Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
19 Oct 2025
100 views
VYOTE NDANI GONGA94
Chapter 18 BETWEEN SISTER AND SECRET "Tumeshaongea kuhusu Mira, nitaachana nae, Copy Listen Translate Search Translate pollyoteremka kwenye meshas
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
"Muongo na vipi kuhusu MiraiChapter 18
Gavin na Gian walichungulia mlangoni, Gael aliwapa ishara waondoke.
Hatutakiwi tena hapa tuondoke kazi yetu imeisha." alisema Gavin.
Siamini amempata Mia kirahisi hivyo namuonea wivu." Gian alijiongelea mwenyewe.
Gavin na Gian walipanda kwenye gari wakaondoka. Gael na Mia waliongea sana na
kucheka
Twende tukalale kunaelekea kukucha kesho utasinzia kazini. Gael aliongea huku anachezea nywele za Mia.
Sawa uwe na usiku mwema. Mia aliingia chumba cha wageni.
Natamani kuwa nae karibu. Gael alijikuta anakosa usingizi; kila alipofumba macho aliiona sura ya Mia. Aliona aende kwenye chumba alicholala Mia, alipanda kitandani.
Analala vizuri kama mtoto." Gael alimkagua Mia kuanzia macho, pua, mdomo, shingo, aliendelea kushuka mpaka kifuani.
"Nafanya ujinga gani?" Gael aliangalia pembeni
lakini uzalendo ulimshinda. Alimsogelea Mia akaanza kumkiss kwenye shavu, akahama kwenye shingo.
Mia alihisi ni mdudu alijipangusa na kugeuka upande wa pili. Gael alitabasamu akaendelea kumkiss safari hii alimkiss kwenye lips na mkono wake mmoja ulikuwa unaminya minya kiuno cha Mia.
Mia alikurupuka kutoka usingizi. "Gael unafanya nini hapa?" Mia alivuta shuka akajifunika.
Nimeshindwa kulala Mia nakuhitaji... nataka kuwa karibu yako." Gael alimsogelea Mia alivuta akaanza kumpapasa na kumkiss. Mia alijaribu kukataa lakini alishindwa.
Mida ya saa 11 asubuhi Mia alishtuka akiwa amekumbatiwa na Gael, Alitoa mikono ya Gael taratibu akaingia bafuni alijiangalia kwenye kioo. "Mia hauna akili, umekuwaje siku hizi? Kwanini nilishindwa kumzuia Gael? Nitamuangalia vipi Mira na Gael mwenyewe sitaki kuingia kwenye matatizo na Mira kabisa nimechoka. Mia alianza kulia; kilio chake kilimshtua Gael kutoka usingizi, alisogea karibu ya mlango wa bafuni. "Mia upo sawa?" aliuliza Gael.
Gael naomba uniache mwenyewe." Mia aliongea kwa sauti ya kilio..
"Nawezaje kufanya hivyo na unaonekana haupo sawa, fungua mlango. Gael alijaribu kwa mara nyingine kufungua mlango ila bado ulikuwa umefungwa.
Gael ondoka nataka kuwa mwenyewe tafadhali. Mia alizidisha kulia. Kwanini analia hivyo ananiogopesha sana."
Gael alienda kutafuta funguo, alifungua mlango alimkuta Mia amekaa kwenye sinki likiwa. limejaa maji mpaka juu.
"Umekuja kufanya nini, toka sitaki kukuona." Mia alimuuliza Gael.
"Siwezi kuondoka nikakuacha kwenye hali kama hil, niambie ni kwanini unalia? Gael alimkumbatia Mia.
Unauliza ni kwanini nalia, kwani hujui kama wewe ndo sababu." Mia aliongea huku anampiga piga Gael kifuani.
"Kama mimi ndo sababu ya wewe kulia hivi basi naomba unisamehe Mia nakupenda sana." Sikupendi nakuchukia Gael sitaki tena kuwa karibu na wewe. Mia alimsukuma Gael bila mafanikio.
Gael alimuacha alie mpaka alizike. Mia alilia sana, mwisho alinyamaza akiwa bado amelaza kichwa chake kwenye kifua cha Gael. Gael hakuongea chochote alimsaidia Mia kuvua taulo akaanza kumuogesha; walioga pamoja. Gael alimbeba Mia hadi chumbani akamvisha shati lake kisha alipiga magoti mbele ya Mia.
Mia nisamehe kwa kilichotokea hata mimi najilaani ni kwanini nilishindwa kusubiri mpaka utakapo kuwa tayari kuwa na mimi. Gael aliongea huku ameshika mikono ya Mia. Mia hakuweza kumuangalia Gael usoni aliona
aibu.
Sitaki kusikia chochote Gael nataka tu kuondoka." Mia alitoa mikono yake kwenye mikono ya Gael.
Gael aliendelea kupiga magoti, alimuangalia Mia kwa huzuni.
Mia... sijawahi kujiona dhaifu hivi maishani
mwangu. Nimekosea, na ninajua hilo. Lakini tafadhall usinifanyle hivi naomba unisamehe,
siwezi kuishi bila wewe." Mia alishusha pumzi ndefu, machozi
yakimtiririka taratibu.
Lakini Gael... maisha yangu yalikuwa tulivu kabla ya kukutana na wewe. Sasa kila kitu kimevurugika, mpenzi wako Mira
atanichukuliaje?"
Gael alichukua mkono wa Mia akaweka kifuani kwake.
"Moyo wangu... unapiga kwa ajili yako tu Mia, simtaki tena Mira, simtaki yeyote... nataka kuwa
na wewe tu." Mia alitingisha kichwa.
Hapana... hapana, usiniweke kwenye wakati mgumu Gael. Sikutaka haya yote yatokee, sitaki kuwa mtu anayeiba furaha ya mtu mwingine."
"Lakini si umeona... hata nikijizuia, nikijifanya naweza kuishi bila wewe, naishia kukutafuta. Usiniache Mia. Tafadhali, nipe nafasi moja tu kuthibitisha mapenzi yangu kwako."
Mia alifumba macho, alikaa kimya kwa muda. Gael... sitaki kujua kama unanipenda au laa. Ninachojua, moyo wangu umeshachoka,
nimechoka kuishi hivi kila siku nitaonekana mimi ndo chanzo cha matatizo."
Gael alinyanyuka taratibu akaushika uso wa Mia. "Hutakuwa msaliti kwa kunipenda Mia. Wewe ni zawadi ambayo nimechelewa sana kuipata. Nitapigana kwa ajili yako, hata kama utanikataa
mara elfu moja."
Mia alimuangalia Gael, alisogea karibu akajilaza kwenye kifua cha Gael. Gael alitabasamu akamkumbatia Mia kwa nguvu; walijikuta wamelala huku wamekumbatiana
Full 1000
Whatsp 0784468229
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe si...
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just...
Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA
Chapter 18 BETWEEN SISTER AND SECRET "Tumeshaongea kuhusu Mira, nitaachana nae, Copy Listen Translate Search Translate pollyoteremka kwenye meshas
"Muongo na vipi kuhusu MiraiChapter 18
Gavin na Gian walichungulia mlangoni, Gael aliwapa ishara waondoke.
Hatutakiwi tena hapa tuondoke kazi yetu imeisha." alisema Gavin.
Siamini amempata Mia kirahisi hivyo namuonea wivu." Gian alijiongelea mwenyewe.
Gavin na Gian walipanda kwenye gari wakaondoka. Gael na Mia waliongea sana na
kucheka
Twende tukalale kunaelekea kukucha kesho utasinzia kazini. Gael aliongea huku anachezea nywele za Mia.
Sawa uwe na usiku mwema. Mia aliingia chumba cha wageni.
Natamani kuwa nae karibu. Gael alijikuta anakosa usingizi; kila alipofumba macho aliiona sura ya Mia. Aliona aende kwenye chumba alicholala Mia, alipanda kitandani.
Analala vizuri kama mtoto." Gael alimkagua Mia kuanzia macho, pua, mdomo, shingo, aliendelea kushuka...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/chapter-18-between-sister-and-secret-tumeshaongea-kuhusu-mira-nitaachana-nae-copy-listen-translate-s
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* Chapter 13 Search "Hee shga angu ndio umeamua kutoka na boss mhh we kiboko mwenzangu kwanza
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* * Chapter 7 "Hamna mama yangu sifanyi tena Catherine ila naomba nikuogeshe"
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* 17 -- 18 Chapter 17 Mapenzi yangu na Elton yalikuwa mazuri kupita maelezo. Nilifurahia kila dakika niliyoitumia naye. Kila kukicha tulikuwa tunazidi kuwa karibu zaidi
*MJEDA INAUMA SIWEZI VUMILIA* Chapter 7 "Umenichana Raphael?" Nilimuuliza akawa ananitizama tu jamani yaani hata hanijibu nilikuwa nina hasira
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* *Chapter 14&15* "Mbona unanitizama kama hivyoo nimekukoseaa sana madam?, kuna kitu
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 12 Baada ya kunipeleka chumbani kwake, Elton alinilaza kitandani, akafunika na blanketi kisha akatoka nje. Dakika zile zile alirudi na bakuli la maji moto...
*BOSS CHOMOA MIMI SIO JAMANI* * Chapter 8 "Unafanana sauti na dad yako, sema yey anaongea sana, inaonekana kwenu ndio mlivyo maan hata Catherine ulikuwa mkorofi siku ya kwanza
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 13 Ile busu lilifanya tujihisi tupo kwenye dunia nyingine kwa dakika tano hivi hatukuwa sisi nikajiuliza, "mbona naenjoy hii kitu?"
*MJEDA INAUMA SIWEZI VUMILIA* Chapter 8 Nililala mpaka asubuhi naamka hivi nipo peke yangu, kwanza kwasababu ya mawenge
*NIMEKOMA MIMI 🙌* *Chapter 16&17* Ile siku jioni akili yangu yote ilikuwa kwa Bishop
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 12 "No cousin you know mwenzioo mimi hapa nakupenda
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* .Chapter 17 Siku zilipita na mipango ya ndoaa ilitimia niliolewa maan ndoa
*NIMEKOMA MIMI 🙌* Chapter 15 Baada ya Bishop kuondoka, nililala kwa sababu nilikuwa nimechoka sana na mwili wote
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* Chapter 9 Elton alikuja jikoni pale nilipokuwa nimekaa, Akanikamata mkono wangu kwa nguvu, akaniambia kwa hasira
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 18 Aliendeleea kunipa juice jamani aliweza huyu mkaka kwa juice
Maoni