali nilivokumbuka ndoto ya Jana nikaogopa asije Freeman akafa kwasababu yangu Mimi, nilivokubali yule baba alifurahi akataka Hadi kunibeba ingawa alikuwa Hana nguvu akaniambia twende sasa na...

MY WANGU❀️ sehemu ya 61 na 62 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 61 na 62
@majario LIVE

Basi zai ndo wa kwanza akanambia we mbona umevimba macho ulikuwa unalia.nikasema.ndio kuna mtu kamwmabia kaka kuwa mimk.natembea na zayd ule mda nimekuja kukufata ww. Prisca akasema hao ni...

MY WANGU❀️ sehemu ya 59 na 60 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 59 na 60
@majario LIVE

Nikasema.achana nae bwana wala hana cha maan . Mi nimemwambia tu kuwa simtaki na asinifatilie mana atakuja kuniletea matatizo. Basi shoga akanambia sawa. Basi mie nikawa busy na mambo ya...

MY WANGU❀️ sehemu ya 58 Post Mpya
MY WANGU❀️ sehemu ya 58
@majario LIVE

Mh zayd. Akasogea mpka nilipokaaa na yeye akavuta kiti akakaa karibu yangu. Ila uzuri tu ili darasa lilikuwa halina ata. Mtu. Akanambia eeh , ina maana faridah hukusikia salamu yangu....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest