yangu inaanzia wakati nina miaka kumi na saba, siku moja wazazi wangu walinambia kuwa naolewa siku chache zijazoπ₯Ί
nijiandae dah sikuwa tayari kuolewa wakati huo lakini wazazi wakaniforce sikua na namnaπafu kibaya mtu mwenyewe anaenioa simjuiπ
zaidi tu kuna mzee anaitwa mzee jabir ndo alikuja kusema Kuna mtoto wa dada ake ndo anataka mke na yeye kaniona mimiπ₯Ίbasi mimi nilikua sitaki lakini wazazi wangu hawakutaka kunielewaπππ
nikamuomba rafiki angu ushauri anaitwa bety akanambia nisikatae bahati kama nikienda uko nsipomridhia mume nifanye visa mpaka niachweπ nikasema asante kipenzi π ushauri mzuri sana
basi nikafungishwa ndoa,siku ya ndoa yenyewe mume hakujaπ€ͺπ§ nikaolewa na mtoto wa mzee jabir kwa niaba ya uyo mume,asubuhi ya siku iliyofuata tukaondoka Mimi,mzee jabir na mama wa mume alikuja Kijijini kufata mke wa mwanae(mimi)
πππ basi wenyewe wakakaa mbele,mimi nikakaa siti ya nyuma nina mawazo hatariπ nikapitiwa na usingizi sangapi nisiote tumefika nimekuta mume mwenyewe ni mzeeπ nilishtuka nikapiga keleleπmamaaaaah....!!
mama mkwe akasimamisha gari kwanzaπ€una nini zawadi? wakaanza niuliza ikabidi niseme nimeota wakanipa pole, safari ikaendelea tukafika mjini usiku tukapokelewa na mdada nikaambiwa ni binamu wa mume wangu, anaitwa zuhura akanambia nimuite wifi zuu basi akanipeleka nikaoge nikamfata,
kwanza alikua mcheshi hadi rahaπ₯° akanipeleka chumba kimoja akanipa kanga akanambia niingie kuoga ,bafu lilikuwa ndani umo umo, nikaingia nikaoga nilivyotoka akanipa gauni maana niliambiwa nyumbani nisichukue nguo nitanunuliwa huko hukoππ₯°
akanambia twende ukale sasa,akawa ananihudumia si mwajua bibi harusi tenaπβ€ basi mama mkwe akanambia kuwa bahati mbaya mume wangu amepata dharura ameenda Zanzibar ila kesho asubuhi anarudi,
nikajisemea mngejua ata sina shida nae mbwa huyoπ nikaambiwa nikalale mule chumbani peke anguπkwanza nilikuwa naogopaje...!!
π bonge la chumba uwiiiiih....!πnikakaa nawaza hivi huyo mume atakuaje kuajeπ usingizi ukanipitia ππ
asubuhi wifi zuu akaja niamsha amka wifi ukaoge unywe chai za asubuhi wifi salama umeamkaje salama pole na uchovu wa safari nishapoa,
basi nikaamka nkaoga nikaenda sitting room nikawakuta mama mkwe na mzee jabir nikawasalimia tukawa tunakunywa chai,kidogo house gal akawa ameingia na bag ametoka nalo nje ,
mama mkwe akasema eeeh huyu ashafika,akanigeukia mimi mumeo asharudi sasa dada katoka mpokea,kidogo tunasikia anakuja anaongea na simu uwiiii uwiiiiih..!
si kwa m_bass uleπ nikaanza hisi moyo unaenda mbioπ₯Ί dah....!!!! sijui ntakutana na nini nimeolewa mtu simjuiπππ
ENJOOOOOOY GOOD STORY.
Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.
Maoni
Click here to login and comments