Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
18 Sep 2025
45 views
VYOTE NDANI GONGA94
Ni 2019 kwenye afcon iliyo fanyika pale misri, Tanzania dhidi ya Senegal, pali shuhudiwa bonge la mbungi ambapo stars alikufa mbili bila,
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Cha kufurahisha zaidi ni goli la huyu krepin diata, aliachia shuti Kali dakika ya 65 mpaka watu Waka hisi dogo alikuwa na mpango wa kumuua manula, bahati nzuri manula hakujisumbua kufuata mpira mpaka ukazama wavuni, kesho yake nchi nzima mtandaoni ni picha za huyu dogo, Mwite Krepin Diata ambaye hato Toka kwenye fikra za Tanzania one π
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Nargis and Sunil Dutt were not just legendary stars of Hindi cinema, but also one of the most respected and inspiring couples in Bollywood
. Nargis was known for her natural acting and powerful screen presence. Films like Mother India made her a timeless icon...
Hapo ni Golden Harvest Studios mwaka 1972 pale ambapo kijana mdogo Jackie Chan alijihisi anauwezo sawa na mpiganaji bora wa dunia wa muda wote Bruce Lee,Na
kutaka kumpandishia Bruce Lee ila watu wakaingilia na Jackie Chan mwenyewe anasema alishukuru watu waliingilia na pia b...
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 31* Nilifika getini kwao Kingston palikuwa kimya sana ilikuwa ni jioni saa 11 kuelekea saa 12π€π€..
Nilibonyeza kengere nikaona kimya mmhh huenda hakuna mtu humo ndani nitakaa hapa hapa mpaka wajeπ€£π€£ Nilikaa pale getini ...
Marcello Allende aliitwa kwa majaribi katika mashindano ya Durban International Cup.o na Arsenal mwaka 2016, ambapo alicheza na kikosi cha Under-19 cha Arsenal
Baadaye, alipata fursa ya majaribio zaidi, na Aprili 2017 kulikuwa na ripoti kwamba Arsenal walivutiwa na kijana, lakin...
Ni 2019 kwenye afcon iliyo fanyika pale misri, Tanzania dhidi ya Senegal, pali shuhudiwa bonge la mbungi ambapo stars alikufa mbili bila,
Cha kufurahisha zaidi ni goli la huyu krepin diata, aliachia shuti Kali dakika ya 65 mpaka watu Waka hisi dogo alikuwa na mpango wa kumuua manula, bahati nzuri manula hakujisumbua kufuata mpira mpaka ukazama wavuni, kesho yake nchi nzima mtandaoni ni picha za huyu dogo, Mwite Krepin Diata ambaye hato Toka kwenye fikra za Tanzania one π
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/ni-2019-kwenye-afcon-iliyo-fanyika-pale-misri-tanzania-dhidi-ya-senegal-pali-shuhudiwa-bonge-la-mbun
Maoni