Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ Gonga94 Semajambo
Gonga94 ยท Stories
29 Jan 2026
19 views
VYOTE NDANI GONGA94
CAF YASHUSHA ADHABU NZITO KWA SENEGAL ๐ธ๐ณ NA MOROCCO ๐ฒ๐ฆ KUFUATIA KADHIA KATIKA FAINALI.
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
1- Kocha wa Senegal Pape Thiaw amefungiwa mechi tano rasmi pamoja na faini ya dola 100,000 za Kimarekani sawa na Million 240 za Kitanzania.
2- Mchezaji wa Senegal Malick Ndiaye amefungiwa mechi mbili.
3- Mchezaji Ismaila Sarr wa Senegal amefungiwa mechi mbili.
4- Shirikisho la soka la Senegal limepigwa faini ya dola 300,000 sawa na Million 760 za Kibongo, wakiwapiga Faini kutokana na vurugu za Mashabiki wao.
5- Senegal tena wamepigwa faini ya dola 300,000 za Kimarekani kutokana na vurugu za Wachezaji na benchi la Ufundi.
6- Senegal wamepigwa faini ya dola 15,000 kutokana na Wachezaji wake kupokea kadi nyingi za onyo.
7-Nyota wa Morocco ๐ฒ๐ฆ Achraf Hakimi amefungiwa mechi mbili ila atatumikia moja halafu moja kwa uangalizi wa mwaka.
8- Nyota wa Morocco ๐ฒ๐ฆ Ismael Saibari amefungiwa mechi tatu na faini ya dola 100,000 za Kimarekani.
9- Morocco wamepigwa faini jumla ya dola 315,000 za Kimarekani kutokana na vurugu za Mashabiki, Wachezaji na matumizi ya tochi kwa Mashabiki.
Adhabu kwa Mashirikisho ni SENEGAL ๐ธ๐ณ wanapaswa kulipa dola 615,000 za Kimarekani huku MOROCCO ๐ฒ๐ฆ wanapaswa kulipa dola 315,000 za Kimarekani.
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA & Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF
wametoa kibali rasmi cha kuthibitisha kuwa uwanja Wa Hoima City uliopo Uganda, unakidhi viwango vya kimataifa vya kuand...
Bila ya msimamo ule leo watu wangeshasahau kama Afcon ilichezwa Morocco, bila ya huyu Mwanaume muda huu Morocco wangekuwa wanashangilia Kombe la dhulma.
Bila ya jamaa kutoa vijana wake leo Mutsepe angekiri kuwa Senegal walionewa lakini isingesaidia kitu tayari Morocco Bin...
๐๐๐ฃ๐ฆ๐ (๐๐ผ๐๐๐ฒ ๐ ๐ฎ๐ถ๐ฑ ๐ช๐ฎ ๐ธ๐ถ๐๐ผ๐บ๐ฎ๐น๐ถ) _________________________________________ SEHEMU YA 1 ๐๐๐๐๐๐๐๐๐ โHapsa, hapsa, we hapsa weweโ Ni sauti nzito ya kiume na yenye hasira Kali sana ikiitilia Jina la hapsa ambaye alikuwa jikoni akipika na alikaa kimya kana kwa
โKwahiyo ninavyokuita unisikii au ??โ Aliuliza mwanaume huyo baada ya kumkuta hapsa jikoni akisafisha vyombo. Hapsa Ana...
Maoni