Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

BINAMU WEWE UNGEWEZA?    SEHEMU 05
Gonga94 · Stories

BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 05

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


ENDELEA.......
"Ni muda wa kazi sasa. Uliniambia jana una mazungumzo binafsi na mimi. Nafikiri tutazungumza badae"

Sikuwa na namna zaidi ya kutoka ofisini kwa Sony.

Nilienda eneo langu la kazi kila nilipojitahidi kufanya kazi zangu akili yangu haikuwa sawa kabisa.

"Una nini leo Nice?" Sophia rafiki yangu na pia ni mfanya kazi mwenzangu aliniuliza.

"Nipo sawa"

"Nakufahamu lakini ila kama umeamua kunificha naamini ni jambo lako binafsi ila kuwa makini usiharibu kazi."

"Kiukweli simuelewi binamu".

"Manka?"

"Yeah"

"Yule ndugu yako hayupo sawa. Mala nyingi napokuja kwako kuna matendo naona anayafanya si sawa kabisa sema sijui ni namna gani mnaishi wenyewe nilichagua kunyamaza kimya nisiwafitinishe ndugu"

"Nitakueleza badae".

Tuliendelea na kazi. Majira ya saa nane mchana Manka alikuja kazini kwangu.

Kwakuwa mimi ni Secretary ilikuwa lazima apitie kwangu kama anataka kuonana na Sony.

" inaendeleaje?" Nilimuuliza kwa kujali ila alinijibu kwa mkato.

"Salama. Nataka kuonana na Sony.

"Kuna tatizo?" Nilimuuliza

"Mimi kuonana na Sony mpaka wewe ujue?, utaacha lini wivu wa kijinga wewe"

"Kumbuka mimi na wewe tupo vipi. Ni miiko mashemeji kuzoeana kupitiliza, alafu ujue kabisa unaongea na dada yako kwaiyo uwe na nidham.

"Unasemaje wewe. Ngoja sasa nikuonyeshe"

Manka aliyasema hayi na baada ya hapo alianza kulia kwa sauti huku anaugulia tumbo. Wafanya kazi wote walikusanyika eneo hilo.

"Kuna nini Nice?" Sophia aliniuliza.

"Sielewi ana shida gani na mimi. Huwezi amini sijamgusa hata ukucha tu"

Muda huo huo Sony alifika eneo hilo alimkimbilia Manka pale chini ni kama vile alikuwa amepagawa. Watu wote tulipigwa na butwaa.....

"Nini kimetokea?" Sony aliuliza na macho yake yalielekea kwangu. Kabda sijamjibu Manka alijibu.

"Nice amenipiga tumboni. Sijui kwanini ananitesa amesahau kama mama yangu na baba yake ni mtu na dada yake. Amekuwa katili sana kwangu". Manka aliongea huku anajiliza.

Sony aliniangalia kwa hasira, alimbeba Manka mikononi mwake. Wafanyakaza wakaachia njia wapita. Mie nilikuwa nimesimama kama mstimu jamani siamini nachokiona kabisa nilistuka tu nimesukumwa huko nikaenda kudondokea kiti.

Nilianza kuugulia maumivu ya tumbo.

"Pole Nice nashindwa hata niseme nini juu yako kipenzi" Sophia aliongea hayo huku ananifuta machozi.

Tunakuja kushtuka damu zinachuruzika miguuni mwangu.

Nilishika tumbo langu kwa uoga

"Una mimba?" Sophia aliniuliza. Kwa uoga niliokuwa nao maumivu yalizidi mala mbili yake. Sophia akiwa anashauriana na wafanya kazi wengine kunipeleka hospitali na wengi walikuwa wanaogopa kutoka kibarua kitaota nyasi.

Kwa mbali tulimuona kijana mmoja mtanashati anakuja eneo tulikuwepo.

Alitufikia pale alinitazama kwa huruma mie nikazima sikujua nini kiliendelea. Nilikuja kushtuka nilijikuta nipo hospitali pembeni yangu alikuwepo Sophia"


"Umeamka kipenzi. Unajisikiaje kwa sasa?"

"Naona nipo sawa. Vipi ulimpa taarifa Sony kuwa nipo hapa?"

"Siwezi kuzungumza nae chochote kwanza naanzaje na yeye ndiyo sababu ya wewe kuwa hapa"

"Niambie vipi kuhusu mimba yangu"

"Jambo la kumshuru MUNGU upo salama kabisa ila tumshukuru pia kijana yule kwa kutoa msaada kama si yeye kulikuwa na uwezekano mimba kuharibika"

"Nilishika tumbo langu nikaachia tabasamu ilhali ndani ya moyo wangu nina maumivu makali sana.

Majira ya jioni nilitoka hospitali niliongozana na Sophia mpaka nyumbani kwangu. Huko tuliwakuta Manka na Sony. Eti Sony wangu anambembeleza Manka ale chakula.

" Nyie watu mnawezaje kuondoka kazini bila ruhusa yangu?"

"Kwamba hata ningefia pale kazini ni sawa?, hivi Sony umepatwa na nini?"

"Punguza Jazba Nice, daktari alisema unatakiwa kuwa mtulivu kimwili hadi kiakili" Sophia alinitulia baada ya kuona nimeanza kupaniki.

Alinipeleka mpaka chumbani kwangu huko tuliweza kuongea mawili matatu.

"Nahisi kuchanganyikiwa mwenzio sielewi jamani" niliongea huku nalia.

"Usilie kipenzi jali kwanza afya yako kila kitu kitakuwa sawa ni jambo la muda tu".

" nisikuchoshe sana Sophia. Asante kwa msaada wako unaweza kwenda nyumbani kupumzika.

"Kama nisingekuwa mke wa mtu ningebaki na wewe leo hii. Ok acha niende ila naomba uwe mtulivu"

Sophia aliondoka, dakika chache tu Sony na Manka waliingia chumbani kwangu.

"Naomba nizungumze na wewe kwa uchache tu kabda sijaondoka kwasababu sihitaji umfanyie mwenzako vulugu. Safari hii utaionja polisi sitakuacha salama"

Sikumjibu zaidi ya kumtazama tu.

"Manka ni mjamxito na mimba ni yangu mimi. Baada ya kukwambia haya sitegemei kama utamfanya chochote kibaya sitokuelewa" Sony aliongea hayo bila ya aibu.

Nyie nilijikuta naangua kicheko huku nalia.............ITAENDELEA.........

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 05



ENDELEA.......
"Ni muda wa kazi sasa. Uliniambia jana una mazungumzo binafsi na mimi. Nafikiri tutazungumza badae"

Sikuwa na namna zaidi ya kutoka ofisini kwa Sony.

Nilienda eneo langu la kazi kila nilipojitahidi kufanya kazi zangu akili yangu haikuwa sawa kabisa.

"Una nini leo Nice?" Sophia rafiki yangu na pia ni mfanya kazi mwenzangu aliniuliza.

"Nipo sawa"

"Nakufahamu lakini ila kama umeamua kunificha naamini ni jambo lako binafsi ila kuwa makini usiharibu kazi."

"Kiukweli simuelewi binamu".

"Manka?"

"Yeah"

"Yule ndugu yako hayupo sawa. Mala nyingi napokuja kwako kuna matendo naona anayafanya si sawa kabisa sema sijui ni namna gani mnaishi wenyewe nilichagua kunyamaza kimya nisiwafitinishe ndugu"

"Nitakueleza badae".

Tuliendelea na kazi. Majira...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/binamu-wewe-ungeweza-sehemu-05

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi binamu-wewe-ungeweza-sehemu
 BINAMU WEWE UNGEWEZA?  SEHEMU 15
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 15
BINAMU WEWE UNGEWEZA?   SEHEMU 13
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 13
BINAMU WEWE UNGEWEZA?   SEHEMU 11  ENDELEA.......
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 11 ENDELEA.......
BINAMU WEWE UNGEWEZA?   SEHEMU 09
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 09
BINAMU WEWE UNGEWEZA?    SEHEMU 12  ENDELEA........
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 12 ENDELEA........
BINAMU WEWE UNGEWEZA?   SEHEMU 08
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 08
BINAMU WEWE UNGEWEZA?  SEHEMU 02  ENDELEA...... "Hajambo kabisa"   "Na mipango mengine si inaenda vizuri?"  "Kabisa mama, tegemeeni mambo mazuri hivi karibuni"  "Hata mimi naona...
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 02 ENDELEA...... "Hajambo kabisa" "Na mipango mengine si inaenda vizuri?" "Kabisa mama, tegemeeni mambo mazuri hivi karibuni" "Hata mimi naona...
BINAMU WEWE UNGEWEZA?  SEHEMU 03
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 03
BINAMU WEWE UNGEWEZA?    SEHEMU 04
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 04
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35

954
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11

217
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.

199
MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9

197
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28

192
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10

188
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13

149
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29

142
ACHA NIKUPENDE ❤️1

ACHA NIKUPENDE ❤️1

122
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30

91

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.6K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.34K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.78K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.27K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.83K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.72K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.66K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.59K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.59K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.54K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 30
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Asubuh sasa . Mama aliniamsha niajiandae anataka kunitoa out. Basi nikajiandaaa nikatoka zangu sebleni. Nakutana na mzeee alinikata jicho hilo. Nikaona aibu jana si kasikia...

MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 12 to 13
@majario LIVE

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 12 SONGA NAYO....... Basi safari ilikuwa ndefu kidogo, kwa mara ya kwanza toka nifike Oman hii siku ndio niliigia supermarket bwana, hiviii kumbe waarabu wana pesa hivi na...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 29
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nimefika home nimenuna kweli kweli.nikaona yule adrian kama alikuwa anataka kunitia nuksi tu. Mtu kashanikaa mbele ya wazazi . Na yeye ndo kasababisha ata...

Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine Post Mpya
Happy International Women’s Day from: Senator Koboko’s Wife, OSATO and Lady Jasmine
@majario LIVE

If you are Proud to be a woman: Share this post Meanwhile who is waiting for PART 5 of OSATO the Pure Water Seller? If you missed any part, Iink...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 11
@majario LIVE

SONGA NAYO... Pale nje tulibaki wawili tu mimi na madam hao wengine waliingia ndani. Madam aliponiita nilimuangalia tu bila kumuitikia, huyu mama nikimuona nahisi kichefuchefu kabisa "Mira achana na hizi nguo, kesho...

ACHA NIKUPENDE ❤️1 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE ❤️1
@majario LIVE

MTUNZI uhuru media " Pink ujue hapa Ni mjini na maisha ni magumu Sana pesa zinapatikana kwa shida hivyo unatakiwa kujiongeza sio Ila siku Mimi ni nikeshe...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Muda ulienda majira ya saa nane nilitoka nje kwa lengo la kuanua nguo za mtoto, lakini nilipofika nilikuta nguo zote ambazo nilifua na kuanika zikiwa chini Tena zilionekana kabisa kuna...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 28
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kesho yake jioni sana ndo baraka alianza kujiandaa mana alikuwa anaondoka na basi la usiku. Nilijisikia unyongea sana. Ila alinambia nivumilie mana ni miezi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 34 na 35
@majario LIVE

Basi demu akaondoka zake na hasira zake, na mimi nikaludi zangu ndani, kisha sasa nikampigia mama ahmed, na kweli akapokea skmu , nikasema hivi we mwanmke unanizoea sanaaa, ...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26  na 27. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 26 na 27.
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Asa mimi ni nani nimnyimeee weeeee sio kweli. Nikamsogelea kisha nikamuangalia kwa jicho la kulegea sana. Akatabasamu kisha akanivuta zaidi. Akanipa mdomo. Tukaanza kukisss taratibu....

MIRANDA (Binti Yangu)     SEHEMU YA 9 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Kisha kwa ujasiri mkubwa nikazungumza. "Madam kwanza nasema asante kwa kuniamini lakini pia kwa kunijali nikuambie kitu siwezi kuolewa na kijana wako ile hali mimi ni mfanyakazi wako, sina thamani...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 6
@majario LIVE

ENDELEA....... "Jitahidi uwe na utu kuna maisha baada ya haya, kuna kupanda na kushuka. Kuishi na watu vizuri ni hadhina pia binti yangu. Nakupenda sana na najivunia wewe ila ubinafsi wako...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Basi zena akawa nataka kuingia ndani ,mama ahamd akasema we zena sijuh ndo nani tulia nikupashe shoga angu, apa bwana hakuna, kama umebeba mimba ukazani una bwana hapa hakuna....

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Khaaaaa mi nikamtumia sms, nikamwambia mm sipo nyumbani, naomba uondoke apoo, mambo yasiwe mengi, akaniuliza upo wapi saa 6 hii, nikamwambia nipo kazini akanmbia kazini ndo hupokei simu? Upo...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL.   SEHEMU YA 15 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL. SEHEMU YA 15
@majario LIVE

. 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Iris alipoingia ofisini, Mr. Marvel alikunja uso. Alijua Iris si mtu mzuri baada ya kile alichomfanyia Noela, lakini hakutaka kuonyesha kwamba anamjua vizuri. Akaamua kuwa mtulivu na kusubiri kusikia shida...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest