Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
11 Dec 2025
204 views
VYOTE NDANI GONGA94
DOCTOR SEBASTIAN kapewa jukumu zito la kijeshi la kutengeneza binadamu asieweza kuonekana
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
π Anaaamini atapata usingizi mzuri siku ambayo project yake itakamilika, DOCTOR SEBASTIAN kapewa jukumu zito la kijeshi la kutengeneza binadamu asieweza kuonekana
Lengo wanadamu hao watumike katika shughuli za kijeshi.. DOCTOR SEBASTIAN akafanikiwa kufika nusu ya malengo baada ya majaribio kadhaa waliyoyafanya kwa Wanyama kama mbwa na Sokwe kufaulu π€
Kazi iliyobaki ikawa ni kuhakiki jaribio hilo kwa mwanadamu, anahitajika mwanadamu mmoja wa kujitolea kufanyiwa jaribio hilo la kidungwa sindano itakayomfanya kuwa invisible π
DOCTOR SEBASTIAN akajitolea yeye kudungwa sindano hiyo... mission ikafaulu taratibu akaacha kuonekana baadae akapotea kabisa lakini akizungumza anasikika pia akikugusa lazima uhisi mguso wa kitu π«£
Sasa shida iliyoibuka ni kwamba walipojaribu kumdunga sindano ya kumrejeshea muonekano wake wa awali aonekane kama binadamu wengine mambo yakaenda vibaya na kushindwa kurejea π₯Ί
Kizaazaa kikaibuka kutafuta dawa gani inayoweza kumrejesha katika hali yake ya kawaida ikabidi aamriwe asitoke maabara hapo mpaka pale tiba itakapopatikana π
Baada ya kukaa siku kadhaa bila ufumbuzi kupatikana aliona atoroke hapo maabara, Sasa huyo DOCTOR bhana alikuwa na tabia zake za hovyo kigezo cha kutoweza kuonekana alianza tabia za hovyo uzalilishaji wa wanawake na ubakaji π
Wanawake aliokuwa akiwatamani na waliomkataa kuanzia madoctor wenzie na wanawake wa kitaani cha moto walikiona Kiza kilipoingia wakiwa wamelala aliwafanya alichoona kinafaa daaah! π€¦
Baada ya tabia zake chafu kushamiri na muhusika kugundulika ni yeye shughuli ikawa ni namna gani ya kumdhibiti maana vihelehele waliokuwa mstari wa mbele kuripoti tabia zake mbovu jeshini waliuwawa kikatili ani π
Bonge moja la horror movie moja kati ya kazi ambazo hutakiwi kuzikosa maana hii kazi imekamilika kila idara, pia hizi single movie zipo 2 kila 1 utaipata kwa 1,000 π€
Ukiihitaji full nicheki whatsapp : 0762873735 π€
#DJ_MARK_MOVIES
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
MIAKA 7 ya Ndoa Mke wangu ana ujauzito mwingine ambao si wangu!
Mimi ni kijana wa miaka 36, nimeoa na ndoa yangu ina miaka 7 sasa, binafsi sijabahatika kupata mtoto. Kama kawaida huko...
Dr. Nusrat Praveen, the AYUSH doctor whose hijab was publicly pulled down by Bihar Chief Minister Nitish Kumar during an appointment ceremony on December 15, 2025, has refused to join the government job she was offered. According to multiple reports:
β’ She was scheduled to report to a primary health center in Sabalpur by December 20, but did not appear The Hindu. β’ He...
ALIMWOKOA SAMAKI MTU MJAMZITO KWENYE MTO BAADA YA SIKU 7, HIKI KILITOKEA... sehemu ya pili Moyo wa Amara ulianza kupiga kwa kasi. Hakuelewa walichokuwa wakizungumza.
Nguva mjamzito, pesa marambili, kuuza kwa mtu mkubwa. Aliwaza huku akiwa amebeba chungu kizito kichwani. Aliondoka harak...
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 12 "Poleni sana ujauzito uliokua tumboni mwa Brigita umeharibika, naomba mjipe nguvu
katika kipindi hiki hasa Meckson uwe imara ili mkeo azidi kuimarika zaidi" Daktari alitupa ushauri pale wa kututuliza i...
π§ππ§πππ’ ππ¨ππͺπ ππ‘ππ‘ππ’ππ’π£ππ¦ππ SEHEMU YA 9 "Binti amegundulika ni mjamzito kwa mila na desturi za ukoo wetu itakua vigumu
kufunga ndoa katika hali hii, msitushangae ndivyo ilivyo kanuni ya ukoo wetu, tukilazimisha kuna mabaya yanaweza kutoke...
DOCTOR SEBASTIAN kapewa jukumu zito la kijeshi la kutengeneza binadamu asieweza kuonekana
π Anaaamini atapata usingizi mzuri siku ambayo project yake itakamilika, DOCTOR SEBASTIAN kapewa jukumu zito la kijeshi la kutengeneza binadamu asieweza kuonekana
Lengo wanadamu hao watumike katika shughuli za kijeshi.. DOCTOR SEBASTIAN akafanikiwa kufika nusu ya malengo baada ya majaribio kadhaa waliyoyafanya kwa Wanyama kama mbwa na Sokwe kufaulu π€
Kazi iliyobaki ikawa ni kuhakiki jaribio hilo kwa mwanadamu, anahitajika mwanadamu mmoja wa kujitolea kufanyiwa jaribio hilo la kidungwa sindano itakayomfanya kuwa invisible π
DOCTOR SEBASTIAN akajitolea yeye kudungwa sindano hiyo... mission ikafaulu taratibu akaacha kuonekana baadae akapotea kabisa lakini akizungumza anasikika pia akikugusa lazima uhisi mguso wa kitu π«£
Sasa shida iliyoibuka...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/doctor-sebastian-kapewa-jukumu-zito-la-kijeshi-la-kutengeneza-binadamu-asieweza-kuonekana
Maoni